Hizo ni hisia tu! Ni mungu pekee wa kukuchagulia mke/mume tena wa jina lolote na akakustahili maishan! Si upeo wa kibinadam usioweza ona ndan
@magrethkawa48413 жыл бұрын
M namtafuta mume mwenye jina la W M finding W Tafadhali 🙏🙏💞
@jeremialainzer29193 жыл бұрын
Haa
@hakimclichyhakimclichy12493 жыл бұрын
Np mm
@AishaGor3 ай бұрын
Kweli kabisa Asante kwa ushauli 🎉
@ndayikezececile27622 жыл бұрын
Umejuwaje S mpenz wangu nimkali sana lakn anahuruma sana anatafuta pesa vibaya mno na anapenda langi nyekundu kupita kiasi 🤗🥰
@mellenmbaka81823 жыл бұрын
Kweli mimi ni M na siwezi weka kitu kwa roho pia naheshimika kwa jamii si uongo letter M wapi like zenyu jameni👌👌👌
@christinalanda4873 жыл бұрын
Kwana s na z awawez kushirikian
@primtivawillison15992 жыл бұрын
Me nahitaji kujua make watu tuna majina mawili mfano P na A yote majina yako sasa hapo nachagua lipi
@maryjose1106 Жыл бұрын
Mimi piah,ila itabid nipunguze kuongea mana hahah
@VickKulekana-si1ib Жыл бұрын
Mimi v lakin pia naheshimika kwa jamii
@VickKulekana-si1ib Жыл бұрын
Christina s ni upepo na z ni udongo lakin Kama ni Christin wewe si ni c sio s
@alhamdulillah57963 жыл бұрын
Allah atuepushe na ushirikina, amiin.
@magepeter5273 жыл бұрын
Hapo kwa M ni kweli yaani siwezi kukaa na kitu kabisa
@kassimmanaramalika8592 Жыл бұрын
Allahumma Amiin Yaa Rabbi
@pyzzocatto18293 жыл бұрын
Mambo ya erufi 2muachie mwalimu wa alfabeti hukooo chekechea,Tuutafute ufalme wa Mungu nayote tutazidishiwa,Pesa,Mapenzi,mke au Mume bora navingine kibao,sio mm hayoni maneno ya Biblia takatifu 💪💪💪
@lamerckjesus29213 жыл бұрын
Sahihi kijna
@doreensamwely87403 жыл бұрын
Ansante
@magynzioka11222 жыл бұрын
Kweli kabisa
@boniphacengireya8652 жыл бұрын
A vp inaendanana ip dk
@MerlinaKubadesha5 ай бұрын
Daah ni kweli😂😂😂
@rosejulius19163 жыл бұрын
Asante,,,Ila naiman MUNGU wangu wa mbinguni ananijuw vema kuliko yyt
@anglepatroba42823 жыл бұрын
E nielfu yngu kweli ninauwezo na ndoto ndefu nikitangaza ata Kama nimeidiwa akotimii Asante kwa dalasa
@AhmedAhmed-zw8lc3 жыл бұрын
Umesema kweli mm Jina linaanza na S na mme wangu Jina Lake linaanza na H. Asante sanaa
@kavinyamuli92663 жыл бұрын
Kama langu Zena Lina maana ngani
@faithlubongah25383 жыл бұрын
B na f
@queenfaty61787 ай бұрын
Ni kweli jina jomutu
@wellbrand34153 жыл бұрын
Shukran sana, surely Knowledge is here...!!! Bravo Ayo TV
@husseinbenitho73793 жыл бұрын
Ukiforcus zaid kweny jina lako hutofanya chochote kwa kua kufanikiwa kupo kwa juhudi zako ,anaweza mtu akakuambia kua jina lako haliwez kufanya kitu katika maendeleo na ukakata tamaa mapema maana unaweza ukawa majina hayaendani na mkaishi maisha mazuri tu
@kibeginiblue71883 жыл бұрын
Oy jina linakuchochea kwenye kutafuta maendeleo
@sharifamohammed8093 жыл бұрын
Hii s huja koseya tuko wavumilivu sana na tunapitiya changa moto sana ila piya hatukati tamaa hata kidogo tunapenda kupata kile tunacho kipiganiya yani good😍💯💯💪
@MariamKileo-mu8rv6 ай бұрын
M Mimi ni kweli kbs ulichoongea like hapa kama umeanza na m
@cavangacavanga82313 жыл бұрын
Du siku zote uwaga siaminigi aya mambo lakini leo uyu jamaa amesema kweli kabisa kuhusu jina langu Bacar siku zote nilikuwa najiuliza kwann mm nikipenda napenda kweli hivi na kwann usingizi unanijia kwa wingi hivi, leo jamaa amenijibu maswali yangu, asante saana kaka
