MANENO MASTAAFU BENJAMINI MKAPA ALIAMBIWA NA BABA YAKE

  Рет қаралды 82,974

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

UZINDUZI WA KITABU CHA RAIS MSTAAFU WA TANZANIA BENJAMIN WILIAM MKAPA

Пікірлер: 40
@peterbayo4677
@peterbayo4677 4 жыл бұрын
Rais pekee aliyejenga uchumi jumuishi wa nchi wa wakati wote na aliyeweka sawa hali ya ajira kupitia sekta binafsi na anayekiri kufanya makosa kupitia ubinafsishaji. Hongera mno. Mungu akupe maisha marefu ya neema na rehema kutoka kwa Mwenyezi Mungu Benjamin William Mkapa!!!
@adamdaudi6191
@adamdaudi6191 2 жыл бұрын
Genius hilo
@ceciliajimmy5652
@ceciliajimmy5652 4 жыл бұрын
Nakushukuru Baba kwa maneno yako ya busara. Mwalimu wangu wa shule za kati (middle schools) alinitabiria nafasi hizi : Nafaa kuwa Mwanasheria, Nafaa kuwa mwuuguzi, Nafaa kuwa mwalimu. Hakyamungu nilipata nafasi moja kati ya hizo. Nilifanya kazi kwa uadilifu mpaka bosi wangu ananipa off nipumzike lakini nilimsihi kuwa nitakuja nitafanya kazi ila nitawahi kuondoka!! Nimefurahi mmmnnoo kukuona ukiwa hai na unaongea ukweli mtupu. Mungu akubariki Baba yetu Benjamin.
@Basagamp4
@Basagamp4 4 жыл бұрын
Hongera saana
@gadsonpallangyo1229
@gadsonpallangyo1229 4 жыл бұрын
Kama umemwon kikwete akirecord like apa
@benjaminmwalemba7204
@benjaminmwalemba7204 4 жыл бұрын
Jamani nipeni na me like uyu ni wajina wangu me
@emanuelmwalukasa7723
@emanuelmwalukasa7723 4 жыл бұрын
Twemma lelo
@charlesmboje5413
@charlesmboje5413 4 жыл бұрын
Hongera sana mhe. Rais Mstaafu ,mzee wetu mpendwa kwa kuandika kitabu hicho chenye maandishi mazuri sanaaa, My life,my purpose. Hongera sana mzee wetu
@charlesmboje5413
@charlesmboje5413 4 жыл бұрын
Uwe mfano wa kuigwa na viongozi na watu wengine ,mungu azidi kukuzidishia maisha marefu mzee wetu
@samwelshemndolwa7562
@samwelshemndolwa7562 4 жыл бұрын
Asante mzee wetu wa busara Mungu azidi kukupa maisha marefu
@latifalema2440
@latifalema2440 4 жыл бұрын
Hongereni viongozi,neno hekima hekima wengi walitafakari.
@king-wi7ds
@king-wi7ds 4 жыл бұрын
Ulikuwa raisi ww ,pamoja na kikwete mwanadiplomasia aliyetukuka mwenyez Mungu ampe baraka pamoja na ww mkapa
@jumachanewstrends6899
@jumachanewstrends6899 4 жыл бұрын
Binafsii mimii nakuunga mkooonoo mzeew maneno yakoo ni ya busaraaa sanaa ila mimi nakumbukaaa nasaaa za babu yanguu ameshanitabiriaaa vitu viwiliik maishaniii mwangu mojaaa 1.kuwaa daktariii kwa ajilii ya kusaindiaaa watu na mpaka sasa sanaaa nimekuwaaaa na ninasaindiaaa watu kuwatibu kupitiaa maonoo yakee 2.kuja kuwaaa raisii wa nchiiii hiyooo do ndoto ya mwishoo ya babuu nayooo naiwaziaaa sanaa kujaa kuitimizaaa ilii nitimizee zamira yakeeeee
@kombosaira7894
@kombosaira7894 4 жыл бұрын
Hivi Hawa maraisi wa Zanzibar sio maraisi.maana mkapa anasema ata ukiuliza wenzangu watatu....
@happinessmwenda2773
@happinessmwenda2773 4 жыл бұрын
Kweli kabisa baba maisha ya binadamu ni fumbo kubwa.Tumtegemee Mungu.Umekuwa mkweli kupitiliza ktk kitabu chako.Wanaokubeza hawajielewi urais wa kazi ndogo kama wengi unavyofikiri.
@robertjunior9916
@robertjunior9916 4 жыл бұрын
asante mh.Mkapa
@yusufukazamba2391
@yusufukazamba2391 4 жыл бұрын
Nakukubali baba Mkapa mapungufu mengine no ubinadamu tu ambao kila MTU anao
