Mandojo na Domokaya - Nikupe Nini (Official Video)

  Рет қаралды 594,868

Mandojo na Domokaya

Mandojo na Domokaya

Күн бұрын

"Nikupe nini " Is the classic Song by Mandojo na Domokaya recorded at Bongo records under producer P- Funk Majani .
The song is about a woman who pretends to be pregnant and puts her husband through hell, to do everything for her before he came to realize that she wasn't pregnant at all.

Пікірлер: 2 400
@neozoran244
@neozoran244 6 ай бұрын
tuliokuja baada ya kifo chake like hapa. 😢
@officialmanji4438
@officialmanji4438 6 ай бұрын
Dah
@youngzubelyzubely2288
@youngzubelyzubely2288 6 ай бұрын
Kumbe mwamba anangoma kali kama hii duuh😢
@GilbertIsack
@GilbertIsack 5 ай бұрын
Me ndo namjuwa leo mweeeh 😢​@@youngzubelyzubely2288
@warawara_actor
@warawara_actor 5 ай бұрын
Kwa kweli hii nyimbo nilikua nasikia lakin sijui kaimba nn
@Rolemodel_wa_taifa
@Rolemodel_wa_taifa 4 ай бұрын
UNAFAKI HUO
@cosmasmasawe9875
@cosmasmasawe9875 Жыл бұрын
Tuliopo hapo 2023. 👍 like
@mohdymwinyi7901
@mohdymwinyi7901 16 күн бұрын
Nani amefika hapa 2025
@itsecky
@itsecky 2 жыл бұрын
Ngoma ya miaka mingi Af kali Na chupa imekuja kuwa kali sasa wale wa nyimbo anaachia leo af video kesho wajifunze kwa mziki unaoishi kama huu
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Eeeh baba salute sn
@RebecaSanke
@RebecaSanke 6 ай бұрын
Ambao baada ya kusikia kifo tumekuja kuangalia rest in peace mandojo
@godblessjrtz.8652
@godblessjrtz.8652 Жыл бұрын
Duh ya kitambo kipindi yusuph makamba alikuwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam 😂😂 eti tukutanie "Jiji la makamba"🙌🏾
@iamnormal8648
@iamnormal8648 2 жыл бұрын
*P Funk Majani* - huyu jamaa aliidefine Bongo Flavour kwa kipindi kizima cha miaka kama kumi hivi kutoka 1995 hadi 2005. Siku hizi maproducer wanaiga tu midundo ya Naijeria na Afrika Kusini. Makamanda *Man Dojo na Domokaya* big up sana kwa hatimaye kutoa kideo cha huu wimbo. Muziki huwa haufi hata mliouimba mkishakufa. Kideo hiki kitafanya kazi yenu izidi kuishi milele.
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Sure
@hassanjuma2688
@hassanjuma2688 2 жыл бұрын
Kweli maneno yako bro
@muyangamhangwa2727
@muyangamhangwa2727 6 ай бұрын
R.I.E.P kwa moja ya brilliant acoustic rap musician bongo imewahi kuwa nae.
