Maisha Halisi (ya UPWEKE) ya Marekani. Upo Tayari????

  Рет қаралды 68,490

EBM SWAHILI

EBM SWAHILI

Күн бұрын

Kama unapenda kuishi Marekani au nchi zingine, umeshawahi kuuliza kuishi maisha ya upweke ya ughaibuni?
Maisha Halisi (ya UPWEKE) ya Marekani. Upo Tayari????
#maishayaupweke #maishayamarekani #ebmscholars

Пікірлер: 285
@Mr4567891975
@Mr4567891975 2 жыл бұрын
Waambie ukweli some Africans became depressed. Niliishi na neighbour miaka kumi bila kuongeleshana . TV channels in thousands to keep you in the house . We have beautiful life in Africa New sub hapa.🇰🇪
@angelageofrey9756
@angelageofrey9756 2 жыл бұрын
True
@starlightofficial5214
@starlightofficial5214 2 жыл бұрын
AhAhaahaahaa
@gloriamwanjali9371
@gloriamwanjali9371 2 жыл бұрын
Mara ya kwanza kujifunza maisha haya nilisafiti na binti 30 years toka Amaterdam mpaka Atlanta seat moja hata nilipomsalimia hakujibu nikajifunza.
@modestmkali3436
@modestmkali3436 2 жыл бұрын
Huwezi kaa ukayazoea haya maisha , unless umezaliwa au umekulia katika hii nchi, sisi ambao tumekuja huku tukiwa watu wazima tunajionea Mateso tu, basi tu ni kutafuta maisha, lakini Raha na maana halisi ya maisha ni nyumbani kwetu africa
@gideongithinji3580
@gideongithinji3580 2 жыл бұрын
Kaka Sasa kitu kizuri Nini Kaka Niko Kenya na changaaa?
@modestmkali3436
@modestmkali3436 2 жыл бұрын
Kaka hakuna kitu kizuri kama kuishi maisha yako ukiwa free, ukiwa hulazimishwi namna yakuyaishi, huku ni kama vile unalazimishwa yaani, sikia, huku Lazima uwe na internet Ya nyumbani ili Tv yako iwake, na unatakiwa kulipia kila mwezi, uwepo au usiwepo, yaani hata uki safari mwaka mzima haupo kwako, bado utaendelea kulipia hiyo internet, simu unatakiwa kuilipia kila mwezi, hata ukisafiri nje ya nchi kwa mwaka mzima hutumii simu yako, kila mwezi utalipia tu, yaani sio kama nyumbani, unanipangia matumizi yako, huku ni lazima uwe na Bima ya afya, maana ukiumwa kidogo tu huwezi kubaliwa hospital nakupewa huduma kama huna Bima ya afya, unless uwe na pesa za kutosha maana bill yake sio mchezo, yaani mfano Afrika hata kama huna Bima ya afya Unaweza ukalazwa wiki nzima hospital na bado bill ikitoka unaweza kuilipia, huku kama huna Bima ya afya, ukilazwa wiki nzima, bill yake unaweza ukailipa kidogo kidogo kwa Miaka mi5 na bado usiimalize, huwezi tembelea mtu hivi hivi, yaani ni maisha ya upweke sana, maisha ya pressure, usipofanya kazi kwa siku hata 2, ujue mwisho wa mwezi una mtihani maana ma bill yalivyo mengi utashinda a kuyalipa, kwa ufupi yapo mengi magumu na mazito katika hii nchi, ni kupambana tu tunapambana lakini mtu asikudanganye eti anaishi maisha ya furaha katika hii nchi, hakuna mwenye furaha
@zamoyonimaganya6282
@zamoyonimaganya6282 2 жыл бұрын
@@modestmkali3436 Aisee nimekuelewa kweli Africa pazuri
@careenallyally3668
@careenallyally3668 2 жыл бұрын
Kabisa
@careenallyally3668
@careenallyally3668 2 жыл бұрын
Mimi nilipata shida kuishi Oman maisha kama gerezani😢
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 2 жыл бұрын
Namshukuru Mungu sikuwa mtu wa kutoka hata nilipokuwa nyumbani, mimi nilipendelea sana kuwa nyumbani.,napenda utulivu. Hiyo yakutokutoka haikunipa stress.
