Amen ni mwaka wa baraka za kurejeshewa tulivyopoteza, Mungu wangu nikumbuke, nirejeshee huyo aliyekuwa my pride.
@pendomushi63519 ай бұрын
Huu mwaka ni mwaka wa baraka mwaka wa kufunguliwa ni mwaka wa neema tuendelee kumwamini Mungu tutaona mengi kwenye huu mwaka ! Ashukuriwe Mungu
@juniorsonofgod56759 ай бұрын
Amen
@idanysedrc12009 ай бұрын
Geita kama kawaida Yao wameufungua mwaka!! Hii tabia ya kuchukua watu misukule ipo sana usukuman kikubwa ni kumshikilia mungu!!
@mussatete26189 ай бұрын
Hahahahhhhhh geuta wamefungua mwaka 😂😂😂
@OfficialA836409 ай бұрын
Allah awarehem wazazi wangu na ndugu zangu km kuna hizi imani basi mie nilimuachia Mungu kila kitu yy ndy ajuae Alhamdulillah 🙏
@ireneelishaalphayo67489 ай бұрын
Mungu ni mwema sana sisi tunaofunga nakuomba kuombea wengine maombi yetu hayatakuwa bure kabisa watafunguliwa na wengine waliofungwa kwa jina la yesu🙏🙏🙏
@subiraEgid-p6t9 ай бұрын
Naomba uniombee my dad's name is god danda
@AdonKamota-s1u9 ай бұрын
Watu wengi Wana kufa kimiu jiza wanao kufa kifo cha mungu niwa chache sanna uchawi upo sana Bina dam wengi wachawi sana mshukur mungu sana dada
@vicentrogers94659 ай бұрын
Asee kweliii😢😢
@robertadolf5629 ай бұрын
serikali haiyamin uchawi
@AdonKamota-s1u9 ай бұрын
@@robertadolf562 kuka taA serekari sawa kwakuwa vile vitu Avio nekani kwaji cholaka waida kwaiyo ngum sana kuru husu waki ru husu watu wata uwana Sana una weza kuwa na chuki namimi una ni zushiAtu mchawi una niuwa kwakuwa selekari imeru husu kwaiyo muo mbe mungu ya sikukute u kweli uchawi upo sana
@MwambaForreal18 күн бұрын
Mungu uishiye na kumiliki milele, nikumbuke nitendee mwujiza na mimi, unirejeshee my baby girl.
@ChikalaPeter8 ай бұрын
Mungu nakuomba mamangu arudi maan naamini hakufa kwa mipango yako
@RobertRobbin-k3u9 ай бұрын
Mungu nakuomba baba angu aludi maana najua wamemchukua
@ChenchiKing9 ай бұрын
Jamani Tumrudiy Mungu Tu Kwa7bu Yey Ndo Muwez Wa Yote🙏🙏🙏🙏
@JastinBanda-q5n8 ай бұрын
Pelekeni kwenye masheik. Noma Sana. Mwenyezimungu mkubwa. Aliye muweka amezidiwa uchawi wake hawuna Tena nguvu. Duuh. Rima Hilo. Atibiwe dua nyingi
@PascalChales-r7o9 ай бұрын
Bwana nakuomba unipe mwisho mwema pale utakaponiita😭😭😭🙏
@SirthomasZawad9 ай бұрын
Mungu ashukuriwe sana, na aendelee kutenda kazi
@eliusfrolian-iw9uy9 ай бұрын
Mwenyeji upewe mitano tena maneno ya kibusara
@MaryKalunde9 ай бұрын
Bwana Mungu na mimi naomba unirudishie watoto wangu kwa jina la yesu.
