WAZIRI MKUU AWACHANA TRA MBELE YA WAFANYABIASHARA KARIAKOO "Rais anatamka unakuwa na mashaka"

  Рет қаралды 116,481

EastAfricaTV

EastAfricaTV

Жыл бұрын

Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Пікірлер: 102
@salumhamoud-dv3nf
@salumhamoud-dv3nf Жыл бұрын
Muheshimiwa nakuelewa sana. Na pia una faa kia raisi. Asante sana
@nizarurassa6480
@nizarurassa6480 Жыл бұрын
Kauli ya waziri mkuu ni maagizo kutoka Kwa raisi.
@fatumasukwaju226
@fatumasukwaju226 Жыл бұрын
Mungu akuweke muheshimiwa.Fata nyayo za Mwenazake.
@samoramollel
@samoramollel Жыл бұрын
Mungu pekee ndio mkombozi kwa watanzania wote
@kabulukimati
@kabulukimati Жыл бұрын
Mungu.wa.mbinguni.mbariki.raisi.wetu..mbariki.waziri.mkuu.wetu.kiukweli.wametupa.faraja.na.amani.sisi.wafanya.biashara.ushauri.kuna.baahi.ya.wizara.zinatakiwa.zifunjwe.au.zifanyiwe.mabadiliko.zikiwepo.wizara.ya.fedha.na.biashara..ni.maono.yangu
@hadijauledi6995
@hadijauledi6995 Жыл бұрын
Hongera muheshimiwa waziri wetu kwa kutatuwa kero zetu asante muheshimiwa 🙏
@albertinamichael6123
@albertinamichael6123 Жыл бұрын
Rushwa inaanzià juu kwenu
@salummohamed2689
@salummohamed2689 Жыл бұрын
Tatizo sio TRA, tatizo ni kuwa WAUMINI wanaishi kama KUHANI WAO.
@salomembiro5017
@salomembiro5017 Жыл бұрын
Kweli baba Majaliwa, hali siyo nzuri kabisa
@NgelelaLuchagulaMasalu-bg5xu
@NgelelaLuchagulaMasalu-bg5xu 6 ай бұрын
Asante mweshmiwa waziri mkuu chapa kazi mkuu na kazi iendelee
@FatnaAlly-fh7qj
@FatnaAlly-fh7qj Жыл бұрын
Allah mashallah ubarikiwe semaaa semaaa baba wafanya biashara wanapata tabu mungu akutie nguvu ulinde haki mashallah
@ruqiyanasir7141
@ruqiyanasir7141 Жыл бұрын
Nahizo pesa zote wanazo walipisha watu zinaisha mifukonamwao katika sehemu yenye wazi walamali yauma naserekali kama TRA WEzi namba wan wanawaoneya watusana yaani pese zinazo ingia mifukoni mwawatu nyinyingi kuliko zinao ingizwa serekalini
@FatnaAlly-fh7qj
@FatnaAlly-fh7qj Жыл бұрын
Allah mpaka watu wanashundwa kuleta biashara kutoka nje Kwa ajili ya Kodi kuwa kubwa Sasa wakati wa haki umefika mabubu nao kuongea na kupata haki mashallah 💕👍👍
@christinembeye5489
@christinembeye5489 Жыл бұрын
Kweli mtu ukisafiri hata na Masanduku Mawili ru Airport Mtu Unapekuliwa na TRA mpaka Nguo za Ndani zilizomo Sandukuni zinaonekana🙈🙈 kwa sababu ya Tamaa zao, Kweli Waziri Mkuu Watu husika Washughulikiwe Kikamilifuu-
@IsackMgaya-eu5li
@IsackMgaya-eu5li Жыл бұрын
Asante sana baba kweli upo vizur na umesimama kwenye kwel ukwel lazima ujitenge
@masaimollel2525
@masaimollel2525 Жыл бұрын
Mnalindana tuu msituone sisi mafala ningewaelewa kma mwigulu ungemtengua hapohapo na km wewe hauna uwezo wa kutumbua Sasa si upeleke pendleton kwa raisi Samia kuwa waziri wa fedha hafai au mpk siku watanzani wajinyonge kwa hasara wanazoingia ndio mje kutoa pole .
