Hongera kwa kiongozi wetu Mbowe ww ndio mpambanaji wetu makini.
@sospeterkamala54814 жыл бұрын
Mungu amejibu
@ibrahimmasindi10554 жыл бұрын
We we ndio mwamba utakae tuvushaaaaa
@sophyemmanuel51294 жыл бұрын
Safiiiiiii 🙌🙌🙌🙌🙌🙌 mbowe babalaoooooo
@prosperndonjekwa51434 жыл бұрын
Mkimaliza kuchaguana imbeni wimbo huu; Kidumu chama cha mapinduzi.
@teddyoscar68764 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣kabisa kabisa waimbe
@ameniameni6174 жыл бұрын
Hongera makamanda wote mliochaguliwa
@hamisizuberi86044 жыл бұрын
HONGERENI SANA CHADEMA KWA KUCHAGUA KIONGOZI IMARA NA ASIYEYUMBA MHE,MBOWE
@labannigaluss3354 жыл бұрын
mh! imara ? acheni unyumbu
@qonquererqanquerer17814 жыл бұрын
Hakika Mbowe Ni Kiongozi Imara Asiyeyumbishwa
@emmanuelmoshi49384 жыл бұрын
labanni galuss unawas was ee huyo ndo mwamba n ndo kibok yao
@nelykaaya65034 жыл бұрын
Nakubaliii
@margaretwambete12284 жыл бұрын
✌✌👍
@raphaelshan49054 жыл бұрын
Mmh! Li mbowe tena!¿
@nestorykapula19764 жыл бұрын
Kama si Mbowe chedema isingedumu naipenda sana chadema yangu.
@patrickmahona28264 жыл бұрын
Mungu tuangalie nasi .tanzinia ni yetu sote....why wao tu......mungu ibaliki chadema
@machaggechacha34224 жыл бұрын
Lisu arudi tumweke ndani au sisi wenyewe tunaopenda Tanzania iwe shwari tutamshughulikia tunavyona sawa kwa usalama wa nchi yetu. Usalama wake asilete pua yake chafu inayoonekana kama taili ambayo haina pumzi hapa Tanzania. Asituletee usenge na mabwana zake wa kizungu.
@adrophwilliam32254 жыл бұрын
Huhitaji kitu kingine chochote isipokuwa elim.Ukisha pata elim unaweza ukawa mkosoaji wa selikari kuliko hata Lisu.
@brianosman44654 жыл бұрын
Wamezingua... tundu ndo alifaa abebe jahazi
@eustacevenant45674 жыл бұрын
Tanganyika!!!!!!! Mbowee?????????????!!!! Mmeanza 😎kuleta ubaguzi! RAISI MAGUFURI naomba Uongeze mda wa Uraisi la sivyo nchii hii yetu hitachukuliwa na vibala!
@salehally80074 жыл бұрын
Ovyoooo
@mariamfaicalhassan28904 жыл бұрын
Magufuli aongoze miaka 45
@qonquererqanquerer17814 жыл бұрын
Wivu Na Ujinga Unakusumbua
@drkalokola58614 ай бұрын
Inawezekana Rais asiwe mzalendo lakini sifa ya Rais lazima awe mzalendo. Huyu mzre kbe akili yake tope. Anachanga ya mada
@applestru_cape22194 жыл бұрын
Yaani siku mbowe akigombania na lissu mbowe ataachwa mbali kabisa
@iddykanani33114 жыл бұрын
Safi sana watakoma
@jacksonmgaya56254 жыл бұрын
Saf san kamanda mbowe we ndo utakae okoa jahaz Gonga like kama umekubalina na mm
@enockkindole26244 жыл бұрын
Pamoja
@labannigaluss3354 жыл бұрын
ccm daima kama mbowe
@evansmlalo40494 жыл бұрын
BILA MBOWE CCM WATAPATA MWANYA WA KUWAGAWA WATANZANIA. CCM ACHENI UJINGA WENU WA KUWANYIMA WENZENU UHURU WA KATIBA. TUTAPIGA KILA KONA. HATUWEZI WAACHA WATANZANIA WAACHE KAZI ZAO KWA AJILI YA KUKOSA DEMOKRASIA. CCM HAWATAKI MARIDHIANO TUTAWATOA KWA NGUVU.
@ahmadmasunda81984 жыл бұрын
@@evansmlalo4049 KAZA MKUU KAZA MKUU USHINDI UNAKARIBIA
@elizabethmatilia95274 жыл бұрын
Yaan ni rahaaaaaaaaaaaaa
@richardkayuguyugu94894 жыл бұрын
Haya ni maigizo kama ni kubeti bac mhindi angeliwa vibaya sana maana wenye chama chao ndo wamechukuwa sasa hii danganya toto
@ramadhanmanko46144 жыл бұрын
Safiiiii
@huseinkanen70564 жыл бұрын
Hahahahaaaa,tehe tehe tehe😁😁😁
@EdwinKaywanga-ww7jr3 ай бұрын
Hii ndiyo demosia nani ya chama
@madukaj.j.69994 жыл бұрын
Mbowe alijua kabisa Angegombea na Lisu angepigwa mbali balaa
@emmanuelmoshi49384 жыл бұрын
Juma Maduka wew ulijuaj kam yeye alijua hivy?
