Yesu ni Muweza YOTE. Jina lake libarikiwe mile na milele. Amina
@tamaraeliz71144 жыл бұрын
Mungu Mponye huyu kijana kwa Jina La Yesu. Mponye wewe Yesu Wetu. Pokea uponyaji kwa Jina La Yesu
@bernadettekosani94654 жыл бұрын
Aksante Baba Mungu uliye hai. Nilisikia hii habari ya huu kijana. Nikahuzunika sana. Nikaanza kuomba Mungu ila amuunganishe na mtumishi wa Mungu ila amuombee. Mungu ni Mkubwa na Apewe sifa mile na milele.
@Enemyofallah-y4u4 жыл бұрын
Mungu akubariki mchungaji na tunamshukuru sana yesu kwakuwa mtetezi wawa nyonge ✊ glory be to God Jeovan.
@alimatambwe34022 жыл бұрын
I’m not kristienne,I’m Muslims InshaAllah I’m proud to be Muslim MashaAllah Jazakhallahu kheiri 🙏🙏🙏🙏🙏that’s so sad Allah tuepushe na mashetwani ya kibinaamu🙏🙏🙏🙏
@polinepoline28634 жыл бұрын
Asante yesu kwa wachungaji kama Robert na Hebron Tanzania imebarikiwa.mungu aikumbuke nchi yangu Kenya
@jackmediaofficial4 жыл бұрын
Nawakubali sana hao watu Hebron na Robert ni moto.
@mariachuhila95184 жыл бұрын
Kweli kabisa Dada Pauline MUNGU wa Hebron na Robart no MUNGU aliye ai
@AliMohamed-kd1uc4 жыл бұрын
Mbona sasa mchungaji hamsaidii jamani naumia kuona anavyoumia
@elizabethawuor54023 ай бұрын
Mungu akubariki sana na akuinie zaidi usaidie eengi
@beatricen12284 жыл бұрын
Praise God oh God is good jacktan may God bless you I remember the story you did a good job thank you.
@rosaliembarikiwa5924 жыл бұрын
Thank you Lord Jesus for answering our prayers for this brother. Sifa na utukufu no vyako Bwana. Tunalihimifi Jina lako takatifu
@hamidahamida14734 жыл бұрын
Muongimuongo
@kabebowakabebo58894 жыл бұрын
Jactani asante Bwara Yesu ashukriwe na ubarikiwe kwa jina la Yesu
@winniemaganga58684 жыл бұрын
Mungu hachanganywi kaka, nimeona hiriz nyeusi kipindi anajikwangua kama anataka maombi akae katika ukuu wa Mungu, hakika atakombolewa
@messikihongosi52902 жыл бұрын
Inawezekana Kuna vitu anaficha wachungaji wawe wanauliza vizuri mgonjwa asifiche kitu hapo uponyaji hutokea haraka🙏🙏🙏
@lucywilson58753 жыл бұрын
Nabariki kwa jina la Yesu! Kanisa zuri litajengwa hapa nawatu wengi wataokolewa hapa
@FatimahAlshehri-gt1gj Жыл бұрын
Mungu anaponya muamini kwa roho ya kweli
@edsongoziberth34764 жыл бұрын
Mungu awasamehe Sana hii inafurahisha Sana yaani wachungaji nao wameanza kupondana kama waganga wa kienyeji. Hakika kanisa la kweli ni moja tu (kanisa moja takatifu katoliki la mitume likiwa chini ya usimamizi wa Papa mkuu wa kwanza naye ni naani yule aliyeitwa mara tatu na kuambiwa wewe ndiwe Petro na juu ya Mwamba huu nitalijenga kanisa langu Wala milango ya kuzimu haitalishinda) Hasante Mungu kwa kunirudisha kwenye imani yangu baada ya kutangatanga nikitafuta msahada wa kiimani.