@frankdanford8245
@frankdanford8245 2 жыл бұрын
Oya nyie watu hamjawahi kui disappoint bongo flavor nadhani wasanii wote wa kitambo wakirudi kama na idea hii mliyoifanya muziki wa bongo flavor utaheshimika maana muziki.utarudi kwa wenye muziki wao. Much love sana Mandojo & Domokaya
@mandojonadomokaya
@mandojonadomokaya 2 жыл бұрын
Respect 🙏
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Salute sn man eeeh baba sure
@issayamakalius5708
@issayamakalius5708 Ай бұрын
Still watching in 2025
@acutemediatz
@acutemediatz 2 жыл бұрын
Heshima kubwa sana Ngoma haichuuji miaka nakumbuka hii nilikua shule ya msingi ila leo video imeirudisha km mpya safi sana
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Salute zote
@mandojonadomokaya
@mandojonadomokaya 2 жыл бұрын
Asante sana 🙌
@mr.sundayjames4054
@mr.sundayjames4054 2 жыл бұрын
Yaan aisee ngoma ya kitambo ila imenogaaa!mm naona wasanii wa zaman sasa uwe ni muda maalum ama mwafaka kupitia kwenye makitaba zao na kuturushia mangoma ya zaman wakiwa wanatoa video kali.maana ss wazee wa zaman tumesha kosa hata nyimbo za kusikiliza na kutazama
@زيتونتنزانيا
@زيتونتنزانيا 2 жыл бұрын
@@mandojonadomokaya kakakaka mpoooo😢hili chozi nifurah aa safi snaaa mmerudiii mungu azidikuwainuwaaa Leteni nomaaa MASHABIKI tupooo wengiii huu ndiomzikiiiii duuu😃😃😃🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♀️🤸‍♀️💕💕💕💕
@زيتونتنزانيا
@زيتونتنزانيا 2 жыл бұрын
@@mandojonadomokaya aiseeee 😃😃🤸‍♀️😃🤸‍♀️😃🤸‍♀️😃🤸‍♀️🤸‍♀️🙏🙏🙏🙏🙏Safi sanaaaa
@mbizoo89
@mbizoo89 2 жыл бұрын
Ndio kundi pekee Tanzania 🇹🇿 ambalo alijawai kuvunjika. Much respect Sana 🙏 mungu awabariki
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Salute man
@mandojonadomokaya
@mandojonadomokaya 2 жыл бұрын
Asante sana
@Rehemamakuka
@Rehemamakuka 5 ай бұрын
Hii nyimbo haipit siku bila kuiskiliza sio kwa kuwa kafa Yan naipenda kabla ya umauti
@SadickAmiri
@SadickAmiri 5 ай бұрын
hata mimi
@LeonadiManyassa
@LeonadiManyassa 5 ай бұрын
@LeonadiManyassa
@LeonadiManyassa 5 ай бұрын
Ok tell me
@frankdanford8245
@frankdanford8245 2 жыл бұрын
Nazikumbuka ladha za Bongo Records na P Funk Majani naona zile ladha tulizozimiss ndani ya miaka 10+ zinaweza kurudi Beats kali wanamuziki wakali mashairi makali.
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Aminia sn mwamba
@SalesDodoma
@SalesDodoma 6 ай бұрын
Rip mandojo so pain kifo chake kimenigusa sana yani dah inauma sana kiukweli msanii mwenye ngoma nzuri zenye ujumbe mzuri
@glorysungura3180
@glorysungura3180 5 ай бұрын
Hii roho ya kuita mtu mwizi kwa sasa imeweka mzizi. Watu wapo tayari kuua bila kuangalia. Tuchukue hatua kwa MAOMBI, familia nyingi zinabaki wajane na yatima, tena kwenye umri mdogo. Tubadirike. Roho ya mauaji ishindwe kwa jina la YESU.
@AlexJumanne-ls5gm
@AlexJumanne-ls5gm 6 ай бұрын
Tulio kuja kuangalia baada ya kusikia R I P mandojo tujuane hapa
@ambwenemvela4673
@ambwenemvela4673 2 жыл бұрын
Ngoma haichuji Safi kazi nzuri 🔥
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Aminia sn
@nurdinshekivuli468
@nurdinshekivuli468 Ай бұрын
Unaposikia PFunk, sikiliza tu beat hunahaja ya kusikiliza mziki wenyewe, maana lazima beat ibebe wimbo wenyewe
@zclassicfashionz1573
@zclassicfashionz1573 5 ай бұрын
Tiloirudia hii ngoma baada ya taarifa za msiba...tumuombee𝐌𝐚𝐧 𝐃𝐨𝐣𝐨
@hamzamsafiri3418
@hamzamsafiri3418 2 жыл бұрын
