Hii Media achaneni na haya Mambo ya siasa...lkn hata mkifanya siasa mciingie sana in dep itawaletea shida baadae....igeni SNS AU AYO TV.... Taarifa zao za siasa hazina makali Kama haya.....maoni Yangu jamanii
@Bennymwangaza2 жыл бұрын
Wapi Salute (LIKE) za General???
@margarethpolepole74382 жыл бұрын
Mambo makubwa haya
@ishengomanelson2 жыл бұрын
Sidhani kama una hadhi ya kuhojiana na Generali. Watafute labda walimu wako ndio wanaweza kumhoji na kumuelewa.
@zubedamagambo96002 жыл бұрын
Watu waache uchonganishi. Wapambane wenyewe
@godfreymlay63792 жыл бұрын
Unampa onyo kwani hii nchi ni yako kama anakosea vyombo vya sheria vipo vitafanya kazi yake ww ni spika siyo vema kulumbana na raia huu ni ushauri wangu tu kwako kiongozi
@Ali-nl2du2 жыл бұрын
Ndugu spika. Tuwape heshima wazee wetu.
@ayubunkuruma48042 жыл бұрын
KWANINI USEME ANAWAKADIRIA SEMA ANAKUKADIRIA
@graysonmatali6442 жыл бұрын
Ni Jenerali huyo, sio askari mkakamavu
@AloisMosha-uv2fu10 ай бұрын
Ukikwama unaongea ovyo kama uliweza kumpiga mgombea mwenzio utakuwa akili una
@williamwilifred65632 жыл бұрын
Spkahujielew kilamtuanahakiyakukosoa
@francismtela49672 жыл бұрын
Mbona nae kachombeza kauli zisizo ? Kwani nyumba na mwenye nyumba nani atambe ? Jeuri watu wanapata kwenye mfumo. Kwani upo kwa mfumo au mfumo ndiyo uliokuweka ? Uzuri wake out of site out of mind ! Mawazo huru watu wanapumua. Kwanini watu wengine wanachukulia nchi hii yao ? Jamani nani kawapa ? Yetu soote mjue ! Kwanini tugombane ?
@kahwarwosile78312 жыл бұрын
Yaani wabunge wetu ni ovyo kabisa munashabikia ndugai kuongea ujinga , baada kusemea kuwa ni Uhuru wa kila mtu kuongea mushangilia ndo prf,asadi alimbia kuwa ni mazuzu ni kweli