Wenye hekima viongozi waaminifu wapo Kanda ya ziwa tu nimemaliza.
@eidallyeidally50937 ай бұрын
Mjitenge muwe na nchi yenu
@emanuelleopod39497 ай бұрын
Watafika mbali sana hao jamaa ikitokea tu wakajitenga jamaa wana uthubutu mkubwa sana na ni wazalendob@@eidallyeidally5093
@philemonmlowe74187 ай бұрын
Kwa hiyo
@victaboy72737 ай бұрын
Ndio hivyo. Mwenye wivu ajinyonge
@victaboy72737 ай бұрын
@@eidallyeidally5093mikoa ya KAGERA, MWANZA, SHINYANGA, MARA, GEITA, TABORA. tunauwezo wa kujitegemea kwa kila kitu. Huku kuna ziwa kubwa, kuna migodi ya kutosha, kuna mbuga za wanyama, ardhi ni nzuri, mifugo asilimia 80 ya nchi hii , ipo kanda ya ziwa. Tupo vizuri
@liannsambu72647 ай бұрын
Shule zenyewe sehemu kubwa ni MAJENGO ila content ni Zerooo
@PastorJulianus-Supery7 ай бұрын
Daaah, kuna watu ukiwasikiliza ni kana kwamba unasikiliza akili. Huyu mwamba hasife kuna mahala anaweza kusaidia siku nchi hii ikipata mapinduzi ya akili
@kondoatown87657 ай бұрын
Hivi viongozi wanasomaga hizi comment kweli Hawa wachina aisee !! Wanaharibu mifumo kbsaa ya biashara sijui kma kweli ndo sahihi kufanya hivi wanajiita wawekezaji wanauza rejareja kma dukani kwa Mangi hembu serikali tazameni hili kabla halijafikia pabaya
@siraaronmallya4257 ай бұрын
Hoja nzuri sana,wanafunzi wasome kwa shift wengine asubuhi wengine mchana kama chuoni au kama shaban robert...
@adaNahimana-y7b3 ай бұрын
Hawezi Kubadilika Kwasababu Hawajuwi
@manaseliberatus13477 ай бұрын
HUYU ANA KARAMA YA AKILI NA KUONA MBALI, MAGUFULI TYPE
@omarkapula5887 ай бұрын
Hawa watoa taarifa inabidi bunge lifikirie kwa makini wengine hawaeleweki haya mambo ya taarifa yaangaliwe upya yanampotezea muda mtoa mada na pia kumtoa nje ya mwelekeo wake
@kelvinwilsonsimyemba7 ай бұрын
Kishimbi yuko vizuri sana
@evansokemwa65877 ай бұрын
Mzee ana akili mingi sana
@masoudymichael7 ай бұрын
Huyu jamaa anawazidi maprofesa 😂
@majidukalokola72537 ай бұрын
Mawazo ya kishimba yatafanikiwa siku mfumo wa uongozi utabadilika tofauti na CCM.
@mosesmlowe70067 ай бұрын
Mzee umeongea point Hata mimi nimesoma kleruu iringa ilikuwa tunasoma General certificate & education Tukitoka wanaingia wanachuo wa ualimu 2000
@RashidiKujiАй бұрын
Yes vp hapo ❤❤😅
@alexdukes55477 ай бұрын
shida ipo nchi hii ,tatizo Ni mifumo mbaya usio fikiri kuenenda na mabadiriko ya Dunia,hongera sana mzee kishamba,maana yake usipojisimamia utasimamiwa...
@SayimcheleSayimche-mq5wv7 ай бұрын
Hapo mweshimiwa umeogea point kubwa sana
@emmanuelmeshack98907 ай бұрын
Rais mpya ajae
@frankmfuse69907 ай бұрын
Bungeni mazuzu wanazungumza Watu wanaongezeka kwa Kasi sana hizo shifti zitabana pi Alafu kwa hoja hiyo kumbe, tunatumia miaka mingi kusoma hamnakitu
@deusntobi66827 ай бұрын
Swala la wachina ni tatzo kubwa sana hapa nchini na wazawa tunateseka
@donaldbenedict57617 ай бұрын
Ndipo uwezo wa viongozi wetu ulipofikia hawawazi hicho unachowaza wewe mzee Kishimba wao kazi yao ni kupongena utasikia ooh mikataba ya mama hakuna mtu wa kuipinga bila kujali hiyo mikataba ina maslahi mapana kwa taifa letu au hapana wakati Magufuli aliposema tumepigwa sana na hii mikataba mibovu mlishangilia sana leo manasema mikataba ya mama hakuna wa kuipinga Mungu ibariki Tanzania
@liannsambu72647 ай бұрын
Wachina wafukuzwe , saivi kariakoo ndo wenyewe ,kila kwenye kila nyenzo wachina tupu na sidhan ata kama wanalipa Kodi sahihi mie mtu anayetoka ASIA SIjawahi kumwamini sehemu kubwa ni selfishi ,na WEZI na wanyanyasaji
@AthanaseKiyoja7 ай бұрын
Hapo dodoma wabunge hwafiki hata watatu.Hao wengine ni mwendo kudanga tu (posho).
