DR SULLE AFUNGUKA || HUU NDIO UKWELI WA PETE YA NABII SULLEYMAN KATIKA KUYAONGOZA MAJINI

  Рет қаралды 16,112

MASJID MTORO ONLINE TV

MASJID MTORO ONLINE TV

Ай бұрын

Пікірлер: 81
@mpagazeheramadhan4407
@mpagazeheramadhan4407 Ай бұрын
Jazakallah sheh wambiye wenye Hawajafahamu
@DadeDade-vu9ve
@DadeDade-vu9ve 14 күн бұрын
Takbir
@aishathabit3732
@aishathabit3732 Ай бұрын
Hakuna ushahidi wa hizo fimbo za nabii Shuaib Na sisi leo hatufati sheria za manabii walio tangulia bali sisi ni kufuata sheria za nabii Muhamad tu
@user-wo9zf6oo4j
@user-wo9zf6oo4j Ай бұрын
Jazakallahu khayra
@HakizimanaJeandieu-dy7cx
@HakizimanaJeandieu-dy7cx Ай бұрын
Shukran shekh
@lenoxabel3618
@lenoxabel3618 19 күн бұрын
Sheikh unastori sana yani Hadi raha
@AbbubakarHamad-nu1ug
@AbbubakarHamad-nu1ug Ай бұрын
Shekh naomba kuuliza uchawi nin kilugha na kisheria
@Abdulrahmanhassan18
@Abdulrahmanhassan18 Ай бұрын
Dr sule anamaarifa mengi sana ndio maana anajua vitu vingi sana mashaallaa. Na kawaida mtu anayejua vitu vingi hupingwa na watu wasio jifunza na kujua anavyovijua mwenzao. Vijana tusomeni gogo huwezi kupata kila kitu.
@AbuujureyjKhaniy
@AbuujureyjKhaniy Ай бұрын
Hi tv sas nayo inaenda kupotea ci miaka mingu mungu hafichi mnafiki ushirikin wawaz kuishi vitu na kuvitegemea
@AthumaniRajabu-pu7ch
@AthumaniRajabu-pu7ch Ай бұрын
Ww unaweza kutengeneza
@aishathabit3732
@aishathabit3732 Ай бұрын
Umechenganya baina ya kisa cha nabii Shuab na Saleh juu ya zamu za unywaji maji baina ya watu na wanyam
@aishathabit3732
@aishathabit3732 Ай бұрын
Huyu mshirikina kabisa Je mtume alifanya dua au tiba za kuandika andika hizo herufi?
@aishathabit3732
@aishathabit3732 Ай бұрын
Uzushi Nani kasema Pete ilikuwa na herufi saba? Kwanza suala la Pete ya Suleiaman ni uzushi hakuna ushahidi huo wa Pete ya Sulaian
@abuuzakariyalibumba6303
@abuuzakariyalibumba6303 Ай бұрын
Sharia za waliotangulia hazituhusu LABDA ziendane na Sharia zetu
@taurehassan7399
@taurehassan7399 Ай бұрын
Ww km elimu Yako ni ya kusikiliza kw masheikh hujapekuwa vitabu vya kusoma usiropoke,tulia au nenda kaulize kw hao unaowaskiliza
@taurehassan7399
@taurehassan7399 Ай бұрын
Me dr sule nakuelewa na hao wengi miongoni km ww wanajua sema wao wanatka kuficha hya mambo ili watu wasije wakapondokea huko kiujinga pc na elimu wakaungia kwenye shirki lkn kw wale wasomi hya mambo ypo na unaweza kufanya pasi na kumshirikisha allah kw maana vitu vyote vimedhalilishwa kw mwanaadamu tunatakiwa tuvitumie kw haqi pac na dhulma,kw anaekupinga eidha hajui na km anajua hajakuelewa na km kakuelewa ni ujeuri tu apinge ili ajulikane.watu wasone na kla mtu abwebwee ktk fani yake ahakikishe tu acvuke mipaka ya allah.