@zarisalim31533 жыл бұрын
Ndio ujuwee
@khadijaangore44083 жыл бұрын
kweli kabisa100%
@masterspublichealth69573 жыл бұрын
Naomba nbr ya whstp
@priscajustine21833 жыл бұрын
P umepatia kabisa👍nitatafuta Mpenzi mwenyejina ya erufi g/j
@prosperkullaya67213 жыл бұрын
Njoo in box p... I'm p lol
@prosperkullaya67213 жыл бұрын
Lol karibu
@priscapaulpaul62543 жыл бұрын
Aaa mm prisca my husband justine
@priscajustine21833 жыл бұрын
@@priscapaulpaul6254 mm
@emanuelleonard72843 жыл бұрын
Nakubali brother E na M zinaenda
@rebekakomanya69643 жыл бұрын
Haujakosea kaka mm R napitia wakati mgumu sana katika mahusiano yangu, kuumwa na miguu, presha, na ninajali sana haujakosea hata kimoja mwenyez MUNGU akubariki.
@fatumaal49883 жыл бұрын
Hiyo Herufi F umesema kwelj kabsaa yaani Imani upendo na kujituma hapo sawa kabsaa na kukumbana na changamoto zakimaisha kweli nimepitia sana hadi kwenye ndoa Lakini Tushaolewa na S so imeshakua wacha tuwaachie mungu tu. Alhamdulillah 🙏
@frolasigala71963 жыл бұрын
F. Umenipatia Mimi Nina huruma Sana kwa nduqu zanqu wenye herufi f. Unqa mkono
@fathiyamohamed36923 жыл бұрын
F kweli kabisa
@faridamtipa11893 жыл бұрын
Tupo pamoja tuna hisia kali
@fabiani22883 жыл бұрын
Kwel kabisa hatami ninahuruma san na najitoa san kusaidia watu ndugu
@farhatomar74953 жыл бұрын
Nikweli my f hapa
@fatmasuleiman36213 жыл бұрын
yes
@زينابوو3 жыл бұрын
Matwins wangu wanaazia na s wanapenda nyama hawo sema wanandoto kubwa wacha niendelee kuwaombea watt wangu ndoto yao ikuwe 🙏🙏🙏
@shushu81053 жыл бұрын
napenda nyama kabisa
@sophierseyyd11623 жыл бұрын
Kwenye nyama unambii kitu 😋😋
@sandevobanboysandevobanboy81733 жыл бұрын
S
@kibeginiblue71883 жыл бұрын
@@sophierseyyd1162 mm Ni S Ila nilivyokuwa mdogo nilikuwa sipendi nyama yani ilikuwa ikipikwa mm siikuli Ila Sasa hivi adi wananambia ww ulivyokuwa mdogo ulikuwa upendi nyama Sasa uwo uchu umeutolea wapi
@gsonboytz44242 жыл бұрын
Mimi no herufi G napaswa kua na mke herufigani
@mussamchena95953 жыл бұрын
(M) Mussa kweli kabisa huwa nikisema kitu kinatokea pia sikaagi na kitu rohoni nakubaliaba na wewe🙏🏼
@elizabethseleman15293 жыл бұрын
Hongela kwa kipawa icho bt naomba uelezee elufi E(Elizabeth)
@bakarimwayaga10033 жыл бұрын
Hongera Sana kwa ufafanuzi ila Niko na sawali ,je erufi B inaweza kuoana na erufi M
@adrophjuliass91833 жыл бұрын
Asantee sanaa kwa somo hili coz ume2fumbua macho
@ireneathuman52273 жыл бұрын
Sasa nyie msikilizeni huyo mkaachane na wapenzi wenu mungu ndo kila kitu katika maisha yote ya mwanadamu
@salamaignace78733 жыл бұрын
Well spoken
@stanleybenedict79273 жыл бұрын
Viburi vinawasumbua
@levaniawilliam71093 жыл бұрын
Kbsa mwaya wat wanaweza achana
@fadhilawaziriwaziri84593 жыл бұрын
Kabisa Mungu ndo muweza wa kila kitu
@neemapaschal63093 жыл бұрын
Kwel kbx
@patriciacleopatra36953 жыл бұрын
Kwenye R naweza kuamini kwenye mahusiano au ndoa kama inakuja na kuondoka vile na kwenye kusaidia Wallah ni kweli kuna mtu jina lake linaanzia R yaani anasaidia na anajitoa sana lakini yeye akipata shida sasa anaowasaidiaga wote wanapotea jamani
@mwanamisakulembwa11473 жыл бұрын
M..umepatia yani mule mule ..thanthee doctor.
