"TUNAMSIMAMISHA KAZI" AWESO ASHTUKIZA DAWASA, AZAMA CHINI YA TENKI KUKAGUA MAJI NA KUYABAINI HAYA

  Рет қаралды 29,615

Millard Ayo

Millard Ayo

29 күн бұрын

Пікірлер: 199
@EmmanueliZani-ur9bi
@EmmanueliZani-ur9bi 27 күн бұрын
Mheshimiwa, sababu kubwa ya kutokuwepo maji kwenye matanki ni hii. Wana Magari yao ya kusambaza maji mitaani, na hasa maeneo ya King'azi B wana soko kubwa la maji. Mabomba yapo, lakini yanatoka kwa mwezi mara 2 au hayatoki kabisa. Asante kwa ufatiliaji, mkiwa mnafanya hivi, wananchi tutapata raha kwenye Nchi yetu. Mungu akubariki Mh.
@ayoubmtumishi50
@ayoubmtumishi50 20 күн бұрын
WANA MAGARI YA KUSAMBAZA MAJI,,,,MABOZA
@shinipapaya846
@shinipapaya846 19 күн бұрын
Yachomeni moto hayo magali yao yanayo sambaza maji mtanyanyasika mpaka lini kwenye Tanganyika yetu amkeni kwenye usingizi wa samaki pono 😢😢
@femidayahaya4882
@femidayahaya4882 27 күн бұрын
Tena alivyokua Jeuri anatafuna huku anaongea na Mkuu wake...Hyu ndo Kibaka sugu w Kodi za wananchi.
@Brunn-mh2bq
@Brunn-mh2bq 27 күн бұрын
Hatafuni. Ana tatizo la meno 😅
@hajihassan5433
@hajihassan5433 20 күн бұрын
Yule ananuka meno anakata harufu.
@nguruwekikwete1635
@nguruwekikwete1635 27 күн бұрын
Wafanyakazi wa serikali asilimia 99% ni wapumbavu haswa ndiyo maana wanalialia kuongezewa mishahara for nothing ni kama walimu hakuna wanacho fanya ila wanataka mishahara mikubwa.
@africaonechannel1289
@africaonechannel1289 27 күн бұрын
Ndugu!, Mbona UMEAMUA KUYASEMA MANENO YAKIWA MABICHI KABISA!? Hujayakaanga, hukuyachemsha &hata kuyaanika juani pia hukutaka!? HII NI "NGURUWE Aitwe NGURUWE●
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 27 күн бұрын
Wapuuzi sana. Waachie ngazi
@frankyeye
@frankyeye 27 күн бұрын
Bro kwani sisi walimu kwenye maji tunaingiajee😢😢😂😢😂😢
@MohamedAhmada-ie7ke
@MohamedAhmada-ie7ke 26 күн бұрын
Kama una akili huwezi kuasema walimu hawana wanacho kifanya siwez kuwadharau kabisa hao watu ni kama wazee kwetu
@nguruwekikwete1635
@nguruwekikwete1635 25 күн бұрын
@@MohamedAhmada-ie7ke tatizo lako ni kukosa akili....tafuta akili utajua naongea nini ?
@hildajoel5
@hildajoel5 27 күн бұрын
Huyu bwana kuna kitu kinampa jeuri maana hiyo confidence sio ya kitoto😢
@joycekambuga6286
@joycekambuga6286 21 күн бұрын
Hana confidence ana afya ya akili na anatafuna dawa
@NurudinZuberi
@NurudinZuberi 15 күн бұрын
😂😂😂​@@joycekambuga6286
@africaonechannel1289
@africaonechannel1289 27 күн бұрын
Mhe.WAZIRI WA MAJI!!. Utamuonea bure huyu MTAFUNA Big G. PICHA KUBWA NDANI YA UKUMBI INAJIELEZA● Hii ni HUJUMA DHIDI YAKO. Jaribu kuzipekua Sura za WASHIRIKI WOTE AND NINASEMA WOTE WA HICHO KIKAO; It's A Very Open Msg. HIZI NI SIASA ZA KIJINGA. Kuzuia hatua za Maendeleo Yetu! ●KAMA JAMII; Let's Be Serious😎
@user-bi7gk7im4f
@user-bi7gk7im4f 22 күн бұрын
😂😂. Labda anatafuna miti shamba,sio big g
@saidhamza5318
@saidhamza5318 27 күн бұрын
Hy mzee white mbona ka kalewa au👀😳
@user-zm4mm4eb5j
@user-zm4mm4eb5j 19 күн бұрын
Zombie hilo linawaza magari yake yatauza maji vp ikiwa matanki yatajaa maji
@user-xn8jh1yw1h
@user-xn8jh1yw1h 26 күн бұрын
Hatutakii mema huyo! Anatesa Jamii! Maji ni Uhai! Anahujumu uchumi.
