Рет қаралды 24,458
Taasisi ya Maalim Seif leo November 5 2021 imeandaa Kongamano la kumuenzi aliyekuwa Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif ambapo kwenye kongamano hilo Mgeni rasmi alikua ni Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ambapo haya ndio aliyoyazungumza.