We ni tofauti sana na watu wa kawaida nafikiri kazi unayoifanya ni wito unavyoelezea ni kama unalipwa na watu wote wanaokusikiliza .naamini kupato unachokipata hakiendani nasomo unalotoa
@rosemlawa7306 Жыл бұрын
Njia nzuri ni namba moja kutafuta suluhisho
@nehemiamminza4663 Жыл бұрын
Asante kaka joel kwa somo lako zuri, kwa Mimi njia ambayo naweza nikaanza nayo ni kufikiri kufanikiwa na siyo kushindwa, Be blessed my mentor
@dottorobert Жыл бұрын
Ahsante sana Brother joel nanauka, elim yaki ni ya moto sana
@victoriasarwat4736 Жыл бұрын
haki Asante sana kwa mafundisho mazuri....Mungu azidi kukubariki
@Phoenix_Greenleaf4 жыл бұрын
Bravo tanzania 🇹🇿 as a Country. The African community would have hired tanzanians speakers to heal the whole black nation.
@honorykwahhay43644 жыл бұрын
Nitatumia njia ya kwanza kutafuta suluhisho na na njia ya pili kuangalia mambo ya mbele, future, thank you brother, unafundisha mambo makubwa sana, I wish masomo yako hayo yawekwe kwenye mitaala ya shule za Sekondari na Vyuo
@peterbayo46774 жыл бұрын
Mawazo mazuri sana. Nakubali somo hili ni somo jema hata katika masuala ya kiroho. Katika kujenga uchumi na siasa inafanyika hivi bila shaka
@MjJohn-nj9nj10 ай бұрын
Ni kweli umenielezea Joel jinsi nilivyo kabisa
@mericktamba79813 жыл бұрын
Niceeeeee brzaa🔥🔥🔥🔥🇹🇿🇹🇿
@salumurashidi89732 жыл бұрын
Great thinker Joel Nanauka ni bahati kwetu watanzania,, nitakapotimiza malengo yangu nitakutafuta nikuone
@whitnesskowero11292 жыл бұрын
Asante kakaangu kwa somo zuri.... aiseee...
@dicksongadson22233 жыл бұрын
asante sana father yan kwa mimi apo future ndio naona inanitoa (low stage to hight stage)
@helenamusa4323 жыл бұрын
Nanauka naseme2 Asante kwa hili mungu akulinde
@aishaahussein39154 жыл бұрын
nimejifunza kitu nitokewapo na tatizo cha mhim ni kutafuta suluhisho shukrani sana kwa somo hili
@bestroyaltv Жыл бұрын
We ndugu, Mungu akupe kuishi ili kusaidia vizazi vingi mbele
@aidakapela92602 жыл бұрын
Asante mungu akubarik
@shufaasarahan43893 жыл бұрын
Napenda sana uwezo wako mungu akupe mapenzi
@lilianfidelis75592 жыл бұрын
You are the best 👌 👌
@juliethfrank66264 жыл бұрын
Kaka Joel nimenunua notebook kwaajili yako,naandika kila unachofundisha napokea mnoo ubarikiwe sana kupitia wewe nitakua mtu mwingine siku cjazo, Mungu kuna vitu ameweka ndani yangu na wewe pia unaniongezea maarifa na kujitambua thanx bro ubarikiwe mnoo
@AlexJefwa19 күн бұрын
Asante xana bro Joel nimejifunza kitu 🙏
@josephmoses.9894 жыл бұрын
Uzuri na ubaya wa hivi vitu mm huwa nafikria huwa ni nature ya mtu na sio kujifunza kuishi katk hii motazamo, na ukianza kujifunza kuixhi kwny haya maisha utakua na kazi mbili yaani kutafuta kufanikiwa na kubadili tabia.
@ewaldkimbori31594 жыл бұрын
Ukishabadili tabia mafanikio yatakuja automatic
@josephmoses.9894 жыл бұрын
@@ewaldkimbori3159 kumbuka mkuu tabia ni kama kovu, haiwezi kufutika.
@khadijashabaninimba78902 жыл бұрын
No 1 & 2 💯🤲🏻
@thearobart42483 жыл бұрын
Asante sana Joel hii njia ya nne ya kuongeza uwezo naanza nayo leo
@rollahngimbwa6978 Жыл бұрын
🙏🙏🙏 thanks br
@chrismassawe3263 жыл бұрын
Shukran Dr joel kwa hili somo
@KulwaHerman-tl9wo Жыл бұрын
Njia ya nje ndo nzur zaidi katka maisha
@neemabayo35224 жыл бұрын
Thank,,, bro you path away of my life ,, you became direct of my life thank god bless you.
@lucyseth71952 жыл бұрын
Future 🙏🏻
@Bmtstudiostz4 жыл бұрын
Nnanauka be blessed nina ushuduhuda kutokana na inspiration zako
@joelnanauka4 жыл бұрын
Ahsante sanaaa
@mgallason...56864 жыл бұрын
Nimefarijika sana na Hili somo. Ubarikiwe sana.