@barakamanga55029 ай бұрын
Wangapi ndugu
@ransonlema39168 ай бұрын
Ubarikiwe Mh. Kwa hekima. Kifupi Injili ihubiriwe kwa bidii wachawi waokoke na waliofungwa ktk mashimo ya giza(misukule) watolewe humo Wasukuma ndo zao laana ya uchawi
@janemhangomhango58419 ай бұрын
Mungu naomba rudisha wote waliochukuliwa misukule
@magrethmpina9529 ай бұрын
Ndan ya mwaka huu mungu naomba nirudishie mwanangu🙏🙏
@MaryChilenga-n3h9 ай бұрын
❤❤❤ 🎉🎉my merry chilenga malau Dodoma
@mihayorungwecha80209 ай бұрын
Mungu nirudishie wazaz wangu nabibiangu 😢😢
@RosemaryTillya9 ай бұрын
Mungu naomba uingilie Kati watoto wangu na Ndugu zangu warudi
@BahatiKibona-j7q9 ай бұрын
Nifunguwe na mm bwana yesu .
@HawaShabani-zh2kd8 ай бұрын
MuNGU naomba na me mdogo Wang ard❤
@eleneokaguo68679 ай бұрын
Mbaya sana hii baba yangu alikuwa anatembea hadi mchana inauma sana
@samiahJoseph9 ай бұрын
dah mkuu wangu wa shule jamoon mwl magembe Itumbili sec school 🎉
@songeza3 ай бұрын
Penins umeongea kweli Mungu amrudishe Kwa kweli asikie maombi yetu
@josephatjoseph17559 ай бұрын
Nafurahi sana wanaanza kurudi kama ilivoandikwa ISAYA 42:22 Lakini hawa ni watu walioibiwa na kutekwa! Wote wamenaswa mashimoni, wamefungwa gerezani. Wamekuwa kama mawindo bila mtu wa kuwaokoa, wamekuwa nyara na hakuna asemaye, “Waokolewe!” Mnaosal majumban mnafanya maomb ya vita (EFESO 6:12) endeleen wanarudu tu taratib na maombi na mifungo yenu inafanya kazi japo Hamuon kwa macho ya nyama
@barakamatovu42779 ай бұрын
Amina. Kila kitu kitatimia we subili tu
@magigesabai86749 ай бұрын
Ndug yangu soma biblia vizur Wafu wapo kaburi mpaka siku ya kuja yesu mtu akifa amekufa hajui neno lolote MUHUBIRI 9:5 Hivyo ni vini macho vya shetani
@danielthomasmsigwa319 ай бұрын
Tahadhari! Unaingia eneo LA hatari, haya ni madanganyo ya ibilisi siku za mwisho; anatanguliza mapepo yaigize sura Za ndugu zetu kutusoma akili ilhali yeye mwenyewe anajiandaa kumwigiza YESU; 2025 tutaona mkubwa!
@Zuuh42869 ай бұрын
@@magigesabai8674sema mpaka sk ya kiama ndo hufufuka watu hiz mambo watu hufa na kuinekana n ujinga za watu ushirikina hapo tena utasikia kapote huenda hiyo n image yake tu
@magigesabai86749 ай бұрын
@@danielthomasmsigwa31 Yes hizi ni nyakati za mwisho ataigiza mpaka mfano wa kujiita Mungu
@HamisMghuna-fj3vz9 ай бұрын
Geita,misukule,n kama kawa,jamaa umerudishiwa,mkeee na Allah chuma hicho, mashaaalah,
@JastinBanda-q5n8 ай бұрын
Ndo mana wanasema kifo cha gafla siyo kizuri. Niatari sana
@ZaifahShaban8 ай бұрын
Yesu nakuomba na mm mwanangu Karimu arudi
@joycemassawe80199 ай бұрын
Huu ni mwk wa kupokea vilivyopotea ktk jina la Yesu
@deusraphael29549 ай бұрын
Tunasubiri counter attack kutoka Mkoani Njombe 😂😂
@neemapaul60859 ай бұрын
Apelekwe kwenye maombi Yesu ndio Kila kitu.
@salimmalaka2569 ай бұрын
UNGEMUOMBEA KABLA YA KURUDI KESHA RUDI SASA YESÙ WA NINI???
