Kama unapenda kuishi Marekani au nchi zingine, umeshawahi kuuliza kuishi maisha ya upweke ya ughaibuni? Maisha Halisi (ya UPWEKE) ya Marekani. Upo Tayari???? #maishayaupweke #maishayamarekani #ebmscholars
Пікірлер: 285
@Mr45678919752 жыл бұрын
Waambie ukweli some Africans became depressed. Niliishi na neighbour miaka kumi bila kuongeleshana . TV channels in thousands to keep you in the house . We have beautiful life in Africa New sub hapa.🇰🇪
@angelageofrey97562 жыл бұрын
True
@starlightofficial52142 жыл бұрын
AhAhaahaahaa
@gloriamwanjali93712 жыл бұрын
Mara ya kwanza kujifunza maisha haya nilisafiti na binti 30 years toka Amaterdam mpaka Atlanta seat moja hata nilipomsalimia hakujibu nikajifunza.
@modestmkali34362 жыл бұрын
Huwezi kaa ukayazoea haya maisha , unless umezaliwa au umekulia katika hii nchi, sisi ambao tumekuja huku tukiwa watu wazima tunajionea Mateso tu, basi tu ni kutafuta maisha, lakini Raha na maana halisi ya maisha ni nyumbani kwetu africa
@gideongithinji35802 жыл бұрын
Kaka Sasa kitu kizuri Nini Kaka Niko Kenya na changaaa?
@modestmkali34362 жыл бұрын
Kaka hakuna kitu kizuri kama kuishi maisha yako ukiwa free, ukiwa hulazimishwi namna yakuyaishi, huku ni kama vile unalazimishwa yaani, sikia, huku Lazima uwe na internet Ya nyumbani ili Tv yako iwake, na unatakiwa kulipia kila mwezi, uwepo au usiwepo, yaani hata uki safari mwaka mzima haupo kwako, bado utaendelea kulipia hiyo internet, simu unatakiwa kuilipia kila mwezi, hata ukisafiri nje ya nchi kwa mwaka mzima hutumii simu yako, kila mwezi utalipia tu, yaani sio kama nyumbani, unanipangia matumizi yako, huku ni lazima uwe na Bima ya afya, maana ukiumwa kidogo tu huwezi kubaliwa hospital nakupewa huduma kama huna Bima ya afya, unless uwe na pesa za kutosha maana bill yake sio mchezo, yaani mfano Afrika hata kama huna Bima ya afya Unaweza ukalazwa wiki nzima hospital na bado bill ikitoka unaweza kuilipia, huku kama huna Bima ya afya, ukilazwa wiki nzima, bill yake unaweza ukailipa kidogo kidogo kwa Miaka mi5 na bado usiimalize, huwezi tembelea mtu hivi hivi, yaani ni maisha ya upweke sana, maisha ya pressure, usipofanya kazi kwa siku hata 2, ujue mwisho wa mwezi una mtihani maana ma bill yalivyo mengi utashinda a kuyalipa, kwa ufupi yapo mengi magumu na mazito katika hii nchi, ni kupambana tu tunapambana lakini mtu asikudanganye eti anaishi maisha ya furaha katika hii nchi, hakuna mwenye furaha
@zamoyonimaganya62822 жыл бұрын
@@modestmkali3436 Aisee nimekuelewa kweli Africa pazuri
@careenallyally36682 жыл бұрын
Kabisa
@careenallyally36682 жыл бұрын
Mimi nilipata shida kuishi Oman maisha kama gerezani😢
@damariszuckschwert94892 жыл бұрын
Namshukuru Mungu sikuwa mtu wa kutoka hata nilipokuwa nyumbani, mimi nilipendelea sana kuwa nyumbani.,napenda utulivu. Hiyo yakutokutoka haikunipa stress.
@pembemussa28042 жыл бұрын
Kiukweli nikiwa ktk maisha kama hayo nitakonda hata kama nitakua naingiza mshiko kiasi gani maana suala la kua mbali na kidimbwi hapo ndipo tatizo litakapoanzia.