@shukranjulius59103 жыл бұрын
Kaka barikiwa zaidi Mungu azidi kukupa maono
@samwelmollel6022 жыл бұрын
Amina nimejifunza kitu
@ENOCKPHILIPO6 ай бұрын
Aise, Kiongozi Mungu akubariki sana
@tamimmohd89803 жыл бұрын
thanks joel.nimefaidika sana
@michaelkarunda51204 жыл бұрын
Ubarkiwe sana kwa Elim my bro
@liswakilulu7 ай бұрын
Think for future ni njia nzr
@jeyone40754 жыл бұрын
Mwalimu Joel...tangia nikufahamu nimefatilia mafundisho yako mengi sana but nadhan video hii ya kuifundisha injini yangu ya ubongo namna bora ya kufikiri ndio video pekee nlokuwa naimiss kwenye maisha yangu bila kujijua....nashukuru leo nimekutana nayo naam umenibadil braza....ahsante sana na ubarikiwe mnoo
@jacobnduya7983 жыл бұрын
Asante sans. Mimi napenda kutumia abundannce theory
@PHILOSOPHY1890 Жыл бұрын
Hakika hizi ni hisia ambazo zinafubaza maumivu kama utafikiria sana kuhusu maumivu fikra zako hazitavuka mpaka🔨perfect
@flavianruga22242 жыл бұрын
Hiyo mbinu ya kutafuta SULUHISHO imeshanifanyia wonders.Asante kwa masomo mazuri.
@furahakimaro39322 жыл бұрын
Brother Joel Nanauka tuseme tu ukweli Mungu amekubariki sana na maarifa
@swabriissa20344 жыл бұрын
Nimekusoma vizuri brother nanauka yote uliyosema nikweli ahsante kwa kuifungua upya akil yangu mola akubarik sana brother
@precioustinah37412 жыл бұрын
nambaa 2 and 3🔥🔥🔥
@inviolataluena87132 жыл бұрын
Joel umejaliwa nakufuatilia sana
@comrademlewaisavile3364 жыл бұрын
Mbinu namba 2 yaa imenigusa ngoja niongeze sipidi pamoja na ya 4.coz nataman siku moja namie niache alama katka jamii nayoishi na kuenziwa katka taifa langu kama mtyu niliyethubutu.mr Joel nakuombea kwa mmungu afya njema amiin👏👏
@jayotv20244 жыл бұрын
Nanauka unahobgeya kweli
@BarasaBonny2 ай бұрын
Nashukuru sana kwa mafundisho yako inazidi kunibadilisha siku baada ya ingine
@nasraomary94304 жыл бұрын
Thanks sir Joel, for me I think future it start
@gervasrevocatus35753 жыл бұрын
Suluhisho my brother 🙏
@deboramagesa51243 жыл бұрын
Asante sana kaka joel umeniongezea nguvu
@joelsalehe60514 жыл бұрын
Suluhu na future iko safi
@rashidabdallah69303 жыл бұрын
Very pyscholigist and intelligence person god bless you
@asyaasya37664 жыл бұрын
Nimejifunza kitu kikubwa Sana,, asant mpendwa barikiwa Sana
@thrivehappy96102 жыл бұрын
Thank you so much for motivation! Nilikua ni mtu wa kukata tamaa sana Ila kupitia nyinyi waalimu wema mungu atuongoze zaidi
@adelambeikya83634 жыл бұрын
Asante Kwa topic
@phido047 Жыл бұрын
Naona kama hiiii hali ninayo bas nitatoboa tuu❤
@emmasobibo32683 жыл бұрын
You are the best bro
@rosemuhazi95424 жыл бұрын
Kufikiria the future
@manenolugendo63964 жыл бұрын
Ujumbe mzuri sana
@jackmahuni27094 жыл бұрын
Nashukuru sana kwahilo maana najiona mshindi mkubwa katika swala lakufanikiwa nakufikisha malengo yangu mbele kabisa.
