Nani anajuwa Kama mbasha alisema anavuta bangi ... Mmesikia wapi labda na mm nisikilize
@timothmwakakusyu45633 жыл бұрын
@@kingruston2076 alisema adam mabangi
@aminakazogolo99143 жыл бұрын
Hilo liwe fundisho kwako😂😂😂, utani unatakiwa uendane na mazingira. Na yeye kakutania kidogo kwa mtama😂😂😂😂😂🏃🏽♀️🏃🏽♀️
@saidjuma97823 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@raphaelbalibusa85283 жыл бұрын
😂😂
@neemamayco32383 жыл бұрын
Ndio mbn yy analalamika sasa
@abuumaryam1853 жыл бұрын
utani malipo yake utani eti jamani halafu wanajuana kumbe walikua wanataniana sisi tukajua wanapigana ila media ndo zinakuza HILI swala
@aminmohammed42493 жыл бұрын
Ebana eenh kumbe na adam alimtania na mtama😂😂😂
@reubenpaulomabula60983 жыл бұрын
Kiburi kabiri humble ur self and God will lift u
@edsonmdegela60673 жыл бұрын
Opioid
@agnesoqwaa98483 жыл бұрын
Pole sana mbasha ni kweli kabisa hakufanya poa kiukweli
@killahboyofficial61893 жыл бұрын
ww una shobo tatizo we unamuitaje bangi😂😂😂
@jacobmakono3893 жыл бұрын
Mbasha you're polite,unajichanganyaje na mshenzi kama huyo ,kufikia point..unaona sasa alichokuanyia?Gospel unaimba ni ipi?jithibitshe unamwimbia Mungu kweli?jina lako lipo kitabu cha mbinguni?au kama ni sanaa tu ukifa unaenda motoni hapo nakuelewa zaidi!!
@zuhurambonde69593 жыл бұрын
Adamu huna adabu muombe radhi mwenzio una masifa mbele za watu na wewe mbasha acha utani mbele za watu ulivomuita bangi kachukia na watu wakaitikia hivohivo pole sana.
@silviapumzikenikwaamanidam84363 жыл бұрын
Pole Mbasha
@makongoronyerere25953 жыл бұрын
Tatizo lako shobo mwapenda kujipendekeza naw2 ili muonekane wema, hyo ndy daw yenu, saf sna adam
@afropatriot77693 жыл бұрын
Najua ungeweza nawe kumpiga lakin umeamua kua humble na kumuacha,umedharirika ili kuepusha mengi,that is God in you,safi sana mtumishi Adam ni mjinga ambae uwepo wa kina Ruge ulikua unamtuliza the devil within him sasa ivi amekua kama mtoto asie na mzazi wa kumcontrol yapo mengi tutayashuhudia
Wrong place at the right time 😂😝🤪🤣 sio kwa mtama uleee.
@ramadhankambalame46813 жыл бұрын
Huo sio utani kaka, huwez kumuita mwenzio mabangi mbele za watu. Adam hajafurahishwa na hicho kitendo
@solemba5953 жыл бұрын
Tatizo hamsomi alama za nyakati, yeye sio chizi kukupiga bila sababu, kunasehemu ulizingua. Look your back
@stellahwilfred5762 Жыл бұрын
Na kumuita bangi huku akamkumbatia kiaina ni km kejeli mi Naona kapewa stahiki yake
@kazkaz19433 жыл бұрын
Baba levo kasema mmejazana wasanii ccm kama manyumbu😀 ndo haya sasa mnaanza kupigana wenyewe kwa wenyewe! Alaf we mbasha adam hujamtania umemwambia ukwel mana ni kweli anavuta ila mbasha umekosa hekima na akili unaanzaje kumwita mwenzio kwenye kazi yake eti bangi mi ningekupa kipigo mpk uchakae una kiherehere sana
@hejmabohejhej93 жыл бұрын
Huyu nae kiherehere angemzaba bonge la bao ndio akome
Unamwambiaje mtu mkweli mbele ya watu wengi kiasi hicho?wewe ukiambiwa mbele za watu kuwa ni malaya je utajisikiaje? Utani mwingine haufai kabisa na hata kama unajua yeye ni mvuta bangi kwa nn umuite mvuta bangi?
