Sativa kupatiwa matibabu Dar, ndege yapata dharura

  Рет қаралды 7,495

Mwananchi Digital

Mwananchi Digital

Күн бұрын

Пікірлер: 38
@Mariam-w9s3b
@Mariam-w9s3b 3 ай бұрын
Mnajua kutufunga kamba kumbe Kwa Gari angeweza kufika vp mkae kusubili ndege?
@mussasuleiman1302
@mussasuleiman1302 3 ай бұрын
Ple sn mungu atampa nfuu
@IMANWILLIAM-bl2ui
@IMANWILLIAM-bl2ui 3 ай бұрын
mbona umbali wa dom-dar ni mdogo kuliko umbali wa katavi-dom, c mngemleta dar kwa gari tu
@samsonsamwel8782
@samsonsamwel8782 3 ай бұрын
Na mchunge kutoa taarifa kamil na ikiwezekana mpeleken hata Kenya hapo watamvzia kumalizia
@SamoMgore-x3v
@SamoMgore-x3v 3 ай бұрын
Huyo rpc ni WA serekali hii mnayoishbulia Kila siku au??
@LaurentMpilu-qe6lq
@LaurentMpilu-qe6lq 3 ай бұрын
Danadana Mpira wenye chenga nyingi
@InjiliyaUfalmetv
@InjiliyaUfalmetv 3 ай бұрын
Mungu aliyemlinda uhai wake usipotee ndo Mungu atamponya Ameen
@davidmalisa8043
@davidmalisa8043 3 ай бұрын
@@InjiliyaUfalmetv hamna kulinw hapo
@SamoMgore-x3v
@SamoMgore-x3v 3 ай бұрын
Poleni sana
@prospersteven4564
@prospersteven4564 3 ай бұрын
Poleni saana
@swaibushemdoe2143
@swaibushemdoe2143 3 ай бұрын
Kwanini msichukue V8
@exprodigitaltechtv5571
@exprodigitaltechtv5571 3 ай бұрын
Sas V8 ndo ambulance?
@AlHamra-k4u
@AlHamra-k4u 22 күн бұрын
Huyu mgonjwa ilitakiwa akimbizwe south Africa au Kenya kwa hapa Tz watamuwinda nakummalizia
@YangaNews
@YangaNews 3 ай бұрын
Nyie akili ndogo sana 😢
@fridayjkajange1247
@fridayjkajange1247 3 ай бұрын
Chukua visa ninda nje ya nchi utanishukuru badae
@HijaSaid-xd7fg
@HijaSaid-xd7fg 3 ай бұрын
Mpelekeni Kenya, wasije wakammalizia
@deborahmchona5584
@deborahmchona5584 3 ай бұрын
SASA Dodoma mgeendaoja Kwa moja mpka dar
@danielndam5997
@danielndam5997 3 ай бұрын
Askali wanalinda nn eneo la tukio?
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 3 ай бұрын
Mnakaa kungoja ndege wakati kuna luxury bus mngechukua hata private ila yote kwa yote apewe ulinzi hata ikiwezakana apelekwe nje ya nchi sina iman na serekali yetu imebeba watekaji kukilinda chama tu😭😭
@KilingohJuma
@KilingohJuma 3 ай бұрын
Unaongea sana bila vtendo , katavi to Dar usafl upo na Kuna mabas mazur sana, ninyi mnasubili ndege , are you serious ,acheni uzembe
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 3 ай бұрын
Tanzania ni Nchi ya Amani saaana ila kwa wanao funga midomo, watekaji hawakuwa na lengo la kumuua yaelekea lengo ni kufikisha ujumbe au walivyoona media zimeanza kurusha wakaona Isiwe tabu , hizi taarifa siku hizi zinafika Dunia nzima na ndio mambo yanayo ichafulia Nchi , kwenye ripoti ya haki za Binam kwa Tz sio nzuri saana , huwa wanatahadharisha saana watu wao wakija kufanya utalii
@nzitogondwe9976
@nzitogondwe9976 3 ай бұрын
Rais wenu sio
@MusaJuma-jr7wb
@MusaJuma-jr7wb 3 ай бұрын
Ingekua mbunge maeezezo yotehayo yangekuepo
@msakadoobongeladada-uh3sk
@msakadoobongeladada-uh3sk 3 ай бұрын
hapana
@HijaSaid-xd7fg
@HijaSaid-xd7fg 3 ай бұрын
Kwa hiyo uma wasipojua alike ndio usalama wake, au wasiojulikana ndio hawatakiwi kujua,
@davidmalisa8043
@davidmalisa8043 3 ай бұрын
Hawawez uma tumeshajua
@HaulSidney
@HaulSidney 3 ай бұрын
Hivi hawa watekaji ni dini gani? Mbona hawana huruma? Pole sana,
@beinafuu6219
@beinafuu6219 3 ай бұрын
Watekaji hinaonyesha bado watu hawatak kuua ndo maana kila mbombo yanagoma lisu na huyu vinagoma mama samia saidia hawa watu mama wanakutis ubaya
@davidmalisa8043
@davidmalisa8043 3 ай бұрын
Kwan alionywa ache matus au harakati utakufa brazer acha watu wafanye yao wewe raia tu wako wanene wahii nchi
What's in the clown's bag? #clown #angel #bunnypolice
00:19
超人夫妇
Рет қаралды 11 МЛН
🕊️Valera🕊️
00:34
DO$HIK
Рет қаралды 7 МЛН
Это было очень близко...
00:10
Аришнев
Рет қаралды 3,6 МЛН
Kilichojiri kesi ya padri na wenzake wanane tuhuma za mauaji ya Asimwe
2:14
MAJALIWA AFICHUA 'MADUDU' KIGAMBONI, ATOA MAAGIZO HAYA
15:03
Daily News Digital
Рет қаралды 8 М.
HATUNA VYUO VIKUU.
10:53
WACHOKONOZI
Рет қаралды 8 М.
What's in the clown's bag? #clown #angel #bunnypolice
00:19
超人夫妇
Рет қаралды 11 МЛН