@uwimanajustine73138 ай бұрын
Mungu ni mungu tuuu
@gilbertkalanda93549 ай бұрын
Watakuwa walizika mtu tofauti, ndg yao alikuwa amesafiri katika utafutaji😂😂😂
@joycekisamo48969 ай бұрын
Nakubaliana na wewe. Aligongwa mwingine vibaya wakadhani ni yeye wakamzika. Hakuna mambo ya kufufuka
@Guslainmudosa9 ай бұрын
Ni mungu ule ameonekana kwa muji uyo nyuma atafasiriya aliyo yaona
@katabaroonlinetv96889 ай бұрын
Watu noma Mzee unakufa machoni mwa watu ila kiroho upo
Mungu nakuomba nirudishie baba yangu na bibi yangu najua wamemchukua
@abdallahmwanga57929 ай бұрын
Najaribu kuvaa uhusika kuwa huyo ni ndg yangu,naishi naye vp na nikamuamini ili hali tulimzika?!, Ewe mola,tujalie mwisho mwema...😭😭😭🙏
@PaulinaSemindu-ob3de9 ай бұрын
Kwakwel jmn
@janetchinga6959 ай бұрын
Naomba mungu kwajina la yesu aludi groria wetu alikufa kwakifo chakutatanisha😢😢
@spiritualrevivaltv49739 ай бұрын
Tuletee nguo zake kanisani Jumapili hii
@danielthomasmsigwa319 ай бұрын
Makanisa na wachawi sasa hivi wanaungana kuleta viini macho, ili wainue jumapili ulimwenguni na kuikanyaga sabato ya BWANA
@zulfaissa78149 ай бұрын
Uchawi upo naomba mwenyezi mungu afanye wepesi nahuyu kkaangu abas apatikane maana kapotea mazingira tatanishi mpaka ss hah
@ThomasNdaki9 ай бұрын
Poleni sana kwa tukio hilo, na poleni
@AtukuzweMwakaje6 ай бұрын
Jamani shituken mnapoona mambo kama hayo yakitukia tambuen ya kwamba mwana wa Adam Yu karibu kurudi kuja kuchukua kanisa lake kwa hiyo jamani tengenezen maisha yenu na mungu ili mwana wa Adam ajapo atuchukue na kuondoka nae
@HassanKayumbo9 ай бұрын
Mungu ni mwema sana
@ImanSaid-ox3po9 ай бұрын
Mliwapinga watu wa kigoma leo mnakubali wenyewe {uwepo wa mauzauza}
@stanleyguthia77719 ай бұрын
Mungu ni wa miujiza
@Liliana-mc2su9 ай бұрын
Mbon mi baba angu haonekani😭😭😭😭 hongeren ndug mlompata kipenzi chenu
@josephatjoseph17559 ай бұрын
Mbona vitu vya kawaida hapo. Mlizika mgomba, mti au mbwa sema mlipigwa kiini macho wanaotafuta kipande cha mti kinacholingana nae urefu ndo mnazika mara nyingi. Ndugu zetu na marafik zetu wengi wapo huko wanapigishwa kazi
@YorandaBonephas6 ай бұрын
Watu hawajiongezi hawa watu wako wanatolewa nawakamchape mungu karuhusu wakamchape wawazalilishe wachawi hata kama mnasema nao nimashetani ila mungu anambinu zake kwa kuwazalilisha mashetani hiyo nimbinu yamungu siyo kamchape mungu akawatuma kamchape wazalilishane wenyewe kwa wenyewe selekali ruhusu sasa kamchape wapite maana hii hali haikuwahi kutokea kamchape kuchachama hivi pamoja nawanainchi hii nimbinu yamungu maana kanisani wanaenda sana msikitini wanaenda sana ila kuroga hawaachi mwenyezi mungu katumia kamchape ambao nahao wanaona kwanguvu zagiza acha wapunguzane wenyewe kwa wenyewe bwana nguvu zagiza kwagiza maana polisi hamwawezi kwahiyo ruhusu kamchape wafanye kazi.
