MBONA MUNAFUATA MWEZI WA SAUDIA TU? - Sheikh Salim Barahiyan

  Рет қаралды 1,306

IHSAAN TV

IHSAAN TV

Күн бұрын

Пікірлер: 20
@MaulidHimidi
@MaulidHimidi 6 ай бұрын
Mtume amesema fungeni Kwa kuona sio watu wafalaki wamesema basi hakuna haha ya kuangalia mwenzi tuwasikilize watu wa falaki
@GSaleh-xr3vn
@GSaleh-xr3vn 6 ай бұрын
Je mtume,maswahaba,wanazuoni na waislam wa kabla ya mwak 1986 waliwezaje kufuat mwezi wa kimataif?
@salumngakonda2182
@salumngakonda2182 6 ай бұрын
Nyinyi hamueleweki
@hilalkhalfan1452
@hilalkhalfan1452 6 ай бұрын
Muongo BARAHIANI, hukuwahi kufunga isipokuwa na saudia
@JumaPandu-d3l
@JumaPandu-d3l 6 ай бұрын
Mwezi ni mmoja just ni moja kwanini kukiwa na kasoro kama hizo msifate
@BilalAbubakar-uf1qp
@BilalAbubakar-uf1qp 6 ай бұрын
Achana n yemen n iraq tunataka jibu kwa nn hamkufungua wakati mwezi umeonekana mali n nigeria au nyie kimataifa mnafuata nchi za kiarabu tu ukiandama afrika sio kimataifa em kuwa muwazi ucpindishe maneno bana
@shamsuddin4582
@shamsuddin4582 6 ай бұрын
Umemsikiliza mwanzo mpaka mwisho?
@eshrash2353
@eshrash2353 6 ай бұрын
Naona hapa hakuna ukweli. Hata wakati wa kuingia mwezi wa Ramadhan watu wa Falak walisema mwezi hauwezi onekana Saudia. Lakini ajabu walitangaza kuonekana na hawa jamaa wakafuata.
@xxl5239
@xxl5239 6 ай бұрын
Haswaaaaaaaa❤❤❤❤❤ Unafiki wao umefika kikomo, hana haya huyu wala aibu, na isitoshe sio mara moja wala mbili wala tatu watu wa Falaki wamesema kuwepo Istihala ya kuonekana, ila Saudia wanatangaza na hawa vibushuti vibwengo wanafunga au kufunguwa, wala hawasemi hatufati Saudia kwasababu kuna istihala ya kuonekana mwezi kwa mujibu wa Ulamaa wa Falaki. HUYU USO USHAYOLEWA HAYA.
@shamsuddin4582
@shamsuddin4582 6 ай бұрын
Akhi naomba jina la clip inayodhihirisha kuwa wanachuoni wa falak walisema Saudia mwezi usingeweza kuonekana wakati wa mwanzo wa kufunga
@xxl5239
@xxl5239 6 ай бұрын
@@shamsuddin4582 Je umeomba clip ya Wanazuoni wa Falaki waliosema kwamba hakuna uwezekano wa kuandama ili tuukadhibishe mwandamo wa Niger 🇳🇪? Au unataka ya upande wa pili tu wakati huko umetosheka bila ya kuwepo hiyo clip ambayo sasa unataka kuifanya kuwa ndio dalili?
@xxl5239
@xxl5239 6 ай бұрын
@@shamsuddin4582 kzbin.info/www/bejne/h3jden2wjt6MgK8si=gRsx82QGkxZ4F5LY
@JumaPandu-d3l
@JumaPandu-d3l 6 ай бұрын
Salim hataki kusema kweli hawa wanafata Soudia na hana cho chose vha kutuambia hawa ni Pro Saudia vinginevo ni uongo na ni Unafiki. Je kama mwezi utapatwa Saudia au po pote isiwe Africa jee Mtasali Sala ya kupatwa kwa mwezi?
@saidmuhd611
@saidmuhd611 6 ай бұрын
Nimejitahidi kusikiliza sana kujua sababu ya kwa nini Hawakufuata mali ila sijapata chochote, mwezi umeonekana mali hawajafuata wanafuata wanazuoni wa falak😂😂😂
@MB-yq3ty
@MB-yq3ty 6 ай бұрын
BARAHIYAN NAKO UNAOGOPA NINI SEMA NDIO TUNAFUATA SAUDIA SHIDA NINI WAO WAPO MAKINI KWENYE JAMBO LA MWEZI . Pia Tanzania bara mwezi haukuonekana ilikuwaje BAKWATA hamkukamilisha 30
@AbdulkarimShosi
@AbdulkarimShosi 6 ай бұрын
Hawa jamaa hawana ukweli wowote Hawa ni watu wakuleta farakano wa umma wa kiislamu kwenye nchi moja kwaadai ya kufuata Sunna za mtume s.a.w na kumsingizia mtume urongo fungeni kwa kuona mwezi nafungueni kwa kuona wala hakuna hadithi iliyo kuja inayosema fungeni kwa mwezi wa arabuni kama ipo tuleteee
@MB-yq3ty
@MB-yq3ty 6 ай бұрын
@@AbdulkarimShosi Hakuna Uarabu wala Uafrika kwenye suala la dini Jiulize wewe uliposikia kwamba fungeni kwa kuonekana mwezi na fungueni kwa kuonekana eneo hilo lilikuwa linazungumziwa Nchi moja kwa maana ya mipaka ya kikoloni au?.
@abdulimapande4265
@abdulimapande4265 6 ай бұрын
Huna maajabu yoyote wewe ni mpotoshaji tu
NJAA MBAYA ZITATUMALIZA
2:45
IQRAAMA Online Tv
Рет қаралды 453
MY HEIGHT vs MrBEAST CREW 🙈📏
00:22
Celine Dept
Рет қаралды 46 МЛН
Бенчик, пора купаться! 🛁 #бенчик #арти #симбочка
00:34
Симбочка Пимпочка
Рет қаралды 3,2 МЛН
Когда отец одевает ребёнка @JaySharon
00:16
История одного вокалиста
Рет қаралды 14 МЛН
Chanzo cha Madhehebu katika Uislamu - Sheikh Salim Barahiyan
14:33
KWANINI TUNAJENGA MASHULE? | Sheikh Salim Barahiyan
1:02:48
IHSAAN TV
Рет қаралды 452
🔴 Exclusive Bayan at Birmingham by Molana Tariq Jamil | 22 Feb 2023
2:42:17
DHAMBI YA KUILIANA KINYUME NA MAUMBILE#MADHAMBI MAKUBWA 70
36:51
sheikh Ismail Habibu Makisanya
Рет қаралды 65
Kwanini Waislamu hatufungi na kufungua pamoja ? | Sheikh Salim Barahiyan
6:56
Sheikh Salim Barahiyan
Рет қаралды 4,4 М.
UHARAMU WA NYIMBO NA MUZIKI. SHEIKH KISHK.
56:18
Kishki Online TV
Рет қаралды 34 М.