@ramadhan70884 жыл бұрын
Always Great content Sir Joel 🔥. Kama watu waliofanikiwa wanafikiri kwa namna zote nne hizi basi na sina budi kuaambatana nazo zote bila kuchagua, no choices kwenye mafanikio & you can't skip the process. Njia moja am proud of nikwamba sijawahi kuwaza kufell Jambo lolote always. Sir Joel Nanauka is a gift to us Tanzanians and all swahili community. There are few PEOPLE like you My Brother. Finance📊📊
@JOHNKAJERI7 ай бұрын
Asante braza kwa masomo mazuri napenda unavyochambua mamba nahitaji kuwa na uwezo kama huo nipe njia za kupita
@bhabdiiswahili79414 жыл бұрын
Njiya ya pili naitumiya sana. Ila leo umenipa nya nyengine asante
@joelnanauka4 жыл бұрын
Safiii
@abditech143 жыл бұрын
Asante kwa elimu kubwa sana
@marcopeter40912 жыл бұрын
Shukran Mwalimu
@johnmangaga49492 жыл бұрын
Asante sana broo!;
@BarackaNchimbi-vk6in Жыл бұрын
Miml ntatumia njia ya namna ya kutatua taiz asant san broo kwa mafundish mazur
@onesmosanga84084 жыл бұрын
Tuko pamoja sana mwalim joel me njia ya pili 'Future' ndo naiamin na ndo naitumia
@joelnanauka4 жыл бұрын
Safi Onesmo
@soniimedia24404 жыл бұрын
Subscribe kwangu na mm nitafanya hivyo kwako Ahsante 🔥🔥🔥👉🔥
@joramjaphet30604 жыл бұрын
Sitaruhusu yaliyopta yaamue hatima yang. Thx bro
@joelnanauka4 жыл бұрын
Kabisa usiruhusu
@mairarajabu73943 жыл бұрын
Thanks brother be blessed
@harunmwazembe99804 жыл бұрын
Asanteh sana kwa somo zuri kaka Nanauka,, naomba kujua hicho ni kitabu gani
@joelnanauka4 жыл бұрын
Wasiliana na Timiza Malengo Bookshop utakipata 0756-094875
@franknachimbinya76884 жыл бұрын
Thanx always natumiaga mamba 1 but Leo umeniongezea maarifa ahsant
@hamzaabeli25903 жыл бұрын
Kwann mku unafanya kazi Alf mafanikio yanakua ayaendan upati ela
@evalinemsengi19624 жыл бұрын
Asante kwa SoMo hili limenisogeza kimtazamo mwingine kwa kufikiri 1
@letionnews3103 жыл бұрын
Thanks again
@monicagabriel43884 жыл бұрын
Solution is the Best way i liked
@jacquelineernest78534 жыл бұрын
Njia ninayotumia ni future
@irinapardon42304 жыл бұрын
Asante
@dicksonkalebo52362 жыл бұрын
Kaka nashukuru sana naona naona yote yananihusu af mimi ni mwanafunzi but kutokana na hili naamini kabisa nitabadilika
@194summer Жыл бұрын
Thankyou so much
@vonotto4 жыл бұрын
Njia ya kwanza ni kutafuta solution, thanks bro you made my day
@soniimedia24404 жыл бұрын
Subscribe kwangu na mm nitafanya hivyo kwako Ahsante 🔥🔥🔥👉🔥🙏
@KulwaHerman-tl9wo Жыл бұрын
Good kabsa
@hepinafiapeter67724 жыл бұрын
Suluhisho hii njia itanisaidia sana
@khamismkubwa19694 жыл бұрын
Mzur sana broo kwa mada hii
@michaelramadhan94664 жыл бұрын
Asante kwa SOMO:-
@kassimumsoma52794 жыл бұрын
Hello, Mr Joel kwa mimi naona hiyo ya kutafuta solution ni njia bora ya kunitowa hapa nilipo Maana kadiri ntakapo sulihisha jambo, ndivyo ntakavyo panda juu, naamini Hilo kwahy njia pekee ya kutumia ni kutafuta shida na kuzitatuwa, Asant kaka Joel 🙏🙏
@joelnanauka4 жыл бұрын
Ni kweli Kabisa Kasim🙏
@helenamusa4323 жыл бұрын
njia ya kwanza ni😍
@irenefransis96124 жыл бұрын
Nimejifunza kitu. Be blessed 🙏🙏
@yusuphmsafiri364 жыл бұрын
Joel kweli unaweza
@leahKomaji4 ай бұрын
Ur the best
@meshackmmary31174 жыл бұрын
Hii nmeilewa sanaaa na kuacha kujilaumu na kuheshimu na kukitumia vzuri ili kilete matokeo makubwa
@joelnanauka4 жыл бұрын
Kabisa hakuna kujilaumu
@omarmohammed51579 ай бұрын
Congratulations brother
@stephanomulokozi Жыл бұрын
Kweli mafundisho ni mazuri Sana na yamekuwa msaada kwangu na kwa wengine ambao nimewafundisha na kuwaelekeza wapi nayapata pia niseme ukweli Mimi nimeyatumia Mara nyingi kila mara
@roserushehela70453 жыл бұрын
"Kuongeza uwezo wao" n njia sahh kwangu zaid
@christmoremillinga52954 жыл бұрын
Ahsante kwa maarifa
@majiramoja21623 жыл бұрын
Asante bro naanza na ni 1 solution
@juliusntandu4302 Жыл бұрын
Asante sana
@georgemahunda38184 жыл бұрын
Somo zuri sana kaka,nashukuru
@jamesibrahim88494 жыл бұрын
Kufikiri kuhusiana na suruhisho, kufikiri kuhusiana na kesho yangu.