@winifridashoo4104 жыл бұрын
Edson Goziberth yani ni majungu Mengi kweli
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
Maana ya papa unaijua???Tena ukatoliki ndo mashetani kabsa Yani unyamaze kwa mtu anaeitafuta kweli kuijua humwambii ukatoliki kwenda huko na kubatza watt wadogo mnamwita papa mtu duniani amekataza
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
Alafu huyu ni harakati zake kumtafuta mungu ndo yakamkuta huyu dogo kwahyo kawaida tu kwa anaetafuta kweli
@blessedlovedandfavoured41294 жыл бұрын
Ooh Lord THANK YOU.. NIMEKUWA NIKIMWOMBEA HUYU KAKA TANGU NILIPOONA USHUHUDA WAKE..... ASANTE YESU WANGU.... HONOUR, POWER AND GLORY BELONGS TO YOU LORD GOD ALMIGHTY
@nisilemwalwiba65544 жыл бұрын
Tracy john Amina ndugu wote tuliubeba mzigo Kama wete
@mariamfritsi97614 жыл бұрын
Pole sana kijana,ila Mungu ataendelea kukusimamia na utapona kabisa.Amen
@valentinamjindo5374 Жыл бұрын
Yesu nimwenye huruma naashindwi maombi ya Nguvu yanaitajika kwahuyo kijana
@henryosoro76964 жыл бұрын
Unafanya kazi nzuri sana..mungu asifiwe sana
@hawamusumba4314 жыл бұрын
God u were our heal and protection thanks to deliver this young man
@lizzynkifu41794 жыл бұрын
Nisikuache Yesu mpaka nizeeke sana sana.....Hakuna lakumshinda Mungu milele
@fransicamassawe88944 жыл бұрын
Ubarikiwe,sana mtumishi
@vanessalwaga20684 жыл бұрын
Ni kweli namuomba Mungu asinitupe anisamehe dhambi zangu zote za kilasiku neema yake ishuke kwa Jina la Yesu katika maisha yangu
@Bintimrembo-y1v4 жыл бұрын
Usimuache daima siyo mwisho ukizeeka
@AliMohamed-kd1uc4 жыл бұрын
Amina
@zennahmtoto18674 жыл бұрын
Namaombii ye2 pia utafungukaa kwa jina la Yesu kristo
@minjaminjaukovizurdogo51874 жыл бұрын
Ameeni, mchungaji anacheka kama raha, jamanii
@glorynguma35933 жыл бұрын
Acha kumtumia Kaka WA watu kama ndo kigezo cha kukuonyesha we ñi mchungaji WA kweli mfungue huyo kijana Acha kumuhukumu ata wewe simkamilifu
@ngwanafabian75324 жыл бұрын
Japo ndugu yangu Jactan unafanya kazi nzuri sana nakushauri okoka na wewe maana umewezesha huyo kijana kupata msaada hatimaye Yesu amemponya kupitia Askofu Robert. Shetani asije akaipinga kazi yako.
@lovenesswalter66504 жыл бұрын
Umejuaje kama hajaokoka?
@nyamogafamily42624 жыл бұрын
Atafanyaje kazi zote hizi bila nguvu za YESU?? Kijana punguza upumbavu
@fadhili22934 жыл бұрын
Nyie sasa ndio mnatumiwa na shetani kuhamisha watu njia. Wewe umempimaje kama hajaokoka
@ngwanafabian75324 жыл бұрын
@@fadhili2293 ni ushauri tu na yeye mwenyewe ndo alipaswa kujibu au kunyamaza.
@nswilayella32954 жыл бұрын
Hata ningekua mm jackt siwezi jibu wokovu u ndani ya m2
@zennahmtoto18674 жыл бұрын
Sema jina la pastor
@joycejoseph36904 жыл бұрын
Manabii wa uongo wanajulikana wala aitaji nguvu kumjua,wafrika wengi tunapenda miujiza,shetani ana uwezo wakukupa chochot ila kwa muda mfupi.