@injilinjeyakutazakanisa
@injilinjeyakutazakanisa 21 күн бұрын
Nakumbuka mbali sana, Kaka jipe moyo na kubali hii ndio dunia. Pole
@GeorgeChacha-dd9fh
@GeorgeChacha-dd9fh 27 күн бұрын
Yani unatafuna kabisa huwazi😂😂😂
@lucasmlowezi9214
@lucasmlowezi9214 27 күн бұрын
Kweli ni dharau kubwa sana, watu wanahangaika maji mzembe mmoja anazingua. Lengo serikali ya Mh. Samiah ionekane hafanyi kazi. Safi sana Mh Waziri
@verdianabanabi2205
@verdianabanabi2205 27 күн бұрын
Anaficha harufu ya pombe au dawa za kuzindika asufukuzwe.
@SalmanMughal-lq5lt
@SalmanMughal-lq5lt 27 күн бұрын
🤣​@@verdianabanabi2205
@user-bi7gk7im4f
@user-bi7gk7im4f 22 күн бұрын
Hahahaha
@hawaelymaricca7602
@hawaelymaricca7602 27 күн бұрын
Tumbua wote hao wanafanya kaz kwa mazoea. hawana hata wasiwasi maana mishahara wanalipwa
@user-gy5en6cy8o
@user-gy5en6cy8o 27 күн бұрын
Kabisa Kama serekal inafanya yte haya alafu hawa wajingawajinga hajui jinsi tuna yo pata shida ya maji tumbua Muheshimiwa 😢
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 27 күн бұрын
Awamu ya majizi tupu. Hongereni
@MnubiMm
@MnubiMm 27 күн бұрын
Kwa Mtazamo wako haki yako
@aminamwashambwa6846
@aminamwashambwa6846 25 күн бұрын
Njia panda ya makabe Wana magari yanauza maji boza elfu ishirini kwa maisha gani ni manyanyaso
@2003hintay
@2003hintay 27 күн бұрын
Adabu hana fukuza kazi sio kusimamisha unaongea nae yete anatafuna big G
@hamiduomar1316
@hamiduomar1316 24 күн бұрын
Anaonesha zarau kwa wazir cjui ninani anayempa kiburi cha kujiamin mbwa huyu fukuza kabisa
@aminamwashambwa6846
@aminamwashambwa6846 25 күн бұрын
Watu wanateseka kununua maji ndoo hamsini kwa elfu ishirini huku njia panda ya makabe, ni mateso wao wanakula mshahara na majumbani mwao maji yapo
@MariamLigoha
@MariamLigoha 22 күн бұрын
Waziri Aweso na wewe ujitathmini, unaongeaje na huyo mzee anajitafuna-tafuna na humuwashi kibao. Ujue anapokudharau wewe ameidharau jamhuri ati! Ungemdhalilisha na wewe, hongera kwa uvumilivu,. Na wewe mzee acha kujitafuna, bosi mzima
@sabrinaibrahim1127
@sabrinaibrahim1127 17 күн бұрын
Huyu atakuwa kalewa anatafuna vitu vya kutoa harufu ya pombe
@johnmwakipesile9046
@johnmwakipesile9046 27 күн бұрын
Hiyo ni hujuma waziwazi apo kuna watu wanakutengenezea zengwe ili utumbuliwe Mh Waziri
