Raha ya kusikiliza neno na uku roho anafikia na unaanza kunena kwa lugha hallelujah
@user-cc8fy5il4n11 ай бұрын
Amen amen ninaulizo mtumishi kwa nini Yesu msalabani pamoja na wizi wawili mumoja alimuambia nitakuwa nawe paradiso ilaunasema saa hii hakuna paradiso samahani asante
@queenesther263911 ай бұрын
Uuuuuuuuuuwiiiii Wewe ni BWANA UTABAKI KUWA BWANA YESU... Karibu Sana MtumeMaliyaBwana.... Najua nitakuwa vizuri nitakuwa mmoja wa kukuhudumia! Karibu sana Tanzania karibu karibu baba
@emilyngandu799911 ай бұрын
Mtumishi Uganda wanaongeya kingereza piya kiganda which is the most spoken language
@winnyrocha19011 ай бұрын
Amen Amen karibu Tz mtumishi MALI YA BWANA Africa yote utufikie
@KM-hx8zy11 ай бұрын
Mutume Meskak hapakazini KAZI sio sawa na kwetu Afrika. Mungu atubariki tujifanyie KAZI, hapana kutumikiana
@sarabura893311 ай бұрын
Amen mtumishi wa MUNGU
@Ma86na11 ай бұрын
MUNGU Awabariki sana mtumishi wa BWANA kwa ukweli wa neno la MUNGU
@victorialauwo832411 ай бұрын
Bwana abariki safari mfike salama katika jina la YESU KRISTO
@Reginajohnson1988411 ай бұрын
Mie Niliona tiger 🐅
@fatumaminyeko187511 ай бұрын
MUNGU akujalie safari njema
@user-ez1rx1qs6d11 ай бұрын
Wooh!punde si punde naona utafika Kenya pia .mungu awepamoja nawe.
@Mjakazisafi836111 ай бұрын
Amen Amen karibu sana mtume MALIYABWANA ata kenya pia na safari njema
@Reginajohnson1988411 ай бұрын
Wachambe mtumishi!!!! watu yani wamefungwa ufahamu sanaaa wabishi ni vizuri unawachamba Kiroho Ila tatizo wagumu kweli kuelewa mnooo, ubarikiwe mtumishi, chapaaaaaaaa INJILI mwanangu HALLELUJAH amen
@kendikendi563411 ай бұрын
Niota Kuna kamnyama Fulani kaliingia Kwa mdomo wangu kanakaa kama lizard what does that mean
@tumainisamweli26011 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi karibu Mbeya tanzania
@RahelNkuni11 ай бұрын
Mungu Akupe kusonga mbele mtu wa Mungu
@user-hf7gw9qk4d6 ай бұрын
Mtumishi , mungu akulinde endelea kusema ukweli wakiufunuo wa roho mtakatifu
@belyseirakoze537111 ай бұрын
Amen mtumishi karibu na burundi pia namuomba Mungu akupe kibali cha kuja burundi pia nitafurahi sana ubovu wa bahati sipo Africa 😢😢😢 ila kile watu natapokea nita kipokeya pia in Jesus name
@3leggedbird2228 ай бұрын
Karibu sana mtume njoo arusha utukomboe
@user-xe2qm4yt6w3 ай бұрын
Amen
@carohkombo813311 ай бұрын
Amina kuna wengine mahubiri yako yamenifungua macho tangu nianze kukufuatilia nimeona mabadiliko makubwa sana,nakuangq mtu wa vita na hasira ya ajabu,lakini sahii kweli kama mtu anawezanifuruga na nijiendee zangu nikikemea kimoyomoyo kweli mungu ni ajabu,unapoomba niweke katika maombi tafadhali mtumishi
@gitongazoneman410011 ай бұрын
Chunga sana mtumishi usicomlaini sana Kwa madui complain inspirit but waonye tu kidogo wataskia pia yesu alisema ,mwenye macho haambiwi tazama, thn ulipiga kelele sana unaelekea kama nganga ,siku izi anaitana umbwa na kushauri watu Waite maadui ivo
