Asante makonda unaivua nguo CCM. Hongera sana unafaa uvae viatu vya Mjombà. Omba ridhaa wanyonge tutakupigania
@esthersissamo11204 ай бұрын
Mungu mlinde na mpe afya njema mkuu wetu Makonda mpe maisha marefu maswali yako bomba sana sana Mungu ibariki Tanzania Mungu ubariki Mkoa wetu wa Arusha na wananchi wote
@agnesmogere4134 ай бұрын
Hongera makondo kazi nzuriiiiii sana
@sarahdeograthias90974 ай бұрын
Viva makonda vivaaaaaa
@nowamateyo33184 ай бұрын
Ubarikiwe sana mkuu wa mkoa mwiz ni mwiz TU m.banee
@justinemisigaro14714 ай бұрын
Mungu akubariki sana RC P Makonda kwa utendaji wako mzuri uliotukuka Nakuombea ulinzi Ili uendelee kuchapa kazi hiyo njema
@AbelLazaro-y4p4 ай бұрын
Kwakweli mungu akupe maisha makonda, kama atauona comedy angu raisi samia, angemhamisha makonda akaenda , mkoa wa mwanza, na penyewe akapiga kazi wala rushwa wako wengi sana.
@julypetros76924 ай бұрын
God bless. You Mr makonda
@nowamateyo33184 ай бұрын
Safi sana mkuu wa mkoa endelea kuwa bana waizi
@user-tp5eu8cx8d4 ай бұрын
Safiii
@josephmwabange96334 ай бұрын
Akisha kuwa mtumishi si unajua inabidi tufuate eee , Kaka Makonda Mungu awe nawe muda wote , ww ni Daudi , shujaa wetu
@MwinyidadiJuma-jl4gm4 ай бұрын
Yani watu wameiba mahela nabado wanaendelea na kazi duuuuh
@josephmwabange96334 ай бұрын
😂😂😂😂 yaani Makonda ni baba
@ErnezaKivulenge4 ай бұрын
Kwakuona haya madogodogo kunamakubwaa mabaya sana yanapita hatujui mungu tusaidie
@lordsm.k-db3wy4 ай бұрын
Tatizo makonda amesimama mwenyewe Viongozi wengine wamesinzia
@clementhiddi14864 ай бұрын
Hii nchi watu wanaonewa sana cjui nani mwenye dhamana na nchi.
@EliauMtishbi-os5ky4 ай бұрын
Mama wa UWT unaesema Wanawake wanadhalilishwa , sema kwa uzembe huu wa Mkurugenzi wa Monduli
@LekuleKipuyo-gk4rq4 ай бұрын
Hao wamezidi sana wizi monduli ndio kwenyewe makonda piga monduli madudu mengi sana tumechoka wanachi
@BonifaceHassani4 ай бұрын
Ibrahim.T-Bukina & P.M - Tz🎉🎉🎉!
@OmanOman-dn6dj4 ай бұрын
Huyu mkurugenzi Kazi hana😂
@lusajomwakalinga58134 ай бұрын
Ndiyo sheria
@PeterMlungu-fb2jv4 ай бұрын
Mama Samia tunaomba ateue watu wenye utendaji Bora siyo kama huyu mkurugenzi hafai kiti hicho
@hassanmeidimimollel18744 ай бұрын
Eee Mungu msadie Makonda huyu ni kiongozi bora inabidi viongozi wengine wamwiige ili nchi yetu ipige hatua
@novatusabond92534 ай бұрын
Huyo mama nae anahusika kwenye kula pesa inavyo onekana
@hyy41144 ай бұрын
Kwa Kwel maelezo yake tu nae ni mwizi
@KamwandaNzowa-eo4ur4 ай бұрын
Ndiyo maana wananchi wanailalamimiya sana hii serikali ya chama Cha mapinduzi
@MahamduMduma4 ай бұрын
Wewe unayemponda mhe. Makonda huna akili kabisa.
