Рет қаралды 15,726
MLIOSEMA HUYU NI NABII WA MUNGU. NJOENI MTUPE MAELEZO.. HAYA MADHINDANO NI YESU ALIWAAGIZA,AU shetan
MATHAYO- 24:24-25
24 Kwa maana watatokea makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, kama yamkini, hata walio wateule
25 Tazama, nimekwisha kuwaonya mbele.