@sofiakhan9706
@sofiakhan9706 27 күн бұрын
Kweli kabisa na maada ye waziri anaondolewa wanabakia waharibifu palepale na kuendelea uzembe
@consorathajames2693
@consorathajames2693 27 күн бұрын
Anatafuna kizizi ndio maana ana confidence zakutosha
@VictaDaudi
@VictaDaudi 21 күн бұрын
Viongozi Kama hao wapo wengi Sana ,, hata Hulu IRINGA wapo wao kazi yao ni kubambikizia watu bili za maji ,ndio wanachoweza TENA tunaomba mtuletee mita za kununua maji kabla ya matumizi hapo mtakuwa mmetusaidia 😮
@hamzaibrahimu
@hamzaibrahimu 27 күн бұрын
Boss njoo na Mwanza Umeme upo ziwa tunalo lakini maji ya mgao🙏
@sammymdemeka7937
@sammymdemeka7937 21 күн бұрын
Hawa mameneja wa Mamlaka za maji mtatuulia Waziri wetu Aweso mnamfanya aingie hadi kwenye matank kwa uzembe. Sasa dawa yenu inachemka sheria kali ziletwe ikibidi kufungwa maisha na kufilisiwa huu ni uhujumu uchumi😢😢😢😢😢
@charlesadolf1062
@charlesadolf1062 19 күн бұрын
Hor. Dr. May you kindly fired out this guys. This days to be sincerely dawasco is *business as usual* Beach Beach every hour water went off. Please step down these team.
@habibamaguru2722
@habibamaguru2722 20 күн бұрын
Niwajeur sana,Greda lilipita kutengeneza barabara mtaan kwetu wakakatakata mabomba,tumekaa week 3 naa hatuna maji,Wakipigiwa majibu yao ni ya nyodo pia mpaka tumeenda ofcn kwao ndo wakatuma mafund tena wanataka pesa tukagoma ndo wakaunganisha maji
@davidchihimba9489
@davidchihimba9489 17 күн бұрын
Ccm mnajizengua wenyewe mnapiga ndo maana na wao wanapiga wanawaonea gere mnavopiga
@pascaldonati2711
@pascaldonati2711 27 күн бұрын
Na sis Nyashishi hatuna maji tokea Uhuru
@STEPHENKingu-yz2dk
@STEPHENKingu-yz2dk 27 күн бұрын
Mama Samia meongezeee Aweso mingine
@nkwazigatsha
@nkwazigatsha 20 күн бұрын
Jamaa anaonekana mkatili kweli kweli. Mtu mzima hovyo
@MRN_the_Real
@MRN_the_Real 20 күн бұрын
Mh. Fukuza hayo matahira, watendaji wa moja kwa moja huwa ndo wazembe sana, ukianzia kuchunguza mapungufu kuanzia mamlaka za juu mpaka watendaji wa moja kwa moja utakuta kuna uchafu mwingi sana
@eliudsinkala419
@eliudsinkala419 13 күн бұрын
Njoo Morogoro Waziri huku ukienda kutoa shida unapewa namba ya simu ya fundi uwasiliena naye ,badala ya ofisi kutoa maelekezo.Maana unambiwa mafindi wako site.
