Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
Пікірлер: 8
@charlesomollo-ui1np2 ай бұрын
Ameeeen
@charlesomollo-ui1np2 ай бұрын
✊✊✊✊✊
@clemencea.akambengwa39992 ай бұрын
Hao wanao toa pesa nyingi kuanzia hizo laki 5 na kuendelea ni wanafiki, kama kweli wanatozwa wapaswa kuzitoa mbele ya waumini watu wakaona, kama ilikuwa kichochoroni wanapeana au ofisini walitaka huduma wenyewe, kwa kutotaka watu wajue matatizo yao, ni sawa na kwenda hotelini vipo vyumba vya elf 20-30-40-50 ukilala chumba cha elfu 50 unakuwa umetapeliwa au umependa kwa hiyari kutokana na huduma unayotaka, kwa sababu muda wa kuamka ni ulele sawa na aliyelala, chumba, cha elfu 20,serikali ina mambo ya kufanya iachane na fitina za mazehebu na hao wanaodai kutoa fedha hizo...
@rayisadesigns26462 ай бұрын
Kuna michezo inafanyika hizo pesa zinapigwa vizuri tu, zinapigwa kwa matajiri bila ya hao pangupakavu kujua. Hawa wanaishia kuligwa vialfu tano tano vya kununua maji na mafuta na ndiyo maana wanasema hivyo... pia wapo wengine wanaopangwa kutetea... serikali ina mikono mirefu huwa haikurupuki.
@NilahIsmail2 ай бұрын
Ninapinga kufungiw kwa kibok sipo pamoj na serikal
@HannaSamson-nq3hc2 ай бұрын
Serikali haipendi kuona watu wakiwa huru wanapenda kuona watu wanalilia kama hivi alafu badae utasikia chagua CCM wakati hawa jali vilio vya watu wachini kabisa kama hawa.
@aderanderwa76232 ай бұрын
YESU KRISTO warehemu watu wako wamepumbazwa akili hata hawaelewi hizi ni nyakati za makristo ya uongo ya tatokea Manabii wa uongo wakilitaja jina la YESU KRISTO kumbe ni yesu bandia tuwe macho wateule YESU KRISTO yuko malangoni shika sana ulicho nacho
@MsAggie52 ай бұрын
Na shuhuda zote hizo? Kuna mapasta na mapadre wa uongo lakini hawaguswi ila hawa wanaoponya ndo wako midomoni.