YAANI LONGTIME MLIKUWA MNAKAA NA KUFIKIRIA SANA NA KUANDIKA LKN HIVI SASA WASANII HAWA ROPWAROPWA TU.. HAO WANAOWABEBA KWENYE MEDIA HAWANA UWEZO WA KUANDIKA NGOMA ITAKAYOWEZA KUISHI KAMA HII.. NYINYI MLIKUWA MKISHINDANA KUTOA HITS DAH NIMEMKUMBUKA GODFATHER MAJANI HII
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Kwel kabis eeeh baba
@kimwagayanga2750
@kimwagayanga2750 2 жыл бұрын
HII NGOMA ILIKUA IKO MBELE YA MUDA KABISA 2002 mpaka leo bado bonge la ngoma
@mandojonadomokaya
@mandojonadomokaya 2 жыл бұрын
E babaa
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Eeeh baba sure miaka mia nane
@janaakimu6171
@janaakimu6171 2 жыл бұрын
Aiseee daghhhhh hii NGOMA imenikumbusha Enzi hizooooo Nipo Zangu SHULE ya Msingi #MUUNGANO ndani ya Wilaya ya #TEMEKE huko I feel a Sorrow in my Soul😭😭😭😭.. Huu ndo Ulikuwa MZIKI bhana yaani hii NGOMA Naiimba yote #MWANZOMWISHO Keep the good 🎻 Music 🎻 alive 🇹🇿🇹🇿💯%
@mandojonadomokaya
@mandojonadomokaya 2 жыл бұрын
Much love and respect 🙏
@nestorjmwigema838
@nestorjmwigema838 2 жыл бұрын
Ludini kwenye music ndugu
@suleimanraya7855
@suleimanraya7855 2 жыл бұрын
Oyaa kuna kile kitu cha msela Usiponiskiliza utanielewa vipi heshima napendeza wamini na dhiki eti nikicheka wanadhani nipo frsh huko nilopotoka balaa jingi mkosiii nalia na mola kumbe wanga ndio wanamiksii sio hadithii za sungura na fisiii nomaaa sana hiiii ngoma fanya video
@mandojonadomokaya
@mandojonadomokaya 2 жыл бұрын
E baba 🙌
@HASSANBAKARI-q9c
@HASSANBAKARI-q9c 6 ай бұрын
DAAH GONE 2024 🙏
@HamisiMlanda
@HamisiMlanda 2 ай бұрын
Mimi nawasihi wasanii wazamani wajitolee kuwafunza wasanii wassa mziki wanatuboa sanaa
@Tuzoonlinetv
@Tuzoonlinetv 2 жыл бұрын
Yaani hata mrudie video za ngoma zenu zote bado tutaangalia tu.... Living Legends
@mandojonadomokaya
@mandojonadomokaya 2 жыл бұрын
We appreciate 🙏
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Pamoja sn mwamba zinakuja
@SAIF_MUNENE_ABDI_MALIK
@SAIF_MUNENE_ABDI_MALIK 2 жыл бұрын
Usiipime Io vibe ki Easti kweli 🔥🔥🔥🔥big up upendo kutoka Kenya.🇰🇪
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Aminia sn mwamba from Kenya eeeh baba
@mandojonadomokaya
@mandojonadomokaya 2 жыл бұрын
Asante sana 🙌
@brightonchedego8100
@brightonchedego8100 2 жыл бұрын
Video kutolewa baada ya miaka 18 kupita,ok siyo mbaya maana OLD IS GOLD 👏👏👍
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Sure kabisa
@victornjwango9683
@victornjwango9683 2 жыл бұрын
Brother's nawakubali sana💯💯💯💯💯💯 napenda sana ngoma yenu ile ya wanoko wanoko featuring Jay dee
@mandojonadomokaya
@mandojonadomokaya 2 жыл бұрын
Asante sana 🙌 tuko pamoja
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Aminia sn
@emmanuelkimonge7013
@emmanuelkimonge7013 2 жыл бұрын
Daahhh,,, those days aiseew miaka imepita ila ngoma iko vile vile kweli vya kale dhahabu,,, big up kwenu mandojo na domo kaya bila kumsahau pifunk
@mandojonadomokaya
@mandojonadomokaya 2 жыл бұрын
Asante sana
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Salute zote
@hendrykimaro1717
@hendrykimaro1717 Жыл бұрын
Any one on it March 2023?? Hit like buddy
@japharynduko6139
@japharynduko6139 2 жыл бұрын
Hakuna ata nyimbo moja diamond ameimba inapita nyimbo hii
@reginaldmwemezi6746
@reginaldmwemezi6746 2 жыл бұрын
Ilikuwa ni lazima U-Comment hivyo???
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Aminia sn
@japharynduko6139
@japharynduko6139 2 жыл бұрын
@@reginaldmwemezi6746 ndio mkuu au wewe waonaje?
