Mheshimiwa, sababu kubwa ya kutokuwepo maji kwenye matanki ni hii. Wana Magari yao ya kusambaza maji mitaani, na hasa maeneo ya King'azi B wana soko kubwa la maji. Mabomba yapo, lakini yanatoka kwa mwezi mara 2 au hayatoki kabisa. Asante kwa ufatiliaji, mkiwa mnafanya hivi, wananchi tutapata raha kwenye Nchi yetu. Mungu akubariki Mh.
@ayoubmtumishi5020 күн бұрын
WANA MAGARI YA KUSAMBAZA MAJI,,,,MABOZA
@shinipapaya84619 күн бұрын
Yachomeni moto hayo magali yao yanayo sambaza maji mtanyanyasika mpaka lini kwenye Tanganyika yetu amkeni kwenye usingizi wa samaki pono 😢😢
@femidayahaya488227 күн бұрын
Tena alivyokua Jeuri anatafuna huku anaongea na Mkuu wake...Hyu ndo Kibaka sugu w Kodi za wananchi.
@Brunn-mh2bq27 күн бұрын
Hatafuni. Ana tatizo la meno 😅
@hajihassan543320 күн бұрын
Yule ananuka meno anakata harufu.
@nguruwekikwete163527 күн бұрын
Wafanyakazi wa serikali asilimia 99% ni wapumbavu haswa ndiyo maana wanalialia kuongezewa mishahara for nothing ni kama walimu hakuna wanacho fanya ila wanataka mishahara mikubwa.
@africaonechannel128927 күн бұрын
Ndugu!, Mbona UMEAMUA KUYASEMA MANENO YAKIWA MABICHI KABISA!? Hujayakaanga, hukuyachemsha &hata kuyaanika juani pia hukutaka!? HII NI "NGURUWE Aitwe NGURUWE●
@laurentraphael547027 күн бұрын
Wapuuzi sana. Waachie ngazi
@frankyeye27 күн бұрын
Bro kwani sisi walimu kwenye maji tunaingiajee😢😢😂😢😂😢
@MohamedAhmada-ie7ke26 күн бұрын
Kama una akili huwezi kuasema walimu hawana wanacho kifanya siwez kuwadharau kabisa hao watu ni kama wazee kwetu
@nguruwekikwete163525 күн бұрын
@@MohamedAhmada-ie7ke tatizo lako ni kukosa akili....tafuta akili utajua naongea nini ?
@hildajoel527 күн бұрын
Huyu bwana kuna kitu kinampa jeuri maana hiyo confidence sio ya kitoto😢
@joycekambuga628621 күн бұрын
Hana confidence ana afya ya akili na anatafuna dawa
@NurudinZuberi15 күн бұрын
😂😂😂@@joycekambuga6286
@africaonechannel128927 күн бұрын
Mhe.WAZIRI WA MAJI!!. Utamuonea bure huyu MTAFUNA Big G. PICHA KUBWA NDANI YA UKUMBI INAJIELEZA● Hii ni HUJUMA DHIDI YAKO. Jaribu kuzipekua Sura za WASHIRIKI WOTE AND NINASEMA WOTE WA HICHO KIKAO; It's A Very Open Msg. HIZI NI SIASA ZA KIJINGA. Kuzuia hatua za Maendeleo Yetu! ●KAMA JAMII; Let's Be Serious😎
@user-bi7gk7im4f22 күн бұрын
😂😂. Labda anatafuna miti shamba,sio big g
@saidhamza531827 күн бұрын
Hy mzee white mbona ka kalewa au👀😳
@user-zm4mm4eb5j19 күн бұрын
Zombie hilo linawaza magari yake yatauza maji vp ikiwa matanki yatajaa maji
@user-xn8jh1yw1h26 күн бұрын
Hatutakii mema huyo! Anatesa Jamii! Maji ni Uhai! Anahujumu uchumi.
