Nikiangalia napata uchungu sana moyoni lakini tumwchie mungu
@dd-yc1mw6 ай бұрын
Rais wangu bora wa muda wote. RIP shujaa wa Africa
@eliahmashala51806 ай бұрын
Daaah alikuja lakini hatukumwona,,na hata tulipomuona hatukumtambua
@eliasilivester372 жыл бұрын
gonga like kama umegundua aliyeko nyuma ya magufuli ni Bodyguard wake.
@luzigachunchu9244 Жыл бұрын
Sio bodyguard Ni mpambe wa Rais
@del-mohaa75274 жыл бұрын
Ingekua ni kenya rais au makamu wa rais asingepiga foleni angewekwa mbele au kuingia direct lkni angalieni huyu hana majigambo hana makuu aki ningekua mtanzania ningempigia mm na familia yangu yote nakuombea ufanikiwe na afya njema uzidi kuijenga tanzania
@presseg.63624 жыл бұрын
Mi nilimpigia kura na ndugu zangu na marafiki zangu wote pamoja na majirani
@francischipangapole76714 жыл бұрын
ubarikiwe sana
@emmanuelreuben50143 жыл бұрын
Ubarikiwe kwa kutambua hilo
@mikidadiharuna99063 жыл бұрын
Nakupenda laisi wangu
@xkingx80414 жыл бұрын
Unapanga msari kwenye foleni nawewe babaangu!! Tupate wapi rahisi kama wewe!!! UBARIKIWE SAAANA.
@geraldmakalala6091 Жыл бұрын
Huyu alikuwa Rais wa tofauti Sana ,alijishusha Sana, ndiyo maana Mungu alimuinua Sana,
Ona heshima ya raisi wetu ,yeye mwenyewe kapanga foleni
@zenj19864 жыл бұрын
Mzee bora upishwe na ukapige kura hako na ukapumzike. Usibirie kutangazwa na kuapishwa ili uendelee na kazi.
@jhfgbn87hshswj174 жыл бұрын
Baba usiagaike nakupaga mitano tena niyako
@prosperkullaya45294 жыл бұрын
Neno
@marygaspar64293 жыл бұрын
Ee lazima apange mana siyo Raisi kwa sasa! ni raia tu wa Tanzania lazima tuwe waelewa hapo aidha apate au akose muda tulompa mwanzo umeisha anawania tena awamu nyingine!
@paulmaziku2404 жыл бұрын
Siku hiyo body guard alifurahi kuvaa nguo za kawaida..kila muda anajiangalia.
@hassanmpwepwe82584 жыл бұрын
God bless my present jpm god bless Tanzania
@lovvy8544 жыл бұрын
Your 🎁🤣🤣🤣
@allpotentials84204 жыл бұрын
@@lovvy854 he is right men you never know may be he mean president as his zawadi from heaven 😁
@josephmaduka468 Жыл бұрын
Atakumbukwa milele hakuna kiongozi mnyenyekevu kama huyu duniani
@athumanjafar87182 жыл бұрын
Innaalilah wa innaah ilyh rajuun
@albanimusa91334 жыл бұрын
uliona wapi kiongozi apanga foleni kama si uyu..5 tena
@nicksongerson17073 жыл бұрын
Maigizo tu
@HassanNtunda10 ай бұрын
Huyu ni kiongozi wa ukweli kabisa Duniani
@benjakemwa19824 жыл бұрын
I'm in Nairobi Kenya I support Pombe for presidency
@salamakombo32574 жыл бұрын
Asante kipenzi chetu
@nrwawanndeny73944 жыл бұрын
Kwa maana we ni mlevi
@emmanuelreuben50143 жыл бұрын
Thank you
@kinyageganja29952 жыл бұрын
U
@maidamwaipopo76454 жыл бұрын
Huyu rais nampenda mpaka naumwa.mtu mwenye upendo sana
@deborahkiunoswaf59074 жыл бұрын
Ana mke lakini?
@fatmaahamad6334 жыл бұрын
Baba mitano tena huna pingamizi 💪🏻♥️
@lovvy8544 жыл бұрын
insha'Allahh kheir 🤲
@kelvinmhina1685 Жыл бұрын
Movie. Casts wote kwenye hii filamu ni planted.