@veronicahnyamweya28552 жыл бұрын
Kweli kabisah santii sana kwa mafunzo mazuri alafu sasa kuna haya majina ningeomba mnisaidie kama yanaeza endana please jina kama veronicah,verah, Richard ,Robert na mengine mengi yanaeza enda kimausiano au vipi naomba mnisaidie nipate kujua 👈👈👈👈👈
@linamacha76863 жыл бұрын
Kwenye s umepatia kabisaaaaaa kiongozi wangu 🙏
@sinanindola933 жыл бұрын
🤣🤣🙏
@sandevobanboysandevobanboy81733 жыл бұрын
Mh
@selemanyousuf6 ай бұрын
Kwaio wey nimpenda nyama😂😂
@rehemanahoda47233 жыл бұрын
Kweli kabisaaaaaaaaa wala sio uongo hongera kwako wala hujakosea sehemu kila sehemu Unaonekana mbaya ata uwabebe mgongoni bado tunaonekana wabaya hutupa changamoto piya
@rehemaliloko57003 жыл бұрын
Kumbe ndomaana mimi ninasaidia sana lakn pale ninapo hitaji msaada ninaachwa mwenyewe!! Kumbe ni nature ya jina langu duh'yaan hii ni kweli kabisa,sasa nini kifanyike kama tiba,maombi au nn
@elizabethkalando8493 жыл бұрын
Umeongea kweli mm nawasaidia sana lakini mwisho wa siku naonekana mbaya
@issamariam48072 жыл бұрын
Yes m tunatamba
@salmasaidi48392 жыл бұрын
😢
@roquaal5682 Жыл бұрын
Ushajua sasa stop Hicho kitu😂😂
@yotehapatv77053 жыл бұрын
Dah my brother saidi.... Ni mkar sana kwa mke wake...
@naominehemiah330610 ай бұрын
N kabisa yan nausingz mnoo😢😢 nawivu hatari sasjui naendan nanan mamae
@scholasticajonathan25343 жыл бұрын
Wakina S tunajijua 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 I uwiiii nimecheka viburi😅😅😅
@scholasticalaurent15423 жыл бұрын
Yaan katuweza kabisaa mm nilikuwa na mahusiano na mtu mwenye heruf P ni ugomv kila siku kitu kidogo mwenzangu kanuna nabembeleza had nachoka
@beatriceenock22163 жыл бұрын
😁😁😁 Nina mdg Wang Yan nishid anitwa s
@najmanajma-47653 жыл бұрын
Hakuna cha majina kuendana wala nyota ndoa hupangwa na Mungu pekee hakuna mikosi wala nuksi kila ambalo mja anapitia ni kwa kudra ya Mola sasa mambo gani yakua uvae mavazi flani kwa sababu ya herufi ya jina? Na wengine washaanza kupanik tuacheni imani potofu leo hii kuna watu wakitaka kuowana mpaka watafute mtabiri eti kuangalia nyota hizi ni imani potofu tumtangulize Mungu kwa kila jambo
@michaelCmichael2553 жыл бұрын
Hata Yesu alipewa jina na mw/Mungu kupitia malaika Gabriel, kabla ya binadamu sasa we umetoa point hii kupitia kitu gani.. msiwe watu wakujudge kabla yakuskiliza moaka mwisho. Amesema amefanya research kwenye vitabu vya imani. Usikulupuke. A good speaker is supoosed to be a good listener first.
