Huyu Mchungaji Ana Kitu Kikubwa Kichwani Km Utamzingatia. Barikiwa Sana Mtumishi Wa MUNGU 🙏
@JeremiahYohana-br2bd10 ай бұрын
Huyu mchungaji namkubali sana, Mungu akutunze mzee wetu.
@SaidiKidika10 ай бұрын
Anaelimisha watu wa imani zote kwa ujumbe wake,Mwenyezi Mungu am bariki.
@shabbymakapane10 ай бұрын
Opo Sahihi 100%
@msafirisalum624510 ай бұрын
Mimi ni muislam, ila nimemuelewa sana huyu kiongozi. Nitakutafuta nipate hata picha ya pamoja. Asante kwa maneno ya busara
@shabbymakapane10 ай бұрын
Kabisa Mchungaji Anaejielewa , Yuko Vizuri Anafindisha Vizuri
@IbrahimuSpriano9 ай бұрын
Muisilam gan anae luhusu picha huo Ni ukafir tafta maana ya vitu vilivyo wekwa kwenye bidaa uone
@husseinchivinja58449 ай бұрын
Kweli huyu mchungaji anaongea maneno sahihi nampenda sana abarikiwe
@Dianamwansasudddw9 ай бұрын
@@IbrahimuSprianowewe unakuwaga na kiherehere sijui Kwanin has?umekazana makafiri tu.nenda kaswali huko
@mayangeramadhani84979 ай бұрын
@@IbrahimuSprianohawatakuwa radhi mayahudi na manaswara mpaka mfuate mila zao
@newgreeneaglestudio308910 ай бұрын
Mimi mwislamu ila hanaja ni mmoja katika wachungaji nawafuatilia sana ni mtuu mwenye kafuata matendo ya yesu Always Anasema ukweli ❤❤
@Sheba46519 ай бұрын
Mtu akimfuata Yesu lazima awe Muislamu tu, ukiona anamfuata Yesu kisha hajawa Muislamu, huyo mungu wake anakuwa Yesu.
@saimonijonas14719 ай бұрын
Naomba nikuulize. Nini maana ya Islam na Uislam.?
@taturamadhan59409 ай бұрын
Ni kukiri kwa moyo na kwa ulimi hapana mola anastahiki kuabudiwa ila Allah na kukubali kuwa Muhhamad s.a.w ni mtume wa Allah
@suleimansalym75379 ай бұрын
@@taturamadhan5940Hii sio maana ya uislamu hiyo ni maana ya shahada ulitakiwa kutoa maana ya uislamu halaf uje na maelezo kma hayo lkn sio mbaya anaetaka maana ya uislamu na akasome uislamu lkn sisi waislamu tunasema ISLAM IS THE RIGHT PATH & FINAL DESTINATION na ndio dini pekee ya Mwenyezi Muungu hapa duniani
@muksinimbaruku12339 ай бұрын
Muislam na yesu tena alisikika chizi mmoja KZbin
@ahmedhamis9 ай бұрын
Barikiwa sana mchungaji , maneno Yako yananifanya kuendelea kusoma vitabu vya m/mungu kujua amri zake 👏👏
@YusuphMkumbo10 ай бұрын
Kila siku unanyoshaa Sana Mzee wangu mungu akuwekee miaka 1000
@samsonnzisabira7689 ай бұрын
Duuh,hekima na busara ya mzee vimezidi.Mungu akubariki mzee!!!
@theophilwhiteheart19979 ай бұрын
Aisee Mwenyezi Mungu akujaalie maisha marefu sana mchungaji hananja🙌🏽
@mozeslyricstz7209 ай бұрын
Aimen
@adelineswai23659 ай бұрын
I just love this man of God
@godlistendiah35639 ай бұрын
WOW... this is awesome. Hayo ndio maneno ya mtu wa Mungu. keep it up brother.
@mapachawayesu9 ай бұрын
Barikiwa sana Pastor, Mungu azidi kukutunza kwaajili ya kukiokoa hiki kizazi tulichonacho
@charlesmbena91219 ай бұрын
Hananja is one of the best uishi Sana mzee wetu.
