MAKALA YA JAKAYA KIKWETE mzee wa Msoga imeandaliwa na DENIS MPAGAZE ikatangazwa na ANANIAS EDGAR

  Рет қаралды 352,009

Fidel Grapher

Fidel Grapher

4 жыл бұрын

#dreammakertv #ananiasedgar #denismpagaze #historia #jkikwete
kwaniaba ya dreammaker tv tunaomba mapendekezo yenu mashabilki wetu tuambieni tulete makala ya nani ivi karibuni maana bila nyinyi atuwezi songa mbele

Пікірлер: 178
@benedictmrisho2361
@benedictmrisho2361 3 жыл бұрын
"Mawazo hayaitaji kupigwa rungu hoja hujibiwa kwa mawazo bora zaidi. " Hoja tano za Hon Dr. Mrisho Jakaya Kikwetr. Legacy of Hon Dr .Mrisho Jakaya Kikwete
@rajabumwesua9921
@rajabumwesua9921 Жыл бұрын
Tunamkumbuka sana rais wetu mstaafu kwa uongozi mzur 🙏🙏
@sonmsb1839
@sonmsb1839 3 жыл бұрын
Ananias una sauti nzuri sana ya kufanya simulizi nakuombea usonge mbele ,tunaomba utuandalie Makala iliyoenda shule ya Hayati John Pombe Magufuri
@roselynmpwiniza
@roselynmpwiniza 5 ай бұрын
Jakaya ni krasmatic leader
@yusuphyunusi6865
@yusuphyunusi6865 3 жыл бұрын
Mimi namkubali sana kikwete aliwapenda sana RAIA na aliwapa watu freedom of speech na duniani hakuna kitu bora km Uhuru wa kujieleza
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 3 жыл бұрын
Kwa kweli napenda historia zako za historia za viongozi maendeleo kuzitunza kichwani nakuziandika baadhi ya vipengele mungu akubariki sana
@saimonmanyerezi7169
@saimonmanyerezi7169 3 жыл бұрын
Hayo ni maoni yako tu,lakini ukweli ni kwamba Magu aliwapenda zaidi wtz kuliko watangulizi wake wote,Uhuru wa kuongea ulikuwepo lakini Wtz wengi walikosa haki za huduma za Afya na nynginezo sababu kubwa ni kushindwa kuuthibiti ufisadi na kusababisha hats mahospitalini hakukuwa na dawa.Ukichunguz waliokosa uhuru wakuongea ni wachche sana sio kama wale waliokosa dawa,weka mizania hapo tuone nani alikuwa na mapenzi zaidi na Wtz.
@selemanmandeni1429
@selemanmandeni1429 4 жыл бұрын
History mzuli Sana,mungu akupe afya njema mtoaji wa hii history.
@auntdorah9141
@auntdorah9141 4 жыл бұрын
Mimi nampendaga bure. Mungu azidi kukulinda muheshimiwa...
@tabumussa9406
@tabumussa9406 4 жыл бұрын
yapo mazuri aliyoyafanya jakaya wetu.tunakuombea maisha marefu
@simonmsumari6106
@simonmsumari6106 4 жыл бұрын
Mzee Wa maisha bora kwa kila mtanzania
@benedictmrisho2361
@benedictmrisho2361 3 жыл бұрын
"Akifungua mdomo na kiswahili chake na tabasamu lake unaweza kulichukulia mkopo"
@arunamwaholi1351
@arunamwaholi1351 4 жыл бұрын
Namukubari kikwete sanaaaa
@kennethndingo2544
@kennethndingo2544 3 жыл бұрын
Mstafu uraisi Jk Kikwete watanzania hakika umetufanyia mengi mxr tunakukumbuka Sana kwa uvumilivu.kwa kila jambo hongera Sana.Mungu atakulipa.
@benedictmrisho2361
@benedictmrisho2361 3 жыл бұрын
Wakenya ndio wanaojua utamu wa Mh Dr. Mrusho Jakaya Kikwete wakati alipowasuluhisha kwa diplomasia ya hali ya juu na akaenda kuwahutubia kitaifa. Hazina ya diplomasia suluhishi.