@pembemussa2804
@pembemussa2804 2 жыл бұрын
Kiukweli nikiwa ktk maisha kama hayo nitakonda hata kama nitakua naingiza mshiko kiasi gani maana suala la kua mbali na kidimbwi hapo ndipo tatizo litakapoanzia.
@maidamwaipopo9603
@maidamwaipopo9603 2 жыл бұрын
😂😂😂
@omarykitololi447
@omarykitololi447 2 жыл бұрын
Dah kweli toka umeenza kuchukua video sijaona mtu kukatiza life style kama jela
@user-sq7pz9ex5g
@user-sq7pz9ex5g 2 жыл бұрын
Waooh! Mimi maisha hayo ndiyo nayapenda😘🤗maana hata nikiwa nyumbani huwa sina mambo mengi kuzurula,sijui niende Kwa shosti Gani ,sijui vigodofo hapana nakuwa bize na mambo yangu .ndiyo lazima utembelee ndugu na ushiriki katika baadhi ya mambo lakini sio kivileee Sana Sana nikiwa sina kazi huwa nakaa Tu ndani naweza nimaa ndani kutwa nzima .Kwa sasaa Nina miaka minne Niko Oman pia NI ndani Tu 😰
@landmadvd5795
@landmadvd5795 2 жыл бұрын
acha ufala ww mai$ha. ya kiboya hayo umekua kuku ww mpka ukaendan. mda wote ndomna anzga kufanya ujinga uko ndan mda wote
@azizaawadh7231
@azizaawadh7231 2 жыл бұрын
Hahahaha 🤣🤣 pole ndugu uko oman sehem gani nikutembelee habity
@donamolloartist87
@donamolloartist87 2 жыл бұрын
Nimekuwa nikifuatilia channel Yako, na kwa kweli unaelimisha wengi. Mimi ni artist na nafaidika Sana na channel hii. Keep up the spirit
@shabanmaulana8594
@shabanmaulana8594 2 жыл бұрын
Masha Allah, umesema kweli kabisa kakangu, mimi sasa nimeishi miaka kama 32 hivi uwengereza nakubaliana na wewe kabisa, shida na maisha ya ufahari ndio yana tufanya tutoke makwetu kuja kutafuta. Lakini kama sio hivyo kwetu Africa ni peponi.
@miriammalugu974
@miriammalugu974 2 жыл бұрын
By the way, such a lifestyle isn't a negativity, it's kind of life I thik everyone should start to consider, I am in Africa yes but really i hate this kind of life most of the people live in our societies. Of course it's not a kind of life to be proud of at most times because we know exactly what kinds of misfortunes we are getting ourselves into while living like this. I really love such kind of life in west countries and I think everyone should consider living like such otherwise uwe ni gossiper and other types of behaviors like such 😊
@netid5064
@netid5064 2 жыл бұрын
Miaka 32 UWENGEREZA? Duh! Miaka yote hiyo umeishi nchini mwa watu bila kufahamu nchi yenyewe inaandikwaje?
@mussababu5623
@mussababu5623 2 жыл бұрын
Nje ni bora saana maana Hata ukiumwa unatibuwa full but Huku matibabu shida na unakufa Kwa kukosa matibabu. Na kwa Huku unapata socialization kutokana na kipato. Bila hela na Huku unatengwa tu
@faithbosibori7721
@faithbosibori7721 2 жыл бұрын
Oh I love this,I'm extremely introverted and when I go out I prefer no people. I just got my Visa and I can't wait to live in a place where people don't bother me
@nicksiko2018
@nicksiko2018 2 жыл бұрын
Thank you brother Dangote for your generosity may God bless you for what you are doing and above all you still remember how John Paul from Kenya changed your life, and now you are ready and willing to assist those who may be lucky to Join you,,,mungu akubariki na familia yako bro Kwa Roho Safi.
@emmanuelzani2889
@emmanuelzani2889 2 жыл бұрын
Duh.. afadhali nimezaliwa Tanzania, maana maisha ya jinsi hiyo, siyawezi. Asante sana ndugu.
