Amen and Amen tutakuunga mkono ni kweli uliyosema sisi wa uk tumeanza maombi Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
@fanuelpandisha-by1oo2 ай бұрын
Mwenyezi mungu azidi kutulinda
@YonerManang-ie2qm2 ай бұрын
Tuombe sana kwa ajili Taifa letu maana
@pwaniseries2 ай бұрын
Manabii Mnapenda kiki nyie hatuwawezi
@ayubutwalbu65942 ай бұрын
Mnaangaika kweli
@NestoriyMwezimpyaАй бұрын
Wanao tabili vifo vya watu wachuzwe
@asbornkaduga60012 ай бұрын
Mbona unaongea kama mwana siasa sioni kuwa ni unabii uliopewa zaidi ya kucheza na Akili za Watu kwa yaliyotokea nyuma huko
@adammjomba58142 ай бұрын
Mchungaji kwanini wanao oteshwa na roho mtakatifu ni wakristo tu? Mbona hawa viongozi wa kislam wao hawa bashiri au hawapewi maono???? 😂
@AngelJimmySangweni2 ай бұрын
MUNGU atusimamie sana ,uchaguzi ni mzito bila wewe MUNGU hatutaweza. Tunakuomba ewe MUNGU utulinde na utusimamie,tukafanye uchaguzi salama tukiongozwa na damu ya mwanao Yesu Kristo.Amen
Kwanini hawa wanobashiri ni wa kristo tu mbona ma shekhe hawatabiri? Hii imekuaje?? Kila mtume anasema nimeongea na MUNGU wameongea kivipi?? ( LAKINI ma shekhe hawabashiri kama wameongea na MUNGU inamaana dini ya USILAM hawana MUNGU???.????
@sarahgaula22202 ай бұрын
Kitabu chenu kimasema nini?. Mana chetu kina ongelea manabii wa kweli na WA uongo. Yoel 2:28 anasema nitaimimina roho yangu jui ya wote wenye mwili Waume Kwa wake watatabiri na wazee wataota ndoto. Lakini wapo pia manabii ambao ni WA uongo matayo ,24.10 wakati huo watu wataacha Imani yao watasalitiana nankuchukiana na watatokea manabii wa uongo
@EdwardMwasuza-sj4ij2 ай бұрын
Amen
@rayyahinay-hp7jf2 ай бұрын
Hivi Mungu ni mmoja na dunia ni yake, nchi zote tulizonazo Mungu hajawambia?? Ila Tanzania peke yake ndio wanaoteshwa, na wenine wana ongea nae live kah!! Wacheni uongoooo mbona wa dini zingine hawajasikika kama nyinyi??? Acheni kufru na tamaa za uongozi muwatishe haohao wadanganywa lkn sio waelewa yaani uchaguzi yatokee unamaanisha nn??
@StelaNoah-p9d2 ай бұрын
Sasa kwa nn usikatae iyo roho ya mauti lkn ww unataka itimie usikubali itimie.
@issamagana93022 ай бұрын
We soi nabiii tapeli mkubwa we mwanasiasa ww nabii muongo mkubwa
@AllyOmali-rh8pf2 ай бұрын
Kwer mungu anaongea na wanadamu sio miti akaerma anotafutaye kwa bidii ataniona
@AnnoyedBooks-kn5pm2 ай бұрын
Jamani mungu huwa anaangalia tu ananyamaza mara ooooh nilioteshwa, mara ooooh jamani yaliyonenwa yatatimia ndio hayo tunayaona tuombe mungu sana
@NdeshaPaul-uz9bw2 ай бұрын
Sio wakristu hapana. Wakristu walokole. Kwa nini ulokole ndiyo inapendwa TU katika ukristu? Jamani Mungu ni mkubwa sana siyo kila mlokole anatimwa na Mungu.
@melanialeonard40312 ай бұрын
MUNGU ni MUNGU wa rehema hizi dini na watumishi wake mmezidi na hamuogopi kujianika mitandaoni fanyen tu maana hii nchu imeruhusu haya yote endeleeni MUNGU anawaona
@DottoKillangi2 ай бұрын
Sawa umeonyeshwa umechukua hatuna gani Ili mabaya hayo yasitokee, ww unaonyeshwa mabaya tu ,hizi ni siku za m we isho kila mtu amuombe Mungu tu
@jesusfirstchurch41622 ай бұрын
Mbona dawa za miti za kuvuta Sumi kwenye mwili zipo nyingi? Jambo liwekwe wazi apatiwe dawa mara moja..siyo kumtenga na familia..dawa za Mungu ni zaidi
@HamisMghuna-fj3vz2 ай бұрын
Waeleze Tatizo Tz n shule upige kur ucipige wao ndoo washindi KATIBA haitakiwi Allah atusaidie KWANZA wao wanna vx za million 500 sisi tunadaiwa songesha+nipigetafu,tunahali hali mbaya sukari juu tozo hazishuki matbab juu petroleum juu,Wao, unapigwa mwingi,hawana huruma baba,
@LinaLema-c1m2 ай бұрын
Yaani uogopi kudanganya kabisaaa uoni maendeleo yatakayo tokea 2924 unaona shidaa tuuu jamani
@MamaDieudonne-mq2sq2 ай бұрын
Huwezi elewa mambo ya rohoni na wewe si mmja wakiroho.
@rehemamsekeni89722 ай бұрын
Liombeeni hilo
@YonerManang-ie2qm2 ай бұрын
Hiyo umwagikaji wa damu ni kweli wakati wa uchaguzi, na baada ya hapo chadema itachukuwa madaraka. Hii nimefunuliwa!!
@BagambiMukhtaary2 ай бұрын
Wewe sio nabii.toa ujinga
@Gamba812 ай бұрын
Hakuna nabi hizi zama zetu toli 2
@albertinamichael61232 ай бұрын
Hao viongozi hawamjui MUNGU MUNGU wao ni ibilisi.
@MnanilaMrsmnanila2 ай бұрын
mungu wao ni ibilisi.helufi kubwa inatumika kwa Mungu aliyeziumba mbingu na nchi.
@julianarichard9202 ай бұрын
Mbona usiseme kabla ya haya kutokea embu acheni kuidhalilisha Dini Hadi tutaonekana tapeli
@yakobomkristo8722 ай бұрын
Hakuna Mwanadamu Mwenye Uwezo Wa Kuudhalilisha Ukristo Zaidi Ya Kujidhalilisha Yeye Mwenyewe.
@tinershayo61912 ай бұрын
Wewe unatabiri tu nenda kamuokoe makonda wetu
@TinaZimba2 ай бұрын
Hata sasa damu inamwagika tatizo wewe hujui
@uzimameditv81482 ай бұрын
Ningetamani kama kuna hukumu ianze na hii michungaji ambayo iko inafanya biashara makanisani
@MichaelLambo-oh4bw2 ай бұрын
Hii Michawi inayodai Kusema na Mungu ni hatari sana.
@menaurukivuyo67962 ай бұрын
Tanzania mtupeni makonda wetu
@HamisMghuna-fj3vz2 ай бұрын
Nabii n Adam, Ibrahim musa yessu na Mohamad,
@barakalawrence7422 ай бұрын
Hujui ukisemacho bali umekaririshwa mambo ya mapokeo yenu
@feliciarfrancis23882 ай бұрын
Acha uongo wako !!! Unayoyaongea yanaonekana kwa macho.(Acha mambo yenu haya yanaoneka kwa macho