@injilinjeyakutazakanisa21 күн бұрын
Nakumbuka mbali sana, Kaka jipe moyo na kubali hii ndio dunia. Pole
@GeorgeChacha-dd9fh27 күн бұрын
Yani unatafuna kabisa huwazi😂😂😂
@lucasmlowezi921427 күн бұрын
Kweli ni dharau kubwa sana, watu wanahangaika maji mzembe mmoja anazingua. Lengo serikali ya Mh. Samiah ionekane hafanyi kazi. Safi sana Mh Waziri
@verdianabanabi220527 күн бұрын
Anaficha harufu ya pombe au dawa za kuzindika asufukuzwe.
@SalmanMughal-lq5lt27 күн бұрын
🤣@@verdianabanabi2205
@user-bi7gk7im4f22 күн бұрын
Hahahaha
@hawaelymaricca760227 күн бұрын
Tumbua wote hao wanafanya kaz kwa mazoea. hawana hata wasiwasi maana mishahara wanalipwa
@user-gy5en6cy8o27 күн бұрын
Kabisa Kama serekal inafanya yte haya alafu hawa wajingawajinga hajui jinsi tuna yo pata shida ya maji tumbua Muheshimiwa 😢
@laurentraphael547027 күн бұрын
Awamu ya majizi tupu. Hongereni
@MnubiMm27 күн бұрын
Kwa Mtazamo wako haki yako
@aminamwashambwa684625 күн бұрын
Njia panda ya makabe Wana magari yanauza maji boza elfu ishirini kwa maisha gani ni manyanyaso
@2003hintay27 күн бұрын
Adabu hana fukuza kazi sio kusimamisha unaongea nae yete anatafuna big G
@hamiduomar131624 күн бұрын
Anaonesha zarau kwa wazir cjui ninani anayempa kiburi cha kujiamin mbwa huyu fukuza kabisa
@aminamwashambwa684625 күн бұрын
Watu wanateseka kununua maji ndoo hamsini kwa elfu ishirini huku njia panda ya makabe, ni mateso wao wanakula mshahara na majumbani mwao maji yapo
@MariamLigoha22 күн бұрын
Waziri Aweso na wewe ujitathmini, unaongeaje na huyo mzee anajitafuna-tafuna na humuwashi kibao. Ujue anapokudharau wewe ameidharau jamhuri ati! Ungemdhalilisha na wewe, hongera kwa uvumilivu,. Na wewe mzee acha kujitafuna, bosi mzima
@sabrinaibrahim112717 күн бұрын
Huyu atakuwa kalewa anatafuna vitu vya kutoa harufu ya pombe
@johnmwakipesile904627 күн бұрын
Hiyo ni hujuma waziwazi apo kuna watu wanakutengenezea zengwe ili utumbuliwe Mh Waziri
@sofiakhan970627 күн бұрын
Kweli kabisa na maada ye waziri anaondolewa wanabakia waharibifu palepale na kuendelea uzembe
@consorathajames269327 күн бұрын
Anatafuna kizizi ndio maana ana confidence zakutosha
@VictaDaudi21 күн бұрын
Viongozi Kama hao wapo wengi Sana ,, hata Hulu IRINGA wapo wao kazi yao ni kubambikizia watu bili za maji ,ndio wanachoweza TENA tunaomba mtuletee mita za kununua maji kabla ya matumizi hapo mtakuwa mmetusaidia 😮
@hamzaibrahimu27 күн бұрын
Boss njoo na Mwanza Umeme upo ziwa tunalo lakini maji ya mgao🙏
@sammymdemeka793721 күн бұрын
Hawa mameneja wa Mamlaka za maji mtatuulia Waziri wetu Aweso mnamfanya aingie hadi kwenye matank kwa uzembe. Sasa dawa yenu inachemka sheria kali ziletwe ikibidi kufungwa maisha na kufilisiwa huu ni uhujumu uchumi😢😢😢😢😢
@charlesadolf106219 күн бұрын
Hor. Dr. May you kindly fired out this guys. This days to be sincerely dawasco is *business as usual* Beach Beach every hour water went off. Please step down these team.