@iam_sami
@iam_sami 27 күн бұрын
Ukiskia kazi na mazoea ndo haya mazoea mengiii aisee kummke tia ndani woteee
@nicholouswaryoba1474
@nicholouswaryoba1474 19 күн бұрын
Tunawaonea tu viongozi ila watendaji wa chini ndio tatizo
@godfregiiti8327
@godfregiiti8327 21 күн бұрын
Waziri wa maji tembelea mwanza Nako kuna ujuma kubwa kwenye chanzo kipya Cha maji akitoi maji kama tulivyotangaziwa matatizo ya maji yamekuwa makubwa kuliko ilivyokuwa kabla ya ujenzi wachanzo hicho maeneo ya buhongwa ziwaunaliona lakini maji ayapatikani
@sananefrank6560
@sananefrank6560 27 күн бұрын
Njoo na mwanza haraka sana mkuuu same kunamichezo mibaya hakuna maji hapa mjini mgao mkali sana hapa Nyegezi
@jonasnyanga8167
@jonasnyanga8167 27 күн бұрын
Acha uchochezi
@mohammedkhimji7505
@mohammedkhimji7505 27 күн бұрын
Mzee White kalewa hahaha ndio maana kaamua kutafuta bigG kuua harufu
@user-um2nw8em7j
@user-um2nw8em7j 17 күн бұрын
Hapa ndio ungejuwa what is JPM
@GeneralSankala
@GeneralSankala 27 күн бұрын
Safiii sana
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 27 күн бұрын
Shabaan Mkwanye umeyakanyaga leo
@mweyoms5548
@mweyoms5548 19 күн бұрын
Wahuni wamejaa ofisi za umma
@ntegrity277
@ntegrity277 12 күн бұрын
Waziri punguza maneno piga chini hao ni wasanii
@khadijakimaka8427
@khadijakimaka8427 19 күн бұрын
Muheshimiwa nakuomba uje Arusha
@EphulaimemanuelEmanuel
@EphulaimemanuelEmanuel 27 күн бұрын
Mweshimiwa njoo mwanza nyegez hamna maj miez 3 njoo tusaidiye
@jamilamkunga234
@jamilamkunga234 27 күн бұрын
Na buhongwa pia
@JemaLupande
@JemaLupande 22 күн бұрын
Mbagala utakuja lin mhe,make tunateseka mpk basi mwezi mzm maji hayatoki na bili zinasomwa tukiuliza sababu ya maji kutotoka tunaambiwa umeme wakati umeme upo!
@pascalntandu1217
@pascalntandu1217 21 күн бұрын
Mnabembeleza sana watu wazembe kama hawa fukuza wote kazi patia wengine kazi achana na hao wazembe;waziri wangu take action ya nguvu watu wengine wajifunze kwamba hatuigizi.
@sofiakhan9706
@sofiakhan9706 27 күн бұрын
Miezi mitatu maji hakuna City centre bill inasoma 172,500/= na nimelipa kitu kinaitwa hewa yaani kila ukijaribu kuwasha pump na line ikiwa haina maji hewa ndiyo inahesabu maji pale sasa bora kuwa na meter kama za luku pata unit kutokana na pesa yako siyo kubambikwa bill zisizokuwa na mantiki bei ya maji kuliko dhahabu duuh na wakati hakuna ,
@BenjaminSululu-uz6sd
@BenjaminSululu-uz6sd 27 күн бұрын
Huyo anadawa mdomoni
@YahyaMbega
@YahyaMbega 20 күн бұрын
Agaria macho yao warevi hao warikoshe hera wana maboza hayo huku maramba 2 wanatuzia 45000
@AugustKisaka-qy7kl
@AugustKisaka-qy7kl 23 күн бұрын
Ongera waziri ,bado waziri wa nishati na madini atuonyeshe cheche zake, umeme garama sana atue tamko atueleweshe kwanini garama za umeme zimekuwa juu
@DerickNgowi-mf5pe
@DerickNgowi-mf5pe 27 күн бұрын
Jaman hao wafanyakaz wanaoesabu mita ni wiz mtupu tunajaziwa bil ambayo hatujatumiwa mita yangu haifanyi kaz ila wananijazia init
@jumamdaki9691
@jumamdaki9691 20 күн бұрын
Pwani na Dsm kuna upotevu wa Maji kwa kiasi kikubwa na watumishi wa Idara ya Maji wanaona ni hatari sana.