@maidamwaipopo9603
@maidamwaipopo9603 2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@hanirashuwesu4239
@hanirashuwesu4239 2 жыл бұрын
🤣😂😂
@bernardsamizi7289
@bernardsamizi7289 2 жыл бұрын
Kwa kweli hayo maisha ni mazuri sana na hasa ukiwa na familia yako. Kwa kweli maisha ya kushinda unazurura kama mbwa wa kienyeji siyo mazuri. Ninapo angali mazingira hayo naona kuna usalama huku bila ngome na milango ya chuma panya road watakukuta chu mbani
@breezydee7545
@breezydee7545 2 жыл бұрын
ndoa za uko nje ni pasua kichwa, wanawake wamepewa nguvu zaidi kuliko waume zao... kuna ile mindset ya miss independent huwa inawaharibu sana, atakuacha na inabidi uwe unampa pesa za matunzo ya watoto kila mwezi
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 2 жыл бұрын
Maashallah maisha hayo ni mazuri Sana maashallah hata mm ndiyo napenda hivyo ndiyo maishaya ngu toka mtoto na ss hivi nipo Oman. Naona kawaida tu nishazoe a hayamaisha
@denisililo1429
@denisililo1429 2 жыл бұрын
Ni kwel kaka yangu lakini kwa sisi watoto wa kimaskini hatuna hatuna namna ya kuchagua maisha kwa mimi hicho sio kipengele kigumu kwangu kwa sababu ni mtafutaji ,,,,niko tayari kuishi katikaa hali hiyo
@stanslausmteme8455
@stanslausmteme8455 2 жыл бұрын
Ndo uwende ndg
@tymonockey7682
@tymonockey7682 2 жыл бұрын
I'm an introvert by the way this lifestyle suits me a lot, am looking forward to live in US someday
@johnjuma2224
@johnjuma2224 2 жыл бұрын
Hio sio shida ndugu kikubwa una make Doo hapa penyewe nipo lonely mazingira Kama hayo nahisi ndio niliyo jiandlia toka kitambo
@charleskuyeko4400
@charleskuyeko4400 2 жыл бұрын
Mimi ni mzee wa miaka 72. Na hayo maisha ya kukaa ndani ndiyo ninayoishi huku Dar. Natoka nyumbani mwangu nikienda Kanisani tu. Kwa hiyo hali ya huko mimi nimeifurahia sana. Tena unaletewa mahitaji nyumbani unanunua? Hiyo ni raha sana kwangu. Ningekuwa na uchumi mzuri ningekuja huko haraka sana. Sasa kwa umri huo nitafanya kazi gani Marekani? Nishauri ndugu yangu. Nimependa sana maisha hayo ya kizungu.
@msemakweli133
@msemakweli133 2 жыл бұрын
😅😅 Fika ujionee. Baada ya miezi mitatu, utakua unalilia tu kijiji chako cha nyumbani.
@marwamarwa6836
@marwamarwa6836 2 жыл бұрын
Umeshazeka wewe kaa utulie babu
@ismailasman9103
@ismailasman9103 2 жыл бұрын
Kwa hivyo wenimwamerikani
@bebick3724
@bebick3724 2 жыл бұрын
Aaahh....!!! Ndugu. Hayo ni mambo una sema ni muhimu... Asantee Sana...
@kasiniapotatoes9804
@kasiniapotatoes9804 2 жыл бұрын
Sasa mimi na subwoofer langu. Inakuajee
@husseinsauti4054
@husseinsauti4054 2 жыл бұрын
I love that life is very cool
@gogerrah447
@gogerrah447 2 жыл бұрын
Hapo ningeishi freshi sana bro
@fatumahengo6849
@fatumahengo6849 2 жыл бұрын
Mimi napenda sana maisha ya utulivu
@Pedeshee01
@Pedeshee01 2 жыл бұрын
😄😄👍👍👍
@mankacharles4559
@mankacharles4559 2 жыл бұрын
Huo sio utulivu utulivu hata tanzania upo huo ni utumwa wa maisha
@Pedeshee01
@Pedeshee01 2 жыл бұрын
@@mankacharles4559 manka wewe hutaki utulivu ausemao ndugu yako anataka maisha ya hivi huenda kila mtu anapenda lifestyle kivyake.si unajua.mwengine kujumuika na watu hapendi kabisaa.Maisha kama ukienda pande za msasani Dar ama sala sala na sehemu za kishua wanaishi kama hivi tu ukitoka kazini ukirudi home ama gym zaidi ni super market.bassi hayo ndiyo maisha yao
@mohamedjakaya5355
@mohamedjakaya5355 2 жыл бұрын
Kwa anaetamani maisha hayo ajue kwamba sisi na wazungu ni utamaduni wetu ni tofauti kabisa ingawa sote ni binadam. Mfano kuku na kanga wote ni ndege lkn kila mmoja anaishi kulingana na alivyoumbwa. Kikubwa ni kuiga maendeleo yao na siyo utamaduni wao.