@habibamaguru272220 күн бұрын
Niwajeur sana,Greda lilipita kutengeneza barabara mtaan kwetu wakakatakata mabomba,tumekaa week 3 naa hatuna maji,Wakipigiwa majibu yao ni ya nyodo pia mpaka tumeenda ofcn kwao ndo wakatuma mafund tena wanataka pesa tukagoma ndo wakaunganisha maji
@davidchihimba948917 күн бұрын
Ccm mnajizengua wenyewe mnapiga ndo maana na wao wanapiga wanawaonea gere mnavopiga
@pascaldonati271127 күн бұрын
Na sis Nyashishi hatuna maji tokea Uhuru
@STEPHENKingu-yz2dk27 күн бұрын
Mama Samia meongezeee Aweso mingine
@nkwazigatsha20 күн бұрын
Jamaa anaonekana mkatili kweli kweli. Mtu mzima hovyo
@MRN_the_Real20 күн бұрын
Mh. Fukuza hayo matahira, watendaji wa moja kwa moja huwa ndo wazembe sana, ukianzia kuchunguza mapungufu kuanzia mamlaka za juu mpaka watendaji wa moja kwa moja utakuta kuna uchafu mwingi sana
@eliudsinkala41913 күн бұрын
Njoo Morogoro Waziri huku ukienda kutoa shida unapewa namba ya simu ya fundi uwasiliena naye ,badala ya ofisi kutoa maelekezo.Maana unambiwa mafindi wako site.
@iam_sami27 күн бұрын
Ukiskia kazi na mazoea ndo haya mazoea mengiii aisee kummke tia ndani woteee
@nicholouswaryoba147419 күн бұрын
Tunawaonea tu viongozi ila watendaji wa chini ndio tatizo
@godfregiiti832721 күн бұрын
Waziri wa maji tembelea mwanza Nako kuna ujuma kubwa kwenye chanzo kipya Cha maji akitoi maji kama tulivyotangaziwa matatizo ya maji yamekuwa makubwa kuliko ilivyokuwa kabla ya ujenzi wachanzo hicho maeneo ya buhongwa ziwaunaliona lakini maji ayapatikani
@sananefrank656027 күн бұрын
Njoo na mwanza haraka sana mkuuu same kunamichezo mibaya hakuna maji hapa mjini mgao mkali sana hapa Nyegezi
@jonasnyanga816727 күн бұрын
Acha uchochezi
@mohammedkhimji750527 күн бұрын
Mzee White kalewa hahaha ndio maana kaamua kutafuta bigG kuua harufu
@user-um2nw8em7j17 күн бұрын
Hapa ndio ungejuwa what is JPM
@GeneralSankala27 күн бұрын
Safiii sana
@ismailmasoud600127 күн бұрын
Shabaan Mkwanye umeyakanyaga leo
@mweyoms554819 күн бұрын
Wahuni wamejaa ofisi za umma
@ntegrity27712 күн бұрын
Waziri punguza maneno piga chini hao ni wasanii
@khadijakimaka842719 күн бұрын
Muheshimiwa nakuomba uje Arusha
@EphulaimemanuelEmanuel27 күн бұрын
Mweshimiwa njoo mwanza nyegez hamna maj miez 3 njoo tusaidiye
@jamilamkunga23427 күн бұрын
Na buhongwa pia
@JemaLupande22 күн бұрын
Mbagala utakuja lin mhe,make tunateseka mpk basi mwezi mzm maji hayatoki na bili zinasomwa tukiuliza sababu ya maji kutotoka tunaambiwa umeme wakati umeme upo!
@pascalntandu121721 күн бұрын
Mnabembeleza sana watu wazembe kama hawa fukuza wote kazi patia wengine kazi achana na hao wazembe;waziri wangu take action ya nguvu watu wengine wajifunze kwamba hatuigizi.
