mbona umbali wa dom-dar ni mdogo kuliko umbali wa katavi-dom, c mngemleta dar kwa gari tu
@samsonsamwel87823 ай бұрын
Na mchunge kutoa taarifa kamil na ikiwezekana mpeleken hata Kenya hapo watamvzia kumalizia
@SamoMgore-x3v3 ай бұрын
Huyo rpc ni WA serekali hii mnayoishbulia Kila siku au??
@LaurentMpilu-qe6lq3 ай бұрын
Danadana Mpira wenye chenga nyingi
@InjiliyaUfalmetv3 ай бұрын
Mungu aliyemlinda uhai wake usipotee ndo Mungu atamponya Ameen
@davidmalisa80433 ай бұрын
@@InjiliyaUfalmetv hamna kulinw hapo
@SamoMgore-x3v3 ай бұрын
Poleni sana
@prospersteven45643 ай бұрын
Poleni saana
@swaibushemdoe21433 ай бұрын
Kwanini msichukue V8
@exprodigitaltechtv55713 ай бұрын
Sas V8 ndo ambulance?
@AlHamra-k4u22 күн бұрын
Huyu mgonjwa ilitakiwa akimbizwe south Africa au Kenya kwa hapa Tz watamuwinda nakummalizia
@YangaNews3 ай бұрын
Nyie akili ndogo sana 😢
@fridayjkajange12473 ай бұрын
Chukua visa ninda nje ya nchi utanishukuru badae
@HijaSaid-xd7fg3 ай бұрын
Mpelekeni Kenya, wasije wakammalizia
@deborahmchona55843 ай бұрын
SASA Dodoma mgeendaoja Kwa moja mpka dar
@danielndam59973 ай бұрын
Askali wanalinda nn eneo la tukio?
@cheiknamouna20583 ай бұрын
Mnakaa kungoja ndege wakati kuna luxury bus mngechukua hata private ila yote kwa yote apewe ulinzi hata ikiwezakana apelekwe nje ya nchi sina iman na serekali yetu imebeba watekaji kukilinda chama tu😭😭
@KilingohJuma3 ай бұрын
Unaongea sana bila vtendo , katavi to Dar usafl upo na Kuna mabas mazur sana, ninyi mnasubili ndege , are you serious ,acheni uzembe
@ndukulusudikucho_3 ай бұрын
Tanzania ni Nchi ya Amani saaana ila kwa wanao funga midomo, watekaji hawakuwa na lengo la kumuua yaelekea lengo ni kufikisha ujumbe au walivyoona media zimeanza kurusha wakaona Isiwe tabu , hizi taarifa siku hizi zinafika Dunia nzima na ndio mambo yanayo ichafulia Nchi , kwenye ripoti ya haki za Binam kwa Tz sio nzuri saana , huwa wanatahadharisha saana watu wao wakija kufanya utalii
@nzitogondwe99763 ай бұрын
Rais wenu sio
@MusaJuma-jr7wb3 ай бұрын
Ingekua mbunge maeezezo yotehayo yangekuepo
@msakadoobongeladada-uh3sk3 ай бұрын
hapana
@HijaSaid-xd7fg3 ай бұрын
Kwa hiyo uma wasipojua alike ndio usalama wake, au wasiojulikana ndio hawatakiwi kujua,
@davidmalisa80433 ай бұрын
Hawawez uma tumeshajua
@HaulSidney3 ай бұрын
Hivi hawa watekaji ni dini gani? Mbona hawana huruma? Pole sana,
@beinafuu62193 ай бұрын
Watekaji hinaonyesha bado watu hawatak kuua ndo maana kila mbombo yanagoma lisu na huyu vinagoma mama samia saidia hawa watu mama wanakutis ubaya
@davidmalisa80433 ай бұрын
Kwan alionywa ache matus au harakati utakufa brazer acha watu wafanye yao wewe raia tu wako wanene wahii nchi