@maidamwaipopo96032 жыл бұрын
😂😂😂
@omarykitololi4472 жыл бұрын
Dah kweli toka umeenza kuchukua video sijaona mtu kukatiza life style kama jela
@user-sq7pz9ex5g2 жыл бұрын
Waooh! Mimi maisha hayo ndiyo nayapenda😘🤗maana hata nikiwa nyumbani huwa sina mambo mengi kuzurula,sijui niende Kwa shosti Gani ,sijui vigodofo hapana nakuwa bize na mambo yangu .ndiyo lazima utembelee ndugu na ushiriki katika baadhi ya mambo lakini sio kivileee Sana Sana nikiwa sina kazi huwa nakaa Tu ndani naweza nimaa ndani kutwa nzima .Kwa sasaa Nina miaka minne Niko Oman pia NI ndani Tu 😰
@landmadvd57952 жыл бұрын
acha ufala ww mai$ha. ya kiboya hayo umekua kuku ww mpka ukaendan. mda wote ndomna anzga kufanya ujinga uko ndan mda wote
@azizaawadh72312 жыл бұрын
Hahahaha 🤣🤣 pole ndugu uko oman sehem gani nikutembelee habity
@donamolloartist872 жыл бұрын
Nimekuwa nikifuatilia channel Yako, na kwa kweli unaelimisha wengi. Mimi ni artist na nafaidika Sana na channel hii. Keep up the spirit
@shabanmaulana85942 жыл бұрын
Masha Allah, umesema kweli kabisa kakangu, mimi sasa nimeishi miaka kama 32 hivi uwengereza nakubaliana na wewe kabisa, shida na maisha ya ufahari ndio yana tufanya tutoke makwetu kuja kutafuta. Lakini kama sio hivyo kwetu Africa ni peponi.
@miriammalugu9742 жыл бұрын
By the way, such a lifestyle isn't a negativity, it's kind of life I thik everyone should start to consider, I am in Africa yes but really i hate this kind of life most of the people live in our societies. Of course it's not a kind of life to be proud of at most times because we know exactly what kinds of misfortunes we are getting ourselves into while living like this. I really love such kind of life in west countries and I think everyone should consider living like such otherwise uwe ni gossiper and other types of behaviors like such 😊
@netid50642 жыл бұрын
Miaka 32 UWENGEREZA? Duh! Miaka yote hiyo umeishi nchini mwa watu bila kufahamu nchi yenyewe inaandikwaje?
@mussababu56232 жыл бұрын
Nje ni bora saana maana Hata ukiumwa unatibuwa full but Huku matibabu shida na unakufa Kwa kukosa matibabu. Na kwa Huku unapata socialization kutokana na kipato. Bila hela na Huku unatengwa tu
@faithbosibori77212 жыл бұрын
Oh I love this,I'm extremely introverted and when I go out I prefer no people. I just got my Visa and I can't wait to live in a place where people don't bother me
@nicksiko20182 жыл бұрын
Thank you brother Dangote for your generosity may God bless you for what you are doing and above all you still remember how John Paul from Kenya changed your life, and now you are ready and willing to assist those who may be lucky to Join you,,,mungu akubariki na familia yako bro Kwa Roho Safi.
@emmanuelzani28892 жыл бұрын
Duh.. afadhali nimezaliwa Tanzania, maana maisha ya jinsi hiyo, siyawezi. Asante sana ndugu.