@neemamayco32383 жыл бұрын
Mbasha umezid kiherehere kumtukana mwenzio hadharan eti mabangi
@hajimtaita33793 жыл бұрын
hatakama unajifanya mtu wamungu mm ningepita naww mpaka uombe poo sokwakumzalilisha mtu eti mabangi unaakili kwel fikiria niwatu wangap wapo hapo au nimaelfu mangap wanaaangalia tamasha hilo afu unamzalilisha kirahis jomba umekutana na mstarabu mshukuru mungu sana ingekuwa nimimi ungejuta hiyo jezi yakijan uliyovaa ungeivua mwenyewe ukiomba maji ya kunywa 😠😠😠😠😠😠😠😠😠😠😠😠😠😠😠
@bakariomary3203 жыл бұрын
Ulistahili kaka,,,umezngua sana
@faridaessa78443 жыл бұрын
Daah,pole Kaka mbasha
@vedastusmasinde6793 жыл бұрын
Tukiacha ushabiki jaman mbasha ndo kamkosea Adam mchomvu hata kama ni mzaa uwezi ukamwambia mwenzio mbele ya viongoz wa nchi wako pale na wananchi et ""TATIZO WE ADAM NI BANGI SANA""sio vizuri na mtu kakuambia ushuke vizuri kabsa na kakupa shangwe sio poa kabsa huyu Mbasha kakosea.
@gabrielisack77863 жыл бұрын
Ni lini tutapata waandishi wazuri ambao watakuwa wanawafanyia interview watu ili sisi wananchi tunaosikiliza ile interview tuelewe majibu ya wale wanaohojiwa? Kwa mfano ningekuwa mwandishi wa habari kwa kweli watu wengi wangekuwa wanajuta kufanya interview na mimi maana ningekuwa nawauliza maswali rahisi Lakini yana mitego ya hatari na ukijichanganya kujibu tu unaonekana wewe ndiye mjinga. Mfano ningekuwa mimi ningemuuliza Emmanuel Mbasha ya kuwa najua wewe ni mtumishi wa Mungu na watumishi wengi wa Mungu wamejaliwa hekima nyingi sasa huoni kwamba kitendo cha kupanda stejini na kuanza kumuita mwenzako Adam mabangi huku TV nyingi zikiwa Live na zikifuatiliwa na watu takribani million 40 unaona ulikuwa sahihi? Swali la Pili kama unasema ulikuwa ni utani je ulishawahi kumtania kabla ya hapo kwa kumwambia wewe Bangi tena mbele ya kandamnasi? Kama hujawahi kumtania hivyo je ni nini kilikusukuma kumwambia kuwa yeye ni bangi au kwa sababu ya umati mkubwa kama ule na wewe ulikuwa ukitafuta sifa(kiki) kupitia kwa Adam? Swali la tatu na mwisho ningemuuliza Biblia inasema heri mtu asiyekwenda kwenye shauri la watu wasio haki.Je ukiwa kama mtumishi wa Mungu huoni kuwa ulistahili kupata kile kilichotokea cha kupigwa mtama kwa maana lile shauri lilikuwa sio shauri la watu wenye haki ila wewe ndiye ulikuwa umelivamia na ukakosa ustarabu wa kuonesha utofauti kati ya watu wa dunia na wana wa ufalme wa Mungu.
@francismhilu29363 жыл бұрын
hekima inaonekana katika mambo kama haya.umedharirishwa unashukuru na kuongea kwa hekima..adam umwombe radhi huyu maana mtu akiongea hivi ukikaidi ukajiona ni bora kuna matatizo yana jitokeza tu..ubarikiwe sana emmanuel mbasha sikutegemea ungereact namna hiyo
@claudionyenje58643 жыл бұрын
Mbasha mpumbavu sana yaan sawasawa alivyofanyiwa yaani
@yasristeven11353 жыл бұрын
Mr.misifa
@mr.sangaellies51103 жыл бұрын
Tumewapiga kwenye mitaaaa ccm mbele kwa mbeleeeee,hahahaaa ,na mvimbepasuke mtajijua wenyeweeee
@shaddybmc83423 жыл бұрын
YESU ALISEMA MTAWAJUA KWA MATUNDA YAO. ...
@nassibuduma.19403 жыл бұрын
Hilo nifundisho kwa wapendwa wanao changanya badala umsifu MUNGU manaenda kusifu watu MUNGU awasaidie mjue mipaka ya huduma zenu.
