Hao viongozi wanaovamia madanguro hii sasa ndio kazi ya kulifuatilia kwa kina na kutoa majibu ya kueleweka. Kama mnaweza kuzunguka magesti usiku na Polisi tusaidieni haya mambo .Haya ndio sasa uharibifu wa mazingira.
@user-fs7xc2bb5d17 күн бұрын
Sio kweli watoto walikuwa wanabakwa kabla haujatokea msako wa madada powa msitafute sababu kwahiyo wewe unataka wanawake waendelee kujiuza
@leokamil628417 күн бұрын
@@user-fs7xc2bb5d Sijasema sababu ya madada poa usininukuu vibaya.Nimesema haya ya watoto ndio haswa ya kuyatilia mkazo kufuatilia kwa kina na iwekwe adhabu kali na ifutwe dhamana kwa mbakaji na hao viongozi wawadhibiti Polisi kuacha kuharibu kesi ya mbakaji. Hii ndio haswa neno langu
@pendosailo198917 күн бұрын
Acha ujinga
@ReginaMussa17 күн бұрын
Jamani tunelekea wapi Dunia ya sasa 😭😭😭😭😭tuwalinde vipi watoto wetu 😭😭😭 hatuna aman hata wakiwepo shuleni, eee, Mungu tuokoe kwa haya majanga
@staminacastory532212 күн бұрын
Mwenyezi Mungu atusadie sisi wenyewe hatuwezi
@Chakol123-k7s17 күн бұрын
Wakibaka na kuua wanapata faida gani 😢😢 nao wakikutwa wauwawe
@momosaid619316 күн бұрын
Hata sijui wanapata faida gan daah roho za kuua sijui wanatoa wap jamn
@Chakol123-k7s14 күн бұрын
@@momosaid6193 imani za kishirikina labda
@angonzamujunangoma877516 күн бұрын
Poleni sana wafiwa.Pumzika kwa amani maraika wa Mungu.Serikali ipo macho
@leokamil628417 күн бұрын
R.I.P poleni sana wafiwa
@maryamtanzania974317 күн бұрын
Mimi ninavyoona ni haya mambo ya ushurikina tu mkibahatika kukamata mmoja akisema ni mashariti kutoka kwa mganga tafadhalini mhakikishe anawapeleka kwa huyo mganga wauawe wote hadharani huenda watu wakaigopa
@colletatesha526517 күн бұрын
Uchaguzi unakaribia mijitu inatoa kafara tyu
@user-cq1iu7yg4t17 күн бұрын
Hongereni sanaaa
@MohamedNassoro-md8yvКүн бұрын
LA PANYA ROAD HALIJAISHA VIZURI LIMEKUJA LA MAUAJI YA WATOTO😢😢
@dayanamsuya651617 күн бұрын
Lugumi alipewa ela afunge CCTV camera yeye akala hela yote na serikali iko comfortable lakini at least ingesaidia kupata mwanzo hakuna asiyejulikana bhana kila siku hao hao
@hawakiza606715 күн бұрын
Lugumi gani
@blessingntuli379617 күн бұрын
Inamaana polisi watashindwa kufanya uchunguzi ??? Kuanzia walipotika watoto wawili hadi zakiemu alipo bakia mmoja haku Mjengo wowote wenye cctv camera Kweli 🤔🤔! Mkifanya hivyo atajulikana tuu
@user-xc5tv9dl5k17 күн бұрын
Shida nikwamba nyie mumewakamata madada poa wakati hao ndo walikuwa wanamaliza ugumu.haya sasa
@jumakapilima729517 күн бұрын
Acha kutetea ujinga wewe
@naomijoshua692317 күн бұрын
Kwahiyo ugum ndo wachukue viungo vya mwili au
@mtatapharaoh517417 күн бұрын
mmbakaji wewe
@zeyadazeyada80509 күн бұрын
Kwa kweli ni mitihani mzito yarabi atulindie watoto wetu
@chikujuma1816 күн бұрын
Inalilaahi wainalilah rajighun polen wazazi pamoja na jamaa zenu
@faudhiasalum727917 күн бұрын
😢😢
@FatmaLyego17 күн бұрын
😢😢😢😢
@ZulekhaBaksh-ii4fk17 күн бұрын
Kuna kipindi difenda zilikuwa zinatembea uhalifu umezidi
@Chakol123-k7s17 күн бұрын
Hili swala samia???
@namelockmaasailady800217 күн бұрын
😢😢😢
@ZulekhaBaksh-ii4fk17 күн бұрын
Huku kwetu yombo machimbo pia kuna balaa la kupigwa mapanga
@SKY-fk3fz17 күн бұрын
😭😭😭😭😭wauliwe
@epema63217 күн бұрын
So sad😢
@Kabwela77617 күн бұрын
Hii nchi mnaongea sana kwa Nini msiweke camera mitaani ?