@maidamwaipopo96032 жыл бұрын
😂😂😂😂
@hanirashuwesu42392 жыл бұрын
🤣😂😂
@bernardsamizi72892 жыл бұрын
Kwa kweli hayo maisha ni mazuri sana na hasa ukiwa na familia yako. Kwa kweli maisha ya kushinda unazurura kama mbwa wa kienyeji siyo mazuri. Ninapo angali mazingira hayo naona kuna usalama huku bila ngome na milango ya chuma panya road watakukuta chu mbani
@breezydee75452 жыл бұрын
ndoa za uko nje ni pasua kichwa, wanawake wamepewa nguvu zaidi kuliko waume zao... kuna ile mindset ya miss independent huwa inawaharibu sana, atakuacha na inabidi uwe unampa pesa za matunzo ya watoto kila mwezi
@hanifatanzania72582 жыл бұрын
Maashallah maisha hayo ni mazuri Sana maashallah hata mm ndiyo napenda hivyo ndiyo maishaya ngu toka mtoto na ss hivi nipo Oman. Naona kawaida tu nishazoe a hayamaisha
@denisililo14292 жыл бұрын
Ni kwel kaka yangu lakini kwa sisi watoto wa kimaskini hatuna hatuna namna ya kuchagua maisha kwa mimi hicho sio kipengele kigumu kwangu kwa sababu ni mtafutaji ,,,,niko tayari kuishi katikaa hali hiyo
@stanslausmteme84552 жыл бұрын
Ndo uwende ndg
@tymonockey76822 жыл бұрын
I'm an introvert by the way this lifestyle suits me a lot, am looking forward to live in US someday
@johnjuma22242 жыл бұрын
Hio sio shida ndugu kikubwa una make Doo hapa penyewe nipo lonely mazingira Kama hayo nahisi ndio niliyo jiandlia toka kitambo
@charleskuyeko44002 жыл бұрын
Mimi ni mzee wa miaka 72. Na hayo maisha ya kukaa ndani ndiyo ninayoishi huku Dar. Natoka nyumbani mwangu nikienda Kanisani tu. Kwa hiyo hali ya huko mimi nimeifurahia sana. Tena unaletewa mahitaji nyumbani unanunua? Hiyo ni raha sana kwangu. Ningekuwa na uchumi mzuri ningekuja huko haraka sana. Sasa kwa umri huo nitafanya kazi gani Marekani? Nishauri ndugu yangu. Nimependa sana maisha hayo ya kizungu.
@msemakweli1332 жыл бұрын
😅😅 Fika ujionee. Baada ya miezi mitatu, utakua unalilia tu kijiji chako cha nyumbani.
@marwamarwa68362 жыл бұрын
Umeshazeka wewe kaa utulie babu
@ismailasman91032 жыл бұрын
Kwa hivyo wenimwamerikani
@bebick37242 жыл бұрын
Aaahh....!!! Ndugu. Hayo ni mambo una sema ni muhimu... Asantee Sana...
@kasiniapotatoes98042 жыл бұрын
Sasa mimi na subwoofer langu. Inakuajee
@husseinsauti40542 жыл бұрын
I love that life is very cool
@gogerrah4472 жыл бұрын
Hapo ningeishi freshi sana bro
@fatumahengo68492 жыл бұрын
Mimi napenda sana maisha ya utulivu
@Pedeshee012 жыл бұрын
😄😄👍👍👍
@mankacharles45592 жыл бұрын
Huo sio utulivu utulivu hata tanzania upo huo ni utumwa wa maisha
@Pedeshee012 жыл бұрын
@@mankacharles4559 manka wewe hutaki utulivu ausemao ndugu yako anataka maisha ya hivi huenda kila mtu anapenda lifestyle kivyake.si unajua.mwengine kujumuika na watu hapendi kabisaa.Maisha kama ukienda pande za msasani Dar ama sala sala na sehemu za kishua wanaishi kama hivi tu ukitoka kazini ukirudi home ama gym zaidi ni super market.bassi hayo ndiyo maisha yao
@mohamedjakaya53552 жыл бұрын
Kwa anaetamani maisha hayo ajue kwamba sisi na wazungu ni utamaduni wetu ni tofauti kabisa ingawa sote ni binadam. Mfano kuku na kanga wote ni ndege lkn kila mmoja anaishi kulingana na alivyoumbwa. Kikubwa ni kuiga maendeleo yao na siyo utamaduni wao.
