Ukweli huyu dada hafai kabisa kuwa mkuu wa sehemu yeyeote ile katika serikali maana anaonyesha ana lishwa pesa ndogo ndogo kwa kila sehemu
@robertkiarie21544 ай бұрын
This guy one day will be the Tanzania president mark my words Kiarie from Kenya
@user-mt3jc6no5w3 ай бұрын
I do agree with you ❤
@giftkalenge4185 ай бұрын
makonda jujuju ju zaidi unafaa kuwa waziri mkuu
@user-hs3ih2fe8g5 ай бұрын
Mungu nimwema impendeze mungu uwe raisi utukufu tunauona pambana kaka
@petersonmwenda39944 ай бұрын
😂 Tanzania mko na bahati sana,hapa Kenya hatuna mtetezi,huko Kenya maskini Hana haki...... Siku mja nitaishi Tanzania
@willsontigiti83635 ай бұрын
Pole makonda kwa kazi nakuombea kaka yangu
@loemamayor82874 ай бұрын
Mungu wa Mbingu na Nchi akusimamie Baba Makonda unafanya Kazi ya Mungu.
@user-fj1ww1oz4b5 ай бұрын
aisee mungu mkubwa mama yetu kutuletea makondaa abarikiwe
@edwardsemwenda17515 ай бұрын
Gairo kuna kazi uje
@user-zk9ox3di4b5 ай бұрын
Ongezeko la watu angalieni
@user-gk9wq5pl6l4 ай бұрын
KATIBU MWENEZI KUNA HUTUBA YA KIONGOZI MKUU WA NCHI ANASEMA WATU WENYE KUINGUSHA SEPIKARI WACHOMOLEWE MMOJA MMOJA
@user-dx9gf7vx1r4 ай бұрын
Hivi kweli hao Viongozi wanaitwa wataalam wanna wazazi kweli na hao wazazi wao wananyanyaswa
@roselinemoshi50084 ай бұрын
Mwenye Enzi Mungu tuhurumie nchi yangu Tanzania 🇹🇿 😢😢😢
@user-zi1gp6dc2q5 ай бұрын
Aaaa kweli tunapigwa wananchi natunanyanyasika sana pia anaesema magufuri alikuwa anamtuma makonda kuuwa watu mna uhakika achen ushetan kumsakama makonda wawatu apige kazi
@RamadhanMakau-ds6ju3 ай бұрын
Makonda hapa hapa mzee
@user-kv1qr3gv9t4 ай бұрын
Makonda chapakaz baba tunaonewa sana
@user-zk6hl8fe1s2 ай бұрын
Jaman
@mdemualphonce15595 ай бұрын
Umeanza vizuri sanga sada unaharibu
@martinabayyo99825 ай бұрын
Makonda Mungu akutangulie tenda haki tunananyanyaswa sana na baadhi ya viongozi
@Bizibaginajason5 ай бұрын
Adui wa binadamu ni binadamu mwenziwe.Mungu tout basi asaidie
@YefthaKornelio4 ай бұрын
Hongela kiongozi watu mzri san
@user-dx9gf7vx1r4 ай бұрын
Mkonda Mungu akulinda. Watalam wa Ardhi ki ukweli hawa watu wanajiona miungu watu kwenye nafasi yao
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv3 ай бұрын
Huyu ndiye mwamba sasa anafaa sana makonda hoyeeeeee nakupenda sana mi chadema lakini kazi unafanya mwamba tuna ona
@user-zk6hl8fe1s2 ай бұрын
Ok jaman
@alexmatt95044 ай бұрын
Hii inaonyesha Wizara ya Ardhi ina matatizo
@emmanuelmwamlima10274 ай бұрын
Daaaah inchii yaan mpaka machozii😢😢
@simumbaken49025 ай бұрын
🙏
@masumbukosiyougomvi79005 ай бұрын
Mdogo wangu makonda, punguza, kwa mwendo huu inaonyesha tz tunasida saaaaana!
@Zubaiba5 ай бұрын
Nakupenda sana makonda🎉🎉🎉🎉
@Monica-vq2iy5 ай бұрын
Makonda naomba kuuliza et kasimu majaliw yuko wap makamo wa rais yuko wap
@asnethfelician72683 ай бұрын
❤
@honhonhaule92325 ай бұрын
Safi sanaaa mh makondaaa
@josephjacob60543 ай бұрын
Muheshimiwa Malinda fanyakaz ukimtanguliza mungu nchi hii wachawi wengi mno
@user-nr3my6cz5m4 ай бұрын
Makonda chapa KAZI from Lubumbashi drc mkongo
@atnasisarme15714 ай бұрын
❤❤❤😊😊😊😅😊
@JibrilBanga28 күн бұрын
Bonsoir
@user-mo2iv1xo1g4 ай бұрын
Poleni,Hii dunia mwanadam zake ni futi siti lakini viongozi nikufinyilia mwananchi.
