MBOWE NA TUNDU LISSU NDIO VIGOGO CHADEMA, WASHINDA KWA KISHINDO

  Рет қаралды 44,127

Millard Ayo

Millard Ayo

4 жыл бұрын

Пікірлер: 92
@rajabusalumu6509
@rajabusalumu6509 4 жыл бұрын
Hongera kwa kiongozi wetu Mbowe ww ndio mpambanaji wetu makini.
@sospeterkamala5481
@sospeterkamala5481 4 жыл бұрын
Mungu amejibu
@ibrahimmasindi1055
@ibrahimmasindi1055 4 жыл бұрын
We we ndio mwamba utakae tuvushaaaaa
@sophyemmanuel5129
@sophyemmanuel5129 4 жыл бұрын
Safiiiiiii 🙌🙌🙌🙌🙌🙌 mbowe babalaoooooo
@prosperndonjekwa5143
@prosperndonjekwa5143 4 жыл бұрын
Mkimaliza kuchaguana imbeni wimbo huu; Kidumu chama cha mapinduzi.
@teddyoscar6876
@teddyoscar6876 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣kabisa kabisa waimbe
@ameniameni617
@ameniameni617 4 жыл бұрын
Hongera makamanda wote mliochaguliwa
@hamisizuberi8604
@hamisizuberi8604 4 жыл бұрын
HONGERENI SANA CHADEMA KWA KUCHAGUA KIONGOZI IMARA NA ASIYEYUMBA MHE,MBOWE
@labannigaluss335
@labannigaluss335 4 жыл бұрын
mh! imara ? acheni unyumbu
@qonquererqanquerer1781
@qonquererqanquerer1781 4 жыл бұрын
Hakika Mbowe Ni Kiongozi Imara Asiyeyumbishwa
@emmanuelmoshi4938
@emmanuelmoshi4938 4 жыл бұрын
labanni galuss unawas was ee huyo ndo mwamba n ndo kibok yao
@nelykaaya6503
@nelykaaya6503 4 жыл бұрын
Nakubaliii
@margaretwambete1228
@margaretwambete1228 4 жыл бұрын
✌✌👍
@raphaelshan4905
@raphaelshan4905 4 жыл бұрын
Mmh! Li mbowe tena!¿
@nestorykapula1976
@nestorykapula1976 4 жыл бұрын
Kama si Mbowe chedema isingedumu naipenda sana chadema yangu.
@patrickmahona2826
@patrickmahona2826 4 жыл бұрын
Mungu tuangalie nasi .tanzinia ni yetu sote....why wao tu......mungu ibaliki chadema
@machaggechacha3422
@machaggechacha3422 4 жыл бұрын
Lisu arudi tumweke ndani au sisi wenyewe tunaopenda Tanzania iwe shwari tutamshughulikia tunavyona sawa kwa usalama wa nchi yetu. Usalama wake asilete pua yake chafu inayoonekana kama taili ambayo haina pumzi hapa Tanzania. Asituletee usenge na mabwana zake wa kizungu.
@adrophwilliam3225
@adrophwilliam3225 4 жыл бұрын
Huhitaji kitu kingine chochote isipokuwa elim.Ukisha pata elim unaweza ukawa mkosoaji wa selikari kuliko hata Lisu.
@brianosman4465
@brianosman4465 4 жыл бұрын
Wamezingua... tundu ndo alifaa abebe jahazi
@eustacevenant4567
@eustacevenant4567 4 жыл бұрын
Tanganyika!!!!!!! Mbowee?????????????!!!! Mmeanza 😎kuleta ubaguzi! RAISI MAGUFURI naomba Uongeze mda wa Uraisi la sivyo nchii hii yetu hitachukuliwa na vibala!