@ramadhanmwandambotuntufye59727 ай бұрын
Kishimba ni thinker wa Karne ana mawazo chanya, wazo lake ni langu, miradi mingi ya ujenzi wa shule ni mazingira tu ya kujitengenezea upigaji w fedha na siyo tu ujenzi hata ununuzi wa vitabu holela na mabadiliko ya mitaala ya mara kwa mara, mabilioni ya fedha hutumika kununua vitabu kila mara na vile vilivyonunuliwa mwaka uliopita hubaki vinaliwa na mchwa huko kwenye mastoo ya shule.
@obedidamasi35377 ай бұрын
Kingine cha kuongezea. Nyerere alianzisha opresheni ya vijiji ili watu wakae sehemu moja ili iwe rahisi kupeleka huduma za jamii. Siku hizi kila sehemu watu wanaanzisha makazi na kuhitaji huduma za kijamii hivyo kuibebesha serikali mzigo wa kupeleka miundombinu
@fadhilimoshi57547 ай бұрын
Ili taifa hili liendelee ni lazima ccm iondoke madarakani kwani uongozi umeoza ni wapigaji tuu hawajali wanyonge japo wanajidai ni watetezi wa wanyonge Hovyooo
@ABM19637 ай бұрын
Huyu Muheshimiwa Ana HOJA ya kweli na ifanyiwe kazi. Ni sisi tu tunajenga madarasa mapya KILA siku, tatizo ni nini? Uwezo mdogo wa kufikiri!
@meryshekoloa9617 ай бұрын
Baba watoto umechangamsha bunge ila shule zijengwe kwaenda juu vipindi ni vingi wasome kutwa
@marandoruzali19467 ай бұрын
Professor kishimba 💪💪👍
@ABM19637 ай бұрын
UDSM mpeni huyu Think Tank PhD ya Heshima!
@emanuelleopod39497 ай бұрын
Akili kubwa sana imetumika hapo aisee wasomi wengi ndiyo wanaotufelisha
@liannsambu72647 ай бұрын
Hii nchi jamani ukisikiliza unalia ,wachina tunapaswa kuwa nao makini ni wanyonyaji hawana TIJA Kwa taifaa wanaochukua ajira mpaka za wazawa ,wachina hatuwataki Tz warudi kwao
@jacksonmwakasege62107 ай бұрын
Wagumu wa kufikiri maana yake WAPUMBAVU/WAJINGA?
@issakwisamwasanjobe5417 ай бұрын
Nchi yetu maprof,Dr ,Degree zimeongezeka lakini tija yao kwenye uongozi katika kujitegemea taifa ni ndogo,mkazo wao nikodi ndio maana kila kitu wanauza kwa wawekezaji,vitu vinavyoingiza pesa serikali haitaki kuwekeza wanawapa wawekezaji visivyoingiza pesa ndo wanapeleka pesa huko. Wanatupelekashimoni, kuleta au kuvutia wawekezaji ni kukaribisha nchini wanyonyaji wanaotumia mitaji
@katambimfalimbega38087 ай бұрын
Inawezekana ila Muajiri walim wenyeviwango na wale wanaoipenda hiyo kazi si wale wapo tu kwajili ya ajila
@ValerianFiita7 ай бұрын
Wazo mzuri wahusika hawatapokea kwa sababu haina maulaji
@eliasanga-cx2pr7 ай бұрын
Pole mzee kishimba wenzio wanawaza uchaguzi kila siku
@mawazoaliselemani7 ай бұрын
Kishimba kama Kishimba!kwenye ubora wake😂
@MasaluMartine-xe1kb7 ай бұрын
Viongozi wenye akili nchi hiiii wengi ni kanda ya ziwa
@manish-fp1fb7 ай бұрын
SHIDA YAKE NI WALIMU HAPO...
@MeliMeli-h9q7 ай бұрын
Kishimba wamwelewe ushauli wa akili ya juu sana
@emmanuelmayunga15187 ай бұрын
Fact
@charlesmakelele42687 ай бұрын
Jamaa anaakil kubwa sn huyu.
@thabitngangila85627 ай бұрын
Kishimba hanaga kusifia tu.
@justinelazaro81477 ай бұрын
Huyu jamaa ana pointi sana
@daressalaampost57857 ай бұрын
Uko sahihi Prof
@NixonGerson7 ай бұрын
Shule hizi kiukweli duuuh
@HarunJonass7 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤
@PastorJulianus-Supery7 ай бұрын
🧠
@DoctorRengeda7 ай бұрын
👏👏👏
@fadhililihinda64917 ай бұрын
❤
@African5117 ай бұрын
Siku zote sipendi kumwamini sana msomi,maana wasomi wengi niwaongo sana,pia wapiga dili kweli,lakini siyo wote,hiki kichwa kishimba kina akili sana.
@khalidjmaftah94497 ай бұрын
Genius 😊
@marthaswai11857 ай бұрын
Kishimba,kuhusu shule ,suluhu ni kujenga maghorofa.Ghorofa mpaka nane.Weka lifti,kazi iendelee