@YahyaMbega
@YahyaMbega 20 күн бұрын
Hata huyo wa2 wote hao warevi watowe au huna wengine au mnarindana huyo mkuuwa wiraya wamemfukuza kure mawasiriano 2000wanareta mazowea
@user-zm4mm4eb5j
@user-zm4mm4eb5j 19 күн бұрын
Hujuma Hujuma Hujuma hakuna zaidi sijui Tumerogwa na nani sisi Watanzania
@davidchihimba9489
@davidchihimba9489 17 күн бұрын
Muweke sheria atakayefanya utoto anyongwe
@ElishaMgimba
@ElishaMgimba 15 күн бұрын
Huyo jamaa nihaki asimamishwe anaongea nawazir huku anatafuna JoJo hiyo niutovu wanidham
@YahyaMbega
@YahyaMbega 20 күн бұрын
Ndugu waziri huyo mrevi wa madaraka wanatuambia puresha ndogo
@BarakaThoas
@BarakaThoas 21 күн бұрын
Aiseee daaaah! Yaaani hayo majamaa niyakufukuza kazi ili yaje ulaiyani uku yaone joto la jiwe tunalolipata wananchi sio poa kabisa
@HamadBashir-bs5wo
@HamadBashir-bs5wo 21 күн бұрын
Wanamagari yao wanawauzia maji wananchi majizi hao
@bossmolellsisiya4101
@bossmolellsisiya4101 26 күн бұрын
NJOO ARUSHA MKUU OJIONEE MAAJABU YA WIZARA YAKO IDARA MAJI WAMEJIGEUZA MUNGU MTU MAJI NI YA KUBEMBELEZA WANATUFUNGULIA MUDA WANAO TAKA WAO NA WAKI YA FUNGULIA NI NYAKATI ZA USIKU SAA 7 WANAYAKATA SAA 11 ALFAJIRI
@Zaburi-
@Zaburi- 27 күн бұрын
Anatafuna kitu au ndivyo alivyo?
@gililwise
@gililwise 27 күн бұрын
Njoo Morogoro Morowasaa .maji bigwa tunapata mara moja Kwa Wiki
@jackmabirangacharles9398
@jackmabirangacharles9398 27 күн бұрын
Waziri Aweso watu wana kufanyia Hujuma Kwa Makusudi Kwanza huyo Mfanyakazi anaonekana Mlevi hivi hivi fanya kazi Yako Mkuu Usimwonee huruma mtu fukuza tu Vijana wengi wakoitaani hawana kazi na Wana Elimu ya kutosha tu
@sofiakhan9706
@sofiakhan9706 27 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@yusufmohamed8874
@yusufmohamed8874 21 күн бұрын
Simamisha wote chukua wahitimu wapya
@omarmkumba3547
@omarmkumba3547 24 күн бұрын
Dah,ndo mana wanatubambikia maden
@luizabahati5198
@luizabahati5198 27 күн бұрын
Very Sad..Tena kwa Dsm? Hii ni hujuma kabisa.
@josephmathayo5139
@josephmathayo5139 22 күн бұрын
Huyo atakuwa anatafuna Kizizi siyo Big G. Waziri na hapa Dodoma shida ipo unalipa pesa lkn hawafiki kuunganisha maji. Sijui tatizo ni nini?
@user-ui5du6wj7n
@user-ui5du6wj7n 26 күн бұрын
Ndiyoo maana makongo maji shidaaaa dahhh sukumia ndani banaa unachelewaaa
@demicratia4071
@demicratia4071 27 күн бұрын
HATA Waziri naye amechelewa kufanya inspection kwa nn aje vry late watu walishateseka
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 27 күн бұрын
Waziri nae bomu tu, alikua wapi Leo ndio anabeba makamera kukuonyesha anafanya kazi😂😂😂
@leskarmeikok8956
@leskarmeikok8956 27 күн бұрын
Alikuwa amelala kidogo ​@@darajalakidatukilomgi2362
@rehemashabaniameen
@rehemashabaniameen 27 күн бұрын
Mungu atusaidie sana tuna chukia nchi yetu kumbe ni viongozi walio pewa zamana ndio mazombi wanataka tumchukie mama,mtu analizwa maswali anafumba macho huyo jeuli,kibuli
@daudimichael7338
@daudimichael7338 23 күн бұрын
Dah, Shaban hauko serious
@babafemie4576
@babafemie4576 24 күн бұрын
Hii nchi inarudishwa nyuma na watendaji wa serikali, mambo ya ovyoo yanayofanyika..alafu hawajali wanamapuuzaa balaa!