@ilovejesus93033 жыл бұрын
😄😄😄😄😄
@alwattanchinga3 жыл бұрын
😆😆😆😆 kweli
@queenfizi56543 жыл бұрын
🥰🥰🙏
@mwanahalimamwachili96793 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
@gabrielisack77863 жыл бұрын
Kabisa,Mbasha ni mshamba mno
@carolyleonidas73883 жыл бұрын
Pole sana
@kakorejrboyz64473 жыл бұрын
Mnaleta wavuta Bangi kwenye Tanasha #ABAM MABANGI Sana
@victorwilbard25853 жыл бұрын
Hakuna mwanaume anayetaka utani kwenye halaiki, Umekosea sana kumtania pale jukwaani bora ungesubiri huko chini. .......pole sana kwa mtama
@edwinalexander11703 жыл бұрын
Mbele ya umati woote wa wa Tanzania haiwezekani
@kijijinikwetutv83 жыл бұрын
Imeniumaa San kumuona adam kufanya hivo sio vizur kabisa
@khadijaomari93443 жыл бұрын
adamu ata simuelewi 😀😀😉😉
@willymgogo69753 жыл бұрын
Bang hilo
@leonardsimon21483 жыл бұрын
Mchomvu kakosea sana lakini pia huyu Mbasha mstaarabu sana mimi kusema kweli ningeligeuza jukwaa kuwa uwanja wa mapambano within a minute mchomvu wangempeleka moja kwa moja MOI , Mbasha kweli wewe mtumishi wa Mungu kweli kweli.
@timbukwa97713 жыл бұрын
pole sana
@hamadimgaza93513 жыл бұрын
Safi sana Adam kuishi na vinega kwa style iyo.
@jeremiahmwasapilicharlie29263 жыл бұрын
Aibu
@maryfelix42213 жыл бұрын
Pole.sana kaka yangu muachie mungu
@rechomwaijande32733 жыл бұрын
Au ndomana mungu umesema usiketi balazani pawenye mizaha nausichangamane nawamataifa ayo ndo malipo
@dianahussein89343 жыл бұрын
Mahali apo akustahili Yeye kuwepo. Mbasha
@OmarAli-wr1ti3 жыл бұрын
Ata kama ni mm nakuzibua mbele za watu unaleta stori za kisenge matani gani ayo mbele za watu fala ww unaijua bangi Unataja Mungu wakati unataja mambo ya kumdhalilisha mwenzio mbele ya umma
@felixsilayo18243 жыл бұрын
Mimi hapa namlaaimu mbasha, ulitaka kumdhalilisha adam mbele za watu, kutafta sifa zako, we ni mkristo usitagte kiki kwa kutumia migongo ya mwingine, ukiangalia hiyo clip unaona kabisa adam amekuvumilia sana, kuanzia ulipoanza kuropoka , ropoka jii yake, ukaenda mbali zaidi unamtoa jikwani kwa kumvuta alafu unasingizia ulikua unamkumbatia kwa upendo, acha unafiki , nimekasirishwa sana na kitendo ulicho mfanyia adan, umamwitaje mtu bangi, alaf useme unamtania, acha unafki na mungu atakusaidia
@allanedger66323 жыл бұрын
Bangi
@rehemashafi48093 жыл бұрын
Pole brother
@saniajuma61233 жыл бұрын
Pole ka mbasha nimeumia sana
@brownenas6033 жыл бұрын
Daaah!!! Mchomvu bangi anazovuta zinamuharibu sana,hawez mzalilisha mtu mzima mbele ya umati
@gibrilmongi56463 жыл бұрын
ADAM MCHOMVU OMBA RADHI, umedhalilisha tasnia ya HABARI,
@jennajenna40823 жыл бұрын
Pole
@fredyjohnwaifakaratanzania293 жыл бұрын
TENA MBONA KAKUKWANGUA TUU IYO ANGEKUPIGA HASWA UNAJICHUBUA..