@fatumahengo68492 жыл бұрын
Asante kwa kutufahamisha maisha ya huko
@meckpeter37102 жыл бұрын
Izo ni porojo alafu inaonekana ni kijijini ulipo wewe nenda town uone nyomi ya watu toka uko njoo hapa new York uchumi wanapataje kama wanna kaa ndani usizanie kijiji unachoshi nisawa ulaya mzima hata vijiji vya kwetu akuna watu mambo yote yako mjini sisi soon watoto tunamiliki smart phone tafuta au uliza mjini ni wapi utashangaa maisha ya mtu alivyo ndio fikra zake tusikulaumu
@oparetionmaalum90302 жыл бұрын
Na warabuni pia ivoivo maisha Yao ni hivohivo
@maidamwaipopo96032 жыл бұрын
Kote tu
@benedictmrisho59472 жыл бұрын
Bro mtu kwao. Hongera kwa kusema ukweli unaofichwa na waganga wa kuishi ughaibuni. Ndioaana waliochanganyikiwa wakiwa wanachangia ktk mijadala Wana mihemko kumbe depression zao. Hata wanaporudi Tz baada ya Mda mrefu huchanganyikiwa. Waambie. Utajenga lini? Endeleza makala yako Nzuri.
@corrolesscps5 ай бұрын
😮😅😅😅😅
@amourmtungo6232 жыл бұрын
Asante EBM. Kwa kuongezea tu hata mwanao wa kumzaa ni lazima akujulishe anakuja saa fulani na atakaa nawe kwa siku fulani. Huendi tu kwa mtu bila ya taarifa.
@suleimanmasoud98862 жыл бұрын
Sasa kw style hio si unaweza ukafa ndani ukaoza na watu wakawa hawana hata habari, maana si kw upweke Kama huo, duh hatar acha niishi bongo tu full kujiachia, Kama hata kidimbwi hamna ahhh mm siji huko babu,
@mwamengele2 жыл бұрын
Huko upweke umefanya mpaka wizi wa watoto, utekaji na mauaji kuwa kitu cha kawaida, watu wanatafuta human touch kwa shida, depression pia inaweza kukufanya ukaenda kwenye downward spiral ya kushindwa au kupoteza kabisa uwezo wa kuhusiana na watu au jamii nzima Ukikosea maisha kidogo tu unaenda homeless
@neemaangelo93012 жыл бұрын
Mmmh makubwa.
@kabhikachambala33922 жыл бұрын
Life style = mtindo wa Maisha Aspect= kipengele. Regret= Kujuta OutDoor= nje ya nyumba Nimefurahi umetumia kiswahili kwa kiwango kikubwa. Endelea
@edgarnandonde482 жыл бұрын
Ni kweli ulaya kama unataka kumtembelea mtu unampa taharifa wiki moja mbele shida sana aisee
@bonifasemmanuel47002 жыл бұрын
kWa halo hiyo bora Swideni
@hajatihajati53572 жыл бұрын
Kaka Asante juzi Kuna mutu amekuja kwangu bila kunitaarifu kiukweli nili mufukuza si kungojea aingie ndani anieleze kinacho muleta kwangu bila kunijulisha nimona kama sina usalama njoo maana ni ka mufukuza
@vibandaumiza2 жыл бұрын
Hiyo kweli aisee. Kuna maisha fulani hivi ya upweke kama unaishi nje. Nyumbani ni nyumbani, na wote tunatamani sana kuwa nyumbani. Maisha tuu yanatufanya tuhustle nchi za watu.
@jerryalfredngailo61062 жыл бұрын
Sijajua how old you are Ila Mie Mzee (65) nakusapoti Sana we kijana Fanya Kazi kama kichaa huko uliko pick up any piece of money that you think will help maana baadaye utachoka!
@gracekagoma32312 жыл бұрын
NI kweli kabisa ndugu yangu
@bernadette62662 жыл бұрын
Asante Sana unasema kweli
@yyaterayasin27592 жыл бұрын
Shukran, kwa kufungua vichwa vyetu wengi tusiojua hilo.
@allykaranja43982 жыл бұрын
Poleni jamani
@abuyunusmohamed69612 жыл бұрын
kaka ulipo ni bush.Town mbona kuzuri na kuna kila kitu na watu wanatembea masaa 24.Maisha ya mjini ni ghali na ulipo ni uswahilini na maisha rahisi.Usiwavunje moyo watu tuliofika huko tumeishi down town na maisha safi sana.