@zairunyary70233 жыл бұрын
Asante kwa kuniambia
@sophiakasana29373 жыл бұрын
Jamani mm umenipati sana S kwa sauti maradhi kufanya kazi umenipatia
@niakavishe99503 жыл бұрын
Sio kweli
@myrah.99373 жыл бұрын
Yeeees Am D and my Husband is I waaaao waoooh
@mapundaandrea43933 жыл бұрын
Haaaahaaa
@rehemamohamedy40073 жыл бұрын
Hiyo R ni kweli kbs anajitoa kwa watu but yeye akipata tatizo anapambana kivyake.
@radhiambwana33533 жыл бұрын
Nakwambia acha tu
@rhassanimkomwa3 жыл бұрын
majina yetu ya R nikazi
@robertmligo22913 жыл бұрын
Kazi kazi
@salomesaedy8186 Жыл бұрын
Ukwel mtupuuuuu🙌🏻🙌🏻
@mtagechota10023 жыл бұрын
Daah jaman nimeamini sehemu kuna mahali nimejiona kabisa 😀😀 yaan ni balaa 😍❤
@jovinathasavoie80183 жыл бұрын
Yaan kila kitu unasema kuhusu jina lina anza na K exactly ,my husband ni kevin but my God hivyo hivyo,Na jina langu la linaanza na S na niko loud, patient and so on exactly kama hivyo 😊
@hamisisha3 жыл бұрын
Hongera kuwa mkweli watu wanapinga tu lakin hawafanyi utafiti hata kidogo kuhusu majina yao lakin ndo hao hao kila leo hawatulii na mtu mmoja kwenye mahusiano yao leo yuko na huyu kesho mwingine kuhusu vipato huko ndo balaa
@maryamsylivester86623 жыл бұрын
Jamni Baba angu S&J ni Mama angu leo ndonimeelewa kwanini wamedumu kwenye ndoa yao bila migogoro ya mara kwa mara hadi sasa wanazeeka pamoja wooooh😍😍😍😍
@nassornassor18693 жыл бұрын
Hongera mariam waombee dua zaid
@emmanuelmgaya60783 жыл бұрын
Mke mwema anatoka kwa mungu maana cjaelewa chochote
@mariagoldence2 жыл бұрын
😅😅😅😅😅
@salimamasanja46593 жыл бұрын
Aisee umenilenga Sana kwa Drugi r
@deboramilangasi59653 жыл бұрын
Ni kweli ulichoongea ase be blessed umenisaidia
@rizikiyohana.56943 жыл бұрын
Nikwer bhana yaan mm hapa n R halaf nimeolewa na P yaan Kila siku n vikwazo tu
@jumapilijule45453 жыл бұрын
Mimi ni S na Mpenzi anamajina yote ma2, D na M nimeona ukweli ndaniyake Yaani hujakoseya,hongera sana kwakipaji
@roshichocolatee80843 жыл бұрын
Aya wale wenye (s) tujuane hapa😍😍😍😍 I'm SHAMSA
@mkambotv54183 жыл бұрын
Mimi ni Salim....
@stevenmnzavajoseph3 жыл бұрын
Tupo @chocolate
@sabrinaiboma24443 жыл бұрын
SABRINA HAPA 💞
@saudayusuph7743 жыл бұрын
Am saudah
@saidrajabu6353 жыл бұрын
Mmmh
@mauwashadrack86243 жыл бұрын
Mimi ni herufi M umepatia kabisa ❤️
@mathayoayubu86353 жыл бұрын
Labisaa ase
@brunidamadege37473 жыл бұрын
Nsaidie Mimi B na mwenzanguY.