@fatumahengo6849
@fatumahengo6849 2 жыл бұрын
Asante kwa kutufahamisha maisha ya huko
@meckpeter3710
@meckpeter3710 2 жыл бұрын
Izo ni porojo alafu inaonekana ni kijijini ulipo wewe nenda town uone nyomi ya watu toka uko njoo hapa new York uchumi wanapataje kama wanna kaa ndani usizanie kijiji unachoshi nisawa ulaya mzima hata vijiji vya kwetu akuna watu mambo yote yako mjini sisi soon watoto tunamiliki smart phone tafuta au uliza mjini ni wapi utashangaa maisha ya mtu alivyo ndio fikra zake tusikulaumu
@oparetionmaalum9030
@oparetionmaalum9030 2 жыл бұрын
Na warabuni pia ivoivo maisha Yao ni hivohivo
@maidamwaipopo9603
@maidamwaipopo9603 2 жыл бұрын
Kote tu
@benedictmrisho5947
@benedictmrisho5947 2 жыл бұрын
Bro mtu kwao. Hongera kwa kusema ukweli unaofichwa na waganga wa kuishi ughaibuni. Ndioaana waliochanganyikiwa wakiwa wanachangia ktk mijadala Wana mihemko kumbe depression zao. Hata wanaporudi Tz baada ya Mda mrefu huchanganyikiwa. Waambie. Utajenga lini? Endeleza makala yako Nzuri.
@corrolesscps
@corrolesscps 5 ай бұрын
😮😅😅😅😅
@amourmtungo623
@amourmtungo623 2 жыл бұрын
Asante EBM. Kwa kuongezea tu hata mwanao wa kumzaa ni lazima akujulishe anakuja saa fulani na atakaa nawe kwa siku fulani. Huendi tu kwa mtu bila ya taarifa.
@suleimanmasoud9886
@suleimanmasoud9886 2 жыл бұрын
Sasa kw style hio si unaweza ukafa ndani ukaoza na watu wakawa hawana hata habari, maana si kw upweke Kama huo, duh hatar acha niishi bongo tu full kujiachia, Kama hata kidimbwi hamna ahhh mm siji huko babu,
@mwamengele
@mwamengele 2 жыл бұрын
Huko upweke umefanya mpaka wizi wa watoto, utekaji na mauaji kuwa kitu cha kawaida, watu wanatafuta human touch kwa shida, depression pia inaweza kukufanya ukaenda kwenye downward spiral ya kushindwa au kupoteza kabisa uwezo wa kuhusiana na watu au jamii nzima Ukikosea maisha kidogo tu unaenda homeless
@neemaangelo9301
@neemaangelo9301 2 жыл бұрын
Mmmh makubwa.
@kabhikachambala3392
@kabhikachambala3392 2 жыл бұрын
Life style = mtindo wa Maisha Aspect= kipengele. Regret= Kujuta OutDoor= nje ya nyumba Nimefurahi umetumia kiswahili kwa kiwango kikubwa. Endelea
@edgarnandonde48
@edgarnandonde48 2 жыл бұрын
Ni kweli ulaya kama unataka kumtembelea mtu unampa taharifa wiki moja mbele shida sana aisee
@bonifasemmanuel4700
@bonifasemmanuel4700 2 жыл бұрын
kWa halo hiyo bora Swideni
@hajatihajati5357
@hajatihajati5357 2 жыл бұрын
Kaka Asante juzi Kuna mutu amekuja kwangu bila kunitaarifu kiukweli nili mufukuza si kungojea aingie ndani anieleze kinacho muleta kwangu bila kunijulisha nimona kama sina usalama njoo maana ni ka mufukuza
@vibandaumiza
@vibandaumiza 2 жыл бұрын
Hiyo kweli aisee. Kuna maisha fulani hivi ya upweke kama unaishi nje. Nyumbani ni nyumbani, na wote tunatamani sana kuwa nyumbani. Maisha tuu yanatufanya tuhustle nchi za watu.