@aloyceiluminata3650
@aloyceiluminata3650 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌
@reginaldmwemezi6746
@reginaldmwemezi6746 2 жыл бұрын
@@japharynduko6139 Man Up
@daisythetech
@daisythetech 2 жыл бұрын
ngoma zisizochuja ndo hizi......nyimbo kama imetoka juzi tu
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Salute sn
@MashakaFedrik
@MashakaFedrik 6 ай бұрын
Nilikuwa cjuwi kabsa mandojo doleo nimekuja kisiliza nyimbo zake ilawaadishi wanafiki sana mtu mpaka a afarki dom post
@isaackamando8484
@isaackamando8484 2 жыл бұрын
Kuna songs zimetoka mwaka jana ila zishafuja but these old golds still shines maaan 🙌🏽
@mandojonadomokaya
@mandojonadomokaya 2 жыл бұрын
🙌
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Eeeh baba salute
@enockmakombe3144
@enockmakombe3144 5 ай бұрын
WATU WAMEMUUA DUHH ,,JAMAN MUWE MAKINI SANA NA BINADAMU NMEUMIA SANA
@gallodecor2773
@gallodecor2773 2 жыл бұрын
Vitu Kama hivi tunataka brother zetu..co mnakuwa kimya Sana..🙏🏼🤝
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Sure man vinakuj vya kutosha
@gallodecor2773
@gallodecor2773 2 жыл бұрын
Sawa tunavisubili kwa mikonomiwil
@Majanistar
@Majanistar 2 жыл бұрын
Mmetuheshimisha saaana bravo👏👏Sana mabraza endeleen kutoa huo unyama wa zaman Bila Kusahau mlioimba na Jay Dee
@mandojonadomokaya
@mandojonadomokaya 2 жыл бұрын
Asante sana 🙌 Respect sana
@chidybwax8080
@chidybwax8080 2 жыл бұрын
Kwisha ua harmonize diamond hata mafalm kiba ua wote mandojo domokaya for life
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Salute sn maniger eeeh baba
@queenandchill91
@queenandchill91 9 ай бұрын
Nikupe nini & Dingi nazikubali sana. ❤❤❤❤❤ 17/4/2023
@edwintouches
@edwintouches 2 жыл бұрын
Bonge la surprise sikutegemea kukutana nahii. Safi sana! 🎬🔥 Nimekumbuka Walkman Radio yangu ya Cassette aisee enzi hizo mwendo wa batteries ndogo zikiisha unanunua tena, no kuchaji na umeme. Nilikua na Album nzima na hii ilikua favourite track. Alot of memories! 📝
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Hahahaha sure man
@mandojonadomokaya
@mandojonadomokaya 2 жыл бұрын
E babaa long time 🙌
@israelivan4299
@israelivan4299 2 жыл бұрын
All time Banger! Bonge la Ngoma 🔥🔥🔥 👊🏿👊🏿👊🏿 Legends, Siku hizi wakina tuna WASAFI wanaimba UTUMBO tu.. 😎😎😎😠😠😠
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Salute
@israelivan4299
@israelivan4299 2 жыл бұрын
Mandojo 👊🏿👊🏿👍🏾👍🏾🤝🏾🤝🏾
@deogratias4025
@deogratias4025 2 жыл бұрын
Huu ndio mziki ambao ume miss kwenye industry ya bongo flavor 👍🏽🎶
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Eeeeeh baba
@opfiki2824
@opfiki2824 2 жыл бұрын
Hatimae tumepata video hongereni Kwa kuto kuogopa kufanya angali ni miaka mingi imepita ama Kwa hakika wakat sahihi ulikua ni sasa 🙌🙌👏👏👏👏👏👏👏
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Aminia sn
@mandojonadomokaya
@mandojonadomokaya 2 жыл бұрын
Salute ninja
@ipyanasimon9565
@ipyanasimon9565 6 ай бұрын
Daaaa nimekuja kuhakikisha ni yeye kweli daaaa rest in peace mandojo
@ismaillugemalila1522
@ismaillugemalila1522 2 жыл бұрын
Kuhusu ngoma hii uwa ni Hit miaka yote tangu ilipotoka hadi leo bado ni Hit tu sema hicho kichupa dah ushindi ni mwingi wana karibuni tena kwenye game.