@gasperjohnson3388
@gasperjohnson3388 4 жыл бұрын
Nakukubali sana ananiasedgar salute kwako mzee
@benedictmrisho2361
@benedictmrisho2361 3 жыл бұрын
"Usifuate ya kuambiwa tu changanya na zoko". "Mtanikumbuka tu".
@tabuseleman8389
@tabuseleman8389 4 жыл бұрын
brother una story nzuri mno mungu akucmamie kwenye kazi zako
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 3 жыл бұрын
Nafurahi sana kusikiliza kumbukumbu za viongozi wa Tanzania nami nazihifadhi kichwani japo mzee ananisager
@zuberykharoub6868
@zuberykharoub6868 4 жыл бұрын
Kama unamkubal ananias edga gonga likee❤
@makungamapalala7982
@makungamapalala7982 2 жыл бұрын
Jakaya namkubali sana
@emmanuelgodfrey9400
@emmanuelgodfrey9400 4 жыл бұрын
Ahsante sana Denis Edger Mpagaze
@ianmtengo3273
@ianmtengo3273 4 жыл бұрын
Safi bro piga kaz
@benedictmrisho2361
@benedictmrisho2361 3 жыл бұрын
Sauti nzuri kama ya Bati Kombwa RTD. Ubarikiwe.
@pascodenis6032
@pascodenis6032 4 жыл бұрын
Cc watanzania wepec Sana kusahau huyu kikwete Mungu atamuona tu....
@gaudenceswai5382
@gaudenceswai5382 4 жыл бұрын
Safi sana JK
@abduldangote2916
@abduldangote2916 Жыл бұрын
Hongera jakaya mzawa wa nyumbani
@johnkahuko6372
@johnkahuko6372 4 жыл бұрын
This guy's are some of the best Analysts in the entire East Africa. I subscribe....
@e.jack.47
@e.jack.47 3 жыл бұрын
Their analysis is just amazing
@masharubundevu3765
@masharubundevu3765 4 жыл бұрын
Nyerere ndo aloiuwa zbar na kumuuwa Karume, Aboud Jumbe kamtowe nje kisa kutaka Serikali tatu mshenzi sana
@mgangasaid7990
@mgangasaid7990 2 жыл бұрын
Wacha upimbe huo
@africa7479
@africa7479 4 жыл бұрын
I LOVE YOU KIKWETE
@catherinemakombe6090
@catherinemakombe6090 3 жыл бұрын
Good job keep it up
@kwatilotv3675
@kwatilotv3675 4 жыл бұрын
Historia taamu. Kaka edgar w n wa kipekee . W n roll model wang kweny kazi hizi.
@jumamnumbwa9483
@jumamnumbwa9483 3 жыл бұрын
Jakaya humjua nikiongozi bora kabisa wa level nyingine,aliifungua nchi iliofungwa,na kupoteza dira kabisa,aliweka misingi imara ya maendeleo ya nchi,utawala wa mwl.ulikuwa utawala mbovu kabisa kutokea uliifilisi nchi ,ulipoteza hazina zote zilizoachwa na wakoloni
@Julius_Lugwisher
@Julius_Lugwisher 2 жыл бұрын
Thanks broo tuletee historia ya obama
@rajababubakari2701
@rajababubakari2701 3 жыл бұрын
Kweli brother story tamu
@tintz3157
@tintz3157 4 жыл бұрын
Hutapata mpizani miaka buku dogo utabaki kuwa juu kileleleni daima
@msafirimatingo4447
@msafirimatingo4447 3 жыл бұрын
Nakukubali mzee baba
@nasseralhabsi1483
@nasseralhabsi1483 3 жыл бұрын
Anas Edgar, unanikosha usomaji wako wa makala 👍
@azzaazza3686
@azzaazza3686 4 жыл бұрын
Mashaallah
@joycengasa1326
@joycengasa1326 4 жыл бұрын
Nimeingia tatu ya kwanza wap like
@jaffarchimbuvu7499
@jaffarchimbuvu7499 3 жыл бұрын
Uyu achana nae,ana girous,kama katiba yetu ngekuwa kama ya ezlaeli ageshaludi kwenye kuongo tena👏
@erickkipenya5801
@erickkipenya5801 4 жыл бұрын
Nice ctory
@sikoseihtz3784
@sikoseihtz3784 4 жыл бұрын
Safi
@benedictmrisho2361
@benedictmrisho2361 3 жыл бұрын
"Kuachana na siasa za maji taka" "Siasa ni tope".