@timboxlee919
@timboxlee919 Жыл бұрын
Hii ni awamu ya nne inatawala,mama hawezi kutumbua mtu, mafisadi,Rip JPM
@lemonadesoldier1377
@lemonadesoldier1377 Жыл бұрын
Nakubali
@osmankisibo5184
@osmankisibo5184 Жыл бұрын
Rip jpm
@erickabel6201
@erickabel6201 Жыл бұрын
😢
@jack2010ization
@jack2010ization Жыл бұрын
Ubarikiwe sana kiongozi
@robaichisutia4765
@robaichisutia4765 Жыл бұрын
Mungu akubariki Waziri na aibariki Tanzania
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 Жыл бұрын
Kasimu majaliwa for Presidency. Mungu akitupa huyu mtu kama Rais Tanzania itapiga hatua sana.Viongozi wa awamu hii wengi wamejikinai na kujaa kibri.
@magrethmbangama1199
@magrethmbangama1199 Жыл бұрын
Tungekuwa tumepata bonge la Rais ila mafisad hawawezi kumpa nchi
@lemonadesoldier1377
@lemonadesoldier1377 Жыл бұрын
Mmmmh
@MoriceFwaka-pt4bp
@MoriceFwaka-pt4bp Жыл бұрын
Hongera Sana mweshimiwa tunakuamini Mungu akurinde
@FatnaAlly-fh7qj
@FatnaAlly-fh7qj Жыл бұрын
Allah honfera sana muheshimuwa wa ziri
@chackym4416
@chackym4416 Жыл бұрын
Next presdent
@yusuphmaharage2739
@yusuphmaharage2739 Жыл бұрын
Safi sana waziri mkuu
@dennishyera5448
@dennishyera5448 Жыл бұрын
Nusu Mungu wafukuzwe kazi, waje waone maisha uraiani.
@jacklinelucas
@jacklinelucas Жыл бұрын
Kwan Mheshimiwa amewajua vizuri tu dawa inChemka
@darasibrown6084
@darasibrown6084 Жыл бұрын
Hili swala la kodi na kujua haki ya mtu binafsi yan haki yako ilibidi hii misingi tuwekewe toka dalasa la kwanza had la saba kwenye mtaala watoe aiba na michezo waweke hili somo kila mtu atajua wajibu wake
@NRI_1
@NRI_1 Жыл бұрын
Curruption too much in Tanzania
@monicachacha455
@monicachacha455 3 күн бұрын
safiiiii
@MiriumWajey-lr1tq
@MiriumWajey-lr1tq Жыл бұрын
Kodi zimekuwa changamoto
@servaspilato7892
@servaspilato7892 Жыл бұрын
Ama kweli majaliwa sijawahi kukukibali iLa hapa baba kagombee uraisi niko pamoja na wee
@albertinamichael6123
@albertinamichael6123 Жыл бұрын
Selikari ni wewe tu mheshimiw
@chachamakenge8367
@chachamakenge8367 Жыл бұрын
Mheshimiwa,waziri mkuu,nakisa kimoja,kuna mtu yuko gerezani,chakushangaza alikuwa na mtandao wa TRA feki yeye akiwa kiongozi wao ,alikuwa anawaongoza kwa njia ya simu akiwa gerezani,hivyo kuna watu wanaojifanya ni kutoka TRA, hivyo kuna uwezekano mkubwa wafanya biashara huwa wanatapeliwa
@user-hc2hl6sn7o
@user-hc2hl6sn7o Жыл бұрын
Sawa mh.
@emanuelsamson-hq2jv
@emanuelsamson-hq2jv Жыл бұрын
Asante waziri mukuuu
@SayakuluAyubu-my9kr
@SayakuluAyubu-my9kr Жыл бұрын
Ruswa, iko hivi Mimi nnataka Nida nikienda kule ofisi ya Nida naambiwa let Nida ya mama yangu Ana maka 60 Hana Nida hapo inakuwaje, Mali IA mwengewe
@tatoorashedi1787
@tatoorashedi1787 Жыл бұрын
Tatizo mnaongea tu mngekuwa mnaonyesha mfano mkifukuza 5 .6 hawa wengine watajifunza
@AbdillahSOthman
@AbdillahSOthman Жыл бұрын
Magufuli angetumbua zaman hao jamaa.
@mayranehemia9469
@mayranehemia9469 Жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏
@arthalesha5825
@arthalesha5825 Жыл бұрын
Eti hawana tv😂😂
@MlelwaErasmo
@MlelwaErasmo 11 күн бұрын
Wazili. Mkuu safisana.