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Aminia sn
@tuzonyava8306
@tuzonyava8306 6 ай бұрын
Na angalia baada yakusikia mwamba kavuta je Nikweli?💔💔💔💔🥲🥲🥲
@apboy8944
@apboy8944 6 ай бұрын
Hata me nimeamua kuja kumsikilizia kama ni kweli?😢😢😢
@StevenMoses-m9i
@StevenMoses-m9i 6 ай бұрын
Mwamba hatupo nae
@ibrahimsadick6081
@ibrahimsadick6081 6 ай бұрын
Hata mie nimeambiwa hivi punde
@masoudally4289
@masoudally4289 6 ай бұрын
R.I.P
@justinemalima6701
@justinemalima6701 6 ай бұрын
Na mimi nimekuja hapa baada ya kusikia mwamba kavutishwa kamba😢
@Mbeyaconscious
@Mbeyaconscious 2 жыл бұрын
Dah! Hii Ngoma Nipo Dogo Sana Nakumbuka Kipindi Hicho Mmefika Mbeya Sokoine Ikabidi Nitoroke Home Nije Kushuhudia Show 💪🏼💪🏼💪🏼
@mandojonadomokaya
@mandojonadomokaya 2 жыл бұрын
Daaah Memories 🙌
@Mbeyaconscious
@Mbeyaconscious 2 жыл бұрын
@@mandojonadomokaya Naamini Ngoma Zote Zotafanyiwa Videos Kwa Muendelezo Wajomba 🙏🙏💪🏼💪🏼💪🏼
@johnbenaiahbituro2115
@johnbenaiahbituro2115 2 жыл бұрын
when Bongo fleva was real....mmenikumbusha mbali sanaaaa....we real miss you guys..
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Aminia sn
@ronaldiko8794
@ronaldiko8794 2 жыл бұрын
Respect sana,pigeni machupa ya ngoma zote halafu muanze kula hyo mipunga ya social network
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Kabisa mwamba
@Nickbrown127
@Nickbrown127 2 жыл бұрын
Hizi ndo zilikua nyimbo sio hayo matusi ya watoto wa siku hizi. Big up sana kwa Majani the Bongo fleva father of all times.
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Aminia sn ma niger
@shabansalum1848
@shabansalum1848 5 ай бұрын
Shida kubwa redio steshen..tz hazipigi..nyimbo za.wasanii wazamani..pia wasanii..wa sasa hawathamini..wazamani ndio maana watanzania wengi hawawajui..wakongwe wa bongo fleva..
@mutumbaroni7546
@mutumbaroni7546 6 ай бұрын
Let's give P funk his flowers before he dies, HE is the god of Bongo sound
@thomasmakala2082
@thomasmakala2082 2 жыл бұрын
Hizi ala na mpangilio mzuri wa mashairi n midundo ndio ilikuwa heshima ya Bongo fleva. Legends are back!
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Salute sn
@mandojonadomokaya
@mandojonadomokaya 2 жыл бұрын
For sure 🙌
@mweucch0068
@mweucch0068 2 жыл бұрын
One of my best songs those days
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Asnt
@juliusdonard933
@juliusdonard933 6 ай бұрын
Naomba serikl ichukue hatua kwa wotee waliohusika nlkua smjui huyu lakn imeniuma
@kagomasaid9618
@kagomasaid9618 2 жыл бұрын
From school to old life goes on.Respect forever
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Aminia sn
@mjungatv8172
@mjungatv8172 2 жыл бұрын
Daaah definition of good music asee nimekumbuka mbali wakati npo primary afu home brother Angu alikua anazipiga Sana hizi ngoma daaah 🙌🙌🙌 Ila tunaomba na Wimbo wa Taswira pia mutuletee video yake Tuzidi kuinjoy good music 🙏🙏🙏🙏
@mandojonadomokaya
@mandojonadomokaya 2 жыл бұрын
E babaaa
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Aminia sn salute
@felixjunior4772
@felixjunior4772 2 жыл бұрын
👏🔥👊inafaa Mzi shoot video nyimbo zenu zote ,wanock nock,taswla,dingi,nenda...