@EricaBizuru-jp9by10 ай бұрын
Umeongea ukweli mtupu na haki mungu atazidi kukulinda Ameen
@avitusmichael510 ай бұрын
Mchungaji bora kuwahi kutokea ndani ya nchi hii, waumini wako wanapata uhalisia wa imani ya kweli
@shabbymakapane10 ай бұрын
100%Upo Sahihi
@emmanuelbonaventura42589 ай бұрын
Naam
@leahmollel65899 ай бұрын
Tuambie tuu kweli ya Mungu! Tukubali tukatae kazi ya Mungu umeshaifanya! Mko wachache sana na sisi ni vigumu kukuelewa! Mungu akubariki sana🙏🙏🙌
@lalesmhina7 ай бұрын
Mungu akubariki sana mchungaji Hananja
@tmbashujaaosama381010 ай бұрын
Kwa uwezo mchungaji alio nao angekuwa na tamaa angekuwa na bonge la kanisa. Mungu akutumze akuzidishie uwezo wa kusema ukweli tufukuze uchafu ktk dini
@tigejuma986510 ай бұрын
Huyu baba ana nyosha maelezo vzur xna ... wachungaji wote wangekua kma huyu basi makanisa yote yangekua na msimamo mzuri...
@margaretseela234410 ай бұрын
Spitting wisdom. Volume pastor hananja👏👏👏
@FatmaSaid-j9o9 ай бұрын
Am from kenya and I'm Muslim I really love him ❤
@jeremiahmuli17669 ай бұрын
AKUNA KAMA UYU CONGRATS
@emmanuelbageni43888 ай бұрын
Give Jesus Christ your life he will really save your life.
@DavidKadaba3 ай бұрын
Mungu akuzidishie mchungaji Ananja na maisha marefu izo tamaduni zao zi poteleye mbali sana nasi❤❤❤❤Mchungaji
@dr.dicksonjohn819610 ай бұрын
Mwenyezi Mungu Amtunze Sana Pastor Ukweli Siku zote Ni Mchungu kuupokea Lakini Ni Vizuri Sana Kuongea Ukweli. Hongera Sana Pastor Umeongea Ukweli Bila Kuficha na kuogopa Bila unafki.
@shabbymakapane10 ай бұрын
Umesema Kweli 100%
@godfreyhiza10759 ай бұрын
Mchungaji umesimama upande wa Mungu Bwana azidi kukutumia!!!
@MichaelMsambwa-q9d7 ай бұрын
Asante baba kwa mafundisho
@OscarDzombo8 ай бұрын
Mungu akueke mchungaji
@azizamaulid92579 ай бұрын
Huyu mchungaji namkubali sana masha'allah laiti kama angekua na tamaa angefungua kanisa lake Haki angepiga hela sana Mungu amtunze mtumishi
@stephenmbasha43899 ай бұрын
Kuwa na kanisa ni kupiga hela??
@azizamaulid92579 ай бұрын
@@stephenmbasha4389 😅😅😅😅😅😅 huyu anaefufua watu yeye anafanyaje
@PatrickMuendo-ur9js9 ай бұрын
Powerful mchungaji true gospel 🇰🇪🇰🇪
@angellomarcel56779 ай бұрын
Nakukubali sana we Mzee yaani wewe ni Mchungaji wa Kweli soyo wale Mbugilambugila
@reubenmwidima10 ай бұрын
Very true pastor 🙌
@ObadiaSimkoko10 ай бұрын
Wasome Yohana 4:24 na Yohana 7:17-18 wanadharilisha ukristo ni uhuni tu mungu Huendana na maadili ya eneo husika tuweni macho Sana watanzania ni nyakati zimefika zilizotabiliwa
@gidionmheni316510 ай бұрын
Be blessed Mtumish wa Mungu , wasemao kweli watan'gaa
@johnmakundi241510 ай бұрын
This"s might be the truly Man of GOD with purely words of wisdom,, apart from comedic tips in his preaching based on reality life he is role of origin Gospel!!!!
