Rais wetu magufuli ameumia Sana pole baba magufuli,,,,😭😭😭Safari yetu ni moja ,,,pumzika kwa Amani Rais wetu mkapa mwendo umeumaliza salama
@sweetyjanne2554 жыл бұрын
Wasaidizi Na Watu Wa karibu Wa Rais Wetu Jitahidini Muwe Nae Karibu Nakumpa faraja Huu Msiba Unaonesha Umemuumiza Mnoooo.😪 😪
@tumainiedgar33824 жыл бұрын
Yes yani Rais kaumia sana
@sophialaurent28764 жыл бұрын
Rais wetu kweli kaumia sana,hadi katoa machozi, Pumzika kwa Amani Rais wetu mstaafu mkapa
@evelynebwire76843 жыл бұрын
Sasa nimeelewa kwa nini baba alilia kwa huzuni na uchungu kifo Cha Hayati Rais Mkapa
@annapaciorek77904 жыл бұрын
Pole sana Mpendwa Rais wetu John Pombe Magufuli kwa kuondokewa na Kipenzi chetu Rais Mstaafu Ben W. Mkapa. Poleni Watanzania Wote
@tulinavemgeni35234 жыл бұрын
Pole ukilia unatuliza na cc.
@priscambwambo10304 жыл бұрын
Pole sana Rais wangu. Bwana Alitoa na Bwana Ametwaa jina la Mungu Lihimidiwe
@naamohamed99644 жыл бұрын
Napendaga magu akiongea pole sana anko
@grolyqueen58334 жыл бұрын
Polee baba Mungu akutie nguvu
@husnahassan62894 жыл бұрын
Innalillahi wainnailaihii rajiun R.l.P mzee wetu WILLIAM MKAPA AMEEN
@ilovejesus93034 жыл бұрын
Miaka tuliyopewa kuishi ni 70, ukifika 80 ni upendeleo kutoka kwa Mungu 😭😭 Rest in Peace Jemedari wetu
@zakariaalfred31672 жыл бұрын
Kwaheri Baba Hayati Rais Magufuri NI ngumu Sana kukusahau MUNGU akupe pumziko la Aman popote ulipo na MUNGU ailaze roho Yako mahari pema peponi. Kwaheri Baba Hayati Rais JPM msalimie nyerere mwambie mkapa Mama samia yupo Na Tutawakumbuka milele.
@bakuzasimon6193 Жыл бұрын
Mungu wetu uishie mahali palipoinuka nakushukuru kumleta Hayati John Pombe Joseph Magufuri ktk ardhi ya Tazania tulikuelewa vizuri RIP baba yetu
@anna33urassa704 жыл бұрын
Pumzika kwa aman baba yetu pole sana rais magufuli poleni watanzania wote mungu atupe uvumilivu
@rehemshehoz87044 жыл бұрын
Mwenyez mung ampumzish mahal pem popon pol sn rais wetu maguful
@leonardmrope95284 жыл бұрын
Duuh inaumiza,,,,R.I.p William Benjamini mkapa
@dativapaschal12904 жыл бұрын
Pole Raisi wetu
@bahatiundule51904 жыл бұрын
Pole baba magufuli mungu akutie nguvu
@ashasaidi18954 жыл бұрын
Mwendo wa maisha ya nguli wa uchumi umeishia hapo mung ampumzishe salama
@doreenkawira21294 жыл бұрын
Poleni sana ndungu zetu wa Tanzania...Mungu awape subra.
@selectorsellokenya9416 Жыл бұрын
I SWEAR I CRIED THE DAY MAGUFULI WAS PRONOUNCED DEAD. BUT WHY!!! Let me not remember that fate. Pumzika vyema Shujaa
@saniamarusu11853 жыл бұрын
Hatimaye yeye R.i.p Magufuli
@faudhiatmasoud40254 жыл бұрын
Aysee huu msiba ni mzito sana..😔😔😔
@Naaam3534 жыл бұрын
pole mzee wetu na rais wetu Magufuli nasi tumeumia sana
@salmaathuman91564 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭pole rais wetu na watanzania wote
@sponsor78824 жыл бұрын
Pole ya nn, kwan babake
@edssonkashaija64584 жыл бұрын
Pole raisi wetu magu mungu akutie nguvu. R.I.P mkapa mungu akusamehe zambi zako
@ashatimo46664 жыл бұрын
Pole magufuli wetu mungu akupe nguvu
@alykhan90544 жыл бұрын
Pole father
@jworld14805 ай бұрын
tatizo lilianzia hapa mpaka chuma kikasepa aiseee
@nicethamanonga58554 жыл бұрын
Magu ameumia sana kifo cha mtu wa karibu inaumiza sana
@emmanueldecarzolin49553 жыл бұрын
Daah 💔💔💔kifo ni fumbo kubwa sana😢
@budomojames434 жыл бұрын
We live once but in God we trust
@saidhamza531810 ай бұрын
Ndo maana hata yeye hakudumu baada ya mkapa kufariki. Ni km walifariki pamoja.😌
@dullahmobileshop86244 жыл бұрын
R.I.P.PRESENT MKAPA
@mengifrank87654 жыл бұрын
Pole xana rais maanabaona unslia kiutuuzima
@tmtwane90924 жыл бұрын
USICHOKIJUA KUHUSU MAISHA YA MKAPA gusa link kwa full story kzbin.info/www/bejne/lZXckpyVr9WAiJY
@user-ur7gr9nh9b4 ай бұрын
wengi tulikuliliy baba wataifa la tanzania
@shabanijongo69604 жыл бұрын
Hongera kwa hutuba mzuri
@fredymwichacha70724 жыл бұрын
BURIANI RAISI MSTAHAFU BENJAMIN WILLIAM MKAPA DAIMA TUTAKUKUMBUKA SIO YEYE KWANZA SIO YEYE AAAAAAH 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 BENJAA
@bintyk51494 жыл бұрын
Tuwe pole sana
@Coachsamwel3 жыл бұрын
Sasa mmenda wote jaman 😭😭
@evelynebwire76843 жыл бұрын
Ndio nimeelewa kwa nini mzee wetu JPM alilia kwa msiba wa Rais Mkapa
@angellamwanri84144 жыл бұрын
Dah.. So Sad
@jumamturia64524 жыл бұрын
Yeah ni kwl safiri salama mzee mkapa
@innocentmbise47774 жыл бұрын
Pole san mzee
@milkabelias4482 жыл бұрын
Pole rafiki yeti na mpendwa wetu
@nyatya1994 жыл бұрын
Pole mzee ndo maisha ya dunia lazima tufe tu
@cleofwalu36614 жыл бұрын
😭😭😭😭😢🖐️🖐️🖐️
@sponsor78824 жыл бұрын
Pole mke wa mkapa na family,sio huyu bhana.
