Mbinu nne (4) za namna ya kufikiri

  Рет қаралды 93,280

Joel Nanauka

Joel Nanauka

Күн бұрын

Пікірлер: 305
@salimually2358
@salimually2358 3 жыл бұрын
We ni tofauti sana na watu wa kawaida nafikiri kazi unayoifanya ni wito unavyoelezea ni kama unalipwa na watu wote wanaokusikiliza .naamini kupato unachokipata hakiendani nasomo unalotoa
@rosemlawa7306
@rosemlawa7306 Жыл бұрын
Njia nzuri ni namba moja kutafuta suluhisho
@nehemiamminza4663
@nehemiamminza4663 Жыл бұрын
Asante kaka joel kwa somo lako zuri, kwa Mimi njia ambayo naweza nikaanza nayo ni kufikiri kufanikiwa na siyo kushindwa, Be blessed my mentor
@dottorobert
@dottorobert Жыл бұрын
Ahsante sana Brother joel nanauka, elim yaki ni ya moto sana
@victoriasarwat4736
@victoriasarwat4736 Жыл бұрын
haki Asante sana kwa mafundisho mazuri....Mungu azidi kukubariki
@Phoenix_Greenleaf
@Phoenix_Greenleaf 4 жыл бұрын
Bravo tanzania 🇹🇿 as a Country. The African community would have hired tanzanians speakers to heal the whole black nation.
@honorykwahhay4364
@honorykwahhay4364 4 жыл бұрын
Nitatumia njia ya kwanza kutafuta suluhisho na na njia ya pili kuangalia mambo ya mbele, future, thank you brother, unafundisha mambo makubwa sana, I wish masomo yako hayo yawekwe kwenye mitaala ya shule za Sekondari na Vyuo
@peterbayo4677
@peterbayo4677 4 жыл бұрын
Mawazo mazuri sana. Nakubali somo hili ni somo jema hata katika masuala ya kiroho. Katika kujenga uchumi na siasa inafanyika hivi bila shaka
@MjJohn-nj9nj
@MjJohn-nj9nj 10 ай бұрын
Ni kweli umenielezea Joel jinsi nilivyo kabisa
@mericktamba7981
@mericktamba7981 3 жыл бұрын
Niceeeeee brzaa🔥🔥🔥🔥🇹🇿🇹🇿
@salumurashidi8973
@salumurashidi8973 2 жыл бұрын
Great thinker Joel Nanauka ni bahati kwetu watanzania,, nitakapotimiza malengo yangu nitakutafuta nikuone
@whitnesskowero1129
@whitnesskowero1129 2 жыл бұрын
Asante kakaangu kwa somo zuri.... aiseee...
@dicksongadson2223
@dicksongadson2223 3 жыл бұрын
asante sana father yan kwa mimi apo future ndio naona inanitoa (low stage to hight stage)
@helenamusa432
@helenamusa432 3 жыл бұрын
Nanauka naseme2 Asante kwa hili mungu akulinde
@aishaahussein3915
@aishaahussein3915 4 жыл бұрын
nimejifunza kitu nitokewapo na tatizo cha mhim ni kutafuta suluhisho shukrani sana kwa somo hili
@bestroyaltv
@bestroyaltv Жыл бұрын
We ndugu, Mungu akupe kuishi ili kusaidia vizazi vingi mbele
@aidakapela9260
@aidakapela9260 2 жыл бұрын
Asante mungu akubarik
@shufaasarahan4389
@shufaasarahan4389 3 жыл бұрын
Napenda sana uwezo wako mungu akupe mapenzi
@lilianfidelis7559
@lilianfidelis7559 2 жыл бұрын
You are the best 👌 👌
@juliethfrank6626
@juliethfrank6626 4 жыл бұрын
Kaka Joel nimenunua notebook kwaajili yako,naandika kila unachofundisha napokea mnoo ubarikiwe sana kupitia wewe nitakua mtu mwingine siku cjazo, Mungu kuna vitu ameweka ndani yangu na wewe pia unaniongezea maarifa na kujitambua thanx bro ubarikiwe mnoo
@AlexJefwa
@AlexJefwa 19 күн бұрын
Asante xana bro Joel nimejifunza kitu 🙏
@josephmoses.989
@josephmoses.989 4 жыл бұрын
Uzuri na ubaya wa hivi vitu mm huwa nafikria huwa ni nature ya mtu na sio kujifunza kuishi katk hii motazamo, na ukianza kujifunza kuixhi kwny haya maisha utakua na kazi mbili yaani kutafuta kufanikiwa na kubadili tabia.
