DIPLOMASIA: Safari ya Balozi Polepole kutoka Cuba hadi Tanzania, kulikoni?

  Рет қаралды 36,126

Azam TV

Azam TV

Күн бұрын

Пікірлер: 62
@malugukushaha6764
@malugukushaha6764 Жыл бұрын
Hongera sana Humphrey polepole,nakuunga mkono kwa kuzidi kuuamini ujamaa, hata mi ni mjamaa kwelikweli. Ubepari upite kushoto huko.
@kelvinkangomba9590
@kelvinkangomba9590 Жыл бұрын
Hongera muh Humphrey. Ninataman sana kufanya kazi km yako.
@felixmsale9244
@felixmsale9244 Жыл бұрын
Hermano mio tu eres uno de los pocos Tanzanos que sabes la insencia de un pais ,culto,educado y patriotico, dios que te vendiga .LA LUCHA CONTINUA,......... HASTA LA VICTORIA SIMPREM.......
@WilliamJk-o1c
@WilliamJk-o1c Жыл бұрын
Tanzania itajengwa na watanzania wazalendo sio wahuni.❤
@homeboybeyondtheborders4935
@homeboybeyondtheborders4935 Жыл бұрын
Huyu jamaa namuombea maisha marefu sana he has a brighter future for Tanzania 🇹🇿
@raphaelkessy7360
@raphaelkessy7360 9 ай бұрын
Tz ina Balozi mmoja tu Humfrey Polepole ana weza sana yuko CUBA
@2003hintay
@2003hintay Жыл бұрын
Big up Sana balozi wetu wewe ni mfano kwa mabalozi wote. Hajotokea hata mmoja amewahi tokea
@ImaniTete-c9h
@ImaniTete-c9h 9 ай бұрын
Jamaa jembe sana Kwa maslahi ya nchi ,nchi inamhitaji sana Kwa ustawi wa jamii
@enocksamwel3146
@enocksamwel3146 Жыл бұрын
Polepole mungu atatenda tu ! Tunaiman Sanaa na wewe Chuma
@ephraimkabeya9648
@ephraimkabeya9648 Жыл бұрын
Balozi Hamphrey Polepole uko vizuri, cha msingi simama na kuwaunganisha Watanzania na uwaze kujenga Timu ya mawazo yako.Tukiwapata watu wengi wa HEKIMA yako, watanzania watajenga IMANI kwa mlengo wa Kijamaa. Usitumie nguvu kueleweka,tengeneza mtandao wa watu wenye uzalendo wenye misimamo wasiogeuka kama walivyokuwa watendaji wa Dr.Magufuli ili usibaki pekeyako
@BethaFweya
@BethaFweya Жыл бұрын
We wish U all the Best Hamfrey Pole pole. Watanzania tunakuhitaji sana kuja kuleta maendeleo na mabadiliko ya kisiasa
@yakobomaganga6557
@yakobomaganga6557 Жыл бұрын
Yaani Mimi binafsi,, Namhusudu Sana mheshimiwa pole pole,, Kiukweli sichoki kumsikiliza"🙏🏿🇹🇿✍️
@ulomirabiel6980
@ulomirabiel6980 Жыл бұрын
Unahusudu kitu gani mtu alihujumu demokrasia kwa kiwango cha lami 2020. WTZ sijui tuko je? Mtu kwa sababu ya uchawa tu alishindwa kabisa kusimama upande wa haki unahusudu sio kweli ina malengo yako!
@HemediAhmedi
@HemediAhmedi Жыл бұрын
Shukrani sana nasisi watanzania tuwehivyo kama cuba pia tuziungemkono nchi za ujamaa
@judamsaki5609
@judamsaki5609 Жыл бұрын
Great explanation....here we appreciate you kada Polepole...moja ya bright waenezi wa ccm
@daudimlamka1239
@daudimlamka1239 Жыл бұрын
Bro Polepole,plz ukisoma comment hii ya kwangu basi itilie maanani,MIMI NA SISI TULIO KAMA WEWE TUNAKUPENDA SANA, TUMAINI LETU HAPA NIKUKUONA UPO PALE AMBAPO MWAMBA WETU WALIUHUJUMU. SISI TULIO SOMA HUKO QUBA BASI TUMEELEWANA, TUNAKUPENDA SANA ELEWA HIVO BRO
@musakihama7205
@musakihama7205 Жыл бұрын
Ni Raisi ajae,sina shaka na hilo.
@MtaalamwaUfundi
@MtaalamwaUfundi 10 ай бұрын
15th December 2043 DIPLOMASIA AZAM Niwaombe tafadhari mfikishieni huyo mjamaa yeye ni sentesi tatu pamoja na hyo ya Quba RAIS WANGU wa WAJAMAA DINI YANGU itaitwa AFRIKA SISI HATUTARUDI NYUMA
@rommyshabby3959
@rommyshabby3959 Жыл бұрын
