VIDEO: HALIMA MDEE NA ESTHER BULAYA WALIVYOKUTANA NA GODBLESS LEMA KANISANI KWA MCHUNGAJI KIMARO

  Рет қаралды 136,028

Millard Ayo

Millard Ayo

Жыл бұрын

Пікірлер: 118
@abdallahsaid9531
@abdallahsaid9531 9 ай бұрын
godbless lema nakukubali sana kamanda ang, nataman siku moja tukutane tuongee, naitwa ELIKANA Npo jimbo la sengerema
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 Жыл бұрын
Kweli nikimuona Kimaro ninafarijika sana. Mungu azidi kukutunza.
@mathiaslyamunda2526
@mathiaslyamunda2526 Жыл бұрын
Chadema wasameheni hao kina mama it takes huge efforts for a women to reach those levels they are, na nyie Chadema mmekuwa sehemu ya kuwajenga hao kina mama. Yalitokea Mengi huko Nyuma tunahitaji Sasa kuyasahau na kujenga mustakabali mpya. It so good to see Lema, Halima, and Esther Bulaya together.
@kisangageorgethomasi2830
@kisangageorgethomasi2830 Жыл бұрын
Itakua ni mazoea kwa ccm kufanya ukafiri wakitegemea msamaha apa ni kukaza tu wanakula kodi za bure
@justinejackson1731
@justinejackson1731 Жыл бұрын
Binafs nataman sana na mimi kuona hawa wakina dada wanarud kundini jaman! Sema basi tu ndo maisha yalivyo.
@ThobiasMarandu
@ThobiasMarandu Жыл бұрын
Kusamehe In Which Sense? Kuhalalisha walichofanya?
@ThobiasMarandu
@ThobiasMarandu Жыл бұрын
Hii Haina Tofauti na Yule Sijui Mashimo au Malakula anasema Membe Amsamehe Musiba. TANZANIA MNACHEZA. NCHI HII, KATIBA, SHERIA, TARATIBU HAZINA MAANA. WASAMEHE UHUNI????
@kisangageorgethomasi2830
@kisangageorgethomasi2830 Жыл бұрын
@@ThobiasMarandu wanazani kila mtanzania ni ndondocha
@martinegeorge4696
@martinegeorge4696 Жыл бұрын
Walitaka kucheza na akili za mchungaji kimaro cheki Sasa anafanya kazi kubwa sana na anawatu wakubwa kwelikweli Mungu akubariki kimaro.
@lisahhans295
@lisahhans295 Жыл бұрын
Chadema wooooote hawa.hata kimaro maskn ya MUNGU NA NILIKIA NAMPENDA SANA KIMARO KUMBE UKO HUKOOO....UWIII😊
@rezegerezege691
@rezegerezege691 Жыл бұрын
Hongera Daddy ELIONA KIMARO
@samsongechamet5374
@samsongechamet5374 Жыл бұрын
Mungu ni mwema,Mh.Rais maono yako yanaonekana hadi Kanisani.
@vickyshayo7880
@vickyshayo7880 Жыл бұрын
Hongera sana Mtumishi wa Mungu
@franaelisumari5108
@franaelisumari5108 Жыл бұрын
NAIPENDA SANA TANZANIA 🇹🇿 ,NAWAPENDA SANA WATANZANIA.MUNGU ASANTE KWA KUWA NA WATANZANIA,SIFA NA UTUKUFU NI WAKO.
@altonkanjolonga2380
@altonkanjolonga2380 Жыл бұрын
Dr Kimaro Mungu aendelee kukutunza
@doricekibona5993
@doricekibona5993 Жыл бұрын
Jamani mbaka Mguru Mchemba yupo haaa🤭🤭👏👏
@hajihassan5433
@hajihassan5433 Жыл бұрын
Nampenda sana Mhe. Halima kama sio kikwazo cha Dini ningemuomba awe mkewe wangu. Mungu ambariki sana!