@restkalemile52743 жыл бұрын
Bado hajapata uponyaji hapo.... bado hajafika mahala husika..... Yesu haponyi nusu..... tusidanganyane bana. watumish weng leo hawana imani.
@uswadipanja75734 жыл бұрын
Mungu akubariki much Robati. Na Huyo kijana aendelee kumtumikia Yesu kristo
@janengaga29282 жыл бұрын
Tawi lenu halipo mbeya.Mungu atusaidie
@faridashaban88534 жыл бұрын
Mungu akuponye utapona kaka yangu
@MishiPapalan3 жыл бұрын
Huyo mchungaji mwanga mungu amshushie garka l
@dequeen4604 жыл бұрын
Pokea'uponyaji' katika'jina' la yesu .pole sana kaka' mungu' yu pamoja' nawe'
@فجرالروشدي4 жыл бұрын
Mungu ulie juu mbinguni mponye huyu kijana kwa jina lako eeh mungu wambngn Yesu kist
@mackynicky82784 жыл бұрын
Bado nguvu za giza zinamuandama ila kwa jina la Yes u shetani na mawakala wake watashindwa
@bahatikatembo12584 жыл бұрын
Amen nime fwalia Sana history nashukuru mungu
@joycekaphevemba72152 жыл бұрын
Ila Mimi ningewashauri mtu qngeanzw kufunguliwa ndio ashuhudie maana anaendelea kutumia tuu na kuhojowa ni kwingi
@jackiemaggy24842 жыл бұрын
Ameeeeeeen
@yoshuabosco47254 жыл бұрын
Pole Sana kaka, BWANA YESU KRISTO atakuponya nakukuweka huru
@netekal17804 жыл бұрын
Daah Ahsante Yesu, nilimuhurumia sana, nikawa naomba akutane na mtumishi wa kweli wa Yesu.
@josephinarichard83654 жыл бұрын
Mungu anawaona Hawa wachungaji ipo siku mungu atamfungua huyu kijana moyo wangu umeumia Sana mungu hawezi kukusahau mdogo wangu atakutetea tu siku moja
@japhethngosha48404 жыл бұрын
Inauma Sana Kwa Kweli
@susynjambi4 жыл бұрын
Bona msimuombee kwanza pepo imtoke ndio arafu atoe ushuhuda akiwa huru wajameni kijana anaumia
@ricagadau98024 жыл бұрын
Yaan
@Bintimrembo-y1v4 жыл бұрын
Ndio ujuwe utapeli full hapo
@mwanaishamlima20474 жыл бұрын
Hahaha
@sakeenakenya61104 жыл бұрын
Mm ndio nashangaa, afunguliwe mwanzo ndio atoe ushuhuda
@asteriambwei33494 жыл бұрын
Watajeni hawa wachungaji ni huyo robert kumbe tunashukuru kuwatambua
@milley71852 жыл бұрын
Mmetumia Sana huyo kijana wa watu mtamabadilisha atakuja kuwa mbaya Sana...
@winifridashoo4104 жыл бұрын
Kwan ukihubir bila kusema huduma nyingine mnadhurika nn km wanadhurumiwa omba Mungu akuinue uwatoe lkn sio kwa matangazo sio kwa kuwashawishi watu jmn
@violetkadenyi85044 жыл бұрын
I degree and declare total healing upon his life in the name of JESUS.