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies Жыл бұрын
Bonyeza hapa kutazama filamu mpya za bongo movie
@SabinaRaphael-tr1ws
@SabinaRaphael-tr1ws Жыл бұрын
Byby ni bymyniUT
@rabwarab574
@rabwarab574 Жыл бұрын
Nawaheshimu wabunge wote wanaopita ktk majimbo yao bila kupingwa mfano waziri mkuu kassim majaliwa na Hayati Jpm na profesa Mwandosya hawana mba mba mba❤
@kennbleirmboya9700
@kennbleirmboya9700 Жыл бұрын
tz kikubwa uzima
@alibushiri4725
@alibushiri4725 Жыл бұрын
Namkubali wazir mkuuu kuliko mama
@MjuniJeremiaStephanoZaka-nu8dj
@MjuniJeremiaStephanoZaka-nu8dj Жыл бұрын
Tuna imani na wazuri wetu mkuu alistahili kuwa raisi wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania
@MlelwaErasmo
@MlelwaErasmo 11 күн бұрын
Ulifaa. Kuwa rais. Inafaa 5:37
@hapietz
@hapietz Жыл бұрын
All
@matukutajuma156
@matukutajuma156 Жыл бұрын
HONGERA MSAIDIZI WA MH RAIS UNAELEWEKA!! KUMAliIZIA RUSWA ITISHA KURA YA SIRI MUHIMU KUBAINI!
@noahlameck1564
@noahlameck1564 Жыл бұрын
Mbona sijamuona baba levo akiongea apo kariakoo
@allykihambwe6690
@allykihambwe6690 Жыл бұрын
Mh,waziri mkuu jambo Hilo TRA nitabia Yao raisi ameagiza wafanyabiashara wanaoanza biashara wasilipishwe Kodi laki jambo Hilo halitekelezwi mpaka Sasa kwani Kuna kampuni imesajiriwa ivi karibu I MWEZI wa tatu hata kazi haijaanza imepipishwa Kodi ningepata nafasi ya kukuona ningekuletea ushahidi wa Kodi tuliyolipa kabla ya kufanya kazi.
@jacklinelucas
@jacklinelucas Жыл бұрын
Hapa nyinyi TRA wezi wakubwa nasasa kuna kamat imeundwa muangalien msije mwagiwa chakula chaa watoto wenu Wazazi wamewasomesha mnataka kuharibu kazi angalien
@jacklinelucas
@jacklinelucas Жыл бұрын
Mnatubana sana na mtahamiswa hapo
@DavidMbwilo-qk1bz
@DavidMbwilo-qk1bz Жыл бұрын
TRA nawachukiaa sana kinachowaponza ni maisha ya starehe wanayoiga ndio maana wanakosa uadilifu katika kazi
@neemamuro8001
@neemamuro8001 Жыл бұрын
Waziri kwasasa tunatwangia maji kwenye kinu. Tangu Magufuri afe walarushwa wamepewa nafasi tena. Hawana wakuwakemea. Mbona wakati wa Magu hayakuwepo?.
@LukasMamuya-ub1ot
@LukasMamuya-ub1ot Жыл бұрын
Mzee nimekuelewa
@mussakimaro5588
@mussakimaro5588 Жыл бұрын
Mama Samia kwani anasemaje kuhusu mwigulu
@ashahassan2120
@ashahassan2120 Жыл бұрын
Hyu ndo anapajua raisi jamani
@marymremi1051
@marymremi1051 Жыл бұрын
Mungu mkubwa mie wakati wa kitilya nilizuiwa contena la toi likazuiwa na ikawa mwisho wa biashara
@lemonadesoldier1377
@lemonadesoldier1377 Жыл бұрын
Pole Sana dada Mungu atakutetea
@telaamtauta2227
@telaamtauta2227 Жыл бұрын
Pole sana Mungu atakulipiya kwa dhulma walio kufanyia
@jacksondavid6854
@jacksondavid6854 Жыл бұрын
bonge lakiongozy
@masikitikomwakyonde1259
@masikitikomwakyonde1259 Жыл бұрын
Dah ila waziri huyu anapiga kazi ongera sana Mzee najua kutetea Haki ni kazi sana MUNGU aendelee kukulinda
@charlesmanase4507
@charlesmanase4507 Жыл бұрын
Basi awe rais tu
@abdulhakeem959
@abdulhakeem959 Жыл бұрын
KUNA JAMAA LIMESIMAMA NYUMA YA WAZIRI MKUU,NALIGANANISHA NA ROBOTI MVU LA MAREKANI
@godymbanyi1878
@godymbanyi1878 Жыл бұрын
Mheshimiwa Waziri Mkuu, hawa wafanyabiashara msiwalegezee kila kitu! Wana mambo mengi yanayokosesha serikali mapato. Wasionewe lakini nao wawe waungwana na wakweli! Biashara zimejaa ujanja mwingi.
