Ila mshapotean nyie apo kariakoo wakinga wameishik ad china wew
@celestinermantenga24632 ай бұрын
Bora hao waliojenga dar, je kuliko viongoz wanaojenga nchi za nje.
@timothsanga30863 ай бұрын
Bora kikao hiki kizae matunda,Mungu awabariki
@ibrahimusanga1269Ай бұрын
Kwa kikao hiki nakubali sana Ngoja nirudi nyumbani nikawekeze
@yordanyona12343 ай бұрын
Wakinga wako serious mchaga amepitwa parefu sana na hawa watu.. Waaminifu sana na hawana jeuri kama wachaga na wahaya
@ndukulusudikucho_3 ай бұрын
huwa najiuliza kwanini dar es salaam hakuna mitaa inayoeleweka, kumbe kuna watumishi hawana uchungu na DSM na siku zote wanawaza maendeleo ya nyumbani kwao safi saana Mheshimiwa, mkataa kwao mtumwa
@TOUNDISELASSIE-xj8oy3 ай бұрын
Ushauri mzuri. Mtu ukishakua na ziada ya kutosha, ndipo ufuate ushauri wa waandaa hiyo washa. Maana ukipeleka mtaji sehemu isiyo na mzunguko, fedha itaisha tu. Wanamakete muishio dar es salaam. Kuweni makini sana na ushauri huu. Mbinu sio uchawi. Ukijichanganya unarudi makete kuishi, sio kufanya biashara.
@liannsambu72642 ай бұрын
Mbona ninyi mmeshindwa kwenda kuwekeza ? Utajiri unasiri yake na jasho na damu ,wanafuata kuliko na cash flow ,ni vyema kwenda kuwekeza ila waandalieni fursa zitakazowalipa nje ya hapo kwakuwa hawako Huko ni ngumu so kikubwa ni KUONESHA MAZINGIRA wezeshi ndo maana wameenda kulikowekwa MAZINGIRA ya kuwekeza
@nsiamasawe45783 ай бұрын
Jamani waacheni hawa jamaa maokoto ya wengi wao ni ya masharti. Siri zao wanazo wenyewe. Kama uongo wakajenge uone kama ndururu hazijaisha 😂😂😂.
@barakanatus56762 ай бұрын
Nuru hawana wanaoga sana dawa.
@johnmathew99943 ай бұрын
Siku ikitokea wakajikusanya wachaga kama hivyo na kusema tukawekeze nyumbani mbona mitandao itavurugika kwa tuhuma za ukabila na ubaguzi na serekali itakuwa ya kwanza kutoa tamko dhidi ya ubaguzi wa wazi
Mimi naona unapowekeza ni lazima pawe panalipa,ila hili linawahusu wote waliotoka makete bila kujalisha wamehamia wapi
@GibsonNtamamilo3 ай бұрын
Haji mtu huko. Kila mtu anajua wapi afanyie biashara na kuishi wapi.
@SalamaBaaliya-zs1ol2 ай бұрын
Ukabila wengne wapate wapi kazi
@renatusblandes11313 ай бұрын
Wakinga wanasemaga wanatoa kafala sijui nikweli?
@hizamawa60463 ай бұрын
TATIZO MASHARTI
@ikeallaround7942 ай бұрын
Ndugu mwandishi,nadhani haikuwa vizuri kuweka title inayoleta hisia za "ukabila"- waliokaa hapa ni wananchi wa makete waishio Dar es salaam. Kwa hiyo kuandika wanaMakete ingetosha! Mtu anayeishi Makete anaweza kuwa mtu yeyote...Mkinga,Mbena,mnyakyusa,Mchaga nk.
@NuruNswebe3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 masharti ndio tatizo 😂😂😂😂😂 afu siri yawatu wamakete kufanikiwa inajulikana😂😂😂😂😂😂
@verbalverbal20193 ай бұрын
Kwa hiyo mmesema huu uliojadiliwa hapa sio ukabila?... Okay
@iskiji12403 ай бұрын
Hii iko very tricky aisee, kuna mkinga mmoja alinambia walitaka kufungua benki ila walikataliwa. Inabidi uwe mjanja kuepuka mtego wa ukabila
@TOUNDISELASSIE-xj8oy3 ай бұрын
@@verbalverbal2019 Hapana sio ukabila. Hapo ni jamii ya watu wa eneo fulani wanekutana na kuongelea mambo ya kufanya maendeleo katika maeneo yao ya asili. Maana wanafanya maendeleo sana katika maeneo wanayofanyia shughuli zao. Na hapo wakinga wasomi wanawashawishi wenzao kupeleka maendeleo makete. Kwa hiyo sio ukabila wao kukutana na kuongelea hayo waliyoongea.