@alphaleahibrahim89044 жыл бұрын
jacktan mi nashauri tu kila baada ya siku 30 tunaomba uwe unatupa mrejesho uyu tumtumie kama case stud tujue maendeleo yake
@geofreylucas94694 жыл бұрын
Ni kweli kabisa na je kwasas anaendeleaje Hali yake
@abellmainge10234 жыл бұрын
Huyo hajapona bado! Acheni mchezo ninyi wahubir
@edinajosephat25624 жыл бұрын
Fatilia. Hatua zake alikuwaje na sasa yukoje, usifikili maombi yanafanyika kama uganga wa kienyejj, Mungu huondoa tatizo hatua kwa hatua
@priscillakasoha48634 жыл бұрын
mwenyzi mungu atukuponya kupitia mchungaji pokea uponyaji katika jina la yesu amen
@merrythadeo73874 жыл бұрын
Bado hajafunguliwa kabisa, huyo mchungaji nae anaongea sana badala ya kumuombea, tunatamani kuona hayo mapepo yamemuachia kabisa.
@Bintimrembo-y1v4 жыл бұрын
Kabisa
@AliMohamed-kd1uc4 жыл бұрын
Na mm ndo ninachosubiria maana kila mtu alisema apelekwe kwa mch.Robert. mchungaji Robert si utende mambo tuone mapepo yakimtoka
@ngwanafabian75324 жыл бұрын
@@AliMohamed-kd1uc mch. Robert haponyi anayeponya ni Yesu. Yeye anatumika kama fimbo tu pia si kila uponyaji unafanyika papo kwa papo wengine hufunguliwa taratibu kadri mponyaji anavyotaka. Mfano Yesu aliwakuta wakoma akawaambia nendeni mkajionyeshe kwa kuhani na waliokuwa wakienda wakaponywa ukoma wao.
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
🙄
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
@@AliMohamed-kd1uc 😜😜😜😜😜😜
@dawhiteschola88474 жыл бұрын
Nimefurahi Sana kumuona kijana wetu kumfikia mtumishi hatimaye yote yataisha na atapona kwa jina la yesu
@geofreylucas94694 жыл бұрын
Kwasas huyu kijana anaendeleaje sas
@oscanyakunga96744 жыл бұрын
Mungu Yu mwema aise
@vailethjovinali28043 жыл бұрын
Mungu amekuponya atukuzwe
@muaminhakizimana16714 жыл бұрын
Asante nakumbuka mateso alipitiya nimengi
@adelinadaudi56074 жыл бұрын
naomba nambr
@joylynenalija47954 жыл бұрын
Yak 5:14,Isaya 10:27. Haya maandiko yote yanazungumzia MAFUTA. Yesu alisoma ktk chuo cha Nabii Isaya Roho wa Bwana yu juu yngu amenipaka Mafuta....... Daud alitiwa Mafuta na Samweli.Wafundishe wasome biblia,Neno litawaweka HURU. Wakilijua Neno hawatayumbishwa,kwa hyo hayo mafuta yakitumika tofaut na Neno linavyosema itakuwa rahis kwao kufaham kuwa hzo ni roho zidanganyazo. Lkn th way unavyoongea ni km mafuta ni kitu kibaya. Wafundishe KWELI waijue. Kumbuka shetan anaijua biblia vzr sn ndio maana anageuza maandiko. Wakilijua Neno hawatadanganyika🙏
@HappyHappy-bz2bv2 жыл бұрын
Yesu aliposema nimepakwa mafuta manake uweza
@medadiissa3244 жыл бұрын
Huduma zipo 5 na kila huduma ina fake yake, yaani siyo swala LA mzaha tafuteni kweli ya Mungu na Kristo wake!
@angelcharles77314 жыл бұрын
Amen
@jeanmjimmy4 жыл бұрын
Waambiye!!! Waelezeye!!! Wasilolijua watalijua🤤🤤
@lilyfrankkiambu89354 жыл бұрын
AMEN 🙏🛐
@marykilila87864 жыл бұрын
Sikiliza hadi mwisho utasikiya jina linajulikana na watu wengi,na limetajwa ,hapo hapo sikiliza vizuri Ni wakati wa manabii wa uongo kuwachwa wazi na YESU mwenyewe. YESU kazini sasaaa..