@enockngonyani73433 жыл бұрын
💯💯🙏
@salomeivorant326610 ай бұрын
Well said
@aminawazir39073 жыл бұрын
Nimependa sana
@patriciacosmas59443 жыл бұрын
Nimekukubali f Ni very bright Ila presha miguu
@mamalao85743 жыл бұрын
Hapo kwa k umegonga ndipo napenda kusaidia but watu hufikiria nina roho mbaya but nikipatwa na shida sipati msaada
@esthermramba93953 жыл бұрын
Me too
@umyshedafa3303 жыл бұрын
Mimi pia
@kihangesamgela21093 жыл бұрын
Duuh! Ata selewi nioe jina gan jmn😭😭
@marympango92473 жыл бұрын
Yan kabisa....nimeamin...mm ni M....ktk maisha yangu....siwez kaaa na kitu moyon kabisa...nahis nisipo sema naweza hata kufa.....
@mwanaishamkazi78703 жыл бұрын
Fact
@marthakenganije86233 жыл бұрын
Herufi gani inaweza kuwa xahihi kwenye mahusiano
@priscachotela83972 жыл бұрын
Jaman kaka unenigusa sanaaaaa yan kwa mpenzi wangu daaah mungu atuongoze tyfike salama
@fettykassim2 жыл бұрын
Yote uliyoyataja n kwel kwenye maisha yangu yapo
@fettykassim2 жыл бұрын
Yote uliyoyataja n kwel kwenye maisha yangu yapo
@NireraJeanine2 жыл бұрын
Umepatiya sana kwenye jina N&j
@margarethpolepole74383 жыл бұрын
Ni kweli mimi ndivyo nilivyo msema kweli siweki neno rohoni na kweli mimi ni mkali na napenda nyama kama usemavyo na miguu naumwa na maono ninayo sana
@sophiethadei15543 жыл бұрын
Yaan umegusa kweli maan nyama napenda sana alf naongea kwa sauti hatar umegusa penyew2 🤗🤗🤗
@sabinastefhano87163 жыл бұрын
Yani umenipatia sana Kama ulikuwa unaniona na mme Wang M jamani Kaka ww
@sophiarubambimpala58543 жыл бұрын
Mm naitwa Sophia Yan hujakosea tabia zangu ni hzo hzo na nikivaa nguo nyekundu huwa napendeza Sana na mpenzi wangu anaitwa M.... Yan ni M duuh jaman.
@moshimgaza56423 жыл бұрын
Nikweli kabisa m napenda ukweli kuliko uongo na nikpenda napenda kweli
Wow kwenye S hapo umenigusa Kila kitu duuuu! Kuna watu wanavipawa .... Barikiwa
@maryamsylivester86623 жыл бұрын
Wale wa W & M is 🥰🥰 tufahamiane jamani mie ni Winifrida
@winfridagama20423 жыл бұрын
Winfrida my name
@wamburachacha77373 жыл бұрын
👍
@wendyeliezer64193 жыл бұрын
Nipo
@deogratiasassey68723 жыл бұрын
Imeisha iyo deo na Suzy😋😋😋
@magrethaminiel33933 жыл бұрын
Waooo nimerudi online shehe musa
@naomymuro21993 жыл бұрын
Wow ameenda mulemule mm N na af mume Wang J na uloongea yote n ya kwel,,shukran
@nebiusnyonzo13083 жыл бұрын
Ahahahaa na mimi ni mle mle
@nestorykanyetto60213 жыл бұрын
Umeona hata mm mulemule jamaa hakosei
@stellahmosha95173 жыл бұрын
Yaan S umenisema kweli kabisaa nyama ndio kabisaa ni dakika 2 sikuachi nakupa neno lako sikai nakitu moyoni chakuniumiza, H ndio Husband wamie kumbe nilipata maono sana, Mungu tujalie ndoa idumu
@sunnamickdady53833 жыл бұрын
Mi H wang ni msumbufu jaman😭😭😭🙌🏼🙌🏼
@abrahamkaliwabu12593 жыл бұрын
Mimi ni A na mpenzi wangu ni A vipi hiyo couple?