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Sure zinakuja
@husseinhousni8943
@husseinhousni8943 2 жыл бұрын
From Burundi bujumbura 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮 bado naupenda huu wimbo
@mandojonadomokaya
@mandojonadomokaya 2 жыл бұрын
Asante sana 🙌
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Salute sn
@charlesjacksonbusanda2568
@charlesjacksonbusanda2568 2 жыл бұрын
Nilikuwa nasubiria kwa hamu sana wazeee yeah baba
@mandojonadomokaya
@mandojonadomokaya 2 жыл бұрын
E baba
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Wozaa
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Wozaaa
@farijalimussa2592
@farijalimussa2592 2 жыл бұрын
Kweli ule msemo old is gold#NIKUPE💥💥💥💥💥💥💥
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Sure
@jumakassim8718
@jumakassim8718 2 жыл бұрын
Daah bonge la kichupa,nakumbuka niko tanga kipindi hicho nasoma shule ya msingi Gofu Juu ,umekumbusha mbali sana wallai
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Aminia sn eeeh baba
@mandojonadomokaya
@mandojonadomokaya 2 жыл бұрын
🙌
@uriotz_
@uriotz_ 2 жыл бұрын
Nilikuwa mdogo sana nikiwa nafatilia hizi ngoma pale moro abood fm. Bonge la throwback.....🙏🙏🙏 Come back niggas. Hii ndo tafsiri ya Music
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Aminia sn
@manjaruu1575
@manjaruu1575 2 жыл бұрын
SIFANYI MALIPIZI ILA JIFUNZE ADABU oyaaaaa big respect
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Aminia sn salute
@manjaruu1575
@manjaruu1575 2 жыл бұрын
@@mandojojoseph1665 Nakubali mkubwa tupo p1 tunasapot good music
@eizerbitz6715
@eizerbitz6715 2 жыл бұрын
P funk... 🔥 Dojo na domo 🔥 Ezra brown EZ 🔥. KAZI NZURI SANA.. BADO NI KUBWA
@mandojonadomokaya
@mandojonadomokaya 2 жыл бұрын
E babaa
@Teacher_Hassan_Lemunje
@Teacher_Hassan_Lemunje 6 ай бұрын
RIP. NAni mwengine kaja baada ya RIP?😢
@georgewilliam6001
@georgewilliam6001 2 жыл бұрын
Nyie jamaa mkisema wapi watu wanaweza kupata hiyo album yenu watu wengi watanunua mimi nikiwa mmoja wao
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Yote itapatikana youtube chanel yetu
@nicklambertin1669
@nicklambertin1669 2 жыл бұрын
Ni miaka mingi imepita, nakumbuka nilikuwa bado mdogo ila nilikuwa naanza kupata ufahamu wakat hii ngoma inatoka, moja ya ngoma kali sana za muda muda wote Kwenye bongoflava haichuji, hatimae leo nimekuwa mtu mzima na nimebahatika kuitazama hii video ya wimbo wangu pendwa, Brothers mnajua sana bado mziki wenu unaishi na utaishi zaidi
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Salut sn eeeh baba
@GodlivenMaximillian-ot7mg
@GodlivenMaximillian-ot7mg 5 ай бұрын
Wanamuziki wa zamani waliimba nyimbo ambazo zinabeba maudhui na uhalisia wa maisha. Nyimbo zao hazifi zinaishi sio nyimbo za siku hizi wanaimba upuuzi tu matusi, wanaosikiliza nyimbo za leo wanafanana akili
@rosegabriel7367
@rosegabriel7367 5 ай бұрын
Uko sahihi
@jerrjamary2649
@jerrjamary2649 2 жыл бұрын
Kitambo sana Enzi zetu izo sio sasa miaka ya NYEGEZI ujinga mtupu NYIMBO inaitwa NYEGEZI😅😅😅
@jaffjeff6912
@jaffjeff6912 Жыл бұрын
Weacha tu brooh
@agathahasote9894
@agathahasote9894 5 ай бұрын
Nlikua nazisikia nymbo na naziimba video meangalia baada ya kifo chake.. RIP
@lulanjamd3886
@lulanjamd3886 6 ай бұрын