@curiositygenius92074 жыл бұрын
✌✌✌✌✌👏👏👏👏👏👏
@shabanmohamed15454 жыл бұрын
Hongera shujaa mbowe
@edinamwanilwa80944 жыл бұрын
Namkubali magu ila mm Chadema damu
@rebecamgimwa55544 жыл бұрын
Maigizo ya demokrasia
@qonquererqanquerer17814 жыл бұрын
Kwenu Kunakuaga na uchaguzi?!🗑️🚮🚮
@godfrysangi63434 жыл бұрын
Mungu mwema nimefurahi sana
@husseinkonz51924 жыл бұрын
Hyo matokeo mfukon ubabaishaji unaendelea
@princejosiah24044 жыл бұрын
Mbowe na lisu sawa
@abuumussa23904 жыл бұрын
Kwa uchaguzi wa dizai hiyo bado hawajafikia chama cha mapinduzi
Saccos bwana eti umeenda chuo mboe yupo, umepata kazi mboe yupo, umeoa mboe yupo, umepata mtoto mboe yupo, mtoto amenza chule mboe yupo .... WHAT IS NEXT.
@ramadhanbofu31444 жыл бұрын
The next is son of mbowe
@qonquererqanquerer17814 жыл бұрын
🚮🚮 Wivu Ni Kitu Mbaya Sana
@emmanuelmoshi49384 жыл бұрын
Mathias Msese next chadema itachukua nch
@mathiasmsese61284 жыл бұрын
@@emmanuelmoshi4938tuliozaliwa miaka ya 70 tunaeleqa siasa za nchi hii na watu wake. Ccm imewapa shule miaka yote lkn hawataki kuamka. Vyama vuote hapo myuma vilinguka kwa sababu tu ya kuendeleza siasa za harakati. Tukianza na Mzee makabachori watu tulimfuata kama kam kumbikumbi tukaja na chama jogoo tukarudi na wazee wa haki sawa ndio wakaingia wazee wa harakati wasionyumbulika.wanajiua wenyewe sababu ya harakati nijuavyo wangeingia kwenye siasa za utawala wangekua stable mfano kulikua na haja gani ya kuendwleza siasa za matukio au harajati kama kwenye jiji la dar es salaam Wakati walishashinda karibu majibu yote
@patiencekelvin44534 жыл бұрын
Shdnt a strong p party have strong leaders?
@Kisaboleonards4 жыл бұрын
Ilijulikana toka mwanzo maana alisema sum haionjwi nani ange onja?
@sheikhyahyamsangi21914 жыл бұрын
Jinga letu limerudi
@barakakilindi37514 жыл бұрын
Tuvushu mwamba tuvushe mwamb
@albertnshunju41724 жыл бұрын
Usanii mtupu
@adrophwilliam32254 жыл бұрын
Ipo siku utajua umuhimu wa watu hao unao wa beza,maana hata mwalim Nyerere kipindi cha harakati za ukombozi wa Tanganyika alibezwa sana na watanganyika walio wengi mazezeta.Na ndiyo maana hata siku ya mchakato wa kuingia kwenye vyama vingi walio wengi walisema tuendelee na chama kimoja.ila cha ajabu mtu mwenye akili nyingi haijapata kutokea nchini Tanzania alikaa upande wa watu wachache waliosema tuwe na mfumo wa vyama vingi.
@kelvinkajuna66894 жыл бұрын
Hebu jielewen,,tanganyika ndo nn mnashindwa kusema bara,,,,wabaguz nyie
@emmanuelmoshi49384 жыл бұрын
KELVIN KAJUNA bara ndo nn WAP ulion hii nch ikaitwa bara hii n Tanganyika
@jumaedward71104 жыл бұрын
Aaaa! Lissu una nyota Kali sana!!!
@abdallaafandi2044 жыл бұрын
Safi sn mbove chadema ndio tegemezi pekee kwa Tanzania kuiangusha ccm 2020
@teddyoscar68764 жыл бұрын
Sahau kwani ukiangalia team ya CCM imekaa kuangushwa kisenge senge subutuuuu bado sana tena sasa hivi ndio iko ngangali kinomaaaaa.
@teddyoscar68764 жыл бұрын
Subutuuuuuu mtaanzia wapi na mtapita njia gani, nyie mtabaki kuwa wapinzani tuuu mtapiga kelele mpaka lakini kuitoa CCM hamuwezi, watu wamejipanga hatari