@mohammedshaaban3730
@mohammedshaaban3730 21 күн бұрын
Njoo kigoma Ujiji
@user-uo5em7im6b
@user-uo5em7im6b 24 күн бұрын
Nenda machine ya maji mtoni tandika ukaone hali ya maji mbaya .ulipomtumbua meneja wa Dawasa maji yakatoka kutwa ,na sasa yameondoka Tena
@EdwardMchome
@EdwardMchome 24 күн бұрын
Maji yenyewe ukitaka kuunganishiwa nimelipa Nina mwezi mitatu bado maji sijaunganishiwa hani hawa wanakera sio sir
@mohammedshaaban3730
@mohammedshaaban3730 21 күн бұрын
Mheshimiwa Waziri wa Maji Njoo Kigoma Ujiji
@ayoubmtumishi50
@ayoubmtumishi50 20 күн бұрын
JAMBO muhimu jitu zima linatafuna tafuna duuuu.
@valenakomba7686
@valenakomba7686 27 күн бұрын
WASIKUMWAGIE KITUMBUWA MCHANGA HAO MUHESHIMIWA UWESO. WATIMUWE . NYERERE ALISEMA USIONE HAYA KUMWONEA HAYA MLEVI. NA UKITAKA KUMWUWA NYANI , USIMWANGALIE USINI.
@VictaDaudi
@VictaDaudi 21 күн бұрын
Njoo iringa aweso
@hawaelymaricca7602
@hawaelymaricca7602 27 күн бұрын
Maji yanatoka machafu tope tupu shoda ipo wapi jamani na bill tunalipa tumefikia huku kweli Waziri Aweso?
@mussakimaro5588
@mussakimaro5588 26 күн бұрын
UJE HAPA KIBAHA MILE MOJA NIMELIPA KUUNGANISHIWA MAJI NOW MWEZI WA PILI SIJAWEKEWA MAJI SHIDA NINI MUESHIMIWA
@bongo39
@bongo39 27 күн бұрын
Hiyo ni hujuma asilimia 💯 sio huyo tuu yupo na wenzake halafu matusi yote anatukanwa mama hivi nyie mawaziri hatuwaelewi kabisa mnabembrmelezana mno mama sie ndio wapiga kura wako na ndio tunaolipa kodi na hao watendaji wote tunawalipa inakuaje wanatuchezewa kiasi hiki mda huhatumbuwa mawaziri hebu waguse wanajisahau mno
@swaiagnes6696
@swaiagnes6696 21 күн бұрын
Yaani unaongea na kiongozi wako huku ukitafuna BG 🤔🤔
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 27 күн бұрын
Aweso anaonekana mrevi tu
@user-il5pk2dr5n
@user-il5pk2dr5n 27 күн бұрын
Aya matope ndio tunayolalamikia Savei
@Ngakux0644
@Ngakux0644 27 күн бұрын
Angalia channel yangu😂
@victorjames3730
@victorjames3730 26 күн бұрын
Ila hii nchii hiii😢😢
@nenenongi66
@nenenongi66 23 күн бұрын
Hili ndio tatizo la ajira za kujuana, mtoto wa fulani,kwa akili za kawaida ,huwezi kufanya ujinga wa namna hii,waziri hao wote timua,wanakuharibia kazi,na wanawatesa Watanzania sana,
@EdwardMchome
@EdwardMchome 24 күн бұрын
Unaambiwa vifaa hakuna lakini ukitoa rushwa vinapatikana mimi nimeambiwa sijasoma kiuba nilikuwa sijaelewa kumbe hadi utoe rushwa vifaa vinapatikana
@shaban6644
@shaban6644 27 күн бұрын
Wapige Spana, Vichwa vitakaa sawa tu.
@abrahammtegeta635
@abrahammtegeta635 27 күн бұрын
Hata huyu Wazori naye hayuko serious. Inakuwaje Leo siku ni siku ya Tano sasa maji yanatope.