Bro mie nakuelewa sn hadi naumwa, ntafurahi sn siku moja uwe pale
@theohermana5220
@theohermana5220 Жыл бұрын
Hasta la victoria siempre!!!Adelante!!
@brownmwailunda1436
@brownmwailunda1436 Жыл бұрын
Polepole kwa njinsi ninavyokufahamu wewe ni Akiba wa Taifa tunakoelekea uko vizuri sana kichwani
@zonko0488
@zonko0488 Жыл бұрын
Hizo dola zinakuja kuwanufaisha wakina fulani. Rains are falling but top to top. Mbaya sana
@mselimsuya6952
@mselimsuya6952 Жыл бұрын
ASTA la Victoria siempre
@babazungu3180
@babazungu3180 Жыл бұрын
Dah leo tu nilikuwa nakuzungumzia kuna Dereva amekusifu sanaa nchiin malawi.
@jacobsimkoko3096
@jacobsimkoko3096 Жыл бұрын
Yaani Mkuu, nakupa sana maua yako. Kuna umuhimu wa kukusikiliza mara kwa mara. Huwa unatoa elimu kwa kiasi kikubwa sana. Mungu wa mbinguni akubariki sana
@MatesoShabani-b3g
@MatesoShabani-b3g 8 ай бұрын
Mimi naishi marekani nimeidhi Tazn Miaka20 polepola makonda majaliwa saidieni mama siyo utawala wale utaanguka sababu kina wana CCM wanawinda utawala wa Samia mm ni mkongomani mm ni mkongomani kutoka Congo 205
@LeonardUpunda-m6v
@LeonardUpunda-m6v Жыл бұрын
Hola Mi hermano.Que dios TE bendiga.
@gerrylufingo387
@gerrylufingo387 Жыл бұрын
Polepole nenda polepole kuwakabili polepole hao "Wahuni" maana polepole watakuundia zengwe ili kukutoa relini polepole !!! Asante kwa kutupatia soko la Alizeti, Pia tunaomba soko la mchele
@JohnMihambo-m4o
@JohnMihambo-m4o Жыл бұрын
Love u bro siku moja utakuwa rais wetu
@ReganJohn-b6y
@ReganJohn-b6y Ай бұрын
Daw zaminguu vipi
@realswahilicultural8140
@realswahilicultural8140 Жыл бұрын
Tatizo kubwa la watangazaji wengi ni kutokuwa na saikologia na wankuwa tu na maswali waliyo yaandaa hivyo wanaishia tu kufikiria Nini watasema badala ya kusikilizi ili waelewe Nini wanatakiwa kusema😢😢
@casfeta-tayomikigomatochan9807
@casfeta-tayomikigomatochan9807 Жыл бұрын
Kama mheshiwa unaweza kufanya mkutano kigoma na walima chikichi nitafurahi. Nakupongeza kwa uzalendo
@elisantebilasi4883
@elisantebilasi4883 Жыл бұрын
Balozi weti ni uhakika kuwa rais wetu
@laurentkija9403
@laurentkija9403 Жыл бұрын
Tanzania yetu niwewe
@mndambokilavo2502
@mndambokilavo2502 Жыл бұрын
upande wa kutafuta masoko tuna mtu ila sasa huu upande wa pili wa "PRODUCTION" sijui!!!!
@PauloMahona-hw5os
@PauloMahona-hw5os Жыл бұрын
Tumaini langu ndani ya ccm limebaki kwako na kwa muzee kishimba musukuma nilimuondoa
@ulomirabiel6980
@ulomirabiel6980 Жыл бұрын
Mtu yeyote alieshabikia wizi wa kura 2020 hafai. Huyu alisimamie uenguaji wa wapinzani tena akifurahia sana. Kiongozi mzuri lazima awe mpenda haki. Hafai.
@dicksonagapity7231
@dicksonagapity7231 9 ай бұрын
Polepole mwaka 2040 atashika uongoz mkubwa tz... atatutoa gizan tanzani
@smallscaleminingsupplies9670
@smallscaleminingsupplies9670 Жыл бұрын
Huyu ni mpuuzi bora wamempeleka Cuba akaone ujamaa ulivo mzuri na maendeleo ulio yaleta Cuba, wa Cuba wenyewe wanakimbilia Marekani, Uongozi wa Cuba wa kiimla na hawa ndio walitamani kuona Tz, wakaiba kura zote uchaguzi 2020
@robertnkovuma7488
@robertnkovuma7488 Жыл бұрын
Maneno mengi yasiyo na matendo
@legynsio
@legynsio Жыл бұрын
Tumekumiss bro nakumbuka pale kisesa 2020 ukiw na jpm kuipiga tizi za kibabe
@braystuskibassa3842
@braystuskibassa3842 Жыл бұрын