@ewaldkimbori3159
@ewaldkimbori3159 4 жыл бұрын
Ukishabadili tabia mafanikio yatakuja automatic
@josephmoses.989
@josephmoses.989 4 жыл бұрын
@@ewaldkimbori3159 kumbuka mkuu tabia ni kama kovu, haiwezi kufutika.
@khadijashabaninimba7890
@khadijashabaninimba7890 2 жыл бұрын
No 1 & 2 💯🤲🏻
@thearobart4248
@thearobart4248 3 жыл бұрын
Asante sana Joel hii njia ya nne ya kuongeza uwezo naanza nayo leo
@rollahngimbwa6978
@rollahngimbwa6978 Жыл бұрын
🙏🙏🙏 thanks br
@chrismassawe326
@chrismassawe326 3 жыл бұрын
Shukran Dr joel kwa hili somo
@KulwaHerman-tl9wo
@KulwaHerman-tl9wo Жыл бұрын
Njia ya nje ndo nzur zaidi katka maisha
@neemabayo3522
@neemabayo3522 4 жыл бұрын
Thank,,, bro you path away of my life ,, you became direct of my life thank god bless you.
@lucyseth7195
@lucyseth7195 2 жыл бұрын
Future 🙏🏻
@Bmtstudiostz
@Bmtstudiostz 4 жыл бұрын
Nnanauka be blessed nina ushuduhuda kutokana na inspiration zako
@joelnanauka
@joelnanauka 4 жыл бұрын
Ahsante sanaaa
@mgallason...5686
@mgallason...5686 4 жыл бұрын
Nimefarijika sana na Hili somo. Ubarikiwe sana.
@shukranjulius5910
@shukranjulius5910 3 жыл бұрын
Kaka barikiwa zaidi Mungu azidi kukupa maono
@samwelmollel602
@samwelmollel602 2 жыл бұрын
Amina nimejifunza kitu
@ENOCKPHILIPO
@ENOCKPHILIPO 6 ай бұрын
Aise, Kiongozi Mungu akubariki sana
@tamimmohd8980
@tamimmohd8980 3 жыл бұрын
thanks joel.nimefaidika sana
@michaelkarunda5120
@michaelkarunda5120 4 жыл бұрын
Ubarkiwe sana kwa Elim my bro
@liswakilulu
@liswakilulu 7 ай бұрын
Think for future ni njia nzr
@jeyone4075
@jeyone4075 4 жыл бұрын
Mwalimu Joel...tangia nikufahamu nimefatilia mafundisho yako mengi sana but nadhan video hii ya kuifundisha injini yangu ya ubongo namna bora ya kufikiri ndio video pekee nlokuwa naimiss kwenye maisha yangu bila kujijua....nashukuru leo nimekutana nayo naam umenibadil braza....ahsante sana na ubarikiwe mnoo
@jacobnduya798
@jacobnduya798 3 жыл бұрын
Asante sans. Mimi napenda kutumia abundannce theory
@PHILOSOPHY1890
@PHILOSOPHY1890 Жыл бұрын
Hakika hizi ni hisia ambazo zinafubaza maumivu kama utafikiria sana kuhusu maumivu fikra zako hazitavuka mpaka🔨perfect
@flavianruga2224
@flavianruga2224 2 жыл бұрын
Hiyo mbinu ya kutafuta SULUHISHO imeshanifanyia wonders.Asante kwa masomo mazuri.
