Huko vizuri mchungaji, Mungu akubariki kwa mafundisho.
@user-nz6xy1vs5i5 ай бұрын
Saaafi sana Mungu akupe maisha marefu
@vickylupemba60556 ай бұрын
Mchungaji Hananja nakuelewa na kila unapoongea ni hekima tupu. Barikiwa sana maelezo yako nitayafuata 💯🙏🏾
@user-rk8em3me9p5 ай бұрын
Hongera ww ni PRO.wa zuoni ( PRo.BIBBLE)
@renatusmtakyawa5946 ай бұрын
Barikiwa sana upo sahii kabisa tuna utapiamlo wa Neno la Mungu
@user-jw8pw2pd9l6 ай бұрын
Kipimo cha kutuonesha kama tuko sawa mbele za mungu peke yake tu ndio naona kama umepungukiwa jitahidi kutambua kazi ya sheria katika maisha yetu sheria ni tabia ya mungu halisi
@asiajoseph3142 ай бұрын
DAMU ya YESU nitakase😭😭😭
@wigeasanyerere64516 ай бұрын
Kweli binafsi natamani hata nikuone,maana unapigana vita ya kweli na haki.asiye kuelewa kweli ana mauza uza kichwani,unataka watu washike neno la Mungu na sio mathehebu na mifumo yao
@michaelseka68906 ай бұрын
Nakuelewa sana mzee wangu Kwa maana unatufungua akili zaidi
@user-uu8bd4vi9s6 ай бұрын
Mungu akubariki sana
@gabrielpott33256 ай бұрын
Mzee uko saawa saana mw MUNGU azidi kukupa neema zake yani we people kwako iko wazi saana
@aminamacha55946 ай бұрын
Na ss tuouthuria ibada zote ijumaa na jumapili mapadri wanahuburi kuhusu toba kuacha dhambi uzinifu kuiba kuuwa usengenyaji kusaidia asiye kuwa nacho mapadri wanahuburi ila niakili zetu waumini tunahangaika na dunia😅😅😅😅 Amina 🙏
@joycemkeka37696 ай бұрын
Nakuelewa sana mtumishi wa mungu unatufundisha vema
@jorgitolucasbaluth89036 ай бұрын
UTAONDOKA MWENEWE KWENHE UKRISTO SISI ATUMWACHI YESU
@adkajisi45365 ай бұрын
Umeelewa?
@Kuminamoja19956 ай бұрын
💯
@wanguwangu346 ай бұрын
Story hizi hazibariki watu wa Mungu, Naomba tumhubili Cristo tu tuachane na mambo ya Imani za wasiotuhusu.
@user-lt1bi5nr1x6 ай бұрын
Jifunze kujua ukweli sio unaendaenda kama umejiumba
@sultantz76356 ай бұрын
Unamuhubiri vipi kwa uongo???
@libetztanzania-kiswahilina28456 ай бұрын
Media na sio mendia wakenyaaa
@thomasmallya29726 ай бұрын
Nnachoona apa uyu HANANJA LUSEKELO MGOGO ni mnatafta kiki kwa kuchafuana tuu akuna kionhoz makini anakua msengenyaaji fundisha neno achana na ya watu nanyi waandishi acheni kuwachafua watumishi na maswali yenu ya mitego
@sultantz76356 ай бұрын
Kamsengenya nani?
@deathrow80046 ай бұрын
MNAFANYA TOBA GANI WAKATI YESU KAMA KWA DHAMBI ZENU???
@amirymdee42596 ай бұрын
***Max mindia ni kitu gani?***
@MaksMedia16 ай бұрын
Maks Media
@kennedyngusulu94116 ай бұрын
@@MaksMedia1hiyo kengele mnaweka kwenye videos zinaudhi sana kelel ni kubwa mnapoteza audience sana taften namna nyingine
Mkristo haukatazwi kujuwa nn uislam wala mwislam hukatazwi kujuwa nn ukristo so ukisoma kwa umakini utajuwa wapi njia sahihi kazi kwako
@charlesmakuri7926 ай бұрын
Uislam wao kufunga/toba ni kuonyesha watu na kujidai na kuona ufahari kula futari ,kula usiku mchana unaacha/kubadilisha muda wa kula, hananja umeongea vema
@NgengeMkeni-uo5hq6 ай бұрын
Ukristo wetu unatutosha. Hatuhitaji kujua chochote kuhusu Uislamu
@titokwareh18526 ай бұрын
Huyu mzee always Yuko negative, we hubiri neno la Mungu Kama wenzako why kuponda matendo ya wakristo kila siku.? Jikite kwenye Bible acha comedy
@wigeasanyerere64516 ай бұрын
Ndg samahan binafsi me naelewa anacho maanisha n tushike neno la biblia
@titokwareh18526 ай бұрын
@@wigeasanyerere6451hakuna siku anaongea bila kuponda wachungaji wenzake mara sijui wezi, waongo. Nani asiyejua hapa duniani kuna waongo na wezi? But yy kila akiongea anaponda ukristo kwann asijikite kuhubiri Bible. Ukishasema majivu ni ishara ya toba hyo inatosha why ulete tena comedy mara wengine wanajipaka sijui kama nn. Ttzo anajifanyaga kuongea sana comedy mpaka ana bore. Afundishe neno la Mungu inatosha comedy za nn
@johnmwanja44766 ай бұрын
Namuelewa ssna mchungaji juu ya ukweli ktk Injili....Tuache kuburuzwa na sheria za dini/ dhehebu bali tujifunze nini neno la Mungu( Injili) linasema. Barikiwa saana mchungaji.
@EuphrasiaNtawatawa6 ай бұрын
Amesema tusome neno,tujifunze neno,tulijue neno tuliishi neno,bila neno la Mungu turaburuzwa tu
@NgengeMkeni-uo5hq6 ай бұрын
Kama anakukera basi ujumbe umekuingia vilivyo😂.. safi sana