@sarahminja72553 жыл бұрын
Dada yangu anajina la p mumewe anajina la J Ila anapata tabu Sana tangia mumewe kamuo na kumzalisha ni Kama kamtelekeza watoto tunalea tu tufanyaje baba yao. Hajui hata majukumu yake kwahiyo anachoongea si wote
@paulinashembilu10933 жыл бұрын
Yan mi siamin jmn mi pia p mume wangu j lakini huo Moto wake si wakitoto hakuna maelewano
@hamidangitu2273 жыл бұрын
Hao ndege nawapenda
@linahjoseph64573 жыл бұрын
Yan hujakosea kaka iyo k ni 🔥
@mariabenedict3283 жыл бұрын
R.I.P Magufuli msema kwelii💔
@stevemoshi98573 жыл бұрын
Ongea kama huwa unakulaa
@devothafrederick43523 жыл бұрын
Na kweli bhna
@genovevatarimo39823 жыл бұрын
Kwan magufuli jina lake lilikua linaanza na m??? Ni john
@biharusussi82333 жыл бұрын
@@genovevatarimo3982 😁😅😄🤣😂
@luciahmwai5673 жыл бұрын
@@stevemoshi9857 nani huyo
@achouraachoura57633 жыл бұрын
Kwenye Huyo herufi..I.umeongea kweli Wana biburi mno nililiona ilo nikaachana nae
@mohamedykabwanga16473 жыл бұрын
Huyu jamaaa anajua hatari
@vannyharrison85723 жыл бұрын
😂😂😂ndgu yang umenfurahisha
@achouraachoura57633 жыл бұрын
Kaka masha'allah unajua
@salmaomar86123 жыл бұрын
Mhn!! Sikuwa najua kuwa jambo JINA ni darasa kamili. Hongera na ahsante sana.
@scolakalindu80773 жыл бұрын
Tupo wote
@fady_music4123 жыл бұрын
Daaah kweli kabisa mm fahady kweli kabisa Yan presha ninayo kabsa
@milonmilestz43122 жыл бұрын
Kweli Ibrahim
@rommackmontelo35753 жыл бұрын
Duh,skuwahi kujua hayo ila umegusa kwenye ukwel kwenye life cycle 💪💪
@fatmaally72523 жыл бұрын
Yaaaaani wewe baba ni umeongea ni kweli kweli mtupu mashaallah mmmmh mbona mimi umenigusa vyote
@dayanahothman9933 жыл бұрын
D kama D😍😘😘🤗
@gloryandrew94283 жыл бұрын
Mume wangu ana heruf F nilisha mwita muchawi mara kibao naweza kufanya kitu akiwa hayupo naakaja akaniuliza leo nahisi umefanya kitu tofauti na mimi namwambia wew ni mchawi
@Mapeninah3 жыл бұрын
Hapo kwa p na usingizi namekubali sana
@mwanakheri1693 жыл бұрын
M kama M,umepita humooo humoooo yanini uweke vitu rohoni we sema mambo yaishe😂😂😂😂🤗🤗
@mwazaninalapa88523 жыл бұрын
Kweli kabisa ndivyo tulivyo ila timwshauriwa tupunguze kuongea mambo yetu tunabrock😁😁😁😁
@mwanakheri1693 жыл бұрын
@@mwazaninalapa8852 yaani hapo kwenye block hapo ndo shida inapoanzia
@malugukushaha67643 жыл бұрын
Yaani hapo umepatia sana aise.
@khamistungupu32383 жыл бұрын
Yani kwenye H, umeweza,aise tunapenda sana kubemberezwa
@mumyally59013 жыл бұрын
hahahaha hapo hapo
@saraphinajosephaty27233 жыл бұрын
Wallah huyu. Baba ni mkwel Sana kwenye heruf s nimejiona Mimi kbisa
@situnayenge22923 жыл бұрын
Apo kwa S nikweli kabisa.vyote ulivyo visema nikweli niko hivyo.