@sofiakhan970627 күн бұрын
Miezi mitatu maji hakuna City centre bill inasoma 172,500/= na nimelipa kitu kinaitwa hewa yaani kila ukijaribu kuwasha pump na line ikiwa haina maji hewa ndiyo inahesabu maji pale sasa bora kuwa na meter kama za luku pata unit kutokana na pesa yako siyo kubambikwa bill zisizokuwa na mantiki bei ya maji kuliko dhahabu duuh na wakati hakuna ,
@BenjaminSululu-uz6sd27 күн бұрын
Huyo anadawa mdomoni
@YahyaMbega20 күн бұрын
Agaria macho yao warevi hao warikoshe hera wana maboza hayo huku maramba 2 wanatuzia 45000
@AugustKisaka-qy7kl23 күн бұрын
Ongera waziri ,bado waziri wa nishati na madini atuonyeshe cheche zake, umeme garama sana atue tamko atueleweshe kwanini garama za umeme zimekuwa juu
@DerickNgowi-mf5pe27 күн бұрын
Jaman hao wafanyakaz wanaoesabu mita ni wiz mtupu tunajaziwa bil ambayo hatujatumiwa mita yangu haifanyi kaz ila wananijazia init
@jumamdaki969120 күн бұрын
Pwani na Dsm kuna upotevu wa Maji kwa kiasi kikubwa na watumishi wa Idara ya Maji wanaona ni hatari sana.
@YahyaMbega20 күн бұрын
Hata huyo wa2 wote hao warevi watowe au huna wengine au mnarindana huyo mkuuwa wiraya wamemfukuza kure mawasiriano 2000wanareta mazowea
@user-zm4mm4eb5j19 күн бұрын
Hujuma Hujuma Hujuma hakuna zaidi sijui Tumerogwa na nani sisi Watanzania
@davidchihimba948917 күн бұрын
Muweke sheria atakayefanya utoto anyongwe
@ElishaMgimba15 күн бұрын
Huyo jamaa nihaki asimamishwe anaongea nawazir huku anatafuna JoJo hiyo niutovu wanidham
@YahyaMbega20 күн бұрын
Ndugu waziri huyo mrevi wa madaraka wanatuambia puresha ndogo
@BarakaThoas21 күн бұрын
Aiseee daaaah! Yaaani hayo majamaa niyakufukuza kazi ili yaje ulaiyani uku yaone joto la jiwe tunalolipata wananchi sio poa kabisa
@HamadBashir-bs5wo21 күн бұрын
Wanamagari yao wanawauzia maji wananchi majizi hao
@bossmolellsisiya410126 күн бұрын
NJOO ARUSHA MKUU OJIONEE MAAJABU YA WIZARA YAKO IDARA MAJI WAMEJIGEUZA MUNGU MTU MAJI NI YA KUBEMBELEZA WANATUFUNGULIA MUDA WANAO TAKA WAO NA WAKI YA FUNGULIA NI NYAKATI ZA USIKU SAA 7 WANAYAKATA SAA 11 ALFAJIRI
@Zaburi-27 күн бұрын
Anatafuna kitu au ndivyo alivyo?
@gililwise27 күн бұрын
Njoo Morogoro Morowasaa .maji bigwa tunapata mara moja Kwa Wiki
@jackmabirangacharles939827 күн бұрын
Waziri Aweso watu wana kufanyia Hujuma Kwa Makusudi Kwanza huyo Mfanyakazi anaonekana Mlevi hivi hivi fanya kazi Yako Mkuu Usimwonee huruma mtu fukuza tu Vijana wengi wakoitaani hawana kazi na Wana Elimu ya kutosha tu
@sofiakhan970627 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@yusufmohamed887421 күн бұрын
Simamisha wote chukua wahitimu wapya
@omarmkumba354724 күн бұрын
Dah,ndo mana wanatubambikia maden
@luizabahati519827 күн бұрын
Very Sad..Tena kwa Dsm? Hii ni hujuma kabisa.