@jerryalfredngailo6106
@jerryalfredngailo6106 2 жыл бұрын
Sijajua how old you are Ila Mie Mzee (65) nakusapoti Sana we kijana Fanya Kazi kama kichaa huko uliko pick up any piece of money that you think will help maana baadaye utachoka!
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 2 жыл бұрын
NI kweli kabisa ndugu yangu
@bernadette6266
@bernadette6266 2 жыл бұрын
Asante Sana unasema kweli
@yyaterayasin2759
@yyaterayasin2759 2 жыл бұрын
Shukran, kwa kufungua vichwa vyetu wengi tusiojua hilo.
@allykaranja4398
@allykaranja4398 2 жыл бұрын
Poleni jamani
@abuyunusmohamed6961
@abuyunusmohamed6961 2 жыл бұрын
kaka ulipo ni bush.Town mbona kuzuri na kuna kila kitu na watu wanatembea masaa 24.Maisha ya mjini ni ghali na ulipo ni uswahilini na maisha rahisi.Usiwavunje moyo watu tuliofika huko tumeishi down town na maisha safi sana.
@chrisswaller960
@chrisswaller960 2 жыл бұрын
Au sio mwenetu 😆
@NduguEzekiel
@NduguEzekiel 2 жыл бұрын
Mwamba anatupanga wakati kuna jobless kibao huko wana run mtaa
@shabanimwinyikhery1174
@shabanimwinyikhery1174 2 жыл бұрын
Umefanya kitu kizur sana Mungu akubariki
@jerryalfredngailo6106
@jerryalfredngailo6106 2 жыл бұрын
Asante Sana kwa kutupasha
@abdulshariff4739
@abdulshariff4739 2 жыл бұрын
Asante kaka Bora nibaki Nairobi kuliko upweke huku tuko free kutangamana nikienda kwa mjomba sinalazima ya kumtaarifu baada ya chakula mwanadamu nikutangamana kama kuku wakienyeji
@mohdmohd2550
@mohdmohd2550 2 жыл бұрын
Dah hilo jambo la upweke co poa maana nikiona hayo mazingira naona kama ndio Mimi, Ila mwanangu tutaonana hukohuko Mungu akipenda c unajua lisilo budi......
@starlonejadamskp8224
@starlonejadamskp8224 2 жыл бұрын
Thank you kk
@kavoomshana7289
@kavoomshana7289 2 жыл бұрын
Dah kwel itabid ujiandae kisaikologia,swali langu ni je unavyozunguka ivyo hawawez wakakuletea shida au umeshawapa taarifa.