@salehally8007
@salehally8007 4 жыл бұрын
Ovyoooo
@mariamfaicalhassan2890
@mariamfaicalhassan2890 4 жыл бұрын
Magufuli aongoze miaka 45
@qonquererqanquerer1781
@qonquererqanquerer1781 4 жыл бұрын
Wivu Na Ujinga Unakusumbua
@drkalokola5861
@drkalokola5861 4 ай бұрын
Inawezekana Rais asiwe mzalendo lakini sifa ya Rais lazima awe mzalendo. Huyu mzre kbe akili yake tope. Anachanga ya mada
@applestru_cape2219
@applestru_cape2219 4 жыл бұрын
Yaani siku mbowe akigombania na lissu mbowe ataachwa mbali kabisa
@iddykanani3311
@iddykanani3311 4 жыл бұрын
Safi sana watakoma
@jacksonmgaya5625
@jacksonmgaya5625 4 жыл бұрын
Saf san kamanda mbowe we ndo utakae okoa jahaz Gonga like kama umekubalina na mm
@enockkindole2624
@enockkindole2624 4 жыл бұрын
Pamoja
@labannigaluss335
@labannigaluss335 4 жыл бұрын
ccm daima kama mbowe
@evansmlalo4049
@evansmlalo4049 4 жыл бұрын
BILA MBOWE CCM WATAPATA MWANYA WA KUWAGAWA WATANZANIA. CCM ACHENI UJINGA WENU WA KUWANYIMA WENZENU UHURU WA KATIBA. TUTAPIGA KILA KONA. HATUWEZI WAACHA WATANZANIA WAACHE KAZI ZAO KWA AJILI YA KUKOSA DEMOKRASIA. CCM HAWATAKI MARIDHIANO TUTAWATOA KWA NGUVU.
@ahmadmasunda8198
@ahmadmasunda8198 4 жыл бұрын
@@evansmlalo4049 KAZA MKUU KAZA MKUU USHINDI UNAKARIBIA
@elizabethmatilia9527
@elizabethmatilia9527 4 жыл бұрын
Yaan ni rahaaaaaaaaaaaaa
@richardkayuguyugu9489
@richardkayuguyugu9489 4 жыл бұрын
Haya ni maigizo kama ni kubeti bac mhindi angeliwa vibaya sana maana wenye chama chao ndo wamechukuwa sasa hii danganya toto
@ramadhanmanko4614
@ramadhanmanko4614 4 жыл бұрын
Safiiiii
@huseinkanen7056
@huseinkanen7056 4 жыл бұрын
Hahahahaaaa,tehe tehe tehe😁😁😁
@EdwinKaywanga-ww7jr
@EdwinKaywanga-ww7jr 3 ай бұрын
Hii ndiyo demosia nani ya chama
@madukaj.j.6999
@madukaj.j.6999 4 жыл бұрын
Mbowe alijua kabisa Angegombea na Lisu angepigwa mbali balaa
@emmanuelmoshi4938
@emmanuelmoshi4938 4 жыл бұрын
Juma Maduka wew ulijuaj kam yeye alijua hivy?
@curiositygenius9207
@curiositygenius9207 4 жыл бұрын
✌✌✌✌✌👏👏👏👏👏👏
@shabanmohamed1545
@shabanmohamed1545 4 жыл бұрын
Hongera shujaa mbowe
@edinamwanilwa8094
@edinamwanilwa8094 4 жыл бұрын
Namkubali magu ila mm Chadema damu
@rebecamgimwa5554
@rebecamgimwa5554 4 жыл бұрын
Maigizo ya demokrasia
@qonquererqanquerer1781
@qonquererqanquerer1781 4 жыл бұрын
Kwenu Kunakuaga na uchaguzi?!🗑️🚮🚮
@godfrysangi6343
@godfrysangi6343 4 жыл бұрын
Mungu mwema nimefurahi sana
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 4 жыл бұрын
Hyo matokeo mfukon ubabaishaji unaendelea
@princejosiah2404
@princejosiah2404 4 жыл бұрын
Mbowe na lisu sawa
@abuumussa2390
@abuumussa2390 4 жыл бұрын
Kwa uchaguzi wa dizai hiyo bado hawajafikia chama cha mapinduzi
@labannigaluss335
@labannigaluss335 4 жыл бұрын
chadema manyumbu kumbe amna jipya mlilonalo. magu daima ccm daima amtaki mjinyonge
@adrophwilliam3225
@adrophwilliam3225 4 жыл бұрын
Milembe inakuhusu.