@shabbymakapane10 ай бұрын
100% Umesema Kweli
@chedielimrutu695510 ай бұрын
😂
@stanslausmteme84559 ай бұрын
Upo sawa
@owenomwanawayesu69619 ай бұрын
Mtawajua kwa matunda,fungueni macho!
@osamasuley22969 ай бұрын
A@@stanslausmteme8455
@patrickkatana88239 ай бұрын
AMEN..BARIKIWENI SANA MTUMISHI WA MUNGU
@lucasmwambene82669 ай бұрын
Jiwe Moja limeua ndege wote Kwa hapa sio Wawili. Ubarikiwee pastor
@PatrickHassain9 ай бұрын
Mungu atakulinda sana mzee waambie ukweli wanaharibu dini yetu sana hawa usichoke mungu ata kulinda 🎉🎉🎉
@nataliamrosso9 ай бұрын
Amina
@ukhutfatumah115410 ай бұрын
Ameeeen ameeen ameeeen Asante sna baba kipenzi unafunza dini zote ubarikiwe Sana
@faithe40639 ай бұрын
Mwenyezi Mungu ambariki huyu pastor kweli, Mungu akikaa ndani ya mtu atavaa vizuri na kutembea kwa ustarabu
@lilianmbeyu10 ай бұрын
amen hayo ndo mafunzo halisi ya imani much blessing man of God 🇰🇪
@shabbymakapane10 ай бұрын
Kweli Kabisa
@davidmisiwa462210 ай бұрын
Huyu mzee Huwa anaongea point sn, haongelei kabisa Bali anasimamia ktk uhalisia wa neno na nwenendo wa maisha au mtindo wa maisha uliopo, mwenyezi MUNGU amtunze
@AkwiliniQawoga10 ай бұрын
Maajabu mchungaji kuvaa ngup za kahaba.labda shoga.,Mungu atusamehe
@frankjohn87069 ай бұрын
Muonekano wa mavazi kimwili lkn pia Kuna ubatizo wa vitoto na kipaimara kama ni roho MTAKATIFU hawa wote wameliacha Neno watu kupenda pesa kuliko kumpenda Mungu..hongera pastor
@adamsengo18699 ай бұрын
Ni kweli kabisa 100%. Jina la Yesu libarikiwe
@godwinkileo77029 ай бұрын
Amen
@annamwakibinga5279 ай бұрын
Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu. Ndiyo maana nakufatilia sana
@NeliaMwenisongole9 ай бұрын
Kabisa Baba umezungumza Mungu ni zaidi ya Rais
@suratibrahim641710 ай бұрын
Mch... Hananja ni lol model wangu.... mtumishi wa Mungu wa kweli❤❤❤ Sijawahi kuwa na mashaka nae 🙏🙏🙏💯 Mteule wa Mungu 🙏🏹🏹🏹
@linluxe1018 ай бұрын
😂😂😂lol????
@michaelkimweri107410 ай бұрын
Mungu akuweke mchungaji, unanifunza sana
@shilindebusolwa888710 ай бұрын
Ubarikiwe sana Mchgj,,kwakusimama na misingi ya kibiblia,,hakika wewe ni mtumishi wa Mungu wa kweli,,,
@KassimMbwana-m6i9 ай бұрын
😂😂😂Eti mwalimu lakn sijui wa vyuoni wakina nan ,Ila umenyooka sana mchungaji Mungu akutunze na akupe maisha marefu uzidi kutupa elimu ktk ubora huo huo🙏🙏
@ntibashimadicksonmathiasna291510 ай бұрын
Barikiwe baba Mungu akutunze ni kweli shonga papai hilo linaliwa hilo
@limymasele2110 ай бұрын
Mungu tulindie huyu Mchungaji.