@subiraEgid-p6t9 ай бұрын
The next one is my dad❤.... mungu ameshasema anaenda kunitendea... amen
@omanmct1359 ай бұрын
Subhana ushirikina mbaya sana
@FatmaRashid-bq6yx9 ай бұрын
Nami naombea mdogo wangu arudi jaman amefariki mwez wasaba mwaka jana
@rosetreffert41799 ай бұрын
Geita Kama geita uchawi Kama chakula mrudieni Mungu
@willygwaikana9 ай бұрын
Kazi za namna hii ndizo pia zinafanywa kwenye makanisa ya leo yaliyopotoka maana shetani ana uwezo huo wa kufanya miujiza, ishara, ndoto za uongo na madanganyo ya udharimu kwa wanaopotea. Nje ya neno la Mungu hakuna usalama ila ule usalama wa udanganyifu wa moyo.
@Princewaweru9 ай бұрын
Ramba ramba fanya kazi
@jacquelinesangu15219 ай бұрын
Geita mmh!
@JenivaFidelis9 ай бұрын
Eeeeeh mungu tenda kwangu na mimi nipate ushuuda mwanangu kama alichu
@robertadolf5629 ай бұрын
...... haiamin uchawi.
@jumapiliissa48359 ай бұрын
Aisee saf sana M/MUNGU Mwema wachawi sio poa kabisa
@LizaDaniela9 ай бұрын
God is good and marvellous what He wrote in His holy bible is coming tru , God is great let this shine with God blessings, favour, success and miracle in Jesus name amen amen 🙏🙏🙏
@sabasshayo9 ай бұрын
Hakika dunia inambao mengi
@MariumMaselle9 ай бұрын
@@sabasshayo 😊😊😊😊😊pPqpp . Me
@ChumanaSusi7 ай бұрын
Niko hapa 🇰🇪 lakini tunaogopa watanzania sana kwa uchawi hasa wanawake wao. Tunaonanga watakukorogea ndumba hatari sana ya kukumaliza. Story zenyu zote ni za uchawi tuu kwa youtube
@amanisaid98639 ай бұрын
Waliomfanyia haya huyu mama Mungu awalani
@lordorcas93448 ай бұрын
Siku hi I no Siku za kutafuta Sula y’a Mungu Muumba Mungu wa Israël Izi ni Siku za Muicho Ni Taha y’a Duninia
@mauwashomari81609 ай бұрын
Awasikiaki ao wachawi, Yeyote aliye chukuliwa na wachawi Ee Mungu warudishe hote
@SwaretSwaret8 ай бұрын
Kama ni kwel bas ipo siku nitamuona mume wangu tena 😊
@JUSTAELIZEUS8 ай бұрын
Kweli au
@joycemassawe80199 ай бұрын
Na mimi ni maombi yangu kwa Mungu siku zote amrudishe kaka yangu aliyekufa ktk mazingira ya kutatanisha
@blandinakimbe89109 ай бұрын
Mungu Baba tusaidie
@BahatiBonane-x1i8 ай бұрын
Nikweli
@merckmdamu29429 ай бұрын
Harafu utasikia serikali inasema haiujui uchawi!! 😢😢 Wanaofanyaga tabiahii wangeenderea kufyekwa panga hiitabia isingekuepobwana
@fridaernestmkedege9009 ай бұрын
Baba hayo ni maagano... hawawezi kuyaacha. Mungu tulinde 🙏
@ericsonkibasa75139 ай бұрын
Kwa hiyo huyu anajua raisi bado ni magufurii😢
@sositenesssabuni24809 ай бұрын
Tunaomba Mungu umrudishe Magufuli
@milkahnyaboke28918 ай бұрын
Mungu atarudi kuatayari wenzangu
@sarahfesto84119 ай бұрын
Mhhhhh Mungu atusimamie
@peninashungu66339 ай бұрын
MWENYEZI MUNGU MULUDISHE NA MAGUFURI
@pendoyese44529 ай бұрын
Jamani arudi na magufuli maana utakuwa shangwe kwa wengi
@wauwetz34269 ай бұрын
Kwel amludishe aise
@JrSalim-b4f9 ай бұрын
Hapo Itakua miujiza ya wagalati?