@chekaelia42829 ай бұрын
Nashukuru sana kwa maombi ya wauudumu walio niombea kuusu mtoto wangu anaendelea afazali kabisa. Asante sana mimi Dada Sophia toka Australia 🇦🇺
@Judy3730711 ай бұрын
YESU niwezeze ninjitenga sana na nzi kwa wokofu wangu🙏
@dadafrida920211 ай бұрын
Uganda wanaongea kingereza 'kiswahili sio sana mtumishi
@TumainiThomas-sg3rd11 ай бұрын
MWANA KONDOO AMESHINDAAAAA TUMFUATE karibu sana sana Tanzania
@user-vo3bi6fe2s11 ай бұрын
Nihabari njema jamani hii , karibu sana
@AzAz-sy6zp11 ай бұрын
Amen ubarikiwe san mtumishi kwa kipawa cha kupapanua roho mungu akubarki kwa huduma yako
@sarabura893311 ай бұрын
Kwakweli ninaomba MUNGU anikumbuke atembee na mm natamani kwenda mbinguni sitaki kwenda jehanam sioni.kitu cha muhimu hapa duniani zaidi ya kuingia mbinguni eeeh YESU kirsto nisaidie mana wewe ulikufa kwaaijiri yangu naitaji.msaada lakini.sina.majibu je kuishi kwangu ni bure arafu niikose mbingu mutumishi wa MUNG naomba uniombe mana nipo njia panda mana nataka kujua kile ambacho sijui hata kukisema lakini nafsini.mwangu naona kunakitu kinapelea jamani watumishi mnisaidie
@daudsimon148811 ай бұрын
Hii ni mpya sana kwangu sio wote wanaofunuliwa kuhusu kuzimu ni wa ukweli, na kutovaa mapambo sio utakatifu. Kumbe inatubidi tumuuze MUNGU kwa ufunuo wowote
@Reginajohnson1988411 ай бұрын
Weweeeeeeee hallelujah good news jamani karibu Tanzania
@joannekesa183511 ай бұрын
Amen amen
@zawadimwangupili451811 ай бұрын
Ukifika Tanzania karibuni nyumbani Kwangu segerea
@queenesther263911 ай бұрын
Tanzania utafikia kwangu
@Reginajohnson1988411 ай бұрын
Hao waliokataaa moto wa mungu unawasubiri, Kazi ya Mungu haikatataliwi, Hivyooo mtu unasnza je kukataa Kazi ya Mungu, UNAFIKIA TANZANIA SEHEM GANI, I mean dar es salaam sehem gani
@3leggedbird2228 ай бұрын
Anakuja arusha ndo jirani na kenya
@KizaJacqueline-dw8eh11 ай бұрын
Nikwali kabisa 🙏 ❤
@mariasalomelukosi68467 ай бұрын
Ameen
@marymwanziamary662311 ай бұрын
Fika kenya utubatize sisi badoo tunahitaji sana huduma hii.
@rosekendi838011 ай бұрын
karibu sana Africa mali ya bwana tumekusibiri sana sana hapa kenya
@LeocardiaDaniel-sj3wl6 ай бұрын
Nabii karibu Sana Tanzania ili ujisikie ukiwa katikati ya watu wa mungu.
@JOVINSTORY198411 ай бұрын
Amen Baba karibu sana nakusubiri
@user-nr2yy7px9k6 ай бұрын
Njoo Uganda pia Wana ongea kiganda ,kingereza,na kiswahili.
@casiphaabdi38968 ай бұрын
Karibu kenya kwa ukombosi na neema ya watoto wa Mungu waliowapotevu❤❤❤safari njema😊
@sophierkhatib186211 ай бұрын
Amina mtumishi wa MUNGU karibu sana TANZANIA
@user-hq9qy6qe1f11 ай бұрын
Nashukuru Mungu kwa kutupa mtume wa kweli kama wewe.umenisaidia saana kiroho hasaa swala tata la chanjo ya korona. Endelea kuanika manabii wa uwongo ili mwenye masikio na asikie.