@safinatourssafaris2519
@safinatourssafaris2519 3 жыл бұрын
Hizoo sifa za mabaa na mapombe na uhuni hazimpendezi Mungu
@fackramadhani7292
@fackramadhani7292 4 жыл бұрын
Thanks brother
@kassimzubermdhakir5813
@kassimzubermdhakir5813 2 жыл бұрын
Tunaomba utuandalie historia ya jpm
@safiasuleiman3119
@safiasuleiman3119 3 жыл бұрын
Ndio Mana allimjua mama samiya kumbe aliishi Zanzibar kwa pengine walifanya kazi pamoja tangu zamani😁😁😁😁😁Aristoteeeeeeee
@kapondamsita476
@kapondamsita476 3 жыл бұрын
Jakaya atakumbukwa sana
@gilbertkasikila5294
@gilbertkasikila5294 4 жыл бұрын
Umeeleza vzuri lakini bila mtiririko wa kueleweka
@michaelmalutandala2214
@michaelmalutandala2214 4 жыл бұрын
siku moja tupe habari za mtikila bwana mpagaze
@ayubumligi6663
@ayubumligi6663 4 жыл бұрын
Tunamkumba sana aithe
@kiyabolnjemu9646
@kiyabolnjemu9646 4 жыл бұрын
Hujaeleweka
@hajihaji4875
@hajihaji4875 4 жыл бұрын
Tuleteeni makala ya rais Ali Hassan mwinyi WA Tanzania
@benedictmango9561
@benedictmango9561 4 жыл бұрын
Noma sana
@mgangasaid7990
@mgangasaid7990 2 жыл бұрын
Zaidi ya noma
@benedictmrisho2361
@benedictmrisho2361 3 жыл бұрын
"Si wa kukurupuka na kuweweseka kama mapepo yaliyotolewa kwa......."
@salimkassim645
@salimkassim645 4 жыл бұрын
Thanks for this masterpiece
@salmaathuman9156
@salmaathuman9156 3 жыл бұрын
R.I.P MWAMBA MAGUFULI♥️💔
@stephanochazi5174
@stephanochazi5174 3 жыл бұрын
Jonpobe. Makufuli
@rahmahersi2116
@rahmahersi2116 3 жыл бұрын
Sahihisha usemi WA WALAKA...... AU WARAKA.....Inatia aibu.
@khamisiiddi9321
@khamisiiddi9321 4 жыл бұрын
Hatari
@marykibwana9413
@marykibwana9413 4 жыл бұрын
Da,napenda sana makala zenu mnazoandaa, zinavutia mno.
@marykibwana9413
@marykibwana9413 4 жыл бұрын
Asante, kwa ku-like comment yangu.
@ezekielikagine9168
@ezekielikagine9168 4 жыл бұрын
Tuletee na historia ya mtikira.
@kurwamapozi1278
@kurwamapozi1278 4 жыл бұрын
broo nakubali sanaa
@benedictmrisho2361
@benedictmrisho2361 3 жыл бұрын
" Mh Lowasa alipokatwa imani ya watu wake ikawa haba"
@chagurichad6052
@chagurichad6052 4 жыл бұрын
Umezingua kuxema et hatujawahi hata kupata umonitor kwa hyo tukichukua form et tutaishia jela
@mgangasaid7990
@mgangasaid7990 2 жыл бұрын
Kalale huko
@juliusnakembetwa1872
@juliusnakembetwa1872 3 жыл бұрын
We jamaa unajua kinomer...
