Nina wakubali sana Makamanda, ila sijapenda mnavyosafir pamoja, coz hawa ndugu zetu upande wa pili hawana utu ,wasije wakasababisha sisi kubaki yatima, Nawapenda sanaaa!!!!!
@user-eg1mz6vo1d14 күн бұрын
Msisafiri pamoja kwa chopaaaaa pliz
@denisipaulo778520 күн бұрын
Ila mnazingua mnakaheje wote kwenye chopa ikitokea shida
@denisipaulo778520 күн бұрын
Watu wa putotoko chadema unataka majembe yetu yasiokoe nchi hii kwanini wakae kwenye chupa ya gesi wote ili ikiwaka kama ya Malawi mtatwambiA mpango wa Mungu
@user-xe8xv6so6s20 күн бұрын
Makamanda. Kuweni na tahadhali kuruka wote kwenye chopa sio. Tunawapenda kuliko mnavyofikiri.
@Denisdigitalt17 күн бұрын
🤔
@aliyageorge679420 күн бұрын
Hii ni hatari viongozi wote wa chadema kwenye helicopter moja ? Wangesafiri tofauti....
@Denisdigitalt20 күн бұрын
🤔
@adoniemanuel90820 күн бұрын
badilisheni plane mkifanyiwa hujuma mamaisha angalieni kenya irani chopa znamaliza watu jigawanyeni wengine magaei wwngine chopa msituletee msiba wakitaifa tutakuwa vichaaa