@josephmathayo513922 күн бұрын
Huyo atakuwa anatafuna Kizizi siyo Big G. Waziri na hapa Dodoma shida ipo unalipa pesa lkn hawafiki kuunganisha maji. Sijui tatizo ni nini?
@user-ui5du6wj7n26 күн бұрын
Ndiyoo maana makongo maji shidaaaa dahhh sukumia ndani banaa unachelewaaa
@demicratia407127 күн бұрын
HATA Waziri naye amechelewa kufanya inspection kwa nn aje vry late watu walishateseka
@darajalakidatukilomgi236227 күн бұрын
Waziri nae bomu tu, alikua wapi Leo ndio anabeba makamera kukuonyesha anafanya kazi😂😂😂
@leskarmeikok895627 күн бұрын
Alikuwa amelala kidogo @@darajalakidatukilomgi2362
@rehemashabaniameen27 күн бұрын
Mungu atusaidie sana tuna chukia nchi yetu kumbe ni viongozi walio pewa zamana ndio mazombi wanataka tumchukie mama,mtu analizwa maswali anafumba macho huyo jeuli,kibuli
@daudimichael733823 күн бұрын
Dah, Shaban hauko serious
@babafemie457624 күн бұрын
Hii nchi inarudishwa nyuma na watendaji wa serikali, mambo ya ovyoo yanayofanyika..alafu hawajali wanamapuuzaa balaa!
@mohammedshaaban373021 күн бұрын
Njoo kigoma Ujiji
@user-uo5em7im6b24 күн бұрын
Nenda machine ya maji mtoni tandika ukaone hali ya maji mbaya .ulipomtumbua meneja wa Dawasa maji yakatoka kutwa ,na sasa yameondoka Tena
@EdwardMchome24 күн бұрын
Maji yenyewe ukitaka kuunganishiwa nimelipa Nina mwezi mitatu bado maji sijaunganishiwa hani hawa wanakera sio sir
@mohammedshaaban373021 күн бұрын
Mheshimiwa Waziri wa Maji Njoo Kigoma Ujiji
@ayoubmtumishi5020 күн бұрын
JAMBO muhimu jitu zima linatafuna tafuna duuuu.
@valenakomba768627 күн бұрын
WASIKUMWAGIE KITUMBUWA MCHANGA HAO MUHESHIMIWA UWESO. WATIMUWE . NYERERE ALISEMA USIONE HAYA KUMWONEA HAYA MLEVI. NA UKITAKA KUMWUWA NYANI , USIMWANGALIE USINI.
@VictaDaudi21 күн бұрын
Njoo iringa aweso
@hawaelymaricca760227 күн бұрын
Maji yanatoka machafu tope tupu shoda ipo wapi jamani na bill tunalipa tumefikia huku kweli Waziri Aweso?
@mussakimaro558826 күн бұрын
UJE HAPA KIBAHA MILE MOJA NIMELIPA KUUNGANISHIWA MAJI NOW MWEZI WA PILI SIJAWEKEWA MAJI SHIDA NINI MUESHIMIWA
@bongo3927 күн бұрын
Hiyo ni hujuma asilimia 💯 sio huyo tuu yupo na wenzake halafu matusi yote anatukanwa mama hivi nyie mawaziri hatuwaelewi kabisa mnabembrmelezana mno mama sie ndio wapiga kura wako na ndio tunaolipa kodi na hao watendaji wote tunawalipa inakuaje wanatuchezewa kiasi hiki mda huhatumbuwa mawaziri hebu waguse wanajisahau mno
@swaiagnes669621 күн бұрын
Yaani unaongea na kiongozi wako huku ukitafuna BG 🤔🤔
@nishaabdula501527 күн бұрын
Aweso anaonekana mrevi tu
@user-il5pk2dr5n27 күн бұрын
Aya matope ndio tunayolalamikia Savei
@Ngakux064427 күн бұрын
Angalia channel yangu😂
@victorjames373026 күн бұрын
Ila hii nchii hiii😢😢
@nenenongi6623 күн бұрын
Hili ndio tatizo la ajira za kujuana, mtoto wa fulani,kwa akili za kawaida ,huwezi kufanya ujinga wa namna hii,waziri hao wote timua,wanakuharibia kazi,na wanawatesa Watanzania sana,
@EdwardMchome24 күн бұрын
Unaambiwa vifaa hakuna lakini ukitoa rushwa vinapatikana mimi nimeambiwa sijasoma kiuba nilikuwa sijaelewa kumbe hadi utoe rushwa vifaa vinapatikana
@shaban664427 күн бұрын
Wapige Spana, Vichwa vitakaa sawa tu.
