#dreammakertv #ananiasedgar #denismpagaze #historia #jkikwete kwaniaba ya dreammaker tv tunaomba mapendekezo yenu mashabilki wetu tuambieni tulete makala ya nani ivi karibuni maana bila nyinyi atuwezi songa mbele
Пікірлер: 178
@benedictmrisho23613 жыл бұрын
"Mawazo hayaitaji kupigwa rungu hoja hujibiwa kwa mawazo bora zaidi. " Hoja tano za Hon Dr. Mrisho Jakaya Kikwetr. Legacy of Hon Dr .Mrisho Jakaya Kikwete
@rajabumwesua9921 Жыл бұрын
Tunamkumbuka sana rais wetu mstaafu kwa uongozi mzur 🙏🙏
@sonmsb18393 жыл бұрын
Ananias una sauti nzuri sana ya kufanya simulizi nakuombea usonge mbele ,tunaomba utuandalie Makala iliyoenda shule ya Hayati John Pombe Magufuri
@roselynmpwiniza5 ай бұрын
Jakaya ni krasmatic leader
@yusuphyunusi68653 жыл бұрын
Mimi namkubali sana kikwete aliwapenda sana RAIA na aliwapa watu freedom of speech na duniani hakuna kitu bora km Uhuru wa kujieleza
@margarethpolepole74383 жыл бұрын
Kwa kweli napenda historia zako za historia za viongozi maendeleo kuzitunza kichwani nakuziandika baadhi ya vipengele mungu akubariki sana
@saimonmanyerezi71693 жыл бұрын
Hayo ni maoni yako tu,lakini ukweli ni kwamba Magu aliwapenda zaidi wtz kuliko watangulizi wake wote,Uhuru wa kuongea ulikuwepo lakini Wtz wengi walikosa haki za huduma za Afya na nynginezo sababu kubwa ni kushindwa kuuthibiti ufisadi na kusababisha hats mahospitalini hakukuwa na dawa.Ukichunguz waliokosa uhuru wakuongea ni wachche sana sio kama wale waliokosa dawa,weka mizania hapo tuone nani alikuwa na mapenzi zaidi na Wtz.
@selemanmandeni14294 жыл бұрын
History mzuli Sana,mungu akupe afya njema mtoaji wa hii history.
@auntdorah91414 жыл бұрын
Mimi nampendaga bure. Mungu azidi kukulinda muheshimiwa...
@tabumussa94064 жыл бұрын
yapo mazuri aliyoyafanya jakaya wetu.tunakuombea maisha marefu
@simonmsumari61064 жыл бұрын
Mzee Wa maisha bora kwa kila mtanzania
@benedictmrisho23613 жыл бұрын
"Akifungua mdomo na kiswahili chake na tabasamu lake unaweza kulichukulia mkopo"
@arunamwaholi13514 жыл бұрын
Namukubari kikwete sanaaaa
@kennethndingo25443 жыл бұрын
Mstafu uraisi Jk Kikwete watanzania hakika umetufanyia mengi mxr tunakukumbuka Sana kwa uvumilivu.kwa kila jambo hongera Sana.Mungu atakulipa.
@benedictmrisho23613 жыл бұрын
Wakenya ndio wanaojua utamu wa Mh Dr. Mrusho Jakaya Kikwete wakati alipowasuluhisha kwa diplomasia ya hali ya juu na akaenda kuwahutubia kitaifa. Hazina ya diplomasia suluhishi.
@gasperjohnson33884 жыл бұрын
Nakukubali sana ananiasedgar salute kwako mzee
@benedictmrisho23613 жыл бұрын
"Usifuate ya kuambiwa tu changanya na zoko". "Mtanikumbuka tu".
@tabuseleman83894 жыл бұрын
brother una story nzuri mno mungu akucmamie kwenye kazi zako
@margarethpolepole74383 жыл бұрын
Nafurahi sana kusikiliza kumbukumbu za viongozi wa Tanzania nami nazihifadhi kichwani japo mzee ananisager
@zuberykharoub68684 жыл бұрын
Kama unamkubal ananias edga gonga likee❤
@makungamapalala79822 жыл бұрын
Jakaya namkubali sana
@emmanuelgodfrey94004 жыл бұрын
Ahsante sana Denis Edger Mpagaze
@ianmtengo32734 жыл бұрын
Safi bro piga kaz
@benedictmrisho23613 жыл бұрын
Sauti nzuri kama ya Bati Kombwa RTD. Ubarikiwe.
