No video

"WEWE USINITISHIYE MKWALA SITISHWI NA SIOGOPI" AFSA AMTISHIYA RC MAKONDA "MAKONDA NAOMBA UNISAMEHE

  Рет қаралды 61,187

Adil TV

Adil TV

Күн бұрын

#AdilTV

Пікірлер: 80
@msomaliwilliam
@msomaliwilliam Ай бұрын
Makonda unatisha sana. Nakuombea siku moja uwe Rais wa Tanzania mungu akulinde
@user-uy8ig8wz7b
@user-uy8ig8wz7b Ай бұрын
Nakubali makonda ninoma pambana baba weka lake yako apa
@AshaRamadhani-px9ov
@AshaRamadhani-px9ov Ай бұрын
Kusema ukweli nilikua namchukia sana huyu baba mungu anisamehe.😢😢 Makonda hongeraaaa sana na Mungu akuweke
@mumuog7876
@mumuog7876 20 күн бұрын
Upo Kama mimi mtupu
@CyprianSapi-tq7qj
@CyprianSapi-tq7qj Ай бұрын
Jah akulinde wewe,makonda usijekusahau maneno yangu.Utakuwa Raisi watanzania siku moja.Asante
@MERYEDWARD
@MERYEDWARD Күн бұрын
uko vizuli Mungu akuzidixhie neema😊😊😊😊😊😊
@SalimHamzaFadhili
@SalimHamzaFadhili Ай бұрын
Makonda mungu akulinde na maadui wabaya
@RulaRajabu
@RulaRajabu 18 күн бұрын
Nijembe mkomboza umejitolea kwajili ya watanzania hongela sana ubalikiwe sana
@samwelnjau301
@samwelnjau301 17 күн бұрын
Mungu akubariki kaka
@RutaEmmaMachumu
@RutaEmmaMachumu Ай бұрын
Ila mama jmn..... Hamuoni Mkuu wa Mkoa lkn kamuona Diwani.....😂😂😂😂
@atukuzwesanga4982
@atukuzwesanga4982 Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@luganomasanja6196
@luganomasanja6196 Ай бұрын
Mama anasema kamuona Diwani ila mkuu wa Mkoa hamuoni.
@ramadhanikalungwana8377
@ramadhanikalungwana8377 20 күн бұрын
Nimempenda sana mh,Diwani.
@ntirapinjocy1984
@ntirapinjocy1984 9 күн бұрын
WE love makonda❤❤❤
@OtimalyMayemba
@OtimalyMayemba 17 күн бұрын
makonda kama magufuli nampenda sana kauli mbiu zake aje ajenge taifa
@user-hb8vi9fx6g
@user-hb8vi9fx6g 2 күн бұрын
DAH INASIKITISHA SANA MAKONDA FANYA KAZI USITISHIKE ,ATAKUCHUKIA KILA MWENYE MAKANDO KANDO YAKE
@gileadmushi8294
@gileadmushi8294 11 күн бұрын
Pastor 🙌🙌🙌
@marthadaniel4904
@marthadaniel4904 25 күн бұрын
😢😢😢😢😢Haki ya mtu haipotee jmn watu watu achen kuzulum watu ni laaaaan kubwa san😢😢
@JADIDITWAHA
@JADIDITWAHA Ай бұрын
Chapa KAZI boss angu
@eliaorgenes676
@eliaorgenes676 11 күн бұрын
diwani yuko vzr sana huo mgogoro ni tata .
@zebedayoloilukumai.8813
@zebedayoloilukumai.8813 Ай бұрын
Mungu akulinde Makondo wetu
@jesckamolel5693
@jesckamolel5693 Ай бұрын
Et diwan diwan gan wew nyumbu njaa tupu tu huna lolote pumbav sana huyu diwan
@ndagijimanakibibi7381
@ndagijimanakibibi7381 Ай бұрын
Makonda nukupenda kweli mungu andeleee kukulinda
@Nagelleislamictv
@Nagelleislamictv Ай бұрын
Mheshimiwa Makonda Mungu akulinde wewe ukona utu kama mister maghufuli Mungu akusaidie sana na akupe hekima na busara mimi Ahmed kutoka Kenya nafurahia kwa uongozi wako
@AdamuMsaghaa-jb5uc
@AdamuMsaghaa-jb5uc Ай бұрын
Makonda njoo singida utusaidie nasisi
@josephlorri431
@josephlorri431 Ай бұрын
Ni busara ya kawaida tu...ila mh makonda ameamua kujitoa kwa ajili ya haki za wasio na sauti. Ameshuka chini kabisa kwa walio chini kabisa kwa jamii