@evaristjoseph8151
@evaristjoseph8151 23 күн бұрын
Huyo jamaa anaakili sawa kweli mbona anaulizwa anatafuna bublish
@emilianchibinda82
@emilianchibinda82 27 күн бұрын
Maji ni uhai,viongozi wetu hamjui? Jamani tuacheni utani hivi mji wa Dar es salaam kwa umati ule wa watu ni wa kukosekana maji jamani? Acheni utani jamani na maisha!! Hivi maji hadi yamsubiri waziri atoke Dodoma, viongozi wengine mpo wapi? Acheni utani bwana!!
@super815
@super815 24 күн бұрын
Wazir aweso anapigya kazi atakimasihara kabisa kwenywe swala lamaji
@valenakomba7686
@valenakomba7686 27 күн бұрын
HATUWEXI KUENDELEA TUKIFUGA UZEMBE. PAMOJA NA KUWA KIONGOZI , LAZIMA UFUATILIAJI UWEPO KILA SIKU. KUHAKIKISHA YALE ULIYAAGIZA YAMEFANYWA. NA AKISIMAMISHWA HUYO , NA MSHAHARA APEWE NUSU MSHAHARA..
@bakarikayugwa3295
@bakarikayugwa3295 27 күн бұрын
Wasomi wengi ni wezi na wapigaji ira hili swala Kuna wakubwa wapo nyumba yake picha inajionyesha kua wewe ni mtu mdogo sana kwake
@collinndabi1914
@collinndabi1914 27 күн бұрын
Hata wewe ungewekwa ungekuwa mwizi tu
@bakarikayugwa3295
@bakarikayugwa3295 27 күн бұрын
@@collinndabi1914 kupiga. Unapiga ira unapigaje hapo angekua kakuria uswahilini angekua namna ya kupiga we SI unaona kama kina msukuma kina Bashe wana piga huwezi shtuka
@japhetbalilonda797
@japhetbalilonda797 22 күн бұрын
Mbona hapa mpiji magohe hakuna maji
@ramadhanimohamedi717
@ramadhanimohamedi717 26 күн бұрын
Waziri wa maji mugu akupemaisha marefu kazi yako inaonekana
@super815
@super815 24 күн бұрын
Ashakulakituu halewii jicho nyanya
@yasinkiaze2352
@yasinkiaze2352 22 күн бұрын
Ni siku zaidi ya sita atupati maji ubungo kibangu chini sasa tmeambiwa matenk yamejaa maji iweje ayatoki
@gordiansoko9113
@gordiansoko9113 26 күн бұрын
Sasa hivi maji tunayopokea ni machafu yana rangi uzurungi inaonyesha hayawekwi madawa ya kusafisha.
@AndreaGunda-xx3mn
@AndreaGunda-xx3mn 21 күн бұрын
Anatafuna ...dharau
@VictaDaudi
@VictaDaudi 21 күн бұрын
Aweso baba uje na iringa tunakufa huku
@user-oy2gp3nq4j
@user-oy2gp3nq4j 27 күн бұрын
Aweso huku mbezi makabe hakuna maji wakiamua ata wiki 3 awatoi maji tunanunua maji unit 1sh 15000 Sijui hii biashara ni yao?
@MagdalenaThomas-cz1qp
@MagdalenaThomas-cz1qp 27 күн бұрын
Anatafuna dawa huyo Mkuu kuwa makini badala yakumfukuza kazi unaweza kumpandisha cheo
@batonbernald9164
@batonbernald9164 27 күн бұрын
😊
Red❤️+Green💚=
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 81 МЛН
КАК ДУМАЕТЕ КТО ВЫЙГРАЕТ😂
00:29
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 9 МЛН
Inside Out 2: Who is the strongest? Joy vs Envy vs Anger #shorts #animation
00:22
RC WA "FYEKELEA MBALI: "NYOOSHA MKONO JIFANYE UNAJIKUNA"
15:30
Millard Ayo
Рет қаралды 2,7 МЛН
HUYU NI MHE JOHN POMBE MAGUFULI 14 Nov 2013
13:38
Ikulu Tanzania
Рет қаралды 280 М.
Red❤️+Green💚=
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 81 МЛН