@lovvy8544 жыл бұрын
BABA Umeshashinda hata usiwe na khofu mungu anakuongoza kwenye ushindi insha'Allah Khair 🙏
@salamakombo32574 жыл бұрын
Amin amin
@janekikoti21794 жыл бұрын
Amina
@NR-ll4sr4 жыл бұрын
Ameen
@josejbkbazenga30164 жыл бұрын
I support pombe from kenya
@shedadiabdul65854 жыл бұрын
Waliokuwa wanatukana Sasa hivi Aibu ya nani?Watanzania wanaelewa co Wajinga Nani Mtanzania anapenda kuongozwa na Rais anaependa Ushoga?Sisi Tunaojielewa tumempa kura lukukiiiiiii ✊tena
@juliethhouseofdesigns1474 жыл бұрын
Watz wamenifurahisha sana safari hii
@fordraymondjohnson23803 жыл бұрын
Mpaka Lisu wao aliewadangnya watanzania kuandamana barabaran keshasepa zake ubelgiji
@juniorsonofgod5675 Жыл бұрын
Huyu baba alikua mzalendo Sana sijawahi ona kwenye hii dunia
@kulwamanzimoto95784 жыл бұрын
Magufuli Ni jembe, miaka Mia 💪
@ramadhanisalum74762 жыл бұрын
Daaa nahisi vibaya kama nikimuona baba yetu mzee wetu ndugu yetu muheshimiwa raisi wetu Magufuli Mungu ailaze roho yake peponi amina Mungu aisaidie familia yake yote iliyo naki hapa duniani
@salamakombo32574 жыл бұрын
Nakupenda raisi wangu Allah kadir akutangulie akujalie ushinde
@explorelondon36952 жыл бұрын
Ni kilio kikubwa dunia yote, Baba J P M Hatutamuona Tena😢😢❤️
@kalumbugideon41592 жыл бұрын
Rais Kikwete pia alifanya vile....
@mohammedhusssein87344 жыл бұрын
Mitano tena magu👍
@eddykaswa89353 жыл бұрын
We mzee ndio maana nakukubali saaaaaana naona Kama Mungu katupatia mfalme suleiman wa pili Una hekima Sana lord will be with u forever ameen
@suleimanqassabi66024 жыл бұрын
Magufuli inshallah upate tena miaka 5 Ameen Ameen Ameen
@emmanuelbonifas2804 Жыл бұрын
Kweli kifo akina huruma tulipoteza mtu wa kuokoa taifa letu mungu akulaze mahali pema baba
@peterkailembo41014 жыл бұрын
Big up Predza
@thuvakonde25844 жыл бұрын
Mungu akujalie ushindi wakishindo ila ningekuomba ukisisitiza amani usisahau n haki pia mana bila haki amani inakuwa ya uwoga n uvumilivu kwa raia wako leo hii uhuru amna freedom of expression and speech uhuru wa vyombo vya habari amna mitandoa yamekosea nn leo mpka imetenguliwa
@rukundoibrahim8074 жыл бұрын
masha ALLAH raisi docta John pombe josef maghufuli atashinda uraisi kwakishindo ALLAH amuezeshe ili aendeleye kwa majukumu yalio bakia.
@lovvy8544 жыл бұрын
Ameen yarabill alamin insha'Allah Khair 🤲
@salamakombo32574 жыл бұрын
Amin
@africandarling69254 жыл бұрын
Magufuli Oyeeeee tena kwa Magu wake Oyeeeeeeeeeeeeee
@mohammedkimanga89604 жыл бұрын
Allahuma ameen ya rabbali alameen
@rukundoibrahim8074 жыл бұрын
@@africandarling6925 kinacho nifurahishaga kwake namna anachukia dhulma kwa waja wa ALLAH.
@jabalimikechi77504 жыл бұрын
What a leader you are salut Sir, tanzanian you guys are very lucky to have him as a president MAGUFULI hoyeeee 🇿🇦🇿🇦🇨🇩🇨🇩
@hadijachakori23524 жыл бұрын
Mung akulinde sana rais wetu tz ya amani
@venancemalima11813 жыл бұрын
Haijawahi kutokea Duniani jamani ni mpango wa Mungu tu Kuwa na Kiongozi kama huyu.
@mussamchena95954 жыл бұрын
Mitano tena huna mpnzani
@husseinbakromar58654 жыл бұрын
Namuombea John pombe magufuli ashinde awam ya pili azidi kuonesha mifano kwa Marais wa bara Africa waliozembea utenda kazi na kuweka ubinafsi ukabila na uwizi
@antonykomba60204 жыл бұрын
We have individuals both internally and externally, that tries desperately to smear JPM's image, demonize him. But the irony of it all is that he's still the best president of this country since sliced bread
@africandarling69254 жыл бұрын
Mueshimiwa Raisi wetu namini hutashinda tu raisi Hili ukatekeleze majukumu yako baba yetu mpendwa Magu
@abubakarikisuju802 жыл бұрын
RIP MAGU
@mwanaarabumnyanga27153 жыл бұрын
R.I.P
@slimthuggfella1014 жыл бұрын
Maigizo tu hayo demokrasia wanainchi hawana. Aibu
@ashaa4974 жыл бұрын
Baba usijali tano tena
@hechaaclassic3 жыл бұрын
Exclusively💥
@djafromoviestv6794 жыл бұрын
magufuli atachagua nani kua raisi wake ama atajichagua
@paulmaziku2404 жыл бұрын
Mmmmhhhhhhh....! Body guard yeye hapigi kura..!