@Curioustraveller254
@Curioustraveller254 2 жыл бұрын
whats better being lonely and making money or being surrounded by friends wallowing in poverty? 🤔
@farikkaqueen2367
@farikkaqueen2367 2 жыл бұрын
alone 💯💯🇺🇸🙌🏿
@mussababu5623
@mussababu5623 2 жыл бұрын
It better being alone doing ur things accessing basic needs than living in a surrounding where u hardly earn a living without any future. Better to live in Europe
@muttaperfect
@muttaperfect Жыл бұрын
Better alone and to make money
@fredmbossa
@fredmbossa 2 жыл бұрын
Kwa maisha hayo hapana Bora niendelee kuishi hukuhuku Tanzania ,,,kwanza ninapokutana na marafiki mara Kwa mara na majirani mara kwa mara ndo stress zinapungua ,,,maisha hayo ni kama kifungo tu cha segerea
@masanjaabasi8970
@masanjaabasi8970 2 жыл бұрын
Stres kwasababu huna pesa Ukiwa namihela utatulia tu huku kunakufaa sana 😆😆😆😆
@SNKANTO
@SNKANTO 2 жыл бұрын
Kwakweli
@halimaoman8726
@halimaoman8726 2 жыл бұрын
Ni kweli kaka unavyo ongea na upo na swadakta kwa maneno yko na kila nnchi na mazingila yke
@enelebowden2373
@enelebowden2373 2 жыл бұрын
thanks for your help
@lampadshigonko3006
@lampadshigonko3006 2 жыл бұрын
Maisha hayo mimi hapanaaa... bora niishi kimaskini na furaha yangu
@bahatimtatah5680
@bahatimtatah5680 2 жыл бұрын
Ni kweli kabisa hapo mm naweza kuugua make ninavyopenda kutoka
@annajohn2488
@annajohn2488 2 жыл бұрын
Yaani patanifaa sana sipendi kuzurula sipendi
@silengombanga7817
@silengombanga7817 2 жыл бұрын
Duuuuuh thanks bro nimeelewa kiukwel life la huko so poa kwa sisi tulio zaliwa uswaz
@justinwambua5180
@justinwambua5180 2 жыл бұрын
Ahsante kaka
@chosen1.
@chosen1. 2 жыл бұрын
Love from kenya.. Asante sana kwa hili
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 2 жыл бұрын
Duh 😂😂 Eti kuongelesha stoli ambazo azina mana
@amoskagika8884
@amoskagika8884 2 жыл бұрын
😂😂😂nchi za watu changamoto Sana aiseee
@damasiuspetro5178
@damasiuspetro5178 2 жыл бұрын
Wamefika hatua ya kufanya kazi kwa ratiba kwasababu maisha yanabana
@thanksgivingchannel6247
@thanksgivingchannel6247 2 жыл бұрын
Good
@azizaawadh7231
@azizaawadh7231 2 жыл бұрын
MashaaAllah nice life
@frankmwinuka6298
@frankmwinuka6298 2 жыл бұрын
Dah kazi ipo huko
@scollajoseph5705
@scollajoseph5705 2 жыл бұрын
Nimepapenda
@salhakyande3905
@salhakyande3905 2 жыл бұрын
🙏
@djfiremoto3429
@djfiremoto3429 2 жыл бұрын
Duuuh Noma🔥🥺
@godfreykisinda8290
@godfreykisinda8290 2 жыл бұрын
Ndio ningefurahi saanaaa
@rahimukisandu9961
@rahimukisandu9961 2 жыл бұрын
Sio oooooh naomba nyanya jirani
@joasyeliya2481
@joasyeliya2481 2 жыл бұрын
Fantastic ...i like this life
@rehemampangala932
@rehemampangala932 2 жыл бұрын
Asante Kaka kwa ujumbe mzuri
@souvenirweber7169
@souvenirweber7169 2 жыл бұрын
Wewe uko kijijini na ninashangaa unaongea sana na kutia mashaka wasio elewa. Marekani mna nyumba mbaya za mabox uje uswiss uone vijiji vilivyo na miji mizuri na kila kitu muhimu hakuna maeneo kama hayo hivyo zungumzia unapoishi .pole kwa kuishi kama mfugaji
@salehkashindi7372
@salehkashindi7372 2 жыл бұрын
Bro hizo nyumba za uswiss hazina back yard kubwa kama hizo
@kamalmukaddam1521
@kamalmukaddam1521 2 жыл бұрын
Beautiful
@collinmhema5443
@collinmhema5443 2 жыл бұрын
Du hatari sana yaan toka umeanza kuongea sijaona mtu hata mmoja akikatiza gari zenyewe mara mojamoja sana za watu wanaoridi nyumbani
@adamdaudi6191
@adamdaudi6191 2 жыл бұрын
Mimi hata nikae miaka hamsini bila kuona mtu kwangu hainisumbuagi kabisa!.
@JohnJoseph-nf2zy
@JohnJoseph-nf2zy 2 жыл бұрын
😄😄😄kama Mimi aisee
@michaelsambu5391
@michaelsambu5391 2 жыл бұрын
Tuachen huku huku africa kwetu kivuruge, akipita mwiz tunaruka nae, mara boda wamegongana, mara mtu anasutwa wengine wanacheza draft
@wilsonm.7376
@wilsonm.7376 2 жыл бұрын
EBM next time naomba utuelezee maisha hayo ukitaka dem (DATING) unafanyaje? au ndio kila kitu online?