Dah Kwa kweli raia wanakosea sana kujichukilia Sheria mkononi wameuwa mtu asiye na kosa😢Rip
@NabakiZanzibar
@NabakiZanzibar 2 жыл бұрын
Muziki wa zamani unaongea, na bado unaishi! Mashairi ya music wa zamani ni konki sana, ujumbe unafika vema sana kuliko mashairi ya musician wa sasa. DaaaaH! matusi tu,
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Sure kabisa
@joptzurassa8438
@joptzurassa8438 2 жыл бұрын
🎼🎵🎶Maaajani ya bustaaaani...,🎶🎵🎼 Daaaah! Mwanzoni mwa miaka ya 2000, Ifunda Tech. Sec. School, life ya boarding school hii ngoma ilikuwa gumzo sanaaaaaa. Salute wazeiyah
@mandojonadomokaya
@mandojonadomokaya 2 жыл бұрын
Pamoja sana 🙌
@joptzurassa8438
@joptzurassa8438 2 жыл бұрын
@@mandojonadomokaya 👍🏿🙏🏿
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Eeeh baba sana mwamba
@himidykhery2367
@himidykhery2367 2 жыл бұрын
nafikir hiki ndio kikikua kinaitajika gooood job chap
@mandojonadomokaya
@mandojonadomokaya 2 жыл бұрын
🙌🙏
@hamzamsafiri3418
@hamzamsafiri3418 2 жыл бұрын
HII NGOMA NI HESHIMA KUBWA SANA KWENU..MMEITENDEA HAKI KWA KUIFANYIA HIVI ILI IENDELEE KUWA THAMANI VIZAZI KWA VIZAZI KILA UNAPOISIKILIZA KM IMETOKA JANA HONGERENI SANA WANA KWA KUIKUMBUKA HII DHAHABU
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Aminia sn man
@zerochanneltanzania3797
@zerochanneltanzania3797 2 жыл бұрын
Aliye direct hii video anajua sana.
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Salute
@benashery8142
@benashery8142 2 жыл бұрын
Sichoki kuiangalia hii Classic track,much respect Dojo& Kaya beat Kali kwa kweli mmenikosha sana my dawg
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Aminia sn man
@scholasticajackson6760
@scholasticajackson6760 5 ай бұрын
Nipo msiban na watch wimbo huu, rest easy dojo
@shyfettymtunda4619
@shyfettymtunda4619 5 ай бұрын
Upo Manyoni?
@mkorinthomgalilaya6700
@mkorinthomgalilaya6700 9 ай бұрын
Tulio hapa 2024 👍🏾like
@caimedia
@caimedia 2 жыл бұрын
Hongereni Kwa kuamua kuuiweka katika mjongeo, those days nikiwa std 7 with my Kitchibo 📻, this was among the songs I used to listen to!
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Aminia sn
@ajuayelubano9595
@ajuayelubano9595 2 жыл бұрын
daaah umenikumbusha kitchibo 📻, kitambo sana.
@kabisamoja6802
@kabisamoja6802 2 жыл бұрын
Noma tangia niwaskie pamoja,wamekitoa ngoma kali tena. Muziki ya Eastr Afrika inaenda mbali.
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Aminia sn
@massongacharles3904
@massongacharles3904 6 ай бұрын
R.I. P Dojo-Sending my condolences to the FAM🇹🇿from 🇺🇸
@hafidhissa4405
@hafidhissa4405 5 ай бұрын
Sifanyi malipizi ila jifunze Adabu mpenzi ❤
@priscamwakalindile6689
@priscamwakalindile6689 2 жыл бұрын
Baba Paula alitisha sana🥰
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Nom sn
@patrickdaffa1207
@patrickdaffa1207 6 ай бұрын
Shida nyimbo nyingi sana siku izi.watoto wa 2000 hawajui izi
@chaulachaulaya5259
@chaulachaulaya5259 2 жыл бұрын
Kama huu mzigo umetoka shooting yake, bado naendelea kuamini ipo siku “Wimbo wa Taifa” nao watatoa shooting tu.. mzigo makini sana wazee 🙌🏾
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Salute zote man eeh baba
@mandojonadomokaya
@mandojonadomokaya 2 жыл бұрын
E babaa 🙌
@razackkasanga5288
@razackkasanga5288 Жыл бұрын