@bbguwu24104 жыл бұрын
Amen
@godphreypriest97144 жыл бұрын
Km huyu mchungaji ana nguvu za Mungu,mbona nafsi ya mchungaji fake inamuattack Muta Karumuna mbele yake, Angalieni jamani,mnahatarisha uhai wa huyo mtu;Tusitafute umaarufu kupitia Zhao wa mtu, Msimuweke ktk media km hamjamuhudumia mnalitukanisha Jina la BWANA
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
Kwanza kwa mchngj km mchungj wa kweli akimaliza Happ angembatza ndo ningeamn Sasa je amembatza
@messikihongosi52902 жыл бұрын
Yaani wahuni weng kira mtu na utafutaji wake Duniani
@paulinemutua20034 жыл бұрын
Amina Amina
@millyaketchmkenya20094 жыл бұрын
Muombe kwanza awee uhuru wacheka na ywaa umia,sijapenda ataa kidogo,
@minjaminjaukovizurdogo51874 жыл бұрын
Yan et ongeaongea mmh
@fatumanaliaka22104 жыл бұрын
Mungu ni mwema Kwa jina la mwanae Yesu Kristo aliye Mwokozi wetu Amen
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
Nafurah kuona watu km Ww
@prophetjfministry87174 жыл бұрын
Sio wachungaji wote waongo na sio manabii wote waongo kingine huyo mtu bado ana mapepo huoni ana sisimka? Mfungue kwanza
@ifgodsayyes.nobodycansayno17964 жыл бұрын
NAAMINI KUPIGA MAGOTI YANGU NAKUOMBA MUNGU WANGU SIEZI AMINI BINADAMU ANAYE MUOMBA MUNGU KAMA MIMI ACHENI KULIPWA NA KUSEMA UWONGO HUYO PASTER AENDE HOSPITALINI NA KUOMBEA WAGOJWA WALIO LAZWA SIHAWO WASHAONGEA VILE WATADANGANYA WATU... 🇰🇪🇨🇿
@euniceeunice76804 жыл бұрын
Soma bible utaelewa vzr mfatilie uyu kijana utajua ukweli so usiongee usio yajua bible imesema watatokea manabii wa uongo na bible iyo iyo imesema watatokea manabii wa ukweli na wataponya watu na wazee wataoteshwa ndoto na vijana wataoneshwa maono na miujiza itafanywa bible imesema ivyo so usiongee usivyo vijua uyu dogo anaumwa kweli ajalipwa
@josephinewluis88714 жыл бұрын
"So then, you will know them by their fruits. Matthew 7:20
@jeremiahkamnde5424 жыл бұрын
Is true
@felisterandrew8741 Жыл бұрын
Jaman had naogopa pole kijana.
@nyamogafamily42624 жыл бұрын
Wao,Mungu mwema
@gablielsamwely10813 жыл бұрын
Nafalijika kusikia ayo mtumishi
@brillianthalisi22594 жыл бұрын
Wewe muombee kwanza hayo utayaongea tuu
@lawisaloyce75724 жыл бұрын
Muombee kwanza apone atashuhudia sasa ndo nn nguvu zahuyo nabii zinakuaibisha.
@shabanirukundo42724 жыл бұрын
Hivi wakristo nanialiewaloga kilakukicha mnadanganwa unazidi kumtajiricha huyo pastor mapasta wengi niwachawi hakunamtu atakae Fanya miujiza kwasasa unakutamajitu yamesoma lakini kusoma bibilia Yao hawajui unaibiwakilasiku waumini wakikristo
@graciew17804 жыл бұрын
If there are genuine servants of God then not all water or oil fake. We just need to know who is real
@susynjambi4 жыл бұрын
Ni kweli
@adelinadaudi56074 жыл бұрын
kwakweli kuna mungu
@jeenarimo11234 жыл бұрын
asante yesu
@neemamsigwa13334 жыл бұрын
Huyu kijana bado mdogo sana shetan kamualibia maisha yake mchungaji mjaze imani kubwa kama ya abraham na imani anapona
@anitajacob36412 жыл бұрын
Wachungaji wana mambo jamani
@Bintimrembo-y1v4 жыл бұрын
Awe makini hata huyu mchungaji amezidi majisifu yasiyo na hekima. Mtafute Mungu wako pekee, wengine wengi wako kibiashara. Muhimu muamini, soma Bibilia uongeze maarifa, amini UTASHINDA.