@nubianqueen6700
@nubianqueen6700 Ай бұрын
Wapi Aya kwa Quran au Hadithi za mtume unaruhusiwa? Usomi unayoongelea ni nje ya Quran na hadith. A true muslim only follows what's in Quran wa Sunnah.
@taurehassan7399
@taurehassan7399 Ай бұрын
@@nubianqueen6700 unaruhusiwa kufanya Nini?cjakuekewa
@mohdkhatib223
@mohdkhatib223 Ай бұрын
Wewe ni zero brain 🧠 katika uislamu.
@taurehassan7399
@taurehassan7399 Ай бұрын
@@mohdkhatib223 ww uliye active brain,kusoma na kuelewa hujishughulishi kz yko ni kusikiliza kw sheikh wko alfu wapinga PC na kusoma unabkia na ubishi,usisome kila kitu Ila soma sna na utajua mengi acha ubishi na kejeli pasi na elimu
@nubianqueen6700
@nubianqueen6700 Ай бұрын
@@taurehassan7399 kushirikiana na majini kwa njia ya "halal"?
@robertgeofrey4118
@robertgeofrey4118 Ай бұрын
Yohana 14 6 Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
@dulleyjuma842
@dulleyjuma842 Ай бұрын
Hakuwa na petee mzee. Wapi wameandika alikuwa na peteee au alihitaji kuwa na pete kuwaendesha majini???
@MukulasiKapela
@MukulasiKapela Ай бұрын
Akuna kma sule mashehe wengine wanaona wivu au km anajuwa bc atakiwezake wajuwe
@user-yh5fu5lo9r
@user-yh5fu5lo9r Ай бұрын
Leteni dalili kua Mitume Muhammad alifuga majini Kuna watu wachache wataingia (Sisi ni umma Bora yaani ummati MUHAMMAD vipi nyie hamuelewi? Wajinga nyie makufar na mushirk ) Hao Manabii wange kuwepo zama hizi wasingekua na njia nyingine isopokuwa kumfuata Mitume MUHAMMAD koo fahamuni kuwa hizo fimbo,Pete,nguvu za mejeshi, na utajiri wange usalimsha apa kwenye ubora uliotimia)
@biashaqtr-xd2mf
@biashaqtr-xd2mf Ай бұрын
Mashallah Alhadulilahi hiyo ni elimu mashallah kubwa Allahu akuzidishie
@omaryrajab7371
@omaryrajab7371 Ай бұрын
She upo sahihi ao wanawazuoni wengine awasemi khaq
@IssaMraja-kr3qi
@IssaMraja-kr3qi Ай бұрын
Doctor Sule yuko sawa jamani,hawa mashekhe wanaomwita mshirikina ni wivu tu unaowasumbua
@theophilusmogaka7701
@theophilusmogaka7701 Ай бұрын
Waislam na uchawi jamani njooni kwa yesu mkapate kuokolewa
@user-wo9zf6oo4j
@user-wo9zf6oo4j Ай бұрын
Ila mimi ni mrundi
@myself4128
@myself4128 Ай бұрын
Hadithi za Uongo Na ukweli alizokuja nazo Muhammad😂😂😂😂 Eti pete ya sulleiman,
@user-rq3vu1zy6c
@user-rq3vu1zy6c Ай бұрын
sasa we mtume unazingua sule izo rizki zunakusumbua
@user-wo9zf6oo4j
@user-wo9zf6oo4j Ай бұрын
Nafaidka kwa faida unazo towa
@user-wo9zf6oo4j
@user-wo9zf6oo4j Ай бұрын
Tafadhali nijaliye mwanafunzi wako
@user-hy5zd5rn6r
@user-hy5zd5rn6r Ай бұрын
Uchawi wa majine uko kwa waislamu.Hii hamuwezi kataa
@biashaqtr-xd2mf
@biashaqtr-xd2mf Ай бұрын
Unasema kweli lakini wanaojuwa hawataki wasiojuwa wasijuwe.
