Familia haita kubali kun tegoo watakuf woteee waben hawatakubali asee😢😢😢
@saudarashidi87342 ай бұрын
Kweliii baba umeongeaa poentiiii
@israelkisaila84012 ай бұрын
JAPO ndo Basi ndugu yako kashaenda harudi tena,INAUMA sana 😢
@huldamichael44452 ай бұрын
Hivi kiwango cha pesa kilichochukuliwa kimejulikanaje
@Hannah-w8s4l2 ай бұрын
Wameangalia biashara ya siku iyo aliingiza sh ngap
@aediayumgo85462 ай бұрын
Wewe mtaka vipi Hilo suala la kuchukua simu kama WaPo hapo si wameshapoteze ushahidi acha Kazi hiyo wafanye polisi
@ShabanMainde2 ай бұрын
wanapotezaje ushaid ata wakitupa lin watajulikana tuuu
@rehemagandi61382 ай бұрын
ushaid hauez potea ata wafute au wazime cm
@aediayumgo85462 ай бұрын
@@rehemagandi6138 watu wanakimbia wanatia simu chooni
@israelkisaila84012 ай бұрын
HAPO zilishachukuliwa hata KABla hajasimama kuongea hapo
@MrA24G2 ай бұрын
Sasa hviii kubeba viwango vikubwa vya pesa unajitafutia matatzo.Tumia system ya kadi ama tgo pesa.Hata matajiri huwakuti wanatembea na maburungutu makubwa.Hapana.Wenzetu uingereza marekani kadi tuu mtu Ana swap basi
@lunangabenjamin31212 ай бұрын
Bin adam tusikiliyane huruma ivi kwanini msinge mpora tu,bila kumuuwa kabla ya kumuuwa hamkuwaza familia yake.lakini sometime serikali nayo inapuuziyaka vitu vya maana.rip inauma.
@StellaMwasha2 ай бұрын
Jamani watu wasiende na pesa nyumbani ni hatari
@anangisyemapunda76862 ай бұрын
Okay umeuwa mwenzio kwa tamaa ya vipesa vidogo hivyo,je wewe utaishi milele?Tuwe na utu na upendo Duniani sote tu wapitaji
@Jurbeg2 ай бұрын
Hata ziwe nyingi kiasi chakujaa Dunia mwiko kumwaga Damu ya mtu kwa namna yoyote Ile 😢
@floridachami90902 ай бұрын
Jamani kk yangu ndambo ineniuma nakumbuka mwaka jana nilikuzoea kwa muda mteja wetu
@elvismabena76302 ай бұрын
Pumzika kwa amani ndugu yangu NDAMBO
@KaizaMfuse2 ай бұрын
Haya matukio na huku tunduma ndo yamepamba moto,jeshi la polisi shirikianeni na wa tunduma huku ,watatumaliza hawa majambazi
@PrinceHendry-hp8vv2 ай бұрын
Daaa ndambo nilitoa hela kwako mwezi wa 9 mwaka jana nilifata viazi njombe
@Jurbeg2 ай бұрын
Wee Leta ujuaji polisi watz sii unawajua watakutupa ndani ili kutoa ushilikiano 😮
@PrinceHendry-hp8vv2 ай бұрын
@@Jurbeg wapuuzi hamuishagi mtandaoni hapo ujuaji ni upi kusema nilitoa hela na ilikua kazi yake nishakua mjuaji au wewe shoga nini ndo vichwa vyao sio vizuri kwajili ya..
@HamisiMatola-fs2gn2 ай бұрын
Poleni sana wana familia na majirani
@faidhamyovela1792 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢😢 duh
@janemsamati67002 ай бұрын
Damu yake haitawaacha salama , itanena kwa wote waliohusika Poleni familia RIP mpendwa wetu
@jesusismyeverything16302 ай бұрын
UNABEBA MILIONI 47 KUTOKA BANK ZA GANI? MBONA HALI MBAYA SANA SASA HIBI KAMA UNALIPA WAFUNGUE ACCOUNT AU MWITE WAKALA NDANI INGIZA HELA KWENYE SIMU KAA HAPA ANZA KUTUMA KWA KILA MTU KAMA HAWANA ACCOUNT POLENI FAMILIA