@highzacknnko40023 жыл бұрын
Zingua tukuzingue
@sweetmama68853 жыл бұрын
😂😂😂eti anajichubua. 🙊
@davidkihiga35313 жыл бұрын
katika kumtumikia Mungu , hatuendi hivyo . zaburi 1:1 , heri mtu yule asiyekwenda katika shauri la wasio haki . Mungu aidha ameamua kumfundisha mtu
@hadijahmwajombe95883 жыл бұрын
pole sana mbasha
@jumasosho99633 жыл бұрын
Umesema cjui amelewa ngoja ackie tena aje akupe mtama remix
@alwattanchinga3 жыл бұрын
😆😆😆
@elvishudson68573 жыл бұрын
Hahahaha wasoma comment tupo pia 😸😸😸😸
@domanametta32753 жыл бұрын
Hahaha
@asteriayohana37463 жыл бұрын
😂
@alwattanchinga3 жыл бұрын
Dah
@makokamakoka3413 жыл бұрын
Broo we ni mtu wa tofauti sana naamini anngekua ni mtu mwingine ingekua shida sana ila ww umetunza heshima yako
@angeltawale30553 жыл бұрын
Adam bangi sana, sijapenda.
@deliriousgentleman73693 жыл бұрын
Chuga hatunaga mbili, ni moja tu yani ukizingua unaoga vitasa na imeisha iyo. Sororosha like km hupendagi upimbi
@Trevor198043 жыл бұрын
Usimsifie mtenda ubaya, ili kuonekana ww ni mjanja. Adam mchomvu kakosea kitndo alicho kifa. Tafakar ingekuwa n ww🙋
@janerupia41893 жыл бұрын
Poleee msamehee
@alfredymalata2693 жыл бұрын
Bwege tu uyuu Utani gani wa kumwambia mwanzako Bange sana
@rehemahamisi99713 жыл бұрын
apo sasa jamani unamtania mwenzio bangi kisa yeye mtumishi aogopwi mtu apa anaogopwa mungu tu mtoa roho za watu ukiwa na kauli mzr uwe shehe au mchungaji bc utaeshimiwa lkn uwezi kuvunja heshima kisa mchungaji au shehe kwendraaaaa 👏👏👏💪💪💪
@acruxe58103 жыл бұрын
Sasa una mu hug aje mwanaume mwenzio ?? Awa wanaume wa kinondoni mnanin et
@mjombamjomba18873 жыл бұрын
Pole tu sn Mabasha
@natepam44863 жыл бұрын
Pole sana mbasha yani ktk hali ya kawaida hata mi niliona ni utani tu,, adam sio mstaarab ht kidogo
@amosmahona4333 жыл бұрын
Wavuta bhangi Mara nyingi huwa Ni wasenge Sana likiwo hili limchomvu limemikera sana
@khadijaomari93443 жыл бұрын
sanaa
@herimallya33853 жыл бұрын
Hata huyo mbasha mkuda sana...acha achezee vitasa.
@breymbasa34513 жыл бұрын
Hahahaaa
@deborahrehema58193 жыл бұрын
Mimi tokea muachane na mmke wako sioni hata kama uko na tembea na Mungu kumbuka usije ukafa ukaenda kwenye golofa moja Mbinguni kule tumikia Mungu , huwezi kuwa ati Mristo bado unachanganya ya mwili na ya Mungu ,Mungu hataki watu ambao wapo lukewarm yaani kivugutu change
@benjaminpatrick63643 жыл бұрын
Make up ikooo vizuriiiii hngraaaa
@claudionyenje58643 жыл бұрын
Mbasha mpumbavu sana mie nitaman nikupige mwaka 2008 kwenye tamasha la pasaka la msama nakumbuka mama rwakatre alikua mgeni rasmi na samweli sitta pia aliimba halafu akawa anakataa kushuka ana taka aimbe tuuu nakuimba hajui shida tupu yaan
@mwanahalimamwachili96793 жыл бұрын
Pole Mtumishi,Msamehe tuu,Sasa Ona alivyo Vaa Suruali Chini Ya Makalio,Kama Si Bangi ni Nini.🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️.