@amiribakari25284 ай бұрын
Huyo mkurugenzi hata hajui wajibu wake
@PeterMlungu-fb2jv4 ай бұрын
Kaza mwendo makonda wahuni Hawa usiwaache
@frankdionis77004 ай бұрын
Kwali nitamani kuwa namsikiliza makonda kuliko mkuu
@FilbertKalembe-fy4oq4 ай бұрын
Viongozi wetu elimu hawana wanateuliwa kiundugundugu hii ndiyo Tanzania
Unamwambia nini kk kwani hamjui kisima cha milion 4 mpaka 10 kinachimbwa kwa milion 600 ?Na hakitoi maji?africa tunahitaji ukombozi wa fikra na uwajibikaji ili tufike mbali
@juliusdonard9334 ай бұрын
Huyu mkurugenz naye n mwizi
@kilogreekachananawatuwasio40544 ай бұрын
Gombania Uraisi Utachukua kwa kishindo kiti cha Uraisi Tanzania 🇹🇿 Mzima kwa kazi mzuri yako tunakuwa kama Ulaya wataogopa kila kitu cha Alam😂😂😂
@khadjamhozya4 ай бұрын
Atachukuwa kwa kishindo kupitia njia gani
@JovinPeter4 ай бұрын
Tulieni mwanaume apogee kaz wavulana tulieni
@LaureanKajugusi4 ай бұрын
Charles Elias, vipi? Mbona hueleweki? Ni chekechea wa upinzani nini? Punguza ubaby!
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur4 ай бұрын
Huyu mkurugenzi usoni tu ni mwizi, yani anavoongea machoni anawatetea wezi
@gtvonlinemdee70014 ай бұрын
Rule and regulations ndio zinazoongoza siku mtu akichukuliwa hatua pasi na kufuata taratibu watu wanaanza kulalamika. Mkurugenzi yupo sahihi kabisa kwa kusimamia instruments zinazowaongoza. Tuwe waumini wa taratibu
@abrahamkashingo99494 ай бұрын
Nakuunga mkono
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur4 ай бұрын
Mwizi mkubwa wewe
@gtvonlinemdee70014 ай бұрын
@@SmilingBulldogPuppy-nb9ur wewe ni mtumishi au mchunga ng'ombe kama umeshindwa kuelewa namaanisha nini utaweza kutafakari Maandiko katika Biblia
@EzekiaMyila4 ай бұрын
Mimi nataku kuwajulisha kuwa makonda muache afanye kazi bila kushulutishwa na watu kuomba urais mungu atasema maana aliomna ubunge akanyimwa sababu huko ccm acha kunawatu wezi huko warsfi wa madaraka hawawezi kupa kule ndani maana wai makonda anafanya kazi wao wanasema ataka kiki wajinga hao
@josephjulio61124 ай бұрын
Ivi kumbe wanawake ni wezi
@abrahamkashingo99494 ай бұрын
Mkurugenzi hajaiba jaman! Msihukumu
@Lundege_Hips4 ай бұрын
Makonda omba Ridhaa ya kua raisi wanyonge tupo pamoja na wewe
@success-only4 ай бұрын
Hana jipya just Kiki tu
@sundaystanley53224 ай бұрын
Ndivyo mlivyo,hatuwashangai
@khadjamhozya4 ай бұрын
Pumbavu
@godfreykablanyika4 ай бұрын
Ww Ambae una kitu umetusaidia nini
@olaislukumay22084 ай бұрын
Kaaa kimya Kama unaishi kwa Bela hizi za dhulma nyamaza
@RashidMakumbuli-xx3gc4 ай бұрын
Mjinga ww
@alfredngilitikahonga6724 ай бұрын
Makonda anatafuta kiki kwa kutowapa nafasi watendaji kujieleza vilivyo na wanamwogopa kumueleza ukweli
@africanreaction85014 ай бұрын
Asa kama mtendaji ajibu swali analo ulizwa ana badili maswali yan watendaji wengne apana asee
@clementhiddi14864 ай бұрын
Na wewe una akili kama za watendaji, huo uzembe wewe unauvumiliaje?
@hamisombali85454 ай бұрын
wewe fara kabisa
@RashidMakumbuli-xx3gc4 ай бұрын
Kiki kivipi mjinga ww
@HappyCobra-wk6rq4 ай бұрын
Wewe unachangia hoja Kwa kutafuta Kiki ,wewe MTU mwizi ,mzembe fukuza