@iddipazi51424 ай бұрын
Kumbe kenya na Tanzania sote ni ndugu yani jinsi mnavyo nyanyasika hamuna tafauti na sisi mungu tusaidie
@susananyasani652627 күн бұрын
Maskini inauma Wananchi wengi hawajalipwa Fedha zao poleni sana Wananchi
@user-bd2qf6fn7u3 ай бұрын
Kiongozi kama kiongozi ni busara sio umri❤
@user-zk6hl8fe1s2 ай бұрын
Ok ok
@user-xk9ec7ru6d4 ай бұрын
Ukwel makonda unastahili kuwa kiongoz wa inch hii sab unajuwa kutenda hak na kusmamia hak mungu akusmamie
@pmanpjjp5 ай бұрын
Kuna watu wanajisahahuu sana kupewa madalaka kidogo wananyanyasa watu sio Viongozi Bora hata kidogo Awana sifa
@user-tm4vr7jr5u28 күн бұрын
Boya kama huyo ndio mnafurahia na serikali ni ya ccm bado Makonda ni wa ccm sasa mabadiliko mtapata wapi kwendeni huko acheni uhuni huyo ni kujitamba tu
@berthamakortha8387Ай бұрын
JAMANI EBU FANYENI CHOCHOTE KWA HAO WANAKUJA KUVUNJA NYUMBA ZA WATU PIGENI MAWEE NA KILA SILAHA INAUMA SANA NYIE
@AntonDeus-ds9ns4 ай бұрын
Makonda oyeeeeeee:
@user-ek7tp2fg8t4 ай бұрын
Jionee wenyewe mbaka sas selekari hinacho kifanya siy kabisa tunaungozi mubaya sana daaa mungu 😂😂😂😂😂😂😂
@skjjsj18895 ай бұрын
Heee hee 😊😊
@shukurukihwelo30844 ай бұрын
Sanga sawa hicho kidonda chawengi
@user-fu9zd2dg5b5 ай бұрын
Mwenezi makonda babati
@Kanyawela4 ай бұрын
Miaka 60 bado migogoro ya ARIDHI eti tuna wataharamu CCm mmeshindwa kiri
@shukurukihwelo30844 ай бұрын
Siasa tu hapa
@Omarjumanne-zm9zh5 ай бұрын
Hats. Nzega kuna tabia ya kukwepesha ziara za viongozi
@Westetv4 ай бұрын
Sasa mheshimiwa makondanini maanayamikutaniyako maanasionichochote ulichomsaidia huyomzee wawatu nafamiliazake
@hamiduchingi26724 ай бұрын
Bro tatizo serikali inawataka viongozi wenye Elimu wezi kuliko wasiokuwa naelim naniwachapakazi tanzania hii aitaki waaminifu inataka watumishi wezi,matapeli,wazuluma , aiitaji watumishi waaminifu😂😂😂
@Clement-px8eg4 ай бұрын
😢mnafikiiii
@user-ks7bs8yk3p4 ай бұрын
Hakuna serikali dhaifu ila kuna watu wachache ambao ni dhaifu wanaisababishia serikali kuonekana ni dhaifu mimi ni mmoja wa janga kama hili natamani kumuona samia kama wao wanaweza kuona malalamiko yangu kama sio uhuni
@martinsokoi3974 ай бұрын
Kwa Nini Marais wote hawajafanya hivyo Samia samiawatu wanatezwa
@YusuphNyumbu5 ай бұрын
Ki ukweli baadhi ya viongozi wanaoteliwa na Mh rais hawatekelezi maelekezo ya mh wanafanya wananchi kuchukia chama na serikali yake awe makini nao.pongezi kwako mwenezi wetu kwa kuyana madudu
@kennychungu88875 ай бұрын
Nikweli huku mbarali Kuna tatizo wakulima tuna tatizo
@EliaHiluka-ep3tp5 ай бұрын
Makonda ushauri wangu ccm ikae pembeni kwanza wapewe zamu wengine
@michaelnziku50714 ай бұрын
Makonda kaza Buti mungu yupo poja na wewe
@berthamakortha8387Ай бұрын
KWANINIIII UYO MTU ASIKAMATWEEE NA ALIPEEE JE VIONGOZIII WAKO WAPIIII?? NA WANAFANYA NINI. JAMANI HASAAAA WANANCHI KUSUMBILIWA HIVIIII???
@andrewIzdory-sk4cu4 ай бұрын
Viongozi wanaotuongoza wana viburi sana
@naturelle10975 ай бұрын
Wanaudhi mnooo😤😤
@martinsokoi3974 ай бұрын
Arusha DC kivesi na kishimbo wamenyaganywa mashamba,na
@pmanpjjp5 ай бұрын
Katiba mama izi gatiwe wasitimie vyeo kama fimbo yakuwapigia manyonge
@GwisuMachibya-vr1uf5 ай бұрын
.amonda tunakwitaji tabora tarafa ya bunge wilayani zeng
@aronimanirakiza5655Ай бұрын
Malinda. Serekari. Ya ccm mumeshindwa
@user-if9gi2rx8f5 ай бұрын
Ndio mkomo Kwa kuwapenda hao wa kijani
@NkubaStar4 ай бұрын
hako katapeli tu hata ongea hiyo tu
@jumamnumbwa94835 ай бұрын
Hawa viongozi wanakigombanisha chama kwa wananchi hii ni treason ni mapinduzi haya ya kukiondoa chama madarakani serikali inakata tawi chama kinayolikalia kitaanguka tu kama hakitatenda haki kwa wapiga kura