@furahakimaro3932
@furahakimaro3932 2 жыл бұрын
Brother Joel Nanauka tuseme tu ukweli Mungu amekubariki sana na maarifa
@swabriissa2034
@swabriissa2034 4 жыл бұрын
Nimekusoma vizuri brother nanauka yote uliyosema nikweli ahsante kwa kuifungua upya akil yangu mola akubarik sana brother
@precioustinah3741
@precioustinah3741 2 жыл бұрын
nambaa 2 and 3🔥🔥🔥
@inviolataluena8713
@inviolataluena8713 2 жыл бұрын
Joel umejaliwa nakufuatilia sana
@comrademlewaisavile336
@comrademlewaisavile336 4 жыл бұрын
Mbinu namba 2 yaa imenigusa ngoja niongeze sipidi pamoja na ya 4.coz nataman siku moja namie niache alama katka jamii nayoishi na kuenziwa katka taifa langu kama mtyu niliyethubutu.mr Joel nakuombea kwa mmungu afya njema amiin👏👏
@jayotv2024
@jayotv2024 4 жыл бұрын
Nanauka unahobgeya kweli
@BarasaBonny
@BarasaBonny 2 ай бұрын
Nashukuru sana kwa mafundisho yako inazidi kunibadilisha siku baada ya ingine
@nasraomary9430
@nasraomary9430 4 жыл бұрын
Thanks sir Joel, for me I think future it start
@gervasrevocatus3575
@gervasrevocatus3575 3 жыл бұрын
Suluhisho my brother 🙏
@deboramagesa5124
@deboramagesa5124 3 жыл бұрын
Asante sana kaka joel umeniongezea nguvu
@joelsalehe6051
@joelsalehe6051 4 жыл бұрын
Suluhu na future iko safi
@rashidabdallah6930
@rashidabdallah6930 3 жыл бұрын
Very pyscholigist and intelligence person god bless you
@asyaasya3766
@asyaasya3766 4 жыл бұрын
Nimejifunza kitu kikubwa Sana,, asant mpendwa barikiwa Sana
@thrivehappy9610
@thrivehappy9610 2 жыл бұрын
Thank you so much for motivation! Nilikua ni mtu wa kukata tamaa sana Ila kupitia nyinyi waalimu wema mungu atuongoze zaidi
@adelambeikya8363
@adelambeikya8363 4 жыл бұрын
Asante Kwa topic
@phido047
@phido047 Жыл бұрын
Naona kama hiiii hali ninayo bas nitatoboa tuu❤
@emmasobibo3268
@emmasobibo3268 3 жыл бұрын
You are the best bro
@rosemuhazi9542
@rosemuhazi9542 4 жыл бұрын
Kufikiria the future
@manenolugendo6396
@manenolugendo6396 4 жыл бұрын
Ujumbe mzuri sana
@jackmahuni2709
@jackmahuni2709 4 жыл бұрын
Nashukuru sana kwahilo maana najiona mshindi mkubwa katika swala lakufanikiwa nakufikisha malengo yangu mbele kabisa.
