hongera JPM kwakuchapa kaz endelea baba iv vtabulisho Ni vizur Sana kwa mtu mzarendo maana vnakuza uchum et Kuna watu wanasema kod za kchwa tuongezee na vngne
@saidhamad1635 жыл бұрын
Mind empty
@isdorymathias20945 жыл бұрын
George mlonda nashindwa kukuelewa sijui una elimu gan huelewi chochote unaishije?
@sponsor78825 жыл бұрын
TATIZO LA VIONGOZI WA TZ HAWAJASOMA VIZUR, WANATEGEMEA NDUMBA TU
@shebbytz71115 жыл бұрын
Vitambulisho vimewadodea sasa wanahangaika tu.
@ahmedmtandika34565 жыл бұрын
Sijaelewa maana ya hivi vitambulisho
@captenndunga93855 жыл бұрын
Sasa ndumba inaingiaje kwenye vitambulisho? Yani kwa kua ww mtu wa ndumba unajua kila mtu ni ndumba.
@franshyera89705 жыл бұрын
@@captenndunga9385mwambie uyo ajielewi uyo
@athumanfuko1995 жыл бұрын
muwalahihishie kwanza upatikanaji wa vitambulisho
@yusuphkassim41885 жыл бұрын
leo muheshimiwa umepuyanga kwasababu huwezi kumlazimisha mtu anunue kitamburisho wkt hana kazi nacho, lazima uwe na biashara ndo uwe na hicho kitmbulisho sasa biashara hauna hicho kitambulisho cha kazi gani? Mtu hana pesa ya mtaji wa kufungua biashara sasa kitambulisho cha nini labda km umeandaa mazingira ya kupata pesa na kumuweka kila mtu bize hapo sawa kila mtu ataona umuhimu wa kua na kitambulisho unless otherwise utakua unawaonea wananchi kupitia dhamana yako.
@winslowzirops35985 жыл бұрын
Sure
@EmmanuelMassawe5 жыл бұрын
Well said
@sabatomjungu97275 жыл бұрын
Kwel kabsa
@gorgonusshayo9205 жыл бұрын
Yusuph Kassim yesss. Wwe ndio nmeona uneongea point wengine wanashangilia ujinga. Usinilazim kununua . sii wote wamejiajir . bas wanafoss kutoa hela kwa nguv
@kileokileo9595 жыл бұрын
sasa kama we ni mtu mzima unakaa mjini huna kazi sio mfanyabiasha mkubwa sio mfanyabiashara mdogo unategemea kua nani au utalima lami
@neymarsuleyman86025 жыл бұрын
Huyu ni mtaalamu sana waku-create defensive mechanism..... Maneno yake yanauwezo wakui-rebuild psychology ya MR-PRESIDENT toward him
@kabulamayunga39835 жыл бұрын
Uko vizuri Rc
@stevenkipara93105 жыл бұрын
Hauta ishi maisha yako yote bira kazi,chukuweni hata kama sasa hamuna kazi kitawa saidia mbele ya safari
@hagaieliya61875 жыл бұрын
Watendaji tabora iko kazi
@genariusgabriel53605 жыл бұрын
Huwa najitahidi kusikiliza hotuba za mawazir wakuu wa mikoa na wengine wamekuwa na ajira miaka zaidi ya ishirini na wanakuwa wakali kulinda ajira zao kwelikwel wanaogopa kupoteza ajira Kama ukoma lakin wametumezesha wengine hasa vijana wanaolia kukosa ajira at hamna mawazo yakujiajir. Maskin kijana utakuta kazaliwa familia maskin hajawah kuwa na kibarua Hana mtaji lakin ndo anatukanwa. Iv huyu aliefanya kaz miaka mitano anakuambia jiajir kwanini asiache kaz ashapata mtaji kijana nae atafute mtaji??
@djamanitvonline36235 жыл бұрын
Nyoshaa mkono juu olewako ujifanye unajikunaa
@amanimnyanga20025 жыл бұрын
Nakukuli sana Bba miaka 100 ww aliwatani temi maboya watakaa mbaali
@christophersaimon43985 жыл бұрын
serikali imekosa njia nzuri ya kupata mapato deni la taifa linazidi kupaa
@faidhamyovela1795 жыл бұрын
Tabora ya moto yan ukilegaa🔥🔥
@estherjohn9534 жыл бұрын
Sukuma.ndani baba
@gastonmbarila73025 жыл бұрын
Uu jamaa atengenezwe awe future president
@dominicnzai82565 жыл бұрын
Upambe mpaka Bosi Ananuna I say,..izi zinaitwa hard Fillings I say,haya twende nalo Baba#MilaardAyo
@loidamsyani17685 жыл бұрын
Nakukubari sana 100%
@MarkaziIBNSiriinOnlineTV4 жыл бұрын
Kabisa
@danfordaugustino34615 жыл бұрын
Kitambulisho cha Taifa .