@ambokileasheengai1140
@ambokileasheengai1140 Жыл бұрын
ungemuomba au ungemtongoza si mpaka ukubaliwe
@innocentchuwa5269
@innocentchuwa5269 Жыл бұрын
Huyu jamaa vipi tofautisha mbingu na ardhi
@karolikisaka8991
@karolikisaka8991 Жыл бұрын
Acheni kumsifu mchungaji,Anayeujua moyo wake ni Mungu mwenyewe.Mwachenj afanye kazi ya Mungu
@aminimushi6945
@aminimushi6945 Жыл бұрын
Mtu akifanya kazi na asifiwe,binaadamu ana nafasi,na Mungu ndiye msimamizi mkuh.
@EagleCrown-pb9qv
@EagleCrown-pb9qv Жыл бұрын
Amina 🙏🏿🇹🇿🤔
@arafatimarusu-4715
@arafatimarusu-4715 Жыл бұрын
Kazi nzuri 👏👏👏
@dellykiwelu
@dellykiwelu Жыл бұрын
Amina
@onesmombele2571
@onesmombele2571 Жыл бұрын
Mungu awabariki sana
@jumannerajabu8259
@jumannerajabu8259 Жыл бұрын
eriona kimaro nikati ya wachungaji ambao nawakubari sana
@onetoanotherglory2024
@onetoanotherglory2024 7 ай бұрын
Lovely
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 Жыл бұрын
Mchungaji Eliona Kimaro. Kanisa lisikutumie kukusanya michango tu, pia litambue na kuheshimu huduma yako yenye kipaji ndani yake.
@adkajisi4536
@adkajisi4536 Жыл бұрын
Kwani haitambuliki?
@brysonkaale3003
@brysonkaale3003 Жыл бұрын
Mchungaji kimaro ameajiriwa na KKKT,na siyo kweli kwamba ana kanisa lake,hasha!
@merekwangujati158
@merekwangujati158 Жыл бұрын
Acha wenge kwani kulikuwa hakuna wachungaji wengine wa kusimamia hio mchango , we acha wenge hapo ametambuliwa bcz hapo kwao , hafu KKKT ndio imemfanya ajulikane , au umbebe ww xaxa
@mwalimumbukuzi7273
@mwalimumbukuzi7273 Жыл бұрын
Nawapongeza sana wawakilishi na viongozi wa serikali wakiristo,kujitokeza na kuchangia mambo ya kiroho wakiwa na fahari juu ya kazi hiyo.viongozi na wawakilishi waislamu wanaogopa kuitwa wana udini,na hawawezi katu kujitokeza kama timu nzima ya chadema inavoonekana na viongozi wengine,endeleeni na moyo huu usio na unafiki.BIG UP!
@ibrahimgwasma1223
@ibrahimgwasma1223 Жыл бұрын
Good but siyo vzr kwenda na sare za chama kanisani
@salumjrsaidjr7150
@salumjrsaidjr7150 Жыл бұрын
Siasa viva Roma utabiri wako ume wekewa Wakfu Allah leo lema kasimama na mwigru
@lulanjamd3886
@lulanjamd3886 Жыл бұрын
Huku ni Kwa Yesu Kristo Kila mtu anakaribishwa karibu sana
@mamanimama2618
@mamanimama2618 Жыл бұрын
Ok
@samwelkavwanga4491
@samwelkavwanga4491 Жыл бұрын
Hii ndo Tanzania tunayoitaka .tusibaguane kwa vyama sisi tuunganishwe na utaifa wetu .vyama vitapita lakin Tanzania itabaki daima
@bakarbakarali-cw3gc
@bakarbakarali-cw3gc Жыл бұрын
Mhmmm yesu mwenyewe hakuwahi kuingia kanisani kimaro piga pesa namie naanzisha kanisa langu kea biashara nzuri
@sephaniangulo4035
@sephaniangulo4035 Жыл бұрын
Ndugu ripota, uko vizuri lakini KKKT hatuna kanisa la Mchungaji flani eg kanisa la mch Kimaro
@lucaschisamalo2852
@lucaschisamalo2852 Жыл бұрын
Mm nasema inchi hii Kuna maigizo Sana sana ndomaa hatuendi unafiki unafiki hizo sadaka mnaahidi sawa na viongozi wanashangilia kwa sababu wanatoa pesa Ila kumbukeni hela za masikini wa inchi hii tanzania huwa naumia Sana basi tu
@visualservices8897
@visualservices8897 Жыл бұрын
Mi nikajuwa Lema na halina hawaongei siasaa
@bakarbakarali-cw3gc
@bakarbakarali-cw3gc Жыл бұрын
Mdee madawa yamekuuwa😊
@sudymgeni701
@sudymgeni701 Жыл бұрын
Kuna siku mnakua wastaharabu sana sana.kama Leo mmekua safi
@saturinimushi4746
@saturinimushi4746 Жыл бұрын
Napata Shida sana kusema Udhalimu ni Haki. Na Haramu ni Halali?. Mhe. Lema Macho yake hayana Pazia kama ulivyoyaona. USO Umeumbwa na Haya!?. Nasubiri 'palee' Kula Matapishi yangu mwenyewe. Siasa za Wanasiasa Ndani ya Kanisa la Kisasa. Mshahara wa Wabunge Wasio na Baraka za Chama ukitumika kulijenga Kanisa. Bora Niuze Gongo na Bangi Kuliko Unafiki MATHAYO 23. SOMA mwenyewe.