@ramadhan7088
@ramadhan7088 4 жыл бұрын
Always Great content Sir Joel 🔥. Kama watu waliofanikiwa wanafikiri kwa namna zote nne hizi basi na sina budi kuaambatana nazo zote bila kuchagua, no choices kwenye mafanikio & you can't skip the process. Njia moja am proud of nikwamba sijawahi kuwaza kufell Jambo lolote always. Sir Joel Nanauka is a gift to us Tanzanians and all swahili community. There are few PEOPLE like you My Brother. Finance📊📊
@JOHNKAJERI
@JOHNKAJERI 7 ай бұрын
Asante braza kwa masomo mazuri napenda unavyochambua mamba nahitaji kuwa na uwezo kama huo nipe njia za kupita
@bhabdiiswahili7941
@bhabdiiswahili7941 4 жыл бұрын
Njiya ya pili naitumiya sana. Ila leo umenipa nya nyengine asante
@joelnanauka
@joelnanauka 4 жыл бұрын
Safiii
@abditech14
@abditech14 3 жыл бұрын
Asante kwa elimu kubwa sana
@marcopeter4091
@marcopeter4091 2 жыл бұрын
Shukran Mwalimu
@johnmangaga4949
@johnmangaga4949 2 жыл бұрын
Asante sana broo!;
@BarackaNchimbi-vk6in
@BarackaNchimbi-vk6in Жыл бұрын
Miml ntatumia njia ya namna ya kutatua taiz asant san broo kwa mafundish mazur
@onesmosanga8408
@onesmosanga8408 4 жыл бұрын
Tuko pamoja sana mwalim joel me njia ya pili 'Future' ndo naiamin na ndo naitumia
@joelnanauka
@joelnanauka 4 жыл бұрын
Safi Onesmo
@soniimedia2440
@soniimedia2440 4 жыл бұрын
Subscribe kwangu na mm nitafanya hivyo kwako Ahsante 🔥🔥🔥👉🔥
@joramjaphet3060
@joramjaphet3060 4 жыл бұрын
Sitaruhusu yaliyopta yaamue hatima yang. Thx bro
@joelnanauka
@joelnanauka 4 жыл бұрын
Kabisa usiruhusu
@mairarajabu7394
@mairarajabu7394 3 жыл бұрын
Thanks brother be blessed
@harunmwazembe9980
@harunmwazembe9980 4 жыл бұрын
Asanteh sana kwa somo zuri kaka Nanauka,, naomba kujua hicho ni kitabu gani
@joelnanauka
@joelnanauka 4 жыл бұрын
Wasiliana na Timiza Malengo Bookshop utakipata 0756-094875
@franknachimbinya7688
@franknachimbinya7688 4 жыл бұрын
Thanx always natumiaga mamba 1 but Leo umeniongezea maarifa ahsant
@hamzaabeli2590
@hamzaabeli2590 3 жыл бұрын
Kwann mku unafanya kazi Alf mafanikio yanakua ayaendan upati ela
@evalinemsengi1962
@evalinemsengi1962 4 жыл бұрын
Asante kwa SoMo hili limenisogeza kimtazamo mwingine kwa kufikiri 1
@letionnews310
@letionnews310 3 жыл бұрын
Thanks again
@monicagabriel4388
@monicagabriel4388 4 жыл бұрын
Solution is the Best way i liked
@jacquelineernest7853
@jacquelineernest7853 4 жыл бұрын
Njia ninayotumia ni future
@irinapardon4230
@irinapardon4230 4 жыл бұрын
Asante
@dicksonkalebo5236
@dicksonkalebo5236 2 жыл бұрын
Kaka nashukuru sana naona naona yote yananihusu af mimi ni mwanafunzi but kutokana na hili naamini kabisa nitabadilika
@194summer
@194summer Жыл бұрын
Thankyou so much
@vonotto
@vonotto 4 жыл бұрын
Njia ya kwanza ni kutafuta solution, thanks bro you made my day
@soniimedia2440
@soniimedia2440 4 жыл бұрын
Subscribe kwangu na mm nitafanya hivyo kwako Ahsante 🔥🔥🔥👉🔥🙏
@KulwaHerman-tl9wo
@KulwaHerman-tl9wo Жыл бұрын
Good kabsa
@hepinafiapeter6772
@hepinafiapeter6772 4 жыл бұрын
