Mtume amesema fungeni Kwa kuona sio watu wafalaki wamesema basi hakuna haha ya kuangalia mwenzi tuwasikilize watu wa falaki
@GSaleh-xr3vn6 ай бұрын
Je mtume,maswahaba,wanazuoni na waislam wa kabla ya mwak 1986 waliwezaje kufuat mwezi wa kimataif?
@salumngakonda21826 ай бұрын
Nyinyi hamueleweki
@hilalkhalfan14526 ай бұрын
Muongo BARAHIANI, hukuwahi kufunga isipokuwa na saudia
@JumaPandu-d3l6 ай бұрын
Mwezi ni mmoja just ni moja kwanini kukiwa na kasoro kama hizo msifate
@BilalAbubakar-uf1qp6 ай бұрын
Achana n yemen n iraq tunataka jibu kwa nn hamkufungua wakati mwezi umeonekana mali n nigeria au nyie kimataifa mnafuata nchi za kiarabu tu ukiandama afrika sio kimataifa em kuwa muwazi ucpindishe maneno bana
@shamsuddin45826 ай бұрын
Umemsikiliza mwanzo mpaka mwisho?
@eshrash23536 ай бұрын
Naona hapa hakuna ukweli. Hata wakati wa kuingia mwezi wa Ramadhan watu wa Falak walisema mwezi hauwezi onekana Saudia. Lakini ajabu walitangaza kuonekana na hawa jamaa wakafuata.
@xxl52396 ай бұрын
Haswaaaaaaaa❤❤❤❤❤ Unafiki wao umefika kikomo, hana haya huyu wala aibu, na isitoshe sio mara moja wala mbili wala tatu watu wa Falaki wamesema kuwepo Istihala ya kuonekana, ila Saudia wanatangaza na hawa vibushuti vibwengo wanafunga au kufunguwa, wala hawasemi hatufati Saudia kwasababu kuna istihala ya kuonekana mwezi kwa mujibu wa Ulamaa wa Falaki. HUYU USO USHAYOLEWA HAYA.
@shamsuddin45826 ай бұрын
Akhi naomba jina la clip inayodhihirisha kuwa wanachuoni wa falak walisema Saudia mwezi usingeweza kuonekana wakati wa mwanzo wa kufunga
@xxl52396 ай бұрын
@@shamsuddin4582 Je umeomba clip ya Wanazuoni wa Falaki waliosema kwamba hakuna uwezekano wa kuandama ili tuukadhibishe mwandamo wa Niger 🇳🇪? Au unataka ya upande wa pili tu wakati huko umetosheka bila ya kuwepo hiyo clip ambayo sasa unataka kuifanya kuwa ndio dalili?
Salim hataki kusema kweli hawa wanafata Soudia na hana cho chose vha kutuambia hawa ni Pro Saudia vinginevo ni uongo na ni Unafiki. Je kama mwezi utapatwa Saudia au po pote isiwe Africa jee Mtasali Sala ya kupatwa kwa mwezi?
@saidmuhd6116 ай бұрын
Nimejitahidi kusikiliza sana kujua sababu ya kwa nini Hawakufuata mali ila sijapata chochote, mwezi umeonekana mali hawajafuata wanafuata wanazuoni wa falak😂😂😂
@MB-yq3ty6 ай бұрын
BARAHIYAN NAKO UNAOGOPA NINI SEMA NDIO TUNAFUATA SAUDIA SHIDA NINI WAO WAPO MAKINI KWENYE JAMBO LA MWEZI . Pia Tanzania bara mwezi haukuonekana ilikuwaje BAKWATA hamkukamilisha 30
@AbdulkarimShosi6 ай бұрын
Hawa jamaa hawana ukweli wowote Hawa ni watu wakuleta farakano wa umma wa kiislamu kwenye nchi moja kwaadai ya kufuata Sunna za mtume s.a.w na kumsingizia mtume urongo fungeni kwa kuona mwezi nafungueni kwa kuona wala hakuna hadithi iliyo kuja inayosema fungeni kwa mwezi wa arabuni kama ipo tuleteee
@MB-yq3ty6 ай бұрын
@@AbdulkarimShosi Hakuna Uarabu wala Uafrika kwenye suala la dini Jiulize wewe uliposikia kwamba fungeni kwa kuonekana mwezi na fungueni kwa kuonekana eneo hilo lilikuwa linazungumziwa Nchi moja kwa maana ya mipaka ya kikoloni au?.