@chrisswaller9602 жыл бұрын
Au sio mwenetu 😆
@NduguEzekiel2 жыл бұрын
Mwamba anatupanga wakati kuna jobless kibao huko wana run mtaa
@shabanimwinyikhery11742 жыл бұрын
Umefanya kitu kizur sana Mungu akubariki
@jerryalfredngailo61062 жыл бұрын
Asante Sana kwa kutupasha
@abdulshariff47392 жыл бұрын
Asante kaka Bora nibaki Nairobi kuliko upweke huku tuko free kutangamana nikienda kwa mjomba sinalazima ya kumtaarifu baada ya chakula mwanadamu nikutangamana kama kuku wakienyeji
@mohdmohd25502 жыл бұрын
Dah hilo jambo la upweke co poa maana nikiona hayo mazingira naona kama ndio Mimi, Ila mwanangu tutaonana hukohuko Mungu akipenda c unajua lisilo budi......
@starlonejadamskp82242 жыл бұрын
Thank you kk
@kavoomshana72892 жыл бұрын
Dah kwel itabid ujiandae kisaikologia,swali langu ni je unavyozunguka ivyo hawawez wakakuletea shida au umeshawapa taarifa.
@Curioustraveller2542 жыл бұрын
whats better being lonely and making money or being surrounded by friends wallowing in poverty? 🤔
@farikkaqueen23672 жыл бұрын
alone 💯💯🇺🇸🙌🏿
@mussababu56232 жыл бұрын
It better being alone doing ur things accessing basic needs than living in a surrounding where u hardly earn a living without any future. Better to live in Europe
@muttaperfect Жыл бұрын
Better alone and to make money
@fredmbossa2 жыл бұрын
Kwa maisha hayo hapana Bora niendelee kuishi hukuhuku Tanzania ,,,kwanza ninapokutana na marafiki mara Kwa mara na majirani mara kwa mara ndo stress zinapungua ,,,maisha hayo ni kama kifungo tu cha segerea
@masanjaabasi89702 жыл бұрын
Stres kwasababu huna pesa Ukiwa namihela utatulia tu huku kunakufaa sana 😆😆😆😆
@SNKANTO2 жыл бұрын
Kwakweli
@halimaoman87262 жыл бұрын
Ni kweli kaka unavyo ongea na upo na swadakta kwa maneno yko na kila nnchi na mazingila yke
@enelebowden23732 жыл бұрын
thanks for your help
@lampadshigonko30062 жыл бұрын
Maisha hayo mimi hapanaaa... bora niishi kimaskini na furaha yangu
@bahatimtatah56802 жыл бұрын
Ni kweli kabisa hapo mm naweza kuugua make ninavyopenda kutoka
@annajohn24882 жыл бұрын
Yaani patanifaa sana sipendi kuzurula sipendi
@silengombanga78172 жыл бұрын
Duuuuuh thanks bro nimeelewa kiukwel life la huko so poa kwa sisi tulio zaliwa uswaz
@justinwambua51802 жыл бұрын
Ahsante kaka
@chosen1.2 жыл бұрын
Love from kenya.. Asante sana kwa hili
@michaelsamson96632 жыл бұрын
Duh 😂😂 Eti kuongelesha stoli ambazo azina mana
@amoskagika88842 жыл бұрын
😂😂😂nchi za watu changamoto Sana aiseee
@damasiuspetro51782 жыл бұрын
Wamefika hatua ya kufanya kazi kwa ratiba kwasababu maisha yanabana
@thanksgivingchannel62472 жыл бұрын
Good
@azizaawadh72312 жыл бұрын
MashaaAllah nice life
@frankmwinuka62982 жыл бұрын
Dah kazi ipo huko
@scollajoseph57052 жыл бұрын
Nimepapenda
@salhakyande39052 жыл бұрын
