Big up Kiswaga,hebu waeleze kuhusu viwanda ili waelewe labda waziri muhusika atajaribu kufuatilia
@issakwisamwasanjobe541 Жыл бұрын
Tukitaka twende mbele serikali iwekeze kwenye kujenga viwanda kama inavyowekeza kwenye miundo mbinu mingine tumiliki tukitegemea vya wawekezajihatutafika kwani wao wanamalengo Yao na hawatajenga vya kushindana na kwao hongereni kwa mwalekeo huo
@nkondokubini7618 Жыл бұрын
Unapodhibiti kuingiza bidhaa nchini wakati uzalishaji wako ndani uko chini unasababisha bidhaa kupanda kwa bei.Fanya hivyo kama uzalishaji wako unajitosheleza.
@issakwisamwasanjobe541 Жыл бұрын
Kuendelea kuingiza bidhaa Toka nje una dumaza taifa kufikiri umewahifikiri kwanini tunashindwa kuzalisha kujitosheleza na suluhisho lake liweje?Ili serikali iwekeze huko?lakini kukimbilia kuingiza kuingiza bidhaa za nje ni majibu mapesi kwa kitu kigumu unajenga taifa tegemezi