@pascodenis60324 жыл бұрын
Cc watanzania wepec Sana kusahau huyu kikwete Mungu atamuona tu....
@gaudenceswai53824 жыл бұрын
Safi sana JK
@abduldangote2916 Жыл бұрын
Hongera jakaya mzawa wa nyumbani
@johnkahuko63724 жыл бұрын
This guy's are some of the best Analysts in the entire East Africa. I subscribe....
@e.jack.473 жыл бұрын
Their analysis is just amazing
@masharubundevu37654 жыл бұрын
Nyerere ndo aloiuwa zbar na kumuuwa Karume, Aboud Jumbe kamtowe nje kisa kutaka Serikali tatu mshenzi sana
@mgangasaid79902 жыл бұрын
Wacha upimbe huo
@africa74794 жыл бұрын
I LOVE YOU KIKWETE
@catherinemakombe60903 жыл бұрын
Good job keep it up
@kwatilotv36754 жыл бұрын
Historia taamu. Kaka edgar w n wa kipekee . W n roll model wang kweny kazi hizi.
@jumamnumbwa94833 жыл бұрын
Jakaya humjua nikiongozi bora kabisa wa level nyingine,aliifungua nchi iliofungwa,na kupoteza dira kabisa,aliweka misingi imara ya maendeleo ya nchi,utawala wa mwl.ulikuwa utawala mbovu kabisa kutokea uliifilisi nchi ,ulipoteza hazina zote zilizoachwa na wakoloni
@Julius_Lugwisher2 жыл бұрын
Thanks broo tuletee historia ya obama
@rajababubakari27013 жыл бұрын
Kweli brother story tamu
@tintz31574 жыл бұрын
Hutapata mpizani miaka buku dogo utabaki kuwa juu kileleleni daima
@msafirimatingo44473 жыл бұрын
Nakukubali mzee baba
@nasseralhabsi14833 жыл бұрын
Anas Edgar, unanikosha usomaji wako wa makala 👍
@azzaazza36864 жыл бұрын
Mashaallah
@joycengasa13264 жыл бұрын
Nimeingia tatu ya kwanza wap like
@jaffarchimbuvu74993 жыл бұрын
Uyu achana nae,ana girous,kama katiba yetu ngekuwa kama ya ezlaeli ageshaludi kwenye kuongo tena👏
@erickkipenya58014 жыл бұрын
Nice ctory
@sikoseihtz37844 жыл бұрын
Safi
@benedictmrisho23613 жыл бұрын
"Kuachana na siasa za maji taka" "Siasa ni tope".
@safinatourssafaris25193 жыл бұрын
Hizoo sifa za mabaa na mapombe na uhuni hazimpendezi Mungu
@fackramadhani72924 жыл бұрын
Thanks brother
@kassimzubermdhakir58132 жыл бұрын
Tunaomba utuandalie historia ya jpm
@safiasuleiman31193 жыл бұрын
Ndio Mana allimjua mama samiya kumbe aliishi Zanzibar kwa pengine walifanya kazi pamoja tangu zamani😁😁😁😁😁Aristoteeeeeeee
@kapondamsita4763 жыл бұрын
Jakaya atakumbukwa sana
@gilbertkasikila52944 жыл бұрын
Umeeleza vzuri lakini bila mtiririko wa kueleweka
@michaelmalutandala22144 жыл бұрын
siku moja tupe habari za mtikila bwana mpagaze
@ayubumligi66634 жыл бұрын
Tunamkumba sana aithe
@kiyabolnjemu96464 жыл бұрын
Hujaeleweka
@hajihaji48754 жыл бұрын
Tuleteeni makala ya rais Ali Hassan mwinyi WA Tanzania
@benedictmango95614 жыл бұрын
Noma sana
@mgangasaid79902 жыл бұрын
Zaidi ya noma
@benedictmrisho23613 жыл бұрын
"Si wa kukurupuka na kuweweseka kama mapepo yaliyotolewa kwa......."
@salimkassim6454 жыл бұрын
Thanks for this masterpiece
@salmaathuman91563 жыл бұрын
R.I.P MWAMBA MAGUFULI♥️💔
@stephanochazi51743 жыл бұрын
Jonpobe. Makufuli
@rahmahersi21163 жыл бұрын
Sahihisha usemi WA WALAKA...... AU WARAKA.....Inatia aibu.