@Dysmedia254
@Dysmedia254 Ай бұрын
Hana ishu huyu. Mshirikina tu sheikh gani anatumia majini au pete
@alhimnamussasaid3619
@alhimnamussasaid3619 Ай бұрын
Mashallah dokta sule nimekuelewa sana, achana na wambea wambea wasiokua na taaluma hakuna wanachokijua elimu ni bahari kubwa sana
@mohdkhatib223
@mohdkhatib223 Ай бұрын
Na nyinyi Masjid Mtoro msitie aibu, achanani nae huyo mshirikina. Masjid Mtoro ni msikiti mkubwa na wenye historia lakini post zenu ni aibu katika uislamu.
@abuhsanono4392
@abuhsanono4392 Ай бұрын
Achana nachuki soma sule kafafanunu vizuri alakini unaonekana umeja propaganda sio elimu kwa mwenye akili timamu kaelewa
@nubianqueen6700
@nubianqueen6700 Ай бұрын
Shukran! My thoughts exactly. Nilikua nawafuatilia lakini hii imenifanya niwe na mashaka.
@salimofficial1263
@salimofficial1263 Ай бұрын
Huu ni Ukosefu wa ilmu sahihi. Tafsiri ya Quran ya hayo matukio ipo tofauti na maelezo ya Sule.
@ibnhamduun3173
@ibnhamduun3173 Ай бұрын
Masjid mtoro na Sule ndio hao hao usishangae wao kupost utopolo
@abdallahmoussa614
@abdallahmoussa614 Ай бұрын
Tahadharini na shirki alafu ziko aina nyingi ya shirki . alafu unakuta mtu anaunga mko eti huyu Sule yuko sahihi ? Dni ya Uislam inakwenda na dalili hayo mambo ya Pete za mvuto mara majini hayafayi kuyatumiya kwakutaka mali n.k...
@xenioribra3765
@xenioribra3765 Ай бұрын
Mungu ampe maisha maref huyu jamaaa.....thamani yake tunaijua wachache...
@user-yh5fu5lo9r
@user-yh5fu5lo9r Ай бұрын
Una muombea kafiri ane mzulia Mungu uongo na mtume wake. huyu labda ni jini la ummati SULEYMAN kwa Nini asipate dalili kwe Hadith sahihi anakimbili Manabii, HAO NINYUMAT ZILIZOPITA WALA HATUTO HUSISHWA KWENYE MÀSUALA YAO, Pumbavi nyie mnae danganya wasikilizaji kasomeni kwa akili ya dini yenu nakhera yenu mtafaidika kuliko kupakia mambo ya wenzenu.
@aishathabit3732
@aishathabit3732 Ай бұрын
Hili tapeli kabisa Na dini halija soma Hili tapeli na shirikina Itakuwa kwa sasa hana namna ya kutapeli kupitia michango ya waislam sasa ameamua kutangaza uchawi wazi
@aishathabit3732
@aishathabit3732 Ай бұрын
Visa vya nabii Sulaiman vyote vya uongo Mtume hawezi kupoteza unabi wake na ukashikwa na shetani
@aishathabit3732
@aishathabit3732 Ай бұрын
Yani kwa mujibu wa Sule unabii unachezewa Hili jinga kweli Unabii ni wahyi na sio Pete Kwahiyo kwa visa hivi nabii alipokonywa unabii wake kwa siku 40 Sulle kasome dini acha ujinga
@aishathabit3732
@aishathabit3732 Ай бұрын
Angalia upumbavu wa sule eti mke wa nabii hawezi kuchezewa lakini unabii unachezewa na majini Sule mwislamu kweli?
@nyawendacyprian8174
@nyawendacyprian8174 Ай бұрын
Binafsi namuunga mkono huyu mwamba,anaelimu kubwa
@SameerMdumbemalongo
@SameerMdumbemalongo Ай бұрын
Sule ni KUHANI.....MSHIRIKINA......ACHA UONGO WEWE HATA KAMA UNA NJAAA HATUTUKANI UISLAM....PIA NI USHAMBA ....NA UJAHIL
@LukmanMohd-kn3iq
@LukmanMohd-kn3iq Ай бұрын
Sisi ni ummati Muhammad si ummati nabii suleiman.tupe dalili ktk qur'aan au hadithi kuwa yafaa kuwa na pete ya mvuto au kufuga majini. Tupe dalili? Ww ni mshirikina. Na mwenye kupoteza watu.
