T M U Team Makonda Ukombozi, Mungu azidi kuwatangulia na kuwalinda. Zaburi 35 ikawatangulie, kwa jina kuu la Yesu Kristo, tuko nyuma yenu kwa maombi
@aloyceponela32495 ай бұрын
Safi sana makonda. Piga kazi usiogope mtu.
@maswimaswi-zo5cf5 ай бұрын
maswi joseph
@bihagazeayoub11975 ай бұрын
It's a good way to earn an income through youtube Channel account because you reminded me of home in Kigoma, where palm oil is our Favorite when I was staying there now I'm in Kondoa Dodoma Tanzania very nice sister to make your channel reminiscent.
@gilberthanjovu63404 ай бұрын
Makonda awe mkuu wa mkoa wa nchi nzimaa azunguke mikoa yotee
@MohsenAljahwary5 ай бұрын
Makonda Apewe zaidi ya mkoa mmoja hata Mitatu au Minne ili aweze kumaliza Dhuluma kwa Watanzania na ktk MIKOA ya kuongezewa Makonda Ukiwemo mkoa wa kwanza Morogoro ni Matatizo sana Haki za Wananchi zinabanwa ni ujanjaujanja tupu Viongozi waliopo ni shida tupu.
@hssanrubota38915 ай бұрын
Mm nafikiri kama mama rais wetu angetupatia wakuu wa mikoa kama hawa asingepata kazi ya kuendesha nchi yeye angeendelea kula mtoli hapo ikulu sasa kuna wengine hajielewi hawajitambui wanasababisha kunyima haki za watu kuharibu hela anazohangaikia mama yetu kuzitafuta huko nchi za nje
@maulidharuna1835 ай бұрын
Mbona kama nimemuona aliyekuwa mkuu wa mkoa tabora mzee wa soma hiyooo
@rahmarama56695 ай бұрын
Yaan watu tuna degree mtaan wengine wanalewa madaraka
@JUU-lw2je5 ай бұрын
Kuna akina mma eanapiga vigelegele kwenye matukio ambayo hayaitaji vigelegele
@patrickmukundichalamila30385 ай бұрын
Wako na furaha
@radhiambwana33535 ай бұрын
Icho kigelegele chenyew hatar 😂
@richardmagaka95255 ай бұрын
Yaani huyo mama humwambii kitu tena ukimkosoa mh anaweza kukuua
@stephenkitururu55884 ай бұрын
Kazi ipo hapo baba makoda mama anapata shida kujieleza na amesoma duuu!!!! Pole yake maana unamuuliza maswali marahisi sana ila kwake ni magumu sana yani
@deniskaguo46984 ай бұрын
Timu yamakonda iko makini sn huyu jamaa angepewa hili taifa baada ya mama kumaliza miaka yake,, 5 tena kwa Samia wetu
@mwalagokache3755 ай бұрын
Huyu mwanasheria WA almashauri ni wale WA kuwekana MTOTO WA mjomba shangazi hakuna kitu tubataka uweledi sio kuwekana ndio zao lake
@RobertMachenga-tz3re5 ай бұрын
Makonda kwa kisukuma ni Malendi na sifa ya Malendi wasukuma wanajua ina mambo mengi sana ukitaka kula ni sawa ukitaka iwe sabuni ya kufulia na kulainisha nywele sawa kwa hiyo Paul Makonda nimwamba. tukubali tu na Halmashauri nyingi ziko chini ya usimamizi dhaifu mno lakini serikali haijui na uzuri asilimia 90 ya watanzania wote hatujui sheria na wale wanaojua sheria wanakauoga fulani kusimamia sheria wasichukiwe na jamii hapo ndiyo kazi ipo hapo na Malendi ndiyo watamchukia mno anapowabana watumishi wazembe.
@musaamos24314 ай бұрын
Sasa huyo mwanamke si wawalipe hao hela kwani anatoa mfukoni mwake
@StevenAdamsongela-k4r5 ай бұрын
Makonda mtoto wa nyerere julias kambarage.
@MasawilaGoa5 ай бұрын
Bro upo vzr mungu akubark sna wanyooshe bro
@stanleymhozi75905 ай бұрын
Mbn kapanik? Kama sio mzulumaji?
@JeniphaAkimu5 ай бұрын
Vizuri havidum tumuombee tu
@mtakatifubony55255 ай бұрын
Makonda kichwa kweliiiiiiiiiii kweliiiiiiiiiiii
@emmanuelmlowe-ew7gx5 ай бұрын
Makonda anatakiwa kuwa waziri mkuu au rais kabisa
@miriamdavis38935 ай бұрын
Huyu mwansheria ana wenzie wengi tu vizara kama yy shida aliforce mambo ya open University hadi kutoboa
@Abu-Hamza2545 ай бұрын
Sio sasa Kipindi kile🤣🇰🇪
@emanuelsamaytu94375 ай бұрын
Vzr san
@stanleymhozi75905 ай бұрын
Dada wahovyoo sana sielewi hata maelezo yake
@agnessangawe38445 ай бұрын
Toa Hoja Kwa Mh. Acha kujipendekeza
@adammlonganile79215 ай бұрын
Mbona hamumpi nafasi mwanasheria wa halamashauri, huo ni upouzi
@katwigayona80415 ай бұрын
Nafasi gani ambayo mahakama ilishamalizaa kutoa hukumu,kama angekuwa anataka nafasi angekuwa amekata rufaa kupinga hukumu y mahakama... Wewe unachuki zako binafsi
@stephenkitururu55884 ай бұрын
Apewe nafasi Gani ikiwa akipewa nafasi anashindwa kujieleza ,,, Tena anaulizwa maswali ya kiyoto tu ila hawezi kuyajibu anaanza kusimukia stori nyingi za Kona Kona
@CharlesMisungwi-f8t5 ай бұрын
Kiongozi huyu hanakazindogowala kubwa anawezakuishi kwenyekundilanyangumi ausisimizi najamii hiyo maisha yakaenda bilashida.
@JUU-lw2je5 ай бұрын
Watumishi wa serikali Arusha wataacha kazi.makonda ukimaliza Arusha jiji njoo Meru D.C.
@stanleymhozi75905 ай бұрын
Dada hadi aibu maana unacheza na moyo wako unavyosema sio sheria inasema nn
@rehemaMkumbo-mf5gs5 ай бұрын
Huyo mama akalee watoto tu nyumbani hana anachojua hadi mimi nimeelewa kinachoendelea
@deodathrobertquacker38795 ай бұрын
Ujampa nafasi ya kumsikiliza
@RoseKimishabhalemi-oz9bn5 ай бұрын
Makonda akaharibu akatiie hasara serekalin. Na si wanyonge hao
@EmmanuelNyinyigwa5 ай бұрын
Hiyo sio kes tana ilisha kwisha jambo la msingi ikifika mwaka 2029 ndo muwalipe sawa
@Justinndalama015 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂 sijui kama ni maisha ya kweli ila kama nimaigizo?