🙏
@djfiremoto34292 жыл бұрын
Duuuh Noma🔥🥺
@godfreykisinda82902 жыл бұрын
Ndio ningefurahi saanaaa
@rahimukisandu99612 жыл бұрын
Sio oooooh naomba nyanya jirani
@joasyeliya24812 жыл бұрын
Fantastic ...i like this life
@rehemampangala9322 жыл бұрын
Asante Kaka kwa ujumbe mzuri
@souvenirweber71692 жыл бұрын
Wewe uko kijijini na ninashangaa unaongea sana na kutia mashaka wasio elewa. Marekani mna nyumba mbaya za mabox uje uswiss uone vijiji vilivyo na miji mizuri na kila kitu muhimu hakuna maeneo kama hayo hivyo zungumzia unapoishi .pole kwa kuishi kama mfugaji
@salehkashindi73722 жыл бұрын
Bro hizo nyumba za uswiss hazina back yard kubwa kama hizo
@kamalmukaddam15212 жыл бұрын
Beautiful
@collinmhema54432 жыл бұрын
Du hatari sana yaan toka umeanza kuongea sijaona mtu hata mmoja akikatiza gari zenyewe mara mojamoja sana za watu wanaoridi nyumbani
@adamdaudi61912 жыл бұрын
Mimi hata nikae miaka hamsini bila kuona mtu kwangu hainisumbuagi kabisa!.
@JohnJoseph-nf2zy2 жыл бұрын
😄😄😄kama Mimi aisee
@michaelsambu53912 жыл бұрын
Tuachen huku huku africa kwetu kivuruge, akipita mwiz tunaruka nae, mara boda wamegongana, mara mtu anasutwa wengine wanacheza draft
@wilsonm.73762 жыл бұрын
EBM next time naomba utuelezee maisha hayo ukitaka dem (DATING) unafanyaje? au ndio kila kitu online?
@Benardyng2 жыл бұрын
I love the environment bt not lifestyle as ur saying " sisi bana mpaka kieleweke bro"
@bebisheni43802 жыл бұрын
Wasomi bwana huwa wanauchungu na jinsi alivyo pata kusoma asili yao uchoyo
@mwamengele2 жыл бұрын
Sio uchoyo anakupa tahadhari ujiandae kisaikolojia, huko sio rahisi kama unavyofikiri (park at your own risk) first world problems
@khdigahk42462 жыл бұрын
Mi nipo ndani miaka 5 Sasa Ata nyumba ya jirani sijui ukimpigia ndugu nyumban utasikia niletee Sim Abaya wakat Ata nje sitoki ila wao waona natalii tuu
@exodusmgohachi17332 жыл бұрын
Kwanini mnaoenda huko ulaya mnakuwaga wanyimi wa wengine kuja huko kwani hakunaga connection za wengine kuja kuishi huko ?
@kinyuaibari28162 жыл бұрын
Ndugu Mgohachi, swali nzuri. Kwa kweli watu wengi utamani sana kuunganishia jamaa na marafiki, lakini serikali za huku zimeweka vikwazo kibao. Kile kigumu ni kupata kitambulisho (SSN). Bila hicho, hakuna huduma yoyote, wala kazi utapata.
@exodusmgohachi17332 жыл бұрын
Lakini ukipata hiyo mtu anaweza kuja kigezo au sharti lao kubwa ni Nini ?
@kinyuaibari28162 жыл бұрын
@@exodusmgohachi1733 Sharti Lao kubwa ni kibali cha kuishi (residency). Kinapatikana kwa migezo miwili: 1. Green card or 2. Mkataba wa kufanya kazi (Work contract/permit).
@petersilas42342 жыл бұрын
Kumbe ndiyo sababu tunapenda kwetu. Kutembea ,kujichanganya ndiyo maisha. Hata corona ilipotelea mitaani. Kujimwaga ndiyo maisha.