@jimmydizonga1335
@jimmydizonga1335 Жыл бұрын
Halima nilikua nakukuubali Sana ila dah! Najua hamna mtu mwenye ugomvi na ela illa kunawakati ela zingine inabidi uzipishe. Halima yani kila nikiwaza siamini kamanda.
@revocatuskato9474
@revocatuskato9474 Жыл бұрын
ilibidi akubaliane na hali iliyokuwepo wakati huo,alikuwa hana chaguo jingine zaidi ya kuchukua hela maana ata angezikataa angeishia kutekwa na kupotezwa kama siyo kuuawa au kupewa kesi zisizokuwa na dhamana.
@ebenezernnko8251
@ebenezernnko8251 Жыл бұрын
Mdee na Bulaya wezi wa kodi zetu hapo wanatupiga changa la macho ni mafisadi kama wengine tu
@richardnganya2311
@richardnganya2311 Жыл бұрын
Esther Bulaya kutoka Mara..... Mbunge .... Halima Mdee kutoka Kawe... Mbunge mstaafu ??? Lema .... Mwugulu..
@doricekibona5993
@doricekibona5993 Жыл бұрын
Samahani naomba kuhuliza kwani huyu Mchungaji Kimaro ameamishwa Dar lini?
@brysonkaale3003
@brysonkaale3003 Жыл бұрын
Hajahamishwa alienda kutoa shukrani kwenye usharika wa Kondeni matala usharika wa nyumbani kwake alikozaliwa Moshi.
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Жыл бұрын
Hongera sana daddy 😍🔨
@richardhosea8827
@richardhosea8827 Жыл бұрын
Lema aibu lazima kamchezo anakajuwa sasa hv wanapasua kuku kupitia ruzuku toka kwa hao 19
@emmapaul1766
@emmapaul1766 Жыл бұрын
mashoga akili hamna
@estermathias8354
@estermathias8354 Жыл бұрын
Mbona lema kama ana ka aibu flani hivi🤭🤭
@saturinimushi4746
@saturinimushi4746 Жыл бұрын
Umeonaee!!!???
@yahyahamad1802
@yahyahamad1802 Жыл бұрын
Kumbe halima mdee ni mkristo?
@adkajisi4536
@adkajisi4536 Жыл бұрын
Milard hatuna kanisa la Mchungaji Kimaro
@wemakingdaily1462
@wemakingdaily1462 Жыл бұрын
Kweli tuna kanisa la KKKT
@merekwangujati158
@merekwangujati158 Жыл бұрын
Acha ujinaga hapo KKKT sio kanisa la Kimaro ,
@bakarimtange570
@bakarimtange570 Жыл бұрын
Ila ajasema mbunge wa chama gani
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 Жыл бұрын
Sauti ya zege mnafikiiiii
@gwajetheentertainer363
@gwajetheentertainer363 Жыл бұрын
Inawezekana hawa Bulaya na mwenzie wanakulana kweli hawa
@messiasulleydidy2585
@messiasulleydidy2585 Жыл бұрын
Mh jmn
@Pedeshee01
@Pedeshee01 Жыл бұрын
Mke wa halima mdee si huyu ester Bulaya
@messiasulleydidy2585
@messiasulleydidy2585 Жыл бұрын
jmn kwann?
