Now i am enjoying to see how environments of America have arranged and so attractive ❤❤
@ngoynzoagermain10 ай бұрын
Thanks Sir EBM.. pamoja sana 5/5 🇨🇩🇨🇩
@herbertygeofrey27243 жыл бұрын
Mwalimu wangu wa somo la maisha mr ebm napenda sana kazi zako zinatuamsha hali ya kupambana ndoto
@salafitvsalafitv9102 жыл бұрын
Mashaallah darsa nzuri sana
@hellenjohn73062 жыл бұрын
Yaap,wanajenga kwa permit Kama huku Arusha Tanzania,ardhi yenye thamani kubwa. Good mr EBM kwa update nzuri za ughaibuni
@jovovichmedia94243 жыл бұрын
Aisee raha sana
@maryjohn14362 жыл бұрын
Napenda hii mazingira
@kavoomshana72892 жыл бұрын
Habar yako,ahsante kutujulisha swali langu unavyozunguka hawawez kukuletea shida au umeshawataarifu
@RehemaKhamis-k8s Жыл бұрын
Mzinglayahuko hayapo tofauti Omni sasa naohawatoki juakali
@nuhubigirimana9929 Жыл бұрын
Asante sana tunapenda masomo yako
@nitumesokoni31642 жыл бұрын
Kazi mzuri Sana kaka
@LizenMaker3 жыл бұрын
Hamna wezi huko kaka
@macyagervr58882 жыл бұрын
Mbona mtaa mzima sijaona kanisa wala msikiti
@MM-oe2eo2 жыл бұрын
Wengine tunapenda sana maisha ya aina hiyo. Kukaa ndani basi, ukitoka bar kidogo basi.
@salmsalmo931 Жыл бұрын
Kama uarabuni kukaa ndani lakin mm nimezowea maisha haya😂😂😂
@ezekielmutethia95012 жыл бұрын
Si ufanye video ndani ya hizo nyumba
@mwinukafundibombanjombe2 жыл бұрын
kwenye ujenzi mnatumia mbao au tofal
@valentineshembilu12562 жыл бұрын
Hahaaa Tz usipojenga kiwanja chako baada ya miaka mitatu halmashauri wanakiuza
@nyembomajidi30272 жыл бұрын
hata sisi Africa tunaweza halafu kaka unatwambia utamaduni hapana nisheria zilitumika sisi Africa hatuwezi kutokana na ufisadi nyingi serekali ikiweka sheria lakila mtu aweke mazingira zuri aaaah itawezekana.
@norahmakungu38553 жыл бұрын
Life seems so boring tulivyo zoea umbea kwenye Miji huku bongo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@Kakwasi2 жыл бұрын
Umbea unasaidia kupunguza stress
@sharifukilongo2565 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣,daaah bongo sihami
@nardhismhagama62662 жыл бұрын
Somo kwa wabunge kuhusu Shelia ya ardhi kazi kunyanganya wanyonge ardhi nakuwapa mtajili
@esphoneochengo2 жыл бұрын
EBM umeme wao vipi unapitia wapi,????
@Yo_tune-tb5sn2 жыл бұрын
Kiufupi marekani ukitaka rafiki labda mitandaoni na kazini kwako tu
@nardhismhagama62662 жыл бұрын
Happy kwetu wanakunyanganya jiji
@barengayabomiriam Жыл бұрын
Kama Mimi Aya maisha ndio nayataka,nanime ya miss
@azadmtunzi62253 жыл бұрын
Pia ukijenga ukaribu nasi humu kwa kujibu komenti
@maasaieastafrica25562 жыл бұрын
Kaka umenifungua macho Sana,kumbe maisha ya marekani ni magumu aisee...Ila inaonekana no marahisi ukiwa na kazi, lkn ? Mbona sioni hata nguzo zinazoingiza umeme kwenye majumba?
@jenifferiregi7903 Жыл бұрын
Tusidii
@geotech46973 жыл бұрын
Very nice
@tallmadoshi71532 жыл бұрын
Sasa mnafanya kazi saa ngap?
@odiliamathias54242 жыл бұрын
Apo kwenye kukata nyasi nimeipenda hiyo lakini uku Tanzania Kuna watu wanamakusudi jamani mtu kanunu kiwanja alimi Wala apandi ni pori pori minyoka mikenge wal ajari kama Kuna majirani wanaona kero
@ibrahimcharls78922 жыл бұрын
Me nauliza tu hizo nyumba zimejengwa kwa mbao au ni matofali ila muonekano ndo wa mbao
@aminaegge49302 жыл бұрын
Hata jirani ukifa hajui
@myunaniniahmad64632 жыл бұрын
Kaka namba yako samahani.
@mshua3372 жыл бұрын
Kama hakuna vijiwe vya kahawa km Gwasa basi sipawezi
@sethstiven33932 жыл бұрын
Kweli unatupa elimu,,,,
@sethstiven33932 жыл бұрын
Mtu akifa inakuwaje makirani wanakuja mtaan mzima kama huku kwetu
@sethstiven33932 жыл бұрын
Tupe umbea wa marekani
@georgempuya93432 жыл бұрын
Broo naomba namba yako ya WhatsApp tuonge jambo binafsi.