@ambaluweabdul11072 жыл бұрын
Pole sana kwa hakika hii clip imenisikiyisha ama kwa kwel adam kazingua kinoma
@kevooambakisye70183 жыл бұрын
Unamuitaje mwenzio mabangi alafu unasema utani...ilitakiwa upigwe ngumi za kutosha sio mtama tu
@drookiemaik83933 жыл бұрын
Yani alitakiwa apigwe vitasa kama vyote. Eti aaombwe msamaha, kuzi kweli uyu chizi
@kenybenjiz78503 жыл бұрын
Eti mtumishi wa mungu
@rehemahamisi99713 жыл бұрын
keny benjiz @ apa ajatumia busara kumwita mwenzie bangi mbele za watu nayy kapewa mtama mbele za watu kizazi sana
@petermpera92443 жыл бұрын
Daaah pole bhan lile shuti kali mmh
@edithhassan41963 жыл бұрын
Kulewaa umaarufu nyote wawili mnamakosa 1. KWakutamka neno bangi 2. Kudharau jukwaa kwa kitendo alichofanya 3. Nyote mmtutake radhii
@jumaipanda18843 жыл бұрын
Pole ndg
@mch.benjaminabraham86693 жыл бұрын
Mmeshindwa kumuimba Yesu mnamuimba mtu hayo ndo malipo ya dhambi rudi msalabani mbasha
@barakamwakapoma27023 жыл бұрын
Mmmh Adam bangi tu
@kelvinmchau88153 жыл бұрын
MBASHA WW NI JEMBE aise ningekuwa mm HAPO NINGEKINUKISHA WALLAH huyo jamaa ningempa KIPONDO wallah ningelala SERO
@lovvy8543 жыл бұрын
🤣🤣🤣atawew ungekula mawele baadilia mtama🤣🤣🤣
@peterantony37623 жыл бұрын
Hutamwambiaje mtu bangi mbele za watuwengi bhana
@emmanuelyusuph77523 жыл бұрын
Mchomvu umezingua xana mbele ya president du
@jumabakari8133 жыл бұрын
Adamu alivuta bangi alijiona kama yuko nawauni wenzake ivyo akaona poa tu adamu bangi yule mwamba
@fadhilamtwale82123 жыл бұрын
Nimecheka sanaaa! 🤣🤣🤣🤣
@severinpascal65143 жыл бұрын
Uache shobo utani wa mitandaoni ubaki hukohuko😂😂
@benardsamwelministry70243 жыл бұрын
muambieni adam huo sio utu huyu jamaa ameharibu sana amekosea sana
@slicehamfrey35043 жыл бұрын
Pole kaka hajielewi msamehe bule
@babadiamondplatnumzdudulay36753 жыл бұрын
Daah nimeumia sn😭😭😭😢 watanzania tupendane africa
@jeamwenda73943 жыл бұрын
Angalia brand ya mwenzako wee fala
@shairanadam14433 жыл бұрын
Nmechkaaa snaa😁😁😁😂😂
@roberthosea79303 жыл бұрын
𝘞𝘌 𝘏𝘜𝘖𝘕𝘐 𝘜𝘓𝘐𝘊𝘏𝘖 𝘍𝘈𝘕𝘠𝘈
@apolotemba69933 жыл бұрын
Pole sana kaka
@adammjomba71123 жыл бұрын
Mimi binafsi Nina mlaumu sana mtumishi wa Mungu mbasha kwanini awe na matani na watu wadunia? Hukuona kufanya urafiki ( matani na watu wa Mungu mpaka uwe na marafiki na watu wa dunia Hilo umelitaka mwenyewe .iwefundisho kwa watumishi wengine wa Mungu kuwa na matani na watu wa dunia. (Fata Yesu kristo alivyo fundisha. Utafanikiwa .angetoa meno Au kuvunja mguu .hao ni watu hawana hofu ya Ahlla watakuumiza kweli kwao jella ni nyumbani.
@lazarojr89233 жыл бұрын
Vibaya Sana,,alishindwa kujicontro
@edwinfernandes88813 жыл бұрын
Mbasha ...unamkumbatia Adam kwa nguvu vile au hujui jamaaa ana wife ...nimecheka sanaaa
@abdulkareem_njau3 жыл бұрын
utamtaniaje mtu kwenye adhara,unajua wabong wanavotafsiri,angestahili akuvunje mguu
@jacksonmsuya58333 жыл бұрын
Bangi chokoo yulee
@mwailimasson18853 жыл бұрын
Adam msenge Sanaa huyoooo
@thomaskivuyo39993 жыл бұрын
Kuma ww unasuport usenge kumuita mtu mvuta bangi mbele ya watu wote hao mm yenyew ningekufira
@namsamson34433 жыл бұрын
Ulitumia busara sana. Msamehe And hopefully atakuja mbele ya watu na kuomba msamaha kama alivyokufanyia mbele za watu