Suluhisho hii njia itanisaidia sana
@khamismkubwa1969
@khamismkubwa1969 4 жыл бұрын
Mzur sana broo kwa mada hii
@michaelramadhan9466
@michaelramadhan9466 4 жыл бұрын
Asante kwa SOMO:-
@kassimumsoma5279
@kassimumsoma5279 4 жыл бұрын
Hello, Mr Joel kwa mimi naona hiyo ya kutafuta solution ni njia bora ya kunitowa hapa nilipo Maana kadiri ntakapo sulihisha jambo, ndivyo ntakavyo panda juu, naamini Hilo kwahy njia pekee ya kutumia ni kutafuta shida na kuzitatuwa, Asant kaka Joel 🙏🙏
@joelnanauka
@joelnanauka 4 жыл бұрын
Ni kweli Kabisa Kasim🙏
@helenamusa432
@helenamusa432 3 жыл бұрын
njia ya kwanza ni😍
@irenefransis9612
@irenefransis9612 4 жыл бұрын
Nimejifunza kitu. Be blessed 🙏🙏
@yusuphmsafiri36
@yusuphmsafiri36 4 жыл бұрын
Joel kweli unaweza
@leahKomaji
@leahKomaji 4 ай бұрын
Ur the best
@meshackmmary3117
@meshackmmary3117 4 жыл бұрын
Hii nmeilewa sanaaa na kuacha kujilaumu na kuheshimu na kukitumia vzuri ili kilete matokeo makubwa
@joelnanauka
@joelnanauka 4 жыл бұрын
Kabisa hakuna kujilaumu
@omarmohammed5157
@omarmohammed5157 9 ай бұрын
Congratulations brother
@stephanomulokozi
@stephanomulokozi Жыл бұрын
Kweli mafundisho ni mazuri Sana na yamekuwa msaada kwangu na kwa wengine ambao nimewafundisha na kuwaelekeza wapi nayapata pia niseme ukweli Mimi nimeyatumia Mara nyingi kila mara
@roserushehela7045
@roserushehela7045 3 жыл бұрын
"Kuongeza uwezo wao" n njia sahh kwangu zaid
@christmoremillinga5295
@christmoremillinga5295 4 жыл бұрын
Ahsante kwa maarifa
@majiramoja2162
@majiramoja2162 3 жыл бұрын
Asante bro naanza na ni 1 solution
@juliusntandu4302
@juliusntandu4302 Жыл бұрын
Asante sana
@georgemahunda3818
@georgemahunda3818 4 жыл бұрын
Somo zuri sana kaka,nashukuru
@jamesibrahim8849
@jamesibrahim8849 4 жыл бұрын
Kufikiri kuhusiana na suruhisho, kufikiri kuhusiana na kesho yangu.
ZIJUE POINT ZA UFAULU NA VIWANGO VYA KUJIUNGA NA CHUO KIKUU
43:03
INFORMATIVE TV
Рет қаралды 18 М.
«Жат бауыр» телехикаясы І 30 - бөлім | Соңғы бөлім
52:59
Qazaqstan TV / Қазақстан Ұлттық Арнасы
Рет қаралды 340 М.
Vampire SUCKS Human Energy 🧛🏻‍♂️🪫 (ft. @StevenHe )
0:34
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 138 МЛН
요즘유행 찍는법
0:34
오마이비키 OMV
Рет қаралды 12 МЛН
Какой я клей? | CLEX #shorts
0:59
CLEX
Рет қаралды 1,9 МЛН
LIFE WISDOM:MBINU 3 ZA KUPATA UNACHOTAKA - JOEL NANAUKA
11:14
Joel Nanauka
Рет қаралды 36 М.
Mambo ambayo hutakiwi kabisa kumwambia Boss wako
9:41
Joel Nanauka
Рет қаралды 69 М.
MAMBO YA KUEPUKA ASUBUHI - JOEL NANAUKA
6:35
Joel Nanauka
Рет қаралды 123 М.
LIFE WISDOM : FANYA MABADILIKO HAYA UFANIKIWE - JOEL NANAUKA
14:40
Joel Nanauka
Рет қаралды 30 М.
Ufanye nini watu wa kupende zaidi?
9:09
Joel Nanauka
Рет қаралды 138 М.
Siri 4 Za Kuvutia Watu Muhimu Kwenye Maisha Yako.
9:48
Joel Nanauka
Рет қаралды 168 М.
NATAMANI NINGEYAJUA HAYA 03 KABLA YA MIAKA 20 || JOEL NANAUKA
18:36
NGUZO YA MAARIFA
Рет қаралды 41 М.
«Жат бауыр» телехикаясы І 30 - бөлім | Соңғы бөлім
52:59
Qazaqstan TV / Қазақстан Ұлттық Арнасы
Рет қаралды 340 М.