@yusufmod1437
@yusufmod1437 Ай бұрын
Haifai shekhe wangu kukosoa mtu mwenye ilimu kukuzidi so heshima n jambo la muhimu
@user-fs7bs6gy4z
@user-fs7bs6gy4z Ай бұрын
Usimtukane mtu kw uchache wa elimu na upeo mfupi wa tafakuri yko uliyonayo ndg yng , kila kitu Mungu alichokileta dujiani kina nguvu ndani yke na kina matumiz yke ispokua matumiz yko ndio yanayoweza kubatilisha haki, elimu hii ya giza ilishushwa kule kusini mwa iraq babel na kuwafundisha waliotaka kujua lkn wakausia namna ya matumizi lkn mashetani/waovu ndio wakakufuru kw kwa kuwafundisha watu uchawi / kw hiyo maana yke waliitumia hii elimu vibaya .
@sulaimanunda
@sulaimanunda Ай бұрын
hakuna cha eti watu waache matusi hapa... ukweli ni kuwa huyu sule ni mshirikina kwa kile alicho kidhihirisha yy mwenyewe bila kusingiziwa... lau asingekuwa anawalazimisha watu wachukulie kuwa hiki anacho kifunza kuwa ni ukweli basi watu wasingemfuatilia
@user-fs7bs6gy4z
@user-fs7bs6gy4z Ай бұрын
Ck zote hua kuna waumini af kuna vichaa wa imani sasa km utakua ktk kundi la vichaa wa imani bac sawa endelea
@biashaqtr-xd2mf
@biashaqtr-xd2mf Ай бұрын
Unasema kweli lakini wanaojuwa hawataki wengine wajuwe kwasababu wataerevyuka na hilo ndilo hawalitaki.lakini wao wajuwa unayoyasema lakini hawataki wajuwe.
@aishathabit3732
@aishathabit3732 Ай бұрын
Fattaahu sio kufungua Ni mwenye kufungua Hujui kiarabu Pia kutamka unakosea baina ya ح na ه We tapeli tu
@hajimdudu
@hajimdudu Ай бұрын
Na Mimi nataka Pete ya bahati
@salimofficial1263
@salimofficial1263 Ай бұрын
Hakuna pete ya bahati. Hio ni shirki. Bahati mbaya au mzuri inatoka kwa Allah, hio ni nguzo ya sita , "wabil qadari khairihi wa sharrihi minallahi Taala" Mwenye kutegemea pete kwa bahati ame ingia katika mlango wa shirki .
@salimofficial1263
@salimofficial1263 Ай бұрын
Kuamini Qadar ni Nguzo ya sita katika nguzo za iman ambazo Rasul sallallahu alaih wasallam ametubainishia
@robertgeofrey4118
@robertgeofrey4118 Ай бұрын
Mkuu Bahati ipo Kwa Mungu pekee Siyo Pete Yohana 14 6 Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
Wait for the last one! 👀
00:28
Josh Horton
Рет қаралды 159 МЛН
DR. SULLE | HII NDIO HEKMA YA ALLAH KUMPELEKA NABII MUSSA KULELEWA NA FIRAUNI |
28:07
DR SULE - MAAJABU YA NABII MUSSA KWA FIRAUN- MUENDELEZO HUU
28:39
HAJI ONLINE TV
Рет қаралды 11 М.
KISA CHA MAJINI SABA KUSOMESHWA QUR -AN //SHEIKH OTHMAN MAALIM
18:05
arkas online tv
Рет қаралды 8 М.
DR SULLE ATOA ELIMU YA MAJINI YA UTAJIRI NA JINI MAHABA
23:19
SIMULIZI ZONE
Рет қаралды 13 М.
WACHUNGAJI WATATU WAKIMBIA HOJA NA KUACHA KONDOO WAO
56:36
Straight Path Dawah
Рет қаралды 66 М.