@user-mc7lh6js3o
@user-mc7lh6js3o Ай бұрын
Kweli , napenda kuasikiliza makonda❤❤❤❤
@HappyBlini-zd8ej
@HappyBlini-zd8ej Ай бұрын
Makonda Makonda. Makonda Mungu wa mbinguni akulinde mwanangu. Malaika. Mikaeli. Akulinde. na ule. Upanga unaokula kuwili adui asiwe karibu. Nawe
@FamilyVideos-pt1mo
@FamilyVideos-pt1mo Ай бұрын
16:20 sasa kama inaripoti kwako hukuona na wewe kama kuna tatizo?
@user-fz1ph3cn4s
@user-fz1ph3cn4s Ай бұрын
Excellent Makonda
@MohamedMrija
@MohamedMrija Ай бұрын
Hongera makonda
@yahayabakali-x7y
@yahayabakali-x7y Ай бұрын
Simba
@eliaorgenes676
@eliaorgenes676 11 күн бұрын
Diwani ako na busara kubwa sana.
@luganomasanja6196
@luganomasanja6196 Ай бұрын
Ila mama katisha, yeye ni kipofu hamuoni mkuu wa mkoa ila kamuona Diwani yupo hapa kwenye mkutano.
@user-id5qt9hp6x
@user-id5qt9hp6x 25 күн бұрын
😂😂😂😂
@ramadhanikalungwana8377
@ramadhanikalungwana8377 20 күн бұрын
Ameambiwa na wapambe !!! Ni kweli haoni!!
@andrew29468
@andrew29468 Ай бұрын
diwani yupo vizuri
@matitutvonline4184
@matitutvonline4184 26 күн бұрын
Mbona waliojenga wamewaacha 😂😂 ? Hawa jamaa ni wahuni sana ilifaa wenye dochuments wawalipe fidia na sio kuwapeleka porini wahuni sana hawa jamaa. MAKONDA KATIKA HILI BIG UP SANA. WAMEKUWA NA DHULMA YA WAZI SANA.
@eliaorgenes676
@eliaorgenes676 11 күн бұрын
huyu diwani na maamuzi yako sawa alikua anaenda vzr.amekatizwa tu maelezo yanakwenda .na hicho anaongea makonda ndio hicho diwani amesema ni kwenda kukatiwa mashamba kwa walio wauzia
@venasmlega6727
@venasmlega6727 24 күн бұрын
Makonda ww ni zaidi ya rais nakuombea sikumoja uje kuwa rais
@ulomirabiel6980
@ulomirabiel6980 29 күн бұрын
Diwani yuko vizuri na ukifuata kelele za mob unaweza kumuonea
@user-pu8bp3tw5s
@user-pu8bp3tw5s 24 күн бұрын
Tz itarud kwenye msitari wa MAGUFURI siku MAKONDA akiikamata. Naamimini ipo siku Lakini siyo leo ni pale ifikapo 2030 au 2035
@meckgodfrey7334
@meckgodfrey7334 Ай бұрын
Viva makonda viva
@isacksimonmahungilo
@isacksimonmahungilo Ай бұрын
Jamaa kaingia kwny kuminanane
@Paplick9
@Paplick9 Ай бұрын
Poul makonda 💥💥🙌🙌
@RamadhaniSelemani-bn1fz
@RamadhaniSelemani-bn1fz Ай бұрын
Shenzi kabisa watu wanapenda sana kuzulumu Mali za watu
@AbdilahiMriri
@AbdilahiMriri 19 күн бұрын
Hapo wazi kabisa mtu alieuza ndie mhakifu , ni kwanini mnaruka eneo hilo wakati mhakifu yuko?
@williammbuzimai5744
@williammbuzimai5744 Ай бұрын
Diwani/mchungaji upo vzr tu,, Sema ulishayakuta madudu yamefanyika.
@venasmlega6727
@venasmlega6727 24 күн бұрын
Kiongoz akiwa msukuma huwa ni hatari kwakuongoza vzr
@kambaragemwatya498
@kambaragemwatya498 29 күн бұрын
Hapoo makonda anaye mtetea sio mwanamke ..mbona watu wa haki za binadam hawwpo
@AthumanyMvula
@AthumanyMvula Ай бұрын
😂huyo mama kasema haoni mala kamuona diwani yupo hapa sa cjui kaonaje kama yupo
@ShangeMbogo
@ShangeMbogo Ай бұрын
Watoto wake ndio wanae muona na waka mwambiya bibi diwani yupo yele pale ndio maana kasema yule
@EvelyneNifasha-zc6jr
@EvelyneNifasha-zc6jr Ай бұрын
