Yaani CCM Kila Sekta imegubikwa na Uwongo na Ufisadi na Rushwa Yaani.
@simongwandu73923 ай бұрын
Good Tarimo
@adelinelyaruu30363 ай бұрын
Wabunge kuweni objective kwenye haya mambo
@fidelfidel-jz4iw3 ай бұрын
Diwaelewi hawa waishimiwa hivi muwe mnaweka wataalamu tena wapinzani watawekaambo sawa
@temekepamoja27573 ай бұрын
Wez ao
@briankatani67703 ай бұрын
Hivi nyinyi mnaojiita waheshimiwa, kweli mbuge hujui usimamie upande upi !!!!.Wewe ulipelekwa na nani huko!?.kwanini usipinge uwe upande wa wanainchi!?
@karolikisaka89913 ай бұрын
INASIKITISHA Tena yahuzunisha kubwa na bunge hewaaa
@artsonkimath29173 ай бұрын
Huyu Tarimo ni lile zawo la wabunge waliopelekwa na mafuriko ya mwenda zake..........maana Hana uwezo wa kuwa hata Diwani
@dicksonjulius36773 ай бұрын
Nyie si ndo mnapitisha hizo tozo kwa mbwembwe alaf tena
@JamesMisalabaPalu3 ай бұрын
Hata hayo faini milioni nne ni kubwa mno. Wekeni laki moja tu faini ni faini. Kuondoa rushwa, kuleta ulipaji kodi kwa hiali. Bila kusukumana. Faini za kikodi ziingizwe kwenye mfumo. Mtu ukipatikana na kosa liingie kwenye record ya tra ili akifanya makosa zaidi ya matatu kwa mwaka wa kikodi faini inapanda kutoka laki moja hadi milioni tatu. Tra wawalee walipa kodi wawe walezi wa biashara. Mfanya biashara akionekana kushuka kibiashara pia wapende kujua sababu za kufirisika kwake ni sababu gani, ikiwezekana waweke usaidizi wao ili wasimpoteze mlipa kodi
@Nedjadist3 ай бұрын
Ni dharura, si dharula. Ikiwa mwandishi hajui hilo, hafai kuwa mwandishi.
@Nedjadist3 ай бұрын
The sooner CCM goes away, the better. It has been a nightmare in the lives of the Tanzanians.
@LucianSanga-q8j3 ай бұрын
Huyu sio Mchaga Mbona hana Uelewa hajui pakusimamia Ali ingiaje? Humu jamani Hajui Uzalishaji wa Bidha kwa wenzetu ni Raisi kuliko kwetu?
@devangandhl22553 ай бұрын
Bei ya mafuta ikipungua si watumiaji wanapunguziwa bei.serikali ina tozo zake kwa kila lita kwa ulelewa nilionao.kama ni vingine basi iwe sijaelewa
@geraldgogadi70543 ай бұрын
There is a day inshallah tutaingua tukae kwa bunge
@AthanaseKiyoja3 ай бұрын
Kwa akili zenu za kulipua,ninyi mtamweza huyo msomali ?
@Nedjadist3 ай бұрын
Huyu Mwigulu useless kabisa. Yeye uchumi wooote anaosema amesomea, ni kuongeza makodi na matozo tu. Hata halifikirii effects. Has no clue. Pambaf
@ezekielmatinya83143 ай бұрын
Taka taka kabisa hajui la kusimamia? Faken kabisa
@AthanaseKiyoja3 ай бұрын
Pigq hao poyoyo ,pesa peleka somalia. Wajinga ndiyo waliwao.