@jumakapilima729517 күн бұрын
Nani anajali ? Wakati fedha zote zaenda kwenye matumbo yao
@Kabwela77615 күн бұрын
@@jumakapilima7295 nchi ya laana nchi ya Mavi kunuka!
@meshackthomas134117 күн бұрын
Tatizo nimalezi. Kwa wazazi. Au family. Hayapo sawa matokeo yake uvutaji Bangi na pombe chafu. Umezidi sana. Kisha kuwa na makundi ya vijana wasema hovyo nawenye tatizo la Afya ya Akiri kipo. Kitu chakufanya endapo tutasimamia wajbu. wetu viongozi sasa
@user-vq6dc4nr5p9 күн бұрын
Hivi mbona uchaguzi ukianza haya matukio yanazidi?
@tedyalifons92417 күн бұрын
Acheni maneno
@DanieliMzirai17 күн бұрын
Sixtus mapunda ulikuw mbunge wa kwetu mbinga mjini 2015
@mwanakhamisimwinyimatano118516 күн бұрын
Inna lilah waina ilah rajiuun
@user-il5pk2dr5n17 күн бұрын
Inaumiza zaid ya sana..
@ummiissaabdulissaabdul811716 күн бұрын
Alafu nsikie ati tz tuna amani amani ipi hapa nchi hii kila leo mauaji ya kutisha mara albino kutolewa viungo sasa wengine hoo tanzania tuko na amani nchi zote nikuombs mungu tu
@ZulfaJevejeve5 күн бұрын
😭😭😭😭
@PekeiLeki16 сағат бұрын
🎉❤😅😮
@jurdanforwardersltd146017 күн бұрын
hapa atuwasiki hata kidogo wanahojita haki za minadamu,sasa sijui wanatetea mambo gani?maana yangekua matukio mengine tungehona press aharaka sana.
@user-ur8cq1ye3b16 күн бұрын
Nyie wauwaji kwan huko majumban kwenu hakuna watoto adi muue watoto wawenzenu
@kesterkanyala771817 күн бұрын
Mauaji yanakithiri SANA...UTEKAJI,UBAKAJI...Kila kukicha akina mama wanalia.
@emanuelmaraki975817 күн бұрын
Duu tatizo lanchii hii mtuakibaka anyonywe serekali aitaki kufanya hivoo wanyonywee sio kumfunga jela akale ugali waburee watu wamekuwa suguuu watoto wetu wataisha jamani Sheria iwe kali
@user-yv1dw6cu9k16 күн бұрын
😢😢😢😢😢😢daaa aisee
@aboudasilver654117 күн бұрын
Sasa panaitajika C CT V camera inatisha kabisa hii Hali
@angelanaftael796517 күн бұрын
Kuna shida kwenye malezi ya watoto... wengi wanajilea wenyewe... familia zimesambaratika sana... Mungu tusaidie sana
@ziggertv318517 күн бұрын
Kabisa huu usingle mother na usingle father
@user-ur8cq1ye3b16 күн бұрын
Wala sio kulea muombe tuu mungu yasikukute
@hamishassan678416 күн бұрын
Mh Serikali haiwezi kushindwa najua hilo na sina shaka na serikali yangu lakini wazazi wazazi wazazi watoto hawa ni wetu sote sio eti kwa kuwa sio wako yaani si vibaya kumhoji mtu anayeongozana na binti ambaye wewe unaona kuna mashaka jamani mabinti zetu ni wadogo hawawezi pembua mambo, lakini pia kwa serikali yetu kwa maaendeleo haya ya sayansi na teknolojia hebu tutumie hizi changamoto kuwa wabunifu wa namna ya kutambua matukio ya kiarifu kama haya tuache kuhisi hisi au kushuku CCTV Canera zinashida gani kuwekwa kwenye maeneo yote hatarishi?
@ramadhanhassan930816 күн бұрын
Familia Linda watoto wako hao Ni rasilimali
@temuramadhani513416 күн бұрын
Temeke Kuna Nini?
@shabanipanya103317 күн бұрын
Eti sio mambo ya serikali na mambo yenu nyie wazazi mshirikiane ,,,sijui kama mmesikia hii kauli au
@SalumMsafiri2017 күн бұрын
Wazazi pamoja na walezi tuongeze umakini kwa vijana wetu. Matamanio ya utajiri yanapelekea binadam tunakuwa zaidi ya wanyama.
@timothbenard821317 күн бұрын
Bac nchi haina ulinz
@fahadfaraj647417 күн бұрын
Ujue kuna ile hali serikali inatakiwa iwe kali mpaka mtu aogope kufanya uhalifu sa Hivi kuna kucheka cheka sana matukio yapo mengi na inakua kama kawaida tu