@Benardyng
@Benardyng 2 жыл бұрын
I love the environment bt not lifestyle as ur saying " sisi bana mpaka kieleweke bro"
@bebisheni4380
@bebisheni4380 2 жыл бұрын
Wasomi bwana huwa wanauchungu na jinsi alivyo pata kusoma asili yao uchoyo
@mwamengele
@mwamengele 2 жыл бұрын
Sio uchoyo anakupa tahadhari ujiandae kisaikolojia, huko sio rahisi kama unavyofikiri (park at your own risk) first world problems
@khdigahk4246
@khdigahk4246 2 жыл бұрын
Mi nipo ndani miaka 5 Sasa Ata nyumba ya jirani sijui ukimpigia ndugu nyumban utasikia niletee Sim Abaya wakat Ata nje sitoki ila wao waona natalii tuu
@exodusmgohachi1733
@exodusmgohachi1733 2 жыл бұрын
Kwanini mnaoenda huko ulaya mnakuwaga wanyimi wa wengine kuja huko kwani hakunaga connection za wengine kuja kuishi huko ?
@kinyuaibari2816
@kinyuaibari2816 2 жыл бұрын
Ndugu Mgohachi, swali nzuri. Kwa kweli watu wengi utamani sana kuunganishia jamaa na marafiki, lakini serikali za huku zimeweka vikwazo kibao. Kile kigumu ni kupata kitambulisho (SSN). Bila hicho, hakuna huduma yoyote, wala kazi utapata.
@exodusmgohachi1733
@exodusmgohachi1733 2 жыл бұрын
Lakini ukipata hiyo mtu anaweza kuja kigezo au sharti lao kubwa ni Nini ?
@kinyuaibari2816
@kinyuaibari2816 2 жыл бұрын
@@exodusmgohachi1733 Sharti Lao kubwa ni kibali cha kuishi (residency). Kinapatikana kwa migezo miwili: 1. Green card or 2. Mkataba wa kufanya kazi (Work contract/permit).
@petersilas4234
@petersilas4234 2 жыл бұрын
Kumbe ndiyo sababu tunapenda kwetu. Kutembea ,kujichanganya ndiyo maisha. Hata corona ilipotelea mitaani. Kujimwaga ndiyo maisha.
@MBATINOFILMS
@MBATINOFILMS 2 жыл бұрын
Nice
@gracelyimo6256
@gracelyimo6256 2 жыл бұрын
Ni maisha magumu sana..na sidhani kama wamarekani/waingereza huwa wanafurahia hayo maisha..na nmeona kwa Tanzania watu wanakopi haya maisha kwa kasi sana ambapo madhara yake yatakuja kuwa kama hao wa huko mamtoni Bad lifestyle!!
@ablo128
@ablo128 2 жыл бұрын
That's easy we had been get used to it to it being lonely very simple that's our every day 's life
@standardtv3494
@standardtv3494 2 жыл бұрын
Duu nimekuelewa Sana baba ukiniweka ndani siku nzima yaani ndani kwangu ni kama jelaaaa haki ya Mungu tena
@kelsamtv5529
@kelsamtv5529 Жыл бұрын
Ooooh
@adelaidamufumbo8352
@adelaidamufumbo8352 2 жыл бұрын
Mmh kwakweli bora umetoa mwanga kwa hilo
@muntakindamba2053
@muntakindamba2053 2 жыл бұрын
Unatishatisha watu kama vile umekwenda pekeyako huko ulaya?
@seurilomayani5716
@seurilomayani5716 2 жыл бұрын
Nomaa Bora nibaki afrika
@remmyathanas84
@remmyathanas84 2 жыл бұрын
Hayo ndio maisha siyo kushinda nje ya nyumba kupiga umbea tu.
@ibrahimmohamed1994
@ibrahimmohamed1994 2 жыл бұрын
Kukaa ndani niuwamuzi tuu unless Kuna majanga au ugonjwa unakusabisha usitoke ndani au huna marafiki wakutosha.