@erickmtui1160
@erickmtui1160 4 жыл бұрын
Kafiye mbali huko
@fredreckmwakalinga3475
@fredreckmwakalinga3475 4 жыл бұрын
Huu ukenge mpaka lini magu anaingiaje hpa
@shaibualex4515
@shaibualex4515 4 жыл бұрын
Mmh yani kula 50 kweli
@lameckbalekere1962
@lameckbalekere1962 4 жыл бұрын
Mbowe hunahata aibu
@pascalmstaarabu4372
@pascalmstaarabu4372 4 жыл бұрын
Komamanga asili yake nini!??? Mjusi anawez acha miguu yake!??? Mbwembwe za vumbi ndani ya upepo
@mbwanarajaamsuya6834
@mbwanarajaamsuya6834 4 жыл бұрын
Aisee.....
@labannigaluss335
@labannigaluss335 4 жыл бұрын
maigizo aya ww
@adrophwilliam3225
@adrophwilliam3225 4 жыл бұрын
@@labannigaluss335 Milembe wanafanya kosa kukuacha mtaani ukizulula maana sio muda mrefu utazulu wa sio na hatia.
@severinmmassy7627
@severinmmassy7627 4 жыл бұрын
Hakika kwahil ccm watakonda sanaaa
@madukaj.j.6999
@madukaj.j.6999 4 жыл бұрын
Huu uchaguzi ulikuwa unajulikana tu. Macho na masikio yetu yangekuwa juu juu kama Lisu angekuwemo kwenye kuisaka ndoo
@davidkaguru9511
@davidkaguru9511 4 жыл бұрын
Lissu hatagombea tutamwachia
@accessme8481
@accessme8481 4 жыл бұрын
Alesema Aleja, Alesema Aleja, magufuli selema,,..ash!!! Mbowe selema Aleja mbowe selema Aleja . Alikael Selema Aleja. Alesema Aleja mbowe selema Aleja
@mathiasmsese6128
@mathiasmsese6128 4 жыл бұрын
Saccos bwana eti umeenda chuo mboe yupo, umepata kazi mboe yupo, umeoa mboe yupo, umepata mtoto mboe yupo, mtoto amenza chule mboe yupo .... WHAT IS NEXT.
@ramadhanbofu3144
@ramadhanbofu3144 4 жыл бұрын
The next is son of mbowe
@qonquererqanquerer1781
@qonquererqanquerer1781 4 жыл бұрын
🚮🚮 Wivu Ni Kitu Mbaya Sana
@emmanuelmoshi4938
@emmanuelmoshi4938 4 жыл бұрын
Mathias Msese next chadema itachukua nch
@mathiasmsese6128
@mathiasmsese6128 4 жыл бұрын
@@emmanuelmoshi4938tuliozaliwa miaka ya 70 tunaeleqa siasa za nchi hii na watu wake. Ccm imewapa shule miaka yote lkn hawataki kuamka. Vyama vuote hapo myuma vilinguka kwa sababu tu ya kuendeleza siasa za harakati. Tukianza na Mzee makabachori watu tulimfuata kama kam kumbikumbi tukaja na chama jogoo tukarudi na wazee wa haki sawa ndio wakaingia wazee wa harakati wasionyumbulika.wanajiua wenyewe sababu ya harakati nijuavyo wangeingia kwenye siasa za utawala wangekua stable mfano kulikua na haja gani ya kuendwleza siasa za matukio au harajati kama kwenye jiji la dar es salaam Wakati walishashinda karibu majibu yote
@patiencekelvin4453
@patiencekelvin4453 4 жыл бұрын
Shdnt a strong p party have strong leaders?
@Kisaboleonards
@Kisaboleonards 4 жыл бұрын
Ilijulikana toka mwanzo maana alisema sum haionjwi nani ange onja?