@sadiqrifay54489 ай бұрын
Labda sinia za pweza
@JonathanNelson-l8h9 ай бұрын
Magu akilud litokea shangwe kubwa😂😂
@nashonwilson58729 ай бұрын
Duuh! Hatari hiyooo!
@yudatadeimdoe92159 ай бұрын
😂😂😂 mhojini alikua wap na alikua anafanya shughuri gan huko aseee so poa😅😅
@JenivaFidelis9 ай бұрын
Joansen wakurudishe kwa jira la muumba
@hassandido88798 ай бұрын
Mbona iwe huko Tanzania tuu tena mkowa wa geita kijana mwingina mwaka jana hivo hivo
@khalifasultan26779 ай бұрын
Mme Wake Atakuwa Alishaoa,Maana Toka 2020 Hadi 2024 Duh Sio Poa😹😹😹
@LinaJames-q8k8 ай бұрын
Mungu atusaidie
@GodianBuliba9 ай бұрын
Bwana ametendaaa .
@KulekatsengeHaruni-sb6qc9 ай бұрын
Mungu nimwema
@johnmalembo64649 ай бұрын
Acheni kudangangana... Mpime DNA ya huyo mama na kaburi la aliyezikwa lifukuliwe na maiti ipimwe DNA..... Hakuna u chawi kama huo... Mkuu...wangu usiamini bila utafiti wa kisayansi....hapo umekosea...agiza vifanyike vipimo vya DNA happ...majibu yako wazi
@beatusgosbert-qb6sy9 ай бұрын
Mungu naomba umrudishe Mama yangu.
@stanleyguthia77719 ай бұрын
😂😂😂😂 God is able to do exceedingly abundantly above all that we can do or think. HALLELUYAH
@WinfredNjambi7 ай бұрын
With GOD everything is possible
@RosemaryLushinge9 ай бұрын
Polen sana Wana GEITA wezangu, tumuongope MUNGU jamam
@elizabethmuli59119 ай бұрын
Wenye wana chukua watoto wa watu MISUKULE,waliko wekwa hayo makao yawatapike hata kama ni bahari
@eliudmkumbwa56819 ай бұрын
Mungu fufua na mama yangu pia fufua na Magufuli pamoja na Kanumba😢😢😢
@zenamajura69559 ай бұрын
❤❤
@emmanuelyohana89409 ай бұрын
Shikamooo uchawi😂😂😂😂😂😂😂
@RachelCharles-ok1eb9 ай бұрын
Mungu ni mwema
@PascalChales-r7o9 ай бұрын
Bwana mungu nakuomba na Mimi uniludishie mtoto wa Dada yangu 😭😭😭😭🙏
@robertadolf5629 ай бұрын
anarud kwa nguvu za Mungu muumba wa vitu vyote
@mumygerald97589 ай бұрын
Mungu kaniletee na mm mwanangu kama ulivomrudisha huyu
@husseinmaula49659 ай бұрын
Mzee hapo kwenye kisukuma ungetuekea na mkali man 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅hatuelewi chochote.
@dorahy15797 ай бұрын
Unafanya utani kwenye jambo tofauti na Siasa. Hapa siyo kupiga siasa. Ongea mambo kuhusu swala la hili tatizo. Usikifanye hujui hivi vioja ni vya kawaida huko Tanzania.
@AllyDaudiNgoyeji9 ай бұрын
Hayo aliyofanyiwa huyo mwanamke yalistahili afanyiwe yule Pauline Gekul tokana na ukatili dhidi ya yule kijana .Kama ulipizaji kisasi Kwa kuwa mnyonge Hana haki ktk mahakama za nchi hii.
@stanleyguthia77719 ай бұрын
Alikuwa ameshukuliwa musukule lakini Mungu amemuokoa