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 2 жыл бұрын
Hakuna makanisa au misikiti ya watu kukutanika pamoja kwaajili ya kusali?
@lampadshigonko3006
@lampadshigonko3006 2 жыл бұрын
dini ni uhuni ulioanzishwa na wazungu ili kuiteka Africa 🌍
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 2 жыл бұрын
@@lampadshigonko3006 asante Kwa maoni yako!!
@officialzex2515
@officialzex2515 2 жыл бұрын
Kula hatua tunasogea nazidi jifunza kitu brother
@rose_Winchester86
@rose_Winchester86 Жыл бұрын
Hayo ndo maisha ninayoishi hapa Tz sina marafiki wala nini, huko ndo pananifaa mm ila nipate bf tu😹. Rafiki yangu ni mama angu ntaongea nae kwenye simu cha muhimu tupate kazi na hela. Period
@stanslausmteme8455
@stanslausmteme8455 2 жыл бұрын
Umetoa Elimu kubwa sana kaka kweli umewaalert watu waende ughaibuni wakiwa wanajua hilo
@splendideelcedrick6410
@splendideelcedrick6410 Жыл бұрын
Ndugu yangu tatizo iyo ni kijijini, ukikaa kijijini njo ivo, Mbona New York, Californie, Florida, Boston, kuna watu, San Francisco, izi sehemu zote kuna watu kibao, tena hakuna upweke, tatizo iko kijijini ya Yues.
@baruasafi5880
@baruasafi5880 2 жыл бұрын
Ukweli mtupu. Maisha ya upweke kweli.
@khelefmuifadal429
@khelefmuifadal429 2 жыл бұрын
Acha kulalama sana Watu wanaishi kwenye vita na fresh We umefata life au watu
@stn4873
@stn4873 2 жыл бұрын
Mimi maisha hayo ndiyo nayapenda, ama loner, ama introvert
@peterelisha5115
@peterelisha5115 2 жыл бұрын
Acha uongo weww hapo huwezi kuishi utaishi kwa tabu sana Tena ikitokea unafanya kazi za ndani huendi hata sokoni utapakimbia fasta
@kirathimorathima1177
@kirathimorathima1177 2 жыл бұрын
mimi napenda indoor life kiasi
@bettygeorge4161
@bettygeorge4161 Жыл бұрын
Jamani napenda sna HayA maisha ya ndanii jamani natamni sna kuja huko
@jamessichimata36
@jamessichimata36 2 жыл бұрын
Siwezi kuishi maisha hayo, nikama nguruwe wa kufugwa kisasa
@kimsamir965
@kimsamir965 2 жыл бұрын
Tuonyeshe ndani y nyumba kukoje
@malelabmalela5016
@malelabmalela5016 2 жыл бұрын
Ok
@stamelistameli8461
@stamelistameli8461 2 жыл бұрын
Nipo tayali nampenda hiyo
@peterochogo546
@peterochogo546 2 жыл бұрын
Kwakifupi mm hayo maisha siwezi kabisaaaa nyie endeleeni kuishi Kama wafungwa huko America huku nimeshazoea kula nyama mitaani machipsi na nk huko nikija nikukaa siku mbili nakusepa nyumbani Africa huko apana
Je peux le faire
00:13
Daniil le Russe
Рет қаралды 18 МЛН
1ОШБ Да Вінчі навчання
00:14
AIRSOFT BALAN
Рет қаралды 6 МЛН
Фейковый воришка 😂
00:51
КАРЕНА МАКАРЕНА
Рет қаралды 7 МЛН
The Joker kisses Harley Quinn underwater!#Harley Quinn #joker
00:49
Harley Quinn with the Joker
Рет қаралды 48 МЛН
Maisha ya Marekani kipindi cha SNOW kali (Winter)
23:48
EBM SWAHILI
Рет қаралды 11 М.
UGHAIBUNI LEO :MAISHA YA UPWEKE MAREKANI
36:48
Mtangazaji
Рет қаралды 625
APARTMENT YA DOLA MOJA MAREKANI (PART 2)
6:56
Hapa Nilipo
Рет қаралды 53 М.
Je peux le faire
00:13
Daniil le Russe
Рет қаралды 18 МЛН