@ngwanafabian75324 жыл бұрын
Hangaya huwezi kijiweka huru ukiwa kifungoni asipokuja mwingine mwenye nguvu kukufungua utaweza kusimama mwenyewe ukiwa huru. Ndo maana ya watumishi wa Mungu kukuombea. Mtu akifungwa na nguvu za giza moja ya kitu anachofanya shetani ni kufunga ufahamu wake. Kwenye ufahamu ndiko kwenye maamzi na hisia nk.
@zunirasalim76604 жыл бұрын
Mungu ampe shifaa insha Allah
@joycechaz28404 жыл бұрын
Unajielewa sana love japo muislam😘😘😘
@zunirasalim76604 жыл бұрын
@@joycechaz2840 Asantee❤❤❤
@johnignas1794 жыл бұрын
Yesu alipowaponya wagonjwa hakujifu wala kutangaza pia haliwaambia wanafunzi wake msijisifu pepo wanavyowatii bali majina yenu kuandikwa mbinguni kumbukeni hukumu ya mungu ni kubwa tunaosoma neno tunaongozwa na roho
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
Kwa mchungj wa kweli anauhubr dhambi na ubatzo manake toba hapo ndo kweli yenyewe lkn Hawa hamna kitu Sasa Mambo ya ujerumani yann hapo bukb
@minjaminjaukovizurdogo51874 жыл бұрын
Mchungaji anachukulia poh naakati kijana wwatu anaumia, na anaxheka duu! Bwanayesu naomba umfungue huyu kka bila wwe hamna anayeweza kabisa
@selinalangu50454 жыл бұрын
Jamani we mchungaji badala umwombee kwanza heeee!!!
@nundabe4 жыл бұрын
Uyo kijana anatia huluma kweli😢😢amekosa ata pakukimbilia, Na huyo mchungaji hana lolote, hawezi ata kumuombea.... Maneno mengi huwezi ata kumuombea kwanza...
@phineruge34804 жыл бұрын
Fazike uko sahii, Kwanza angemuombea akishakuwa sawa ndo atoe Ushuhuda ni wapi alikotoka na wapi alipo na wapi alipoishia. Yote kwa Yote Mdg wangu Muta Pokea Uponyaji kwa Jina la Yesu
@neemamasiko21044 жыл бұрын
Walimshinda shetani pia kwa Neno la ushuhuda, hivo bas huo ushuhuda anaoutoa pia unaharbu nguvu za Giza, yuko sahihi
@yoshuabosco47254 жыл бұрын
Hapa Arusha,manabii na mitume wa uongo ndio kwao wamepiga kambi
@zakiarama99093 жыл бұрын
Hahahaha
@nashondaniel9464 жыл бұрын
Anaweza kupona Kwa jina la Yesu: halafu hayo maombi yanakuwa maombi ya Nguvu ya kufunga na kuomba katika Jina la Yesu:
@michaelcharles48104 жыл бұрын
Asante Yesu
@mercyrotich15894 жыл бұрын
Amen 🙏
@nashondaniel9464 жыл бұрын
Yesu jitukuze Kwa huyu kijana
@alimatambwe34022 жыл бұрын
Na kwanini mpaka mumuhoji sana hivyo mumuombeye kwanza apone baada yakupona ndiyo atowe huyo ushuhuda anateseka mumuombeye kwanza
@AbduRahman-os2vx4 жыл бұрын
Wakristo mtadanganywa sana kwa imani hiyo ndogo ya kuamini miujiza na sio kumuamini mungu watajirisheni mapestor wenu kwa imani zenu ndogo..