@anthonysindabaha7517
@anthonysindabaha7517 Жыл бұрын
Kwahyoo tukusaidieje
@giftkalenge418
@giftkalenge418 Жыл бұрын
Wafanyabiashara ni wajanja sana inabidi kuwa making wafanyabiashara wengi hawana maduka na wanauzia kwenye stop na tra wakienda kwenye duka wakifanya assement anonekana anabiashara ndogo wakati Biashara anafanyia stoo
@dannyelias382
@dannyelias382 Жыл бұрын
Ko unatakaje?
@harunhateeb218
@harunhateeb218 Жыл бұрын
Hujui chochote kuhusu biashara sio lazima uchangie
@mustaphabussinescenter4127
@mustaphabussinescenter4127 Жыл бұрын
We unalazamisha utukanwe embu teacher tushachoka sisi
@jadenmsafi
@jadenmsafi Жыл бұрын
Ko uatakaje we mpuuzi nn we stupid
@yusuphsanga7194
@yusuphsanga7194 Жыл бұрын
Huna hela
@soniaemmanuelmataro9414
@soniaemmanuelmataro9414 Жыл бұрын
Na simu wanazotupigia ni kero,
@HusseinSaguti
@HusseinSaguti Жыл бұрын
Niko tayali
@rehemarwanda6039
@rehemarwanda6039 Жыл бұрын
TRA MJIPANGE UPYAA
@menaldmbilinyi3518
@menaldmbilinyi3518 Жыл бұрын
Chekeni
@ThomasSanga-eo8db
@ThomasSanga-eo8db 6 күн бұрын
Saf
@samyspesho1698
@samyspesho1698 Жыл бұрын
WANASIASA WANAFKI SANA
@lemonadesoldier1377
@lemonadesoldier1377 Жыл бұрын
Uko sahihib, Mwamba alikuwa jpm tu
@masikitikomwakyonde1259
@masikitikomwakyonde1259 Жыл бұрын
Viongozi wetu ni jeuri tu kweli kabisa ni agizo tatizo viongozi wanajifanya Miungu watu
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw Жыл бұрын
Wapo Kwa ajili ya mifuko Yao na advantage ni Kwa kuwa wananchi hawana elimu ya Sheria hizo Sheria haipo kwengine duniani wanajua Sheria.
@frankmwakalinga7455
@frankmwakalinga7455 Жыл бұрын
❤ Hongera sana waziri mkuu kwa busara zako na hekima zako God bless you 🙏🙏🇹🇿
@christinagervas2134
@christinagervas2134 Жыл бұрын
06:04 "waziri mwenye dhamana na wizara yake, makamu wa rais w/mkuu na raisi wakitoa maelekezo kwa mamlaka chini yao ni agizo" Then tunategemea Mwigulu aache kutoa matamko ya kukandamiza raia kupitia mamlaka zilizopo chini yake mfano hao TRA Ilihali washasema tamko la waziri ni agizo?
@godymbanyi1878
@godymbanyi1878 Жыл бұрын
Tufuate sheria.
@NRI_1
@NRI_1 Жыл бұрын
TRA و ZRB ، الهجرة كلها أكثر الناس تقيدا في تنزانيا
@ndimimaskati3641
@ndimimaskati3641 Жыл бұрын
Polisi hawahusiki kukagua wafanyabiashara , kuna sheria kandamizi.
Matukio MATANO YALIYOTIKISA Mkutano wa JPM na WAFANYABIASHARA
27:07
Global TV Online
Рет қаралды 1,2 МЛН
Получилось у Вики?😂 #хабибка
00:14
ХАБИБ
Рет қаралды 6 МЛН
THEY WANTED TO TAKE ALL HIS GOODIES 🍫🥤🍟😂
00:17
OKUNJATA
Рет қаралды 14 МЛН
When You Get Ran Over By A Car...
00:15
Jojo Sim
Рет қаралды 12 МЛН
#LIVE: WAZIRI MKUU AIBUKA KARIAKOO SAKATA LA WAFANYABIASHARA KUGOMA
48:56
Получилось у Вики?😂 #хабибка
00:14
ХАБИБ
Рет қаралды 6 МЛН