@abrahammtegeta63527 күн бұрын
Hata huyu Wazori naye hayuko serious. Inakuwaje Leo siku ni siku ya Tano sasa maji yanatope.
@evaristjoseph815123 күн бұрын
Huyo jamaa anaakili sawa kweli mbona anaulizwa anatafuna bublish
@emilianchibinda8227 күн бұрын
Maji ni uhai,viongozi wetu hamjui? Jamani tuacheni utani hivi mji wa Dar es salaam kwa umati ule wa watu ni wa kukosekana maji jamani? Acheni utani jamani na maisha!! Hivi maji hadi yamsubiri waziri atoke Dodoma, viongozi wengine mpo wapi? Acheni utani bwana!!
@super81524 күн бұрын
Wazir aweso anapigya kazi atakimasihara kabisa kwenywe swala lamaji
@valenakomba768627 күн бұрын
HATUWEXI KUENDELEA TUKIFUGA UZEMBE. PAMOJA NA KUWA KIONGOZI , LAZIMA UFUATILIAJI UWEPO KILA SIKU. KUHAKIKISHA YALE ULIYAAGIZA YAMEFANYWA. NA AKISIMAMISHWA HUYO , NA MSHAHARA APEWE NUSU MSHAHARA..
@bakarikayugwa329527 күн бұрын
Wasomi wengi ni wezi na wapigaji ira hili swala Kuna wakubwa wapo nyumba yake picha inajionyesha kua wewe ni mtu mdogo sana kwake
@collinndabi191427 күн бұрын
Hata wewe ungewekwa ungekuwa mwizi tu
@bakarikayugwa329527 күн бұрын
@@collinndabi1914 kupiga. Unapiga ira unapigaje hapo angekua kakuria uswahilini angekua namna ya kupiga we SI unaona kama kina msukuma kina Bashe wana piga huwezi shtuka
@japhetbalilonda79722 күн бұрын
Mbona hapa mpiji magohe hakuna maji
@ramadhanimohamedi71726 күн бұрын
Waziri wa maji mugu akupemaisha marefu kazi yako inaonekana
@super81524 күн бұрын
Ashakulakituu halewii jicho nyanya
@yasinkiaze235222 күн бұрын
Ni siku zaidi ya sita atupati maji ubungo kibangu chini sasa tmeambiwa matenk yamejaa maji iweje ayatoki
@gordiansoko911326 күн бұрын
Sasa hivi maji tunayopokea ni machafu yana rangi uzurungi inaonyesha hayawekwi madawa ya kusafisha.
@AndreaGunda-xx3mn21 күн бұрын
Anatafuna ...dharau
@VictaDaudi21 күн бұрын
Aweso baba uje na iringa tunakufa huku
@user-oy2gp3nq4j27 күн бұрын
Aweso huku mbezi makabe hakuna maji wakiamua ata wiki 3 awatoi maji tunanunua maji unit 1sh 15000 Sijui hii biashara ni yao?
@MagdalenaThomas-cz1qp27 күн бұрын
Anatafuna dawa huyo Mkuu kuwa makini badala yakumfukuza kazi unaweza kumpandisha cheo