@VicentKayagula9 ай бұрын
Hapa mchungaj HANANJA umenikosha. Big up father good 👍
@joycehefsiba27508 ай бұрын
Asante sana mchungaji Hananja. Mungu akubariki sana.Tunakuombea Mungu akulinde uishi myaka mingi sana. Nb: wale waganga wa kyenyeji waliamua kuingia kanisani sababu sahii watu hawaendi kwa waganga sana Kama mwanzo, kwa ukweli hiyo si monekano wa mtu abebaye ujumbe wa Mungu kwa watu WALAWI19:28 uyo ni mchawi kapewa masharti aje aandalie wenzio njiya ndo pakitokea mtu mwingine Kama yeye akubalike. Kwa jina la Yesu christo alie hai tuna wapinga na kazi zao zi shindwe.
@MaryMakala-o5i8 ай бұрын
Pastor endelea kutuweka sawa watu wasome biblia vzr, pesa Ina mwisho, safi sana mtumishi wa mungu, paza sauti usiogipe yupo yesu nyuma yako Amen
@buikilapo-wm7zb9 ай бұрын
Mungu hakubariki,hakupe mwisho mwema!❤
@marystephen19949 ай бұрын
Nabarikiwa sana na wisdom na ukweli wa mpakwa mafuta huyu, Mungu ampe uzee mwema. Be blessed man of God❤
@uwezawamungumkuu.amaniafrika9 ай бұрын
Haya ni majanga na tatizo. Lakini tumwachie Mungu mkuu mtoa ukumu mwenyewe. Amen.
@vizinhomarioafonso953510 ай бұрын
Mze anailimu sana, tunfaidi, mungu akupe maisha malefo, amém, from Moçambique
@owenomwanawayesu69619 ай бұрын
Pastor MUNGU akubariki kwa kusema ukweli juu ya hawa manabii wa uongo.
@MeryblessMshana9 ай бұрын
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu,utamtambuaje kuwa ni Mwanafunzi wa Yesu,kutembea kwake na kuongea kwake utajua kuwa huyu ni Mwanafunzi wa Yesu,Matendo yako tu
@georgemboneko91639 ай бұрын
Amina mch.mungu akubariki sana.
@AnordKawageme8 ай бұрын
Barikiwa sana mchungaji MUNGU akujalie afya na nguvu utubadilishe
@joelyngomuo74419 ай бұрын
Mungu akujalie miaka mingi mchungaji hananja umesema ukweli mchungu
@SumunPolisi9 ай бұрын
Mpo wachache sana mungu akulinde
@ChristinaCharles-py1ct9 ай бұрын
Mungu akulinde na mabaya muchungaji amen🎉
@elishaelishaedward945410 ай бұрын
Tunasahau vya kwetu tunapenda vya wazungu Haya mafuliko yanayo kuja ni Adhabu ambazo tunapewa ndogo ndogo ili kukumbushwa tunayoyafanya cio sahihi ila bdo sahivi wanaume wanageuka Wanawake kilakukicha EEH MWENYEZI MUNGU TUEPUSHE katika haya maovu yote yanayo tukumba vizazi vya sasa
@denismasao52010 ай бұрын
Hapana mungu ana upendo hawezi adhibu watu hivyo yako bo 1:13 inasema "mtu akiwa chini ya jaribu asiseme mungu ananijaribu Kwa maana mungu. Hawezi kuwajaribu watu Kwa mambo maovu Wala yeye mwenyewe hajaribiwi Kwa mambo maovu
@johnbidya1199 ай бұрын
Nakukubali sana mzee wangu unaakili sanaa nakufananisha na kijana mmoja anaitwa chidbenz mzee kwann usimtafute huyu kijana chidbenz ukaenae umjenge zaidi siku moja awe msaada kwa vijana wengine kama ulivyokua ww mimi naamini chidi benz anaweza sana ila kuna vitu vidogovidogo vina myumbisha msaidie mzee wang.