@verbalverbal20193 ай бұрын
@@iskiji1240 Wanachokijadili kinaleta maana, kama Makete haijachangamka wenyeji wake ndio wanatakiwa wawe wa kwanza kuingiza nguvu especially kama wana mafanikio na wanawekeza maeneo mengine, lakini ukisikiliza vizuri baadhi ya wachangiaji una-sense kuna ukabila fulani hivi
@TOUNDISELASSIE-xj8oy3 ай бұрын
@@verbalverbal2019 Ni kweli unaweza ukahisi wana ukabila kwasababu wamekutana wote wakinga. Lakini wangekuwepo wabena ungeamini kile ninachojaribu kukufafanulia. Wanajadili na kuizungumzia zaidi wilaya ya makete. Wilaya ya ambayo siyo ya wakinga tu, kuna sehemu kama mpaka wa wilaya ya wanging'ombe na makete wapo wanaishi wabena. Mpaka wa wilaya ya mbalali na makete wanaishi wasangu.
@hagaisanga72862 ай бұрын
Hio ni meeting ya wanamskete wapo wawanji,wamagoma wakinga na wamahanji wala sio mkutano wa wakinga tu watu ndo hawaelewi wanafikiri makete ni wakinga tupu@@TOUNDISELASSIE-xj8oy
@@josephkiwale374 unamjua sauri wewe na ni wengi tu matajiri
@mohdmohd84283 ай бұрын
Kwan mganga wake kampa masharti gani😂
@MonicaBenitomwalongo2 ай бұрын
Wakinga oyeee
@iddykwangaya27943 ай бұрын
Mbona wandengeleko na wazaramo, hawana shobo na miji ya watu jamani?
@lovenessvisent94083 ай бұрын
Ndio tumekuja kuwafaid Sasa Kila mnapoenda tutawafuata siku mkigundua kuwa na shobo Kuna faida sisi tutakua na maisha magumu aise
@marcominja88503 ай бұрын
sawa sawa mabingwa wa kufanya biashara kwa mbinu kuliko akili 😃
@badymedia96483 ай бұрын
Nakuelewa😂😂 umeeongea kwa hisia
@machachehardware59753 ай бұрын
Biashara kwa mbinu ndo kila kitu kuna ma genius wengi hawana hela maisha maandiko yenyewe yanasema akili nyingi huondoa maarifa
@josephkiwale3742 ай бұрын
Wachagga tukizidiwa tunaanza majungu na umbea,,shame on us😆😆
@AdorophinapKahwa2 ай бұрын
Imeandikwa kwenye kitabu gani kaka?@@machachehardware5975
@celestinermantenga24632 ай бұрын
Tena si kujenga tu wauze magorofa hayo wakajenge makete na waishi uko uko.
@selemanisalum76853 ай бұрын
Wajenge kwao wafirisike subutu utajiri wao unamashrti wajari waone wataka pukutika usizione suti hizo wanamaisha magumu hao hafazali ya wewe rofa ukila ugari wako na kauzu unashukuru
@machachehardware59753 ай бұрын
Mmmhhh
@ElizaMbogela-fl2xg3 ай бұрын
Nyumba za kuishi makete ni nzuri na zamaana kwa asilimia kubwa
@israelkisaila84013 ай бұрын
Tatizo lenu makete uchawi
@frankngoloka54163 ай бұрын
Tafuta Hela wewe,ukienda hata Kwa muuza nyanya utakuta mikaaa au ndula,kila mfanyabiashara Imani hiyo anayo
@ElizaMbogela-fl2xg3 ай бұрын
Walikuloga ww unahangaika na kuteseka ukiwa wapi
@israelkisaila84013 ай бұрын
@@ElizaMbogela-fl2xg nikiwa makete,napambana na wachawi
@merumount59883 ай бұрын
Mambo ya kujinasibisha ueneo, kabila nk ni ujinga..huyu ni RAC anajinasibisha ueneo, hivi mikoa yote watu wajinasibishe walikotoka kitaeleweka kweli? Labda baada ya mgomo kariakoo wnakuja na divide n rule ndiyo lengo lake huyo..kwa nini sasa hivi?
DC anapoteza muda tu. Utajiri wa Wakinga ni wa makafara na masharti. Walio wengi hawaruhusiwi kuishi maisha mazuri yenye anasa. Wakifanya hivyo wanafikisika au kufa. Wengi wamewaweka mama zao waliokufa au ndugu zao kwenye vyumba maalumu kuvuta hela