@Pedeshee01
@Pedeshee01 Жыл бұрын
@@messiasulleydidy2585 kwa sababu viashiria ni vingi mbona kusoma unaweza ukawa usijue ila picha nayo dah
@linnamlay3643
@linnamlay3643 Жыл бұрын
Haya yote ni matunda ya mama etu rais wetu Samia kutuleta pamoja Mungu ibariki Tanzania,Mungu mbariki rais wetu.Amani,Umoja na Mshikamano viwe ngao yetu .Siasa sio uadui❤️
@baghabaghaingwengwe1750
@baghabaghaingwengwe1750 Жыл бұрын
Mungu amewaleta pamoja sio mtu
@lusajomwaipopo5042
@lusajomwaipopo5042 Жыл бұрын
​@@baghabaghaingwengwe1750 Mungu hutumia mtu
@linnamlay3643
@linnamlay3643 Жыл бұрын
@@baghabaghaingwengwe1750 naamini hivyo ila MUNGU hakushuka chini amemtumia mama 😀
@linnamlay3643
@linnamlay3643 Жыл бұрын
@@lusajomwaipopo5042kweli kabisa .
@lusajomwaipopo5042
@lusajomwaipopo5042 Жыл бұрын
@@linnamlay3643 exactly
@chescokagali5962
@chescokagali5962 Жыл бұрын
Huyu padre amebarikiwa kuwa kiongozi
@veeJesus
@veeJesus Жыл бұрын
Sio Padre ni mchungaji
@chescokagali5962
@chescokagali5962 Жыл бұрын
@@veeJesus wewe ni KKKT
@veeJesus
@veeJesus Жыл бұрын
Eee
@chescokagali5962
@chescokagali5962 Жыл бұрын
Unaifahamu historia ya kanisa lako vizuri
@veeJesus
@veeJesus Жыл бұрын
@@chescokagali5962 Usiniulize maswali namjua Yesu dini kaa nazo wewe me hazinipelek kokote
@rithadonatus8110
@rithadonatus8110 Жыл бұрын
Samahanini kimario kapelekwa kanisa gani baada ya kijitonyama
@adaboychibu1659
@adaboychibu1659 Жыл бұрын
Kwani Esta na halima ni mke na mume au kila sehem akiwa mmoja na mwenzie yupo🤔
@wemakingdaily1462
@wemakingdaily1462 Жыл бұрын
Mashostito pika pakua
@Pedeshee01
@Pedeshee01 Жыл бұрын
@@wemakingdaily1462siyo kweli Halima ni mume Ester ni mke.
@bakarbakarali-cw3gc
@bakarbakarali-cw3gc Жыл бұрын
Kanisani au pikniki
@bushbabytz
@bushbabytz Жыл бұрын
Halima Mdee Na Bulaya wajue kuwa wao hawawezi kuwa juu ya Chadema, Chadema ni kubwa zaidi yao
@faharikhamisi3091
@faharikhamisi3091 Жыл бұрын
Ester I love you My loving sister ila nafuta furaha ya kweli Una uzuni kubwa ninishida
@flaviankimat5233
@flaviankimat5233 Жыл бұрын
wana c.c.m mbona wanafaa pia nguo zao za chama kanisani.kanisa halichagui mavazi
@bakarbakarali-cw3gc
@bakarbakarali-cw3gc Жыл бұрын
Kwani apo uwanja wa taifa naskia
@merekwangujati158
@merekwangujati158 Жыл бұрын
Tuna KKKT sio kanisa la Kimero , samahani mildayo
@gladnesskombe1664
@gladnesskombe1664 Жыл бұрын
MUNGU IBARIKI NCHI YETU BARIKI VIONGOZI WOTE WAKI DINI NA WAKISIASA TUIJENGE NCHI YETU
@estersaul8180
@estersaul8180 Жыл бұрын
Mahali NI pazuri.. Ndugu wanapokaa kaa
@mhifadhi797
@mhifadhi797 Жыл бұрын
Siasa siasa Haina adui Wala rafiki wa kudumu
@yuzotv458
@yuzotv458 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂mtoto Mdogo huwezi Tafsiri hilo chemo miaka 1000.