@MBATINOFILMS2 жыл бұрын
Nice
@gracelyimo62562 жыл бұрын
Ni maisha magumu sana..na sidhani kama wamarekani/waingereza huwa wanafurahia hayo maisha..na nmeona kwa Tanzania watu wanakopi haya maisha kwa kasi sana ambapo madhara yake yatakuja kuwa kama hao wa huko mamtoni Bad lifestyle!!
@ablo1282 жыл бұрын
That's easy we had been get used to it to it being lonely very simple that's our every day 's life
@standardtv34942 жыл бұрын
Duu nimekuelewa Sana baba ukiniweka ndani siku nzima yaani ndani kwangu ni kama jelaaaa haki ya Mungu tena
@kelsamtv5529 Жыл бұрын
Ooooh
@adelaidamufumbo83522 жыл бұрын
Mmh kwakweli bora umetoa mwanga kwa hilo
@muntakindamba20532 жыл бұрын
Unatishatisha watu kama vile umekwenda pekeyako huko ulaya?
@seurilomayani57162 жыл бұрын
Nomaa Bora nibaki afrika
@remmyathanas842 жыл бұрын
Hayo ndio maisha siyo kushinda nje ya nyumba kupiga umbea tu.
@ibrahimmohamed19942 жыл бұрын
Kukaa ndani niuwamuzi tuu unless Kuna majanga au ugonjwa unakusabisha usitoke ndani au huna marafiki wakutosha.
@jumakapilima72952 жыл бұрын
Hakuna makanisa au misikiti ya watu kukutanika pamoja kwaajili ya kusali?
@lampadshigonko30062 жыл бұрын
dini ni uhuni ulioanzishwa na wazungu ili kuiteka Africa 🌍
@jumakapilima72952 жыл бұрын
@@lampadshigonko3006 asante Kwa maoni yako!!
@officialzex25152 жыл бұрын
Kula hatua tunasogea nazidi jifunza kitu brother
@rose_Winchester86 Жыл бұрын
Hayo ndo maisha ninayoishi hapa Tz sina marafiki wala nini, huko ndo pananifaa mm ila nipate bf tu😹. Rafiki yangu ni mama angu ntaongea nae kwenye simu cha muhimu tupate kazi na hela. Period
@stanslausmteme84552 жыл бұрын
Umetoa Elimu kubwa sana kaka kweli umewaalert watu waende ughaibuni wakiwa wanajua hilo
@splendideelcedrick6410 Жыл бұрын
Ndugu yangu tatizo iyo ni kijijini, ukikaa kijijini njo ivo, Mbona New York, Californie, Florida, Boston, kuna watu, San Francisco, izi sehemu zote kuna watu kibao, tena hakuna upweke, tatizo iko kijijini ya Yues.
@baruasafi58802 жыл бұрын
Ukweli mtupu. Maisha ya upweke kweli.
@khelefmuifadal4292 жыл бұрын
Acha kulalama sana Watu wanaishi kwenye vita na fresh We umefata life au watu
@stn48732 жыл бұрын
Mimi maisha hayo ndiyo nayapenda, ama loner, ama introvert
@peterelisha51152 жыл бұрын
Acha uongo weww hapo huwezi kuishi utaishi kwa tabu sana Tena ikitokea unafanya kazi za ndani huendi hata sokoni utapakimbia fasta
@kirathimorathima11772 жыл бұрын
mimi napenda indoor life kiasi
@bettygeorge4161 Жыл бұрын
Jamani napenda sna HayA maisha ya ndanii jamani natamni sna kuja huko
@jamessichimata362 жыл бұрын
Siwezi kuishi maisha hayo, nikama nguruwe wa kufugwa kisasa
@kimsamir9652 жыл бұрын
Tuonyeshe ndani y nyumba kukoje
@malelabmalela50162 жыл бұрын
Ok
@stamelistameli84612 жыл бұрын
Nipo tayali nampenda hiyo
@peterochogo5462 жыл бұрын
Kwakifupi mm hayo maisha siwezi kabisaaaa nyie endeleeni kuishi Kama wafungwa huko America huku nimeshazoea kula nyama mitaani machipsi na nk huko nikija nikukaa siku mbili nakusepa nyumbani Africa huko apana