Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.... Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Пікірлер: 35
@mrambadiana96783 ай бұрын
Imagine alivo mzuri hivo na ajachagua kazi alafu kuna malaya anasubir akadange ndo ale🙌.. Keep going beautiful dada❤
@JescaMuyabi-ix8ly3 ай бұрын
Hongera mpendwa kwa kujitoa mungu azidi kukupigania katika kazi yako
@mugishamajeba96283 ай бұрын
dah Chenyewe nikizuli barah ongera dada aaswa we nimuzuli na utumii mukorogo Asante sana
@monicambuya-sq9ms3 ай бұрын
Dada nimekupenda bure ulivyo mzuri hutumii mkorogo piga kazi dada Mungu akutetee
@neemaisrael6884 ай бұрын
Hongera ni kazi ambayo wengi wanaogopa Maiti . Chapa kazi dada.
@RestutaTusime3 ай бұрын
Unaweza
@isaacjosephjoseph27333 ай бұрын
Uko sawa dadaa wewe fanya kazi
@innocentchristopher75713 ай бұрын
Namalizia coz hii pia Bugando tunaipenda san hawa watu hawasumbui kabsaa tofaut na. Alie hai i like my job
@sudymgeni7014 ай бұрын
Nimempenda bidada mana Yuko wazi sana.napia anapenda kazi yake.safi sana my dada piga kazi. Msisikilize ya watu.
@twiseghekisilu88454 ай бұрын
Mzuri mwenyewe Mungu akutunze
@joycekaje87553 ай бұрын
Hondera sana dada,ila ningekushauri,ulivyo na hiyo roho.Aply Nchi za nje ,kama Europa na Marekani utalipwa vizuri mno
@AshaRamadhani-r2o3 ай бұрын
Hongr dada mingu akupe moy
@jamillahkheir65364 ай бұрын
Mzuri sanaa❤
@tuwenasitv96954 ай бұрын
Big up sister🎉
@SophiaNamala4 ай бұрын
She is beautiful
@martha47883 ай бұрын
Dada Mremboooo
@salummussa11394 ай бұрын
Huyu shangazi mzuri mashallah
@danielx84 ай бұрын
Africa kifo watu wana kiogopa sana,
@innocentchristopher75713 ай бұрын
Dada mzur San
@ShabanMainde4 ай бұрын
Sina witoo jaman
@emanuelleopod39494 ай бұрын
Ile unafunga tu jokofu mara unaskia oy sister ee me sijafa bhana😂😂😂😂
@kamarhelo4 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@Salmakikuli4 ай бұрын
Sas si anamtoa kwa frig
@aminamareta92973 ай бұрын
Dada mimi nakupongenza sana kanzi nikanzi kwavire unapokea pesa yako ya alali piga kanzi kwamimi kiupande wangu siwenzi ila nakupongenza sana sana pambana
@ArnoldJoely4 ай бұрын
KAZI NJEMA SISTER
@CalmGlassRose-oy3qv3 ай бұрын
Tuelewe neno ina uwito tena ina uwito hasa
@EsmaIsaack4 ай бұрын
Jmn mm sijaelewa Mkoa wa Temeke ni wapi?
@KemilembeRutatinisibwa3 ай бұрын
Temeke ni hospitali ya mkoa wa Daresalaam.
@AishaIddy-bt3rl3 ай бұрын
Mimi Pia Huwa Siujui Huo Mkoa Wa temeke
@AholeLifilima4 ай бұрын
Nishushe ata mshahara Milioni 😂😂😂
@mwanakombopopo51174 ай бұрын
Maiti haitishi ila ikifa vibaya ndio utusha hongera dada chapa kazi kwa moyo na bidii Allah yuko pammoja nawe
@witnesrobson4 ай бұрын
Ni mrembo malikia wa nguvu
@babynahya80384 ай бұрын
Mmmh saf dada ila moyo uwo daaah kiukweli sina uongo zambi ila nakupongeza kipenzy
@habasJafar4 ай бұрын
Mdogo wangu fanya kazi nawala usiogope ninakumba ufanye uolewe kama huja olewa kwakuwa ukiondoka kuenda nyumbani upate mtu wakukuliwaza