@salomesaedy8186 Жыл бұрын
Hapo kwenye strong hapooo ndo penyeweeee❤
@cimpayeriziki50353 жыл бұрын
R kweli umepatiya sana tena sana
@robenapomola23953 жыл бұрын
Api kwenye s ni mama yangu kabisa hawezag kuongea pole pole hupenda nyama na mpambanaji 💃💃💃
@fesalybrayan28843 жыл бұрын
Sikupingi mama angu hali bila nyama halafu haweezi kuongea polepole ila wanahuluma sana
@sarapaulo47183 жыл бұрын
@@fesalybrayan2884 jmn huyu jamaa hadi namuogopa kwel kabsa ss kna S tunapitia magumu sana kma mm hadi huwa namuulza mama mbona mm bado mdogo lkn mung ananpa majarbu makubwa kuliko umri wang?sasa nmejuwa ukwel naiman siku yang ipo
@hatibulaisser48583 жыл бұрын
Nauuliza SnaR wakioana wataendana
@sarapaulo47183 жыл бұрын
@@hatibulaisser4858 ndugu mganga wetu anatuambia kuwa S unaendana na M pia wanaweza kuelewana na O lkn mungu kwanza
@shuukuchy63503 жыл бұрын
@@hatibulaisser4858 wanaendana S-I. S-A S-R
@paulinacherement25343 жыл бұрын
SUBHANNA LLAH alhamdulillah ALLAH AKBAR
@saralusinde533 жыл бұрын
ni kweli mimi ni Sara kwakweli uko sahihi kaka everything is true
@sarapaulo47183 жыл бұрын
Sana mm napenda sana nyama,pia siwezi kuongea saut ya chini,ila mm n mpole sana
@kibeginiblue71883 жыл бұрын
Mm ni S Ila nilivyokuwa mtoto nilikuwa sipendi nyama
@yusufuheri65243 жыл бұрын
Mungu hakuweka video kwenye bibilia au Qur'an kwasababu mke au mume anatoka kwake
@laliaelulu18153 жыл бұрын
Sijaskia kuusu L nipeni Namba yake Tafadhalini 🤗🤗🤗🤗
@robenapomola23953 жыл бұрын
Jina langu linaanza na R hapo kwenye kuhic kitu na kutokea walah mwaka jana nillihic nyumban kuna msiba na ikatokea babu yangu kuzaa baba amefarik
@kitonekantasha16873 жыл бұрын
Hata mimi kwenye R namuunga mkono na angelifafanua vizur ili tuepuke. Mimi niliota tu kitu na kikatokea nilisema kitu na kikatokea aisee naogopa hadi kusema sema.
@user-ot2io4cy6w3 жыл бұрын
@@kitonekantasha1687 Hata me jina langu kamili linaanziwa na herufi K nina hisia kali na kila ninachohisi kinatokea kweli, nina utambuzi wa hali ya juu sana mpaka najiogopa, na hapo kwenye changamoto ni kweli nina changamoto mpaka naiona dunia chungu😭😭😭
@winnievenance36193 жыл бұрын
Mimi nilihisi mpenzi wangu kanisaliti na ikawa kweli
@taturajabukhalfani79533 жыл бұрын
@@kitonekantasha1687 hata dada yangu yupo hivyo
@vanessarobyn45843 жыл бұрын
Jaman mie hadi watu husema ni mganga niseme kitu lazma kitokee yaan hyo pressure ya kushuka niko nayo khai na napenda saidia watu lakn npate shida uuwiiii ata wakunihurumia hakuna
@reyhizza83123 жыл бұрын
herufi R mpooo ,watu na huruma zetu
@anjelawillison49713 жыл бұрын
Kwelii sana yanii mume wangu anahuruma hadi unawez kukasirika
@roseshirima4673 жыл бұрын
Nimenyosha kidole
@rakbeenrakbeen49613 жыл бұрын
Tupo
@lightnessmarandu59453 жыл бұрын
Mm dada angu yupo tofauti na hizo sifa na yeye ni R
@rehemasaidi59113 жыл бұрын
Tupoooooooooooooo😍😜
@davidtemba48933 жыл бұрын
Duuh Herufi D na S kwenye mahusiano 🙌🙌😍
@brotherdash67723 жыл бұрын
D
@davidlukumay22263 жыл бұрын
Mimi D namtafuta mchumba S.. na yale mengine yaliotajwa !
@abdallahhamis65323 жыл бұрын
Mm A naendana na herufi zipi
@fakhriyaal-shabibi68652 жыл бұрын
Kwenye S naona kama kwel aisee 💪💪🙈
@rodgersmenza52613 жыл бұрын
Am not yet married and I think I'll get the perfect one
@mluziwajini47343 жыл бұрын
Njooo kwanguuu
@ddfatma42813 жыл бұрын
F upo sahihi mimi huluma ushauli maladhi mchanganyiko yaani sijuy utanisaidiajee nivae nini iliniwe sawa