@sheikhyahyamsangi2191
@sheikhyahyamsangi2191 4 жыл бұрын
Jinga letu limerudi
@barakakilindi3751
@barakakilindi3751 4 жыл бұрын
Tuvushu mwamba tuvushe mwamb
@albertnshunju4172
@albertnshunju4172 4 жыл бұрын
Usanii mtupu
@adrophwilliam3225
@adrophwilliam3225 4 жыл бұрын
Ipo siku utajua umuhimu wa watu hao unao wa beza,maana hata mwalim Nyerere kipindi cha harakati za ukombozi wa Tanganyika alibezwa sana na watanganyika walio wengi mazezeta.Na ndiyo maana hata siku ya mchakato wa kuingia kwenye vyama vingi walio wengi walisema tuendelee na chama kimoja.ila cha ajabu mtu mwenye akili nyingi haijapata kutokea nchini Tanzania alikaa upande wa watu wachache waliosema tuwe na mfumo wa vyama vingi.
@kelvinkajuna6689
@kelvinkajuna6689 4 жыл бұрын
Hebu jielewen,,tanganyika ndo nn mnashindwa kusema bara,,,,wabaguz nyie
@emmanuelmoshi4938
@emmanuelmoshi4938 4 жыл бұрын
KELVIN KAJUNA bara ndo nn WAP ulion hii nch ikaitwa bara hii n Tanganyika
@jumaedward7110
@jumaedward7110 4 жыл бұрын
Aaaa! Lissu una nyota Kali sana!!!
@abdallaafandi204
@abdallaafandi204 4 жыл бұрын
Safi sn mbove chadema ndio tegemezi pekee kwa Tanzania kuiangusha ccm 2020
@teddyoscar6876
@teddyoscar6876 4 жыл бұрын
Sahau kwani ukiangalia team ya CCM imekaa kuangushwa kisenge senge subutuuuu bado sana tena sasa hivi ndio iko ngangali kinomaaaaa.
@teddyoscar6876
@teddyoscar6876 4 жыл бұрын
Subutuuuuuu mtaanzia wapi na mtapita njia gani, nyie mtabaki kuwa wapinzani tuuu mtapiga kelele mpaka lakini kuitoa CCM hamuwezi, watu wamejipanga hatari
@malcomx4067
@malcomx4067 4 жыл бұрын
Demokrasia haipo Chadema. Hakima hamstahili kupewa nchi. Mbowe anauchu wa madaraka.
@daviddizy8891
@daviddizy8891 4 жыл бұрын
edumakono Zetho hata matako yako ana uchu nayo ukikaa vibaya anapita nayo
@binamungu4991
@binamungu4991 4 жыл бұрын
Mwambie huyo
@januarymalaysia667
@januarymalaysia667 4 жыл бұрын
@@daviddizy8891 mbowe hana mvuto hata kidogo
@daviddizy8891
@daviddizy8891 4 жыл бұрын
January Malaysia mkundu wako ndio una mvuto ungeupeleka ukagombee. Mwanaume hana mvuto ila akili yake ina mvuto
@curiositygenius9207
@curiositygenius9207 4 жыл бұрын
edumakono Zetho kama huna la kuongea au kuandika si upite kimya kimya tu? Maana unaonekana mpumbavu tu.
@nestorykapula1976
@nestorykapula1976 4 жыл бұрын
Kama si Mbowe chedema isingedumu naipenda sana chadema yangu.
@fransiscomaicommasy118
@fransiscomaicommasy118 4 жыл бұрын
Ebo!!! Mbowe✌✌✌
@ramadhaniomar2595
@ramadhaniomar2595 4 жыл бұрын
Ndo mwene chsma cheke ote fata upepo
MOTO WA TUNDU LISSU MAKYUNGU HABARI NYINGINE JIMBONI KWAKWE WAMLILIA
49:16
Finger Heart - Fancy Refill (Inside Out Animation)
00:30
FASH
Рет қаралды 14 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:26
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 20 МЛН
TUNDU LISSU AKIONGEA MBELE YA VIONGOZI WA BARAZA KUU LA CHADEMA
21:07
Chadema Media TV
Рет қаралды 78 М.
Mwanzo Mwisho Jinsi Hotuba ya Lissu Ilivyolitikisa Jiji la Arusha
49:01
MAJEKI AHAMIA CHADEMA, MUNGAI KUSHINIKIZA UCHAGUZI
8:12
EBONY DIGITAL
Рет қаралды 13 М.