@suleimansaid2633
@suleimansaid2633 3 жыл бұрын
Binadamu hawasarifiki huyo ndio binadamu. Mungu Mkubwa kila Kiongozi anamema yake na mabaya yake. Hakuna mkamilifu.
@abuuchaula6961
@abuuchaula6961 4 жыл бұрын
Nakubali
@mamavivi3324
@mamavivi3324 4 жыл бұрын
.
@hassansaleban7429
@hassansaleban7429 3 жыл бұрын
God bless you for amazing information keep it up brother to be honest if u could do this English u could have won best stories all the time but still still ur Informationen us ur bless ur contributing alot to educated more and more
@maphandezulu2573
@maphandezulu2573 4 жыл бұрын
Kikwete
@tariqaziz4799
@tariqaziz4799 4 жыл бұрын
We miss you JK
@maxmilianmgalatia330
@maxmilianmgalatia330 4 жыл бұрын
Mama nilipo nitatoka......
@documixtanzania9150
@documixtanzania9150 3 жыл бұрын
Osama
@iddyshabani5942
@iddyshabani5942 4 жыл бұрын
MTIKILA ALIKUWA NOMA
@wisdommwakalinga9107
@wisdommwakalinga9107 4 жыл бұрын
Tunapenda xana kazi zako ila angalia kuonyesha maneno yenye elemenzi za dharau kwa askari katika makala zako
@kindokiyanga4805
@kindokiyanga4805 3 жыл бұрын
Unakwama wap mzee
@khalidali1130
@khalidali1130 4 жыл бұрын
Samaki anaefungua mdomo ndo hunasw na ndoano ikamnasa yeye hahaha mbavu zng mie
@linuskyando4155
@linuskyando4155 3 жыл бұрын
Alituletea Mitandao ya simu
@hemedhemed7701
@hemedhemed7701 4 жыл бұрын
Salim Ahmed Salim Lowasa na Rostam mlituchezea mchezo mchafu sana ila kikwete ali play part yake vizuri 👍
@mgangasaid7990
@mgangasaid7990 2 жыл бұрын
Uliwaona
@hilalhilal8400
@hilalhilal8400 4 жыл бұрын
LEO STORY MEIPENDA KINOMA.
@abdallaameir3153
@abdallaameir3153 4 жыл бұрын
Mm aona hawa wanaotengeneza hizi video watupe za kwao tuwajue zaid
@mwamedchilung7737
@mwamedchilung7737 4 жыл бұрын
chama kinapiga chafya chyee!
@jaffarchimbuvu7499
@jaffarchimbuvu7499 3 жыл бұрын
Uyu alipikw,kwanza baba ake alikuwa kionzi,kuna nn tena maji ufata mkongo
@bonfacesanga6792
@bonfacesanga6792 4 жыл бұрын
Safi mzee
@official_calulu
@official_calulu 3 жыл бұрын
eka ya Hussein mwinyi
@mgangasaid7990
@mgangasaid7990 2 жыл бұрын
Ya baba ako hutaki au
@khalidgugu4964
@khalidgugu4964 4 жыл бұрын
Tuletee story ya huyo waliewekwa kizuizini
@issakatety3535
@issakatety3535 4 жыл бұрын
Mtikila alikuwa mtata🤣🤣
@justineonline6556
@justineonline6556 4 жыл бұрын
Ingia KZbin andika Justine Online Tazama Kisha Subcribe ...