Jmn mpak kuchanganyikiwa😂😂😂
@frankmwinuka6298
@frankmwinuka6298 25 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤
@menyajoseph9729
@menyajoseph9729 25 күн бұрын
diwani nimbuzi lakini aliva ngozi la kondo kama ma sheikh watafuta kondo mwisho akachinjwa kama kondo
@zebedayoloilukumai.8813
@zebedayoloilukumai.8813 Ай бұрын
Wachungaji wanatakiwa wahubiri injili sio siasa
@oneonego705
@oneonego705 Ай бұрын
Unaweza kwa kiwango cha juu kutatua mambo
@josephatkiliko2546
@josephatkiliko2546 Ай бұрын
Amemuonaje wakati haoni?
@wilsonmasaindiammasi2779
@wilsonmasaindiammasi2779 Ай бұрын
Kaambiwa na watoto wake hutaki?
@jitulamtumba
@jitulamtumba 23 күн бұрын
Mama anasema hauni ila nashangaa kamuona mbaya wake kwanza ncheke😂😂😂😂
@venerandakisaki94
@venerandakisaki94 22 күн бұрын
Amemuona kwenye ulimwengu wa roho 😅😅😅
@mumuog7876
@mumuog7876 20 күн бұрын
Nahis atakuwa kaambiwa kuwa mbaya wako yupo😊😊
@Isackhamka
@Isackhamka Ай бұрын
kwanini usiingie kwenye kapeni muheshimiwa make wewe unafaa kuwa raisi au wazili mkuu
@jaydenbedas5729
@jaydenbedas5729 Ай бұрын
Serekalee
@maichile3557
@maichile3557 23 күн бұрын
Qchefu nyimbo zake
@ManuuNgingo-cs3hx
@ManuuNgingo-cs3hx 28 күн бұрын
Huyo mchungaji tapeli tu
@deusNjimba
@deusNjimba Ай бұрын
WATU. WA. ARDHI. NI. WEZI TU. ARDHI. ZA. WATU
@user-eu6ql9zl7n
@user-eu6ql9zl7n Ай бұрын
Bibi ushamuona Diwan lakin mwanzo ulisema huon
@winfridalazaro296
@winfridalazaro296 18 күн бұрын
Hahahahahah
@Boaz22
@Boaz22 Ай бұрын
Sasa mama umemuonaje diwani wakati umesema hauoni😂
@FamilyVideos-pt1mo
@FamilyVideos-pt1mo Ай бұрын
😂
@josephudoba5563
@josephudoba5563 Ай бұрын
Hao walio uza hamkuwakamata Kwa nini
@kenedytheonest2798
@kenedytheonest2798 25 күн бұрын
Mgorogoro bibi jamani poole
@fredyambrose7562
@fredyambrose7562 28 күн бұрын
Siioni mi kipofu ila diwani namuona
@user-pu8bp3tw5s
@user-pu8bp3tw5s 24 күн бұрын
Hata mimi naishangaa kauri hiyo, ila atakuwa alimuona kwa njia ya roho mtakatifu
@FamilyVideos-pt1mo
@FamilyVideos-pt1mo Ай бұрын
1:21 hela enzi ya Nyerere zinatumika?
@Paplick9
@Paplick9 Ай бұрын
Ana maanisha alikusanya toka enzi hizo
@frankmwinuka6298
@frankmwinuka6298 25 күн бұрын
Makonda😂😂😂😂😂
@isacksimonmahungilo
@isacksimonmahungilo Ай бұрын
Ni maswali madogo ila ukijichanganya tu
Harley Quinn's desire to win!!!#Harley Quinn #joker
00:24
Harley Quinn with the Joker
Рет қаралды 16 МЛН
Пройди игру и получи 5 чупа-чупсов (2024)
00:49
Екатерина Ковалева
Рет қаралды 3,5 МЛН
Вы чего бл….🤣🤣🙏🏽🙏🏽🙏🏽
00:18
Little brothers couldn't stay calm when they noticed a bin lorry #shorts
00:32
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 19 МЛН
Zabron Singers, Marco Joseph Special Tribute
49:41
Hope Channel Kenya
Рет қаралды 9 М.
MCH HANANJA ATOBOA SIRI ZA MITUME NA MANABII, LEO NAONGEA UKWELI
31:52
MAHALA ALIPO MAKONDA, SIRI NZITO
2:59
Wasafi Media
Рет қаралды 85 М.
Harley Quinn's desire to win!!!#Harley Quinn #joker
00:24
Harley Quinn with the Joker
Рет қаралды 16 МЛН