@machaggechacha243
@machaggechacha243 Жыл бұрын
Mafisadi watarajiwa.
@dicksonkilupa2258
@dicksonkilupa2258 Жыл бұрын
NA WALE WATUMISHI WASIO MPENDA KIMARO WAITISHE HARAMBEE KAMA HIZI ILI TUONE KIBALI WALICHO NACHO TOKA KWA MUNGU. USHAURI WANGU WATUMISHI TUPENDANE DUNIA IPATE KUTAMBUA KWAMBA TUNAPENDANA
@flaviankimat5233
@flaviankimat5233 Жыл бұрын
ni nguo kama nguo nyingine
@majaliwabwitonde6900
@majaliwabwitonde6900 Жыл бұрын
Wanafanya tu siasa mpaka kwenye nyumba za ibada.
@georgepam1231
@georgepam1231 Жыл бұрын
Kifo hicho dangerous
@isayakitaponda8337
@isayakitaponda8337 Жыл бұрын
Sure
@lulanjamd3886
@lulanjamd3886 Жыл бұрын
Hapo Ndipo mnapofeli waislam mambo ya wakristo hayawahusu kaeni kimya
@barakamutabazi2824
@barakamutabazi2824 Жыл бұрын
Sihsa mbaya sana
@mafurumatijo8803
@mafurumatijo8803 Жыл бұрын
Hivi halima ni mbunge wa chama gani vilee!.
@wemakingdaily1462
@wemakingdaily1462 Жыл бұрын
Viti maalum
@bakarbakarali-cw3gc
@bakarbakarali-cw3gc Жыл бұрын
Piga pesa kimaro za wajinga
@stanslausbernard5950
@stanslausbernard5950 Жыл бұрын
Kuvaa gwanda la chama cha siasa kanisani Ina maana gani?
@alexvenas2699
@alexvenas2699 Жыл бұрын
Haina maana yeyote wewe unahisi inamaana Gani?
@alexvenas2699
@alexvenas2699 Жыл бұрын
Kwani Nikienda na gwanda kanisani Mungu hawezi kusikia?
@gladnesskombe1664
@gladnesskombe1664 Жыл бұрын
Lina maana mama samia hana ubaguzi wa vyama
@mathewtwimanye92
@mathewtwimanye92 Жыл бұрын
@@gladnesskombe1664 ha ha ha ha tumsamehe bure mavazi yake ya kawaida aliyaacha Canada
@simbakyasi4039
@simbakyasi4039 Жыл бұрын
sasa magwanda ya chama hadi kanisani kweli!!! mmmhhhhh
@lucianagodson437
@lucianagodson437 Жыл бұрын
Mch. Kimaro hii Kaz Yako ya uchungaji mungu alikubarikia tangu tumboni kwa mama yako
@aishalucas3502
@aishalucas3502 Жыл бұрын
Kabsaaaa
@julianapeason6254
@julianapeason6254 Жыл бұрын
@@aishalucas3502 why yeye na asiwe mchungaji mwingine yeyote?? ulishawahi kujiuliza?????
Esther Bulaya amdondoshea Mwanae Party ya nguvu, Mdee anogesha
10:18
Задержи дыхание дольше всех!
00:42
Аришнев
Рет қаралды 3,6 МЛН
Heartwarming Unity at School Event #shorts
00:19
Fabiosa Stories
Рет қаралды 23 МЛН
MWIGULU AMVAA ESTER BULAYA / UNANIANGALIA SANA MIMI / WABUNGE HAMUONI AIBU
9:56
REV. DR. ELIONA KIMARO: USHUHUDA WA 'HOUSEGIRL' ALIYEKUJA KUWA PROFESA
7:29
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 767 М.
HISTORY YA HALIMA MDEE/LIFESTYLE/MAHUSIANO/MTOTO/SIASA
3:04
STORY ZA IBRAHIM
Рет қаралды 22 М.
WORSHIP SESSION EP 3 (2024) BY Mado Esther
39:46
Mado Okoka Esther
Рет қаралды 103 М.