@zakyahya46454 жыл бұрын
Magu yuko na heshima Adabu na utii honger sana Rais wangu upo kwa folen
Kweli baba una moyo wa upendo,,,had folen Mungu akubaliki sana,,rais wetu mpendwa ,
@samsonykulindwa31324 жыл бұрын
No one like Magu
@prosperkullaya45294 жыл бұрын
Neno
@hamissahamissa1054 жыл бұрын
Yani baba unamakuu kabisa
@jamesmwaurakuria18484 жыл бұрын
My president 2022 in Kenya
@hamissahamissa1054 жыл бұрын
Baba mitano yako iyo tena ainaubishi
@salehhamadi60704 жыл бұрын
Duh Mr president weye noma yaan umepanga foleni
@salhiyarajabu92884 жыл бұрын
Umepita baba hongera ila vijana wako wa bajaji morogoro tunanyanyaswa na wakala wa barabara ( TARULA) TUNAOMBA UTUSAIDIE
@amanisima93574 жыл бұрын
Daa umenifurahisha kwenye eneo husika umefuata utaratibu wakupanga foleni safisana. Mi5 tenaaa JPM
@harunilibangite72054 жыл бұрын
Mbona tokea enzi ya nyerere kwenye folen wanapga. Huu ni mwendelezo tu. Congrats alot our chief pombe
@mariamswaleh78694 жыл бұрын
Tanzania kwanza
@HassanHassan-sr3fq4 жыл бұрын
Good Mr president
@johnsonbubinza46464 жыл бұрын
i salute you anko magu
@mosesshagembe64023 жыл бұрын
Why no security?
@josephsherksherk95974 жыл бұрын
Penda san rais wetyu
@gospeltv80954 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/qKfZlGZmn82YrM0 SOLUTION YA TATIZO LA KIMTANDAO HILO APO FREE TUTORIAL
@ashaomary3474 жыл бұрын
Mkuu tano yako unayo mungu akupe afya njema umeufanya kazi kubwa kwa nchi nzima tumekuamini umepitia inshaallah 🙏🙏🙏🙏💓❤️♥️🇹🇿
@NR-ll4sr4 жыл бұрын
Ameen
@zawadiathumani54044 жыл бұрын
Magufuli High tu sana
@fredmramba66124 жыл бұрын
Hiyo ilikuwa gelesha Tu Kura walishaiba siku nyingi
@richardlizomba31424 жыл бұрын
mwamba unamatatizo wewe siobure
@fredmramba66124 жыл бұрын
Kweli sio Nina matatizo
@sasha-ri7tf4 жыл бұрын
Bombo clad.
@frolasospeter60002 жыл бұрын
Tutakukumbuka daima mpedwa wetu
@dullybrown36354 жыл бұрын
Mhahahaha uyu raisi wetu me namkubali sana kwa hivi anavyojishusha.
@dmochiwana22413 жыл бұрын
Brother k akitubu mbele ya make wake
@helenamusa4324 жыл бұрын
Maguful a na hekima kweli kaunga mstar
@ellyswai18014 жыл бұрын
Bodyguard apo amepndeza 😂
@lucydanniel97244 жыл бұрын
Jamn nakupenda bure Baba magufuli
@eliudgathuthi86014 жыл бұрын
I support Magufuli for presidency. Kenya I have never seen them lining up. A down to earth president heko
@lewismugo40704 жыл бұрын
looking for votes in africa they behave like angel's
@kivuquality2424 жыл бұрын
Powa sn tz....sio kama kwetu congo...
@saumuhassan63654 жыл бұрын
Maguful Baba lao.
@christophersikaonga87144 жыл бұрын
Nami nikawe kama magufuli e Mungu mubariki Raisi m
@samwelichotola27954 жыл бұрын
John pita
@saasitacomedian11444 жыл бұрын
Kenya tutapata wapi prezo Kama Huyu pombe...
@harunilibangite72054 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂eti prezoo kama huyu pombe
@emmanuelreuben50143 жыл бұрын
Ipo siku mtapata,muombeni mungu
@issakomoroware80004 жыл бұрын
Rais muadilifu john pombe magufuli
@salimhamisi9904 жыл бұрын
Jembe Hilo
@moseserasto70114 жыл бұрын
Yaani magufuri anapewa nafasi ya kufanya kampeni hadi siku ya uchaguzi jamani 😂😂 hii nchi.
@dullybattestz8264 жыл бұрын
Nyie ndo maana mnaitwa manyumbu, kafanya kampeni gani hapo? Kwani tundu hakuhojiwa baada ya kupiga kura? Nyumbu
@emmanuelreuben50143 жыл бұрын
Nyumbu
@yasintakahamba1320 Жыл бұрын
Yaani Mimi Nina shangaa kwanini huyu Samia aliebaki sasahivi hataki kuweka siku aliokufa magufuli kwenye karenda tukawa tuna muenzi maana alikuwa anaupendo wa kweli Rais Gani uliona anapanga foleni
@rossemaryhassany48824 жыл бұрын
Basi mtu unajikuta Kama hutembei
@yusrabebito76864 жыл бұрын
Hawana ata debe la taka
@sadickathuman80684 жыл бұрын
Laisi wamyoyo yawtuu
@maryanmmmaryam80704 жыл бұрын
Mungu ibalki tz napata tabu royangu kukosa kuw tanzania kura yangu kwa jpm namuombe pia rais wangu +254