Still listening and feeling like a new song 🎉🎉 2023 🙏🙏
@patricktito8009
@patricktito8009 2 жыл бұрын
Kubwaaa sanaaaaa
@mandojonadomokaya
@mandojonadomokaya 2 жыл бұрын
🙏
@faridiabdul9759
@faridiabdul9759 2 жыл бұрын
Big up Kwa brothers old is gold mziki unaoishi salute Kwa P majani
@haisamseif2744
@haisamseif2744 2 жыл бұрын
Heshima kwako P funk majani , au Baba Paula
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Anastahil heshima kubwa
@haisamseif2744
@haisamseif2744 2 жыл бұрын
Mimi sio msanii ila namuheshimu Sana huyu mtu ktk tasnia ya bongo fleva ana mchango mkubwa sana
@azizngassa595Tz
@azizngassa595Tz 2 жыл бұрын
Old classic..new great video…every old bongo artist should do this!!🔥🔥🔥🔥
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Salute
@fredrickkajuna74
@fredrickkajuna74 8 ай бұрын
Jamani wasanii wakongwe inafaa wawe na youtube channels zao na video za kileo, ila masong yale yale, huu mziki umetukuza mazee
@Naeema-w8y
@Naeema-w8y 5 ай бұрын
Walio mfanyia mambo ya ajabu uyo makaka nayeye auwawe tu yan mpk nimelia
@colmanmodest5653
@colmanmodest5653 2 жыл бұрын
WanokNok na Dingi Mkuu🙌🏻🙌🏻video fanyeni kweli
@mandojonadomokaya
@mandojonadomokaya 2 жыл бұрын
Imeisha hiyo manigga 🙌
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Zinakuj man
@angiringalyimo365
@angiringalyimo365 2 жыл бұрын
wimbo huu ni moja ya nyimbo ambazo zina radha ya aina yake, kwanza sauti pia maneno! saruti mandonjo & domokaya
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Aminia man
@mandojonadomokaya
@mandojonadomokaya 2 жыл бұрын
Salute 🙌
@straightkonect1613
@straightkonect1613 2 жыл бұрын
Ama kweli KAZI YAKE MOLA HAINA MAKOSA.kete ya kale mungu anapanga tupate video yake miaka kumi baadae mmefanya kitu cha maana niliwaza sana wasanii ma legend wangefanya hivi mnavyofanya wafaidi utunzi wao big ups
@mandojonadomokaya
@mandojonadomokaya 2 жыл бұрын
Asante sana 🙌
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Asnt sn
@allenaugustine9254
@allenaugustine9254 2 жыл бұрын
Nimependa sana wameonesha ukomavu wa kazi yao inanguvu kama ilipoka wakati ule
@mandojonadomokaya
@mandojonadomokaya 2 жыл бұрын
🙌
@mandojojoseph1665
@mandojojoseph1665 2 жыл бұрын
Salute sn
Mandojo & Domokaya - Wanok Nok
5:00
Mandojo na Domokaya
Рет қаралды 458 М.
Mandojo na Domokaya  - Dingi (Official Video)
5:45
Domokaya
Рет қаралды 647 М.
Une nouvelle voiture pour Noël 🥹
00:28
Nicocapone
Рет қаралды 9 МЛН
The Best Band 😅 #toshleh #viralshort
00:11
Toshleh
Рет қаралды 22 МЛН
Что-что Мурсдей говорит? 💭 #симбочка #симба #мурсдей
00:19
Je Utanipenda? Mike Tee feat Mad Ice
4:30
Mike Tee
Рет қаралды 126 М.
Action - CPwaa ft Ms.Triniti , Ngwair, Dully Sykes
5:05
CPwaa
Рет қаралды 564 М.
DAZ Nunda   Barua
5:26
JUNIH TZ (GUCCI MONEY Tz)
Рет қаралды 299 М.
Tupendane - (Official Video )  Kilimanjaro Band Njenje
5:58
Kilimanjaro Band Njenje
Рет қаралды 1,1 МЛН
Mandojo & Domokaya - Niaje
4:49
Mandojo na Domokaya
Рет қаралды 178 М.
Diamond Platnumz - Nitafanyaje (Official Music Video)
4:55
Diamond Platnumz
Рет қаралды 2 МЛН
Ferooz ft. Juma Nature - Bosi  (Official Video)
5:26
Bongo Records Ltd
Рет қаралды 1 МЛН
Mashallah (feat. Mzee Yusuf)
4:59
Chidi Beenz - Topic
Рет қаралды 661 М.
Une nouvelle voiture pour Noël 🥹
00:28
Nicocapone
Рет қаралды 9 МЛН