@fastmedia6881
@fastmedia6881 4 жыл бұрын
salut
@gersonfungo5893
@gersonfungo5893 4 жыл бұрын
Hakuna binadamu asiyekosea lakini sio kila binadamu anaweza kukiri madhaifu yake hadharani. Ndio maana kuna watu wanakosea lakini wangepewa uraisi wao nchi yote ingekuwa imeshawaka moto zamani. Huwezi kuwa rais wa nchi kwa miaka 10 au hata mwezi 1 ukafanya vyema bila mtu kukulalamikia
@seyfullahonlinetv
@seyfullahonlinetv 4 жыл бұрын
🇹🇿 ONe
@juliuswambura7132
@juliuswambura7132 4 жыл бұрын
Nice one
@boniphacetv739
@boniphacetv739 4 жыл бұрын
kuna mtu nimemuona anachukua video na simu
@davidgustavkomba2521
@davidgustavkomba2521 4 жыл бұрын
Tecno j7
@nasiriiayubu2077
@nasiriiayubu2077 4 жыл бұрын
ok
@filbertnashon7160
@filbertnashon7160 4 жыл бұрын
Tunajua pia UFISADI ulianzia kipindi gani😀😀😀😀😀
@emmanuellesilwa5663
@emmanuellesilwa5663 4 жыл бұрын
Kwa kweli naona mzee katoa ya Moyoni, kumbe hawa watu wanaoitwa washauri wakati mwingine sio wa kuwasikiliza, lakini nionacho kitabu hicho kingeandikwa kwa kiswahili maana kinatuhusu sisi wa Tanzania zaidi na wakikitaka wazungu ndo wangechapishiwa
@aaaaaah290
@aaaaaah290 4 жыл бұрын
Emmanuel Lesilwa Sijui kwa nn wamekipiga kwa lugha za watu. Labda wanataka kisomwe na waingereza zaidi 😀. Nimependa maamuzi alochukua ya kuandika kitabu
@wilfredmaimu4391
@wilfredmaimu4391 4 жыл бұрын
Safi sana wazee wetu
@jumamkuvita8308
@jumamkuvita8308 4 жыл бұрын
Maneno ya mtu mzima dawa kwa sababu anajuwa yote yanayotusibu raia ake
@hawamaricca4003
@hawamaricca4003 4 жыл бұрын
Mungu azidi kukutunza wewe pamoja na familia yako. Hongera sana Baba MKapa
@iranangole7007
@iranangole7007 4 жыл бұрын
Uyu rais ambae analawama na Mt
@oscanyakunga9674
@oscanyakunga9674 4 жыл бұрын
Umenena hekima hekima rais mkapa
@ombenimshana9162
@ombenimshana9162 4 жыл бұрын
Tunaomba na cha kiswahili
@fordtonny9548
@fordtonny9548 4 жыл бұрын
Kipo na Cha kiswahili au?
@prospermsanzi8815
@prospermsanzi8815 4 жыл бұрын
Hapana
@pendael02
@pendael02 4 жыл бұрын
Kama hakipo , bado tuko kwenye box LA utumwa wa lugha. Alimlenga nani haswa mtumiaji wa kitabu? Siyo wananchi wa kawaida au siyo. Aliwaandikia marais ama siyo
@mbwanarajab7238
@mbwanarajab7238 4 жыл бұрын
MANENO YA HEKIMA NA BUSARA KWA KIONGOZI WETU... MUNGU AWAPE NGUVU NA HEKIMA
@nassoursaleh3144
@nassoursaleh3144 4 жыл бұрын
huna lolote subir Mungu anakusubiri akakutie adabu umeua sana pemba mdudu wewe nyati
@rashidomar2771
@rashidomar2771 4 жыл бұрын
Yani mtu anakuzulumu halafu wewe huna pakwenda wala huna cha kumfanya,,tabaka la watawala na watawaliwa,,hii ndio tz yetu ,,lazima watawaliwa tujikomboe kwa hili
KABLA HAJAFARIKI, MANENO YA MWISHO YA MKAPA MBELE YA RAIS MAGUFULI
6:15
What does Satoru Gojo have? #cosplay#joker#Harley Quinn
00:10
佐助与鸣人
Рет қаралды 7 МЛН
拉了好大一坨#斗罗大陆#唐三小舞#小丑
00:11
超凡蜘蛛
Рет қаралды 16 МЛН
KUMBUKUMBU YA MZEE MKAPA ALIVYOAPISHWA KUWA RAIS MWAKA 2000
40:29
KARUME ALIVYOPIGWA RISASI HADHARANI
12:01
Mwananchi Digital
Рет қаралды 428 М.
MAKTABA HURU: NUKUU NNE BORA ZA RAISI MKAPA.
16:19
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 10 М.
What does Satoru Gojo have? #cosplay#joker#Harley Quinn
00:10
佐助与鸣人
Рет қаралды 7 МЛН