@melissateddybearcossan95064 жыл бұрын
Acha Neno litimie maandiko yanasema siku za mwisho kutakuwa na miujiza na Manabii wa Uongo
@euniceeunice76804 жыл бұрын
Ata bible imesema mwisho wa dunia binadamu tutapewa uwezo wa kuponya watu miujiza kuoneshwa vision na wazee wataota ndoto so ww ujui kitu tuliaa
@euniceeunice76804 жыл бұрын
Ukiona manabii wa uongo basi jua na wa ukweli wapo sio kama nampendelea mchungaji apana ila bible imesema ivyo na wa ukweli wapo na wa ukweli wapo pia kikubwa imani yko kama kweli unamuamini Yesu basi Mungu lzm akuoneshe mchungaji wa kweli kupitia maono maana Mungu uongea na Sisi kupitia ndoto kama ujui jua sasa
@AbduRahman-os2vx4 жыл бұрын
@@euniceeunice7680 ww ndio hujui kitu,kwa maana imeandikwa hata kama ungekua na imani ndogo kama sisimizi ungejiponya mwenyewe,soma vizuri biblia yako...
@ngwanafabian75324 жыл бұрын
Jamani waabudu majini nao wanachangia!? Uzuri wa waislamu wao wanamwabudu shetani mubashara. Tatizo kuna watu wanadanganya kuwa wanamtumikia Yesu wakati si kweli ni heri wakachagua moja kama waislamu. Wakristo vuguvugu wanaliharibu kanisa.
@FelixMwinuka-p3z3 ай бұрын
Kuna umuhimu wa watu waelewe ni nani wa kuinuliwa baada ya uponyaji watu wanamwinua mchungaji badala ya Mungu
@julytito38913 жыл бұрын
Haya manabii jmn sijui kama wataacha watu salama jmn
@christophermlaponi5344 жыл бұрын
Atafunguliwa tu bila kujali ataombewa kwa muda gani, ili mradi ataombewa kwa uaminifu kwa jina la Yesu !
@kalamajulius61074 жыл бұрын
Lakin huyu pastor maranyngne namwona namtani nashuhuda ambazo simwamini nazo lakn nataraji anaendelea kubadilika
@josephinewluis88714 жыл бұрын
Glory Glory to the most High God 🙏
@rukiamwakinyo53244 жыл бұрын
Anateseka sana😪
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
Ee mungu mponye huyu mtt jamani imenisktsha Sana lkn Hawa manabii wa uongo mpk lini??
@morineinziani10804 жыл бұрын
Emen mungu ainuliwe
@godfreylyimo41774 жыл бұрын
Yesu alitupa maamlaka kubwa sn na zaidi sn alisema tutafanya zaidi ya yale aliyoyatenda duniani. Mpk sasa bado yapo mambo ambayo Roho Mtakatifu bado hajayafanya...Sasa ndg yangu uliyeitwa endelea kumtafuta Bwana na kumsogelea Yesu ili akutumie.
@blessedlovedandfavoured41294 жыл бұрын
Mtumishi Jactan Mungu akuzindishie
@zaydesdery92024 жыл бұрын
hill kanisa likowap
@heaventvonline67914 жыл бұрын
Amen.
@nyereremaryogo11724 жыл бұрын
Pia mm nafikiri wangemwombea kwanza huyo pepo atoke ndo wawape huo ushuhuda, maan mtu bado mgonjwa hujamwombea unasikiliza nn sasa
@ProphetJofreyKaigarula4 жыл бұрын
This Pastor is joking
@daviddavid-gq8zp4 жыл бұрын
Nyerere Maryogo !!Sawa kabisa!
@daimavlog4 жыл бұрын
Ashamwombea si amesema alikuwa hakai, so alishamuombea ndo wakamleta hapa