Ni uonevu mkubwa sana kwa Cuba yaani hawa Marekani Mungu atawajibu tu
@tinolutonja8932
@tinolutonja8932 Жыл бұрын
hio
@mussaelisha3733
@mussaelisha3733 Жыл бұрын
Tamaa ya musukuma na huyu je sijui hatabaki kishimba
@davidmalogo7100
@davidmalogo7100 Жыл бұрын
Yani siku ukiunga mkono swala la bandali iwechini ya waalabu, staangalia Tena habalizako Yani saivi wendo watanzania wengi wanasubili tamko lako nawanategemea usiunge mkono nakuomba sana mana wewe ndie laisi ujae
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 Жыл бұрын
Polepole washakutupa huko ili wakumalize Sasa hata ukifurukuta bado ndio wamekutoa ktk.mfumo wakikupeleka ktk ubalazo ni kukumaliza kisiasa
@HassanSadick-s4v
@HassanSadick-s4v 7 ай бұрын
Barozi - vipi majina tumejaza sisi wagonjwa sugar, Hadi Leo kimya, au ni kik, maandalizi ya chaguzi
@elisantebilasi4883
@elisantebilasi4883 Жыл бұрын
Baba mbuu Bado ni wengi Tanzania tunakuomba ukamkumbushe waziri husika
@sonnyr1899
@sonnyr1899 Жыл бұрын
Huyu mkimualika muwe mnatenga saa nzima maana nusu sa haitoshi.
@MagwaMalala
@MagwaMalala Жыл бұрын
Tanzania inataka watuakini wanadipromasiwa kama Mhe. Balozi H.POLPOLE. NAKUOMBEA SANA NIKIAMINI IPO SIKU UTATUDAIDIA WATANZANIA HAPA TULIPO. Tanzania Sasa KISIASA TUNAONA kama tupo njia PANDA..
@kiatu
@kiatu Жыл бұрын
Rudi TZ uikoe CCM.
@pastorgodsonjohn8562
@pastorgodsonjohn8562 Жыл бұрын
Hanphrey akili kubwa
@edisonmaliva1719
@edisonmaliva1719 Жыл бұрын
Polepole n mmoja tu dunia nzima na hatobadilika Nasemaje: wamtumainio bwana n Kama mlima sayuni hawatatikisika watakaa milele. #kataawahuni na mambo yao.
@hemedchuma9-cq4nh
@hemedchuma9-cq4nh Жыл бұрын
Pole pole yuko wapi yule wa Anko
@deogratiuskweka8488
@deogratiuskweka8488 Жыл бұрын
Wako mabolozi wachache sana waiofanya kazi kama hii… tunamazao mengi lakini Hakuna masoko… na mabolozi wanakula kuku tu huko n’nje! Vitunguu ni shida duniani lakini vinaozea wakulima…
@saidmtenda1628
@saidmtenda1628 Жыл бұрын
Hana mali huyo.
@solomonadams6337
@solomonadams6337 Жыл бұрын
hizo countries haziitwi karibe🤐bali zinaitwa Caribbean, na huenda Cuba na Guyana hazimo katika Caribbean Islands kama Finland ilivyokua haimo katika Scandinavia Countries ok.thanks
@barakadeusdedit8273
@barakadeusdedit8273 9 ай бұрын
ingia google ujifunze zaidi
@salimamwasankinga
@salimamwasankinga Жыл бұрын
Namuelewa mtu huyu
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 Жыл бұрын
Kama wewe ni majamaa huwezi kukubali kuuza Bandari kati ya makampuni aliyoyacha Mwalimu Nyerere. Potea mbali kwani Cuba imeathirika nini mbona bado inaendelea vizuri.
@malugukushaha6764
@malugukushaha6764 Жыл бұрын
Hongera sana Humphrey polepole,nakuunga mkono kwa kuzidi kuuamini ujamaa, hata mi ni mjamaa kwelikweli. Ubepari upite kushoto huko.
Mkasi | S11E01 With Humphrey Polepole - Extended Version
55:22
MY HEIGHT vs MrBEAST CREW 🙈📏
00:22
Celine Dept
Рет қаралды 35 МЛН
Don't look down on anyone#devil  #lilith  #funny  #shorts
00:12
Devil Lilith
Рет қаралды 46 МЛН
Когда отец одевает ребёнка @JaySharon
00:16
История одного вокалиста
Рет қаралды 14 МЛН
NYAKATI ZA MWISHO NA HUMPHREY POLEPOLE - WASAFI TV
42:23
Amb. Humphrey H. Polepole
Рет қаралды 277 М.
MY HEIGHT vs MrBEAST CREW 🙈📏
00:22
Celine Dept
Рет қаралды 35 МЛН