@isaackangikangi77043 жыл бұрын
Was it from his heart
@vladimirlenin2004 жыл бұрын
MUNGU AMLAZE MAHALI PEMA PEPONI KIONGOZI ALIYEACHA LEGACY,GWIJI KATIKA UONGOZI NDANI YA NCHI NA KIMATAIFA...R.I.P RAIS WETU MSTAAFU BENJAMIN W.MKAPA..POLE RAIS WETU UMEUMIA NA SISI TUMEAUMIA PIA KWA KUMPOTEZA KIONGOZI MUHIMU...
@teddymasasila38744 жыл бұрын
Pole sana
@agnesscollin95914 жыл бұрын
Jamani dunia tunapita
@aminadossa4604 жыл бұрын
mungu akulinde
@sponsor78824 жыл бұрын
Mkapa ama nn, cjaelewa
@jacklinejosam3713 Жыл бұрын
Yaani ulivyoumizwa nakuondoka kwamkapa ndiyo namimi nilivyumizwa nakuondoka kwako Magufuli
@harunilibangite72054 жыл бұрын
Daa
@ganohchacha98824 жыл бұрын
Mambo mema yapi muyaishi, wakati police wamezuiwa viongozi wa Upinzani wasiingie kuaga, maneno yafanane na matendo, tuishi vyema ili tujiweke salama
@mwinjanavil4 жыл бұрын
una uhakika na unachokinena? kama hukumuona mbatia msibani na cheyo na mrema na sugu na zito kabwe basi hukuwa makini.. usiropoke kitu ambacho huna uhakika nacho
@b.anyondo16404 жыл бұрын
Tatizo lenu mnapenda kiki mpaka pasipostahili, upinzani ndio kitu gani mbele ya msiba huu alaaa hamjitambui
@bennymochiwa48004 жыл бұрын
babu hawa ni wanafiki tu
@mashambwana98494 жыл бұрын
@@mwinjanavil Achana nae huyo mjinga kakosa cha kucomenti lazma ajulikane na yy yupo
@yohananundi11674 жыл бұрын
Wapinzani ni wapumbavu
@rahmazahor43334 жыл бұрын
Rais mtaaf Karume yuko wapi jamani?
@bennymochiwa48004 жыл бұрын
karume hawezi kumspoti mtu alisababisha damu za ndugu zake kumwagika
@fatmaaly30564 жыл бұрын
Kaburin
@marianachristophory49164 жыл бұрын
@@bennymochiwa4800 ndg wa akina nani?
@bennymochiwa48004 жыл бұрын
@@marianachristophory4916 kwan umesahau kilicho tokea znz mwaka 2001!!!???
@marianachristophory49164 жыл бұрын
@@bennymochiwa4800 karume yupi unayemzungumzia?
@bennymochiwa48004 жыл бұрын
kigogo kimeingia, umoja gani wakt mnazuia watu kujakutoa rambirambi zao, acheni unafki
@yohananundi11674 жыл бұрын
Wapinzani ni wapimbavu
@scayroad85004 жыл бұрын
HAO HAWAKUWA NA NIA YA KUAGA NAKUNAPOKUWA NA MAMBO YA KISERIKALI WANAJITENGA CHUNGUZA SANA HIVYO NISAWATU HATA WACPOAGA WAO WAMEKAMILIKA.
@marianachristophory49164 жыл бұрын
@@scayroad8500 gud
@remiginatusmalale5336 Жыл бұрын
Naumia sana
@amonidafa96654 жыл бұрын
Tukubali tu kwamba Kama taifa tumepoteza
@jumakapilima56744 жыл бұрын
RIP
@fbendebende12634 жыл бұрын
Huyo ndo mke wa mwnyi nn
@edwinekahatano84724 жыл бұрын
Duh
@Coachsamwel3 жыл бұрын
Huo msemo wa Robin Sharma aliousema Magufuli kwamba "Ukizaliwa wewe unalia lakini watu wanafurahi....ishi vizur ili ukifa walie na wewe ufurahi" Hii imetokezea kwenye kifo chake kwakweli.... Tumelia Sana.
@evelynebwire76843 жыл бұрын
Ni kweli kabisa kaka yangu
@sasha-ri7tf4 жыл бұрын
Kiengereza hujuwi kiswahili humjuwi wewe ni fulish wa aina gani?