@khamisiiddi93214 жыл бұрын
Hatari
@marykibwana94134 жыл бұрын
Da,napenda sana makala zenu mnazoandaa, zinavutia mno.
@marykibwana94134 жыл бұрын
Asante, kwa ku-like comment yangu.
@ezekielikagine91684 жыл бұрын
Tuletee na historia ya mtikira.
@kurwamapozi12784 жыл бұрын
broo nakubali sanaa
@benedictmrisho23613 жыл бұрын
" Mh Lowasa alipokatwa imani ya watu wake ikawa haba"
@chagurichad60524 жыл бұрын
Umezingua kuxema et hatujawahi hata kupata umonitor kwa hyo tukichukua form et tutaishia jela
@mgangasaid79902 жыл бұрын
Kalale huko
@juliusnakembetwa18723 жыл бұрын
We jamaa unajua kinomer...
@suleimansaid26333 жыл бұрын
Binadamu hawasarifiki huyo ndio binadamu. Mungu Mkubwa kila Kiongozi anamema yake na mabaya yake. Hakuna mkamilifu.
@abuuchaula69614 жыл бұрын
Nakubali
@mamavivi33244 жыл бұрын
.
@hassansaleban74293 жыл бұрын
God bless you for amazing information keep it up brother to be honest if u could do this English u could have won best stories all the time but still still ur Informationen us ur bless ur contributing alot to educated more and more
@maphandezulu25734 жыл бұрын
Kikwete
@tariqaziz47994 жыл бұрын
We miss you JK
@maxmilianmgalatia3304 жыл бұрын
Mama nilipo nitatoka......
@documixtanzania91503 жыл бұрын
Osama
@iddyshabani59424 жыл бұрын
MTIKILA ALIKUWA NOMA
@wisdommwakalinga91074 жыл бұрын
Tunapenda xana kazi zako ila angalia kuonyesha maneno yenye elemenzi za dharau kwa askari katika makala zako
@kindokiyanga48053 жыл бұрын
Unakwama wap mzee
@khalidali11304 жыл бұрын
Samaki anaefungua mdomo ndo hunasw na ndoano ikamnasa yeye hahaha mbavu zng mie
@linuskyando41553 жыл бұрын
Alituletea Mitandao ya simu
@hemedhemed77014 жыл бұрын
Salim Ahmed Salim Lowasa na Rostam mlituchezea mchezo mchafu sana ila kikwete ali play part yake vizuri 👍
@mgangasaid79902 жыл бұрын
Uliwaona
@hilalhilal84004 жыл бұрын
LEO STORY MEIPENDA KINOMA.
@abdallaameir31534 жыл бұрын
Mm aona hawa wanaotengeneza hizi video watupe za kwao tuwajue zaid
@mwamedchilung77374 жыл бұрын
chama kinapiga chafya chyee!
@jaffarchimbuvu74993 жыл бұрын
Uyu alipikw,kwanza baba ake alikuwa kionzi,kuna nn tena maji ufata mkongo
Mbona hujaongea Rostam utajiri kapata wapi? Ukwepaji kodi, hela ya epa , mikataba ya madini, mikataba ya umeme na gesi. Hiyo misaada ni hela yetu. Wajinga ndio tuliwawo.
@azizihfarijala53073 жыл бұрын
Wewe mnafiki aliyefanya kikwete haijafikiwa na marehemu tukiorodhesha.hapa tutakesha
@mgangasaid79902 жыл бұрын
Alikuwa dikteta lakn
@benedictmrisho23613 жыл бұрын
Huwezi kujua uzuri ama ubaya wa Rais yeyote mpaka hapo atakapotoka madarakani kikatiba ama mapenxi ya Mungu mf R.I.P. Si vyema kumsema Rais ambaye hajafikia ukomo wa kazi yake.
@mgangasaid79902 жыл бұрын
Umeona ee
@elishakalengo63684 жыл бұрын
Hahaha mwenye nyumba kaja
@mgangasaid79902 жыл бұрын
Yako
@ernestmichael43154 жыл бұрын
Ha
@freedomforall74733 жыл бұрын
Waizi ni kenya walikula pesa za corona bila aibu bado wanajifakharisha
@mgangasaid79902 жыл бұрын
Kula na wewe
@Ivanmtanzania3 жыл бұрын
@Jastinmadoi
@makhosijozi5414 жыл бұрын
Nice
@ruginaolympe55874 жыл бұрын
Tunafuata vipindi vyako lakini kiswahili cako ni kigumu saana kuelewa.