@bylemu2497
@bylemu2497 3 жыл бұрын
Ahaaa we ckupng uko vzl
@nelsonkyando8146
@nelsonkyando8146 3 жыл бұрын
Leta na za mtikila
@munirahmed7753
@munirahmed7753 3 жыл бұрын
Mmmhhh
@pendomalisa8148
@pendomalisa8148 3 жыл бұрын
Yaani hii haifai
@mgangasaid7990
@mgangasaid7990 2 жыл бұрын
We unafaa
@Ivanmtanzania
@Ivanmtanzania 3 жыл бұрын
Hiyo nimeielewa
@wiletewela4077
@wiletewela4077 4 жыл бұрын
nime penda story
@godblessmarandu4549
@godblessmarandu4549 4 жыл бұрын
Nakumis mzee mi dereva sasa sina kazi
@mgangasaid7990
@mgangasaid7990 2 жыл бұрын
Kaparwe
@dorahy1579
@dorahy1579 3 жыл бұрын
Hakumbukwi kwa shangwe
@Ivanmtanzania
@Ivanmtanzania 3 жыл бұрын
#Mtanzania
@muhojabuluma6952
@muhojabuluma6952 3 жыл бұрын
Magufili nazani Hawa ndo walio muua bhana
@mzalendomkeleketwa7917
@mzalendomkeleketwa7917 4 жыл бұрын
Mbona hujaongea Rostam utajiri kapata wapi? Ukwepaji kodi, hela ya epa , mikataba ya madini, mikataba ya umeme na gesi. Hiyo misaada ni hela yetu. Wajinga ndio tuliwawo.
@azizihfarijala5307
@azizihfarijala5307 3 жыл бұрын
Wewe mnafiki aliyefanya kikwete haijafikiwa na marehemu tukiorodhesha.hapa tutakesha
@mgangasaid7990
@mgangasaid7990 2 жыл бұрын
Alikuwa dikteta lakn
@benedictmrisho2361
@benedictmrisho2361 3 жыл бұрын
Huwezi kujua uzuri ama ubaya wa Rais yeyote mpaka hapo atakapotoka madarakani kikatiba ama mapenxi ya Mungu mf R.I.P. Si vyema kumsema Rais ambaye hajafikia ukomo wa kazi yake.
@mgangasaid7990
@mgangasaid7990 2 жыл бұрын
Umeona ee
@elishakalengo6368
@elishakalengo6368 4 жыл бұрын
Hahaha mwenye nyumba kaja
@mgangasaid7990
@mgangasaid7990 2 жыл бұрын
Yako
@ernestmichael4315
@ernestmichael4315 4 жыл бұрын
Ha
@freedomforall7473
@freedomforall7473 3 жыл бұрын
Waizi ni kenya walikula pesa za corona bila aibu bado wanajifakharisha
@mgangasaid7990
@mgangasaid7990 2 жыл бұрын
Kula na wewe
@Ivanmtanzania
@Ivanmtanzania 3 жыл бұрын
@Jastinmadoi
@makhosijozi541
@makhosijozi541 4 жыл бұрын
Nice
@ruginaolympe5587
@ruginaolympe5587 4 жыл бұрын
Tunafuata vipindi vyako lakini kiswahili cako ni kigumu saana kuelewa.
@mgangasaid7990
@mgangasaid7990 2 жыл бұрын
Karudi shule bwana
MAKALA YA SADDAM HUSSEIN muandaaji ni denis mpagaze
31:55
Fidel Grapher
Рет қаралды 573 М.
Дарю Самокат Скейтеру !
00:42
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 8 МЛН
Double Stacked Pizza @Lionfield @ChefRush
00:33
albert_cancook
Рет қаралды 63 МЛН
MFAHAMU Rais GADDAFI_Ananias Edgar &  Denis Mpagaze
27:25
Maisha Na Jamii Tv
Рет қаралды 204 М.
Salama Na JK Ep 48| MSOGA UNO PART 1
28:27
YahStoneTown
Рет қаралды 548 М.
DENIS MPAGAZE: SIKU ALIYOIFANYA BWANA
9:09
Uhai Online Tv
Рет қаралды 2,4 М.
DENIS MPAGAZE: Mfahamu KAMUZU BANDA: Rais Aliyeishi Na Mchepuko Ikulu
12:51
Кого она вытащила из воды?😱
0:51
Следы времени
Рет қаралды 2,7 МЛН
Spot The Fake Animal For $10,000
0:40
MrBeast
Рет қаралды 56 МЛН
Зловив цю істоту в себе на городі
0:26
РІКАРДО
Рет қаралды 2,2 МЛН