@AzAz-sy6zp11 ай бұрын
Amen mtumishi mungu atawatangulia kwa hiyo safar mungu atawabariki
@_Ananias11 ай бұрын
Amina, Barikiwa Mali ya bwana
@MLIMA-WA-BWANA11 ай бұрын
AMEN AMEN kweli kabisa Mtume MaliyaBwana ❤
@NimethNdelwa-zc9zj11 ай бұрын
Amina karibu mbeya mtumishi wa Bwana tutafurahi kukuona
@queensgambit549611 ай бұрын
Glory to Jesus! ❤✅
@TumainiThomas-sg3rd11 ай бұрын
ARUSHA KARIBU
@nestorypesambili734111 ай бұрын
Kwa Tanzania utafikia mkoa gani mtumishi
@njorijanavenand363211 ай бұрын
Chalom mtumishi Mungu wa roho ya Manabii akujaze tena upako samahani naomba number ya simu
@user-zy6pf4td8d9 ай бұрын
Karibu,brund,
@JACKLINEMUENI-vh5lc11 ай бұрын
Na kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 pia ukuje tunakupenda
@josephkabayakataya-ut8jt10 ай бұрын
Karibu Sana kwetu Congo drc Pia djimbo la Katanga usiisahau mtume Mali ya bwana ameee❤❤❤
@zenamhumba276711 ай бұрын
Mnadhiri anaweza kupunguza nywele au zisipunguzwe kabisa??
@user-nr2yy7px9k6 ай бұрын
Njoo Jinja ni nyumbani
@chekaelia42829 ай бұрын
Njoo kwetu Australia 🇦🇺 ♥️
@MetodMakungu5 ай бұрын
Siri yamtu huwa anaijua mungu hata ww pia nitapeli kama mataper wengine maana unajiita mtume 😂😂😂😂 jitahidi sana kaka mungu atakuja kuwaumbua hata wewepia lazima utaingia motoni
@user-hq9qy6qe1f11 ай бұрын
Hujambo mtumishi?Ukiota umezaa mtoto ina maana gani?huwa nimeota kama mara nne kwamba nimezaa mtoto wa kiume.
@joannekesa183511 ай бұрын
Amen 🙏🙏🇰🇪
@LeocardiaDaniel-sj3wl6 ай бұрын
Uganda wanaongea kingereza na kiganda.
@chekaelia42829 ай бұрын
Uganda wa Swahili na English na ughand dialect
@Reginajohnson1988411 ай бұрын
Esta ni Muongo tena sasa hivi sikuhizi na nguo za kilingeni anavaa mitandio mikundu, Ila manabii wa uongo ni hatari mie nilimwamini, Ila kunavitu vilinisaidia, Ila now inatisha
@user-nr2yy7px9k6 ай бұрын
Tupo wengi sana
@dadafrida920211 ай бұрын
Bujumbura utakuja lini mtumishi ?
@josykogei764711 ай бұрын
Nyasike chaula naona ako sawa ju iyo kuwacha nywele wazi na ni fupi aki sawa,mwanzo Mimi hupitia mandiko,nimepata Mahali ampambo inasema na mwanamke yeyote asiache nywele kuwa ndefu Bali apunguze kiasi na isiwe kipara ako sawa Mimi ni mandiko nimesoma please
@liesharehema519311 ай бұрын
Aminaa tutawajulisha
@daudsimon148811 ай бұрын
Amina Mtume
@everlynemiriam594310 ай бұрын
Uganda national language is English don't worry about that
@LeocardiaDaniel-sj3wl6 ай бұрын
Je. Mtu ambaye Ameliwa na wanyama atafufukia kwenye kaburi gani?
@mmm419911 ай бұрын
Mariam musa Amen Amen Amen
@evaristebenoit502911 ай бұрын
Na sisi sweeden?
@evaristebenoit502911 ай бұрын
Na sisi Tunahamu na wewe mtumishi hapa sweeden
@user-zy6pf4td8d9 ай бұрын
Mimi,bene,nimerudi,nyum,kimaombi,nifanye,nini
@MetodMakungu5 ай бұрын
Sasa na wewe tutakuamini vp kua nawewe nimtume?
@user-zu9kf2vi7f10 ай бұрын
Mualimu umenipandisha kiwango sitakosea mafundisho yako ajapo sijui technologie ingine yakuwasiliana
@julieluziga477310 ай бұрын
Hapo sijaelewa mtumishi wa Mungu, mtu akifa kwamba muda wa Mungu amepanga Je mtu akifa amekamulisha miaka ambayo Mungu alipanga, lakini alikuwa hajaokoka, ataenda sehemu ya mateso (yaani kuzimu)?