@gastonfelician8739 ай бұрын
Ubarikiwe sana
@nganamaula806410 ай бұрын
Ubarikiwe mzee wangu
@ndiiyolazaro112510 ай бұрын
Ubarikiwe mchungaji hananja, huo ni ukweli mtupu
@anithasemwano82769 ай бұрын
Hananja yupo vizuri
@johnjohn20809 ай бұрын
Ubarikiwe sanaa sana na BWANA wetu YESU KRISTO mchungaji
@JULIUSNYAMARUNGU9 ай бұрын
Mungu hakubariki uendelee kutusaidia katika Neno 12:44 ."we ❤ you"
@zabrongermanus-co1jj9 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi
@josephmwangalika26737 ай бұрын
Mungu Akubaliki. Mtumishi
@LucasGabriel-o3p7v6 ай бұрын
Safi sana mchungaji mzuri,,,upo vizuri
@janengowi-lt9gu9 ай бұрын
Mungu akubariki sana Mchungaji
@mrsdeborahurio9 ай бұрын
Ubarikiwe Sana, Pastor!
@epmzmusifiwar669410 ай бұрын
Amen Mtumishi Ubarikiwe
@mbomapadon10 ай бұрын
Be blessed my Mchungaji umeongea points
@mohamedkondo-tq2bm10 ай бұрын
Mzee hananja upo vizuri sana upepesi maneno
@mashramadhani198910 ай бұрын
Daaaa very true pastor
@RahiimTraveller-xb3pt5 ай бұрын
God bless you Pastor Hananja
@nemitv785010 ай бұрын
Amen pastor huu ndo ukweli watu wamekuwa vipofu.
@obedysabukunze8 ай бұрын
Asante sana baba kwa maneno ya hekima!😊
@pariskatene10 ай бұрын
La illa illaallah Muhammad rasullullah
@salomeshongola16978 ай бұрын
Mimi ni katoliki,na katika wachungaji ninayemkubali Huyu ni namba mmoja.barikiwa sana.❤❤🎉🎉
@AsteriaBoay9 ай бұрын
Asante baba nabarikiwa na maneno Yako🙏🙏🙏
@starlonejadamskp82249 ай бұрын
Mchungaj We'll said Jah May bless you 🤝
@MrMachume9 ай бұрын
Upo sahihi 100% mtumishi Hananja. Tatizo la watumishi wengi wa leo wanafuata katiba (biblia) nusu nusu, roborobo, na wanajihesabia haki na kujiona wapo sawa wakati wapo kinyume na neno la MUNGU. Kila kukicha ni kutumbua kila kitu, hawataki Rehema, Turudi kwenye Rehema ili MUNGU awe na ushirika na sisi na kutuma hekima ya namna ya kuenenda.
@naomichristopher39419 ай бұрын
Mch , umenibariki sana kwa haya maneno mazuli kwa hawa watumishi wetu wa sasa .
@PatrickRichardlimo10 ай бұрын
Emwenyez mungu mlinde baba yetu hananja
@prosperkimaro46609 ай бұрын
Mungu akulinde uishi Mika mingi uendelee kutusaidia kuwapinga wale wanaoaribu maandiko matakatifu
@MwanaidMagasa9 ай бұрын
Sana nakupenda sana mzee una akili kweli kweli mungu akulinde na moto
Mungu nakuomba uzidi kumlinda mchngaji wetu hananja
@christermapunda5038 ай бұрын
10 Nao watauchukua uovu wao; uovu wa nabii utakuwa sawasawa na uovu wake yule amwendeaye aulize neno; Ezekieli 14:10 Asante mch Hananja.
@LeahKaboza-vb4ih10 ай бұрын
Leo mchungaji nimekuelewa asante
@NorbethJosphath-hm1zb10 ай бұрын
Wape makavu Asante baba
@ModestussMashallooh-vd7wx10 ай бұрын
Very true pastor
@pirminmatumizi54649 ай бұрын
Kaka yangu Hananja nakushauri anzisha Ministry, utatupata wengi sana. Tumeshoshwa na hawa so called watumishi wa Mungu "kanjanja" kwenye makanisa haya tuliyomo. Wanatupeleka pabaya.