@josephkayanza42805 жыл бұрын
Serikari ya kiki sana ukienda Tabora, isevya, Ng'ambo, Chemuchemu, kiloleni na mwinyi pako hovyo Sana yeye kiki tu,. Naenda Nzega, Nyasa, burunde, Nyasa, kitangili, hovyo. Naenda urambo, majengo mapy, yakati, na yatara au majengo kariuwa pako hovyo yeye anapwayuka tu mitandaoni
@geoffreytwazihirwa29925 жыл бұрын
Unaongoza mkoa unatumia nguvu zote je ukipewa uongozi wa nchi si utatapika utumbo....hao unao ongea nao ni watu wazima baba na mama za watu...kwani tanzania nzima huyu ndo mkuu wa mkoa tu...hao wengine mbona hawapigi kelele
@omarymchoya78485 жыл бұрын
hahahahhaah Hawa ndoviongoz tunao wataka hakuna kubebeleza mtu ambaye anatayifsha uchumi fyeka ndan wote
@jumasheha59315 жыл бұрын
ha ha ha haa! Kazi kweli kweli
@tanzanitegemsCT5 жыл бұрын
Mkuu punguza macho unawatisha watumishi,nanyi watumishi someni mjue haki zenu mmenywea kama wagonjwa kwa nn......? Someni ili mjue sio kutishwa
@ebenezertom29625 жыл бұрын
tanzanitegems culturaltourism ,,,,sasa kama tabora kuna wajasiriamali 2000,na wote wamepata vitambulisho,hivyo vitambulisho 8000 utavipeleka wapi????
@freedomtz32885 жыл бұрын
kiongozi mzuri hawatishi anaowaongoza,bali huwaelekeza n'a kuwajulisha walipoteleza
@amanimnyanga20025 жыл бұрын
Maboya kaeni mbali mwecheni bb yangu awanyooshee
@justinemalekela52695 жыл бұрын
Gonga like kama unamakubali
@abbyhoza82175 жыл бұрын
Aiseee!!!!!
@doublejmrutu85295 жыл бұрын
Safi san
@hamed_nassoro5 жыл бұрын
Nafyeka fyaap😂😂😂
@emmanuelmasingijaeliud88995 жыл бұрын
Huyu jamaa nae kazi yake kupiga kelele mtandaon wakat barabar ya kutoka tabora kwenda katavi ni mbovu wala haitamaniki
@nellywizz96315 жыл бұрын
Ww umefany nn kimoja?
@nellywizz96315 жыл бұрын
Unaona hyo bara bara kajenge ata mita moja ww. Mnapenda laumu tu watu nyie cjui mnafanyag nn anapga kelel n ww pg tukuckie
@hamadomar30642 жыл бұрын
Hauna kitambulisho sukuma ndaniii
@shadrackdamiani82485 жыл бұрын
fyekelea mbali 2020 gombea urais
@papaj67955 жыл бұрын
Mheshimiwa uwezi kulazimisha watu kwa vitambulisho Ni kwa ajili ya kusaidia wamchinga ,uwezi kutufanya tuwe watumwa ndani ya nchi yetu hivi Ni kwa ajili ya kusaidia wamchinga na kuwaelumisha na sio by force.
@hizim66995 жыл бұрын
Km tz yenyew ina ugonjwa wa kudumu wa kukosa ajira alaf leo mtu auze Karanga kwa meza akae apo sehemu moja biashara yenyew karanga asitembee kutafuta wateja ama mchicha ivi inakuja kweny akili gn una nia hv kweli una nia nae apate ata chakula ktk biashara hii itakuwa ndoto km kuna harakati za namna hii mhi umechemka asee duh kwanza amna maisha ya namna hio na km wapo bc we ndo unaanza unajua unaposeama jambo fanya utafiti kwanza hasa kweny suala biashara,uzalishaji ucje ukakurupuka utakurukupukisha na watu,,we unajua watz humu bado,, mf.wengine humo wanaenda tu mradi yy amalipwa basi hana uelewa mwingine washatikisa vichwa kukubali wameshakubali tayari niya atari yani
@douglasslema28375 жыл бұрын
Maji ya kwaju....😁
@williamkeita15195 жыл бұрын
Daah mwari ananifurahishaga5 mno
@darasahuru45325 жыл бұрын
Uyo mzee kama kachanga nyikiwa anapaniki sana afu atulii kwenye mstali mmoja 🏃🏻!!
@isdorypaulin51225 жыл бұрын
hapa kazi tu
@robymshomi23795 жыл бұрын
Hatari fire 🔥
@calebmassam63325 жыл бұрын
Duhh naona kaulimbiu ni kufyekelea
@manasemwakilasa59314 жыл бұрын
Alie muona dada wa miwani anahemea jujuu kidole juu
@eaglecrown38725 жыл бұрын
Ukiwangalia hao watendaji sura zao mbali na mavazi utafikili kuluta wa jeshi… zinaonyesha jinsi gani mkuu wa mkoa alivyofanikiwa kuwabananisha…, jamaaa kawa bananisha kila kona hawapumui…ivi Tabora rushwa ipo kweli? duuuuuuuu Asante mngekuwa kumi 2 Tanzania ingekuwa mbali sana maana msimamo wake ni kuwa kabla hajatumbuliwa yeye basi yeye atakuwa ameshawamaliza wote kwanza kisha aletewe wengine.
@sharifa19345 жыл бұрын
Nkukubari mzee baba 😂😂😁😁
@charznyamaresa55715 жыл бұрын
mnamaaana gani na watu simseme tu tuuuze vitutulivyo navyo tuwape
@mohamedsalmu35065 жыл бұрын
Mmh kama kenya ase
@khadijayusufu71695 жыл бұрын
Ngpi uko engine soma uko🤣😃🌐
@danymsinga70485 жыл бұрын
Sasa Kama Sina kazi jaman inakuaje
@ifozatv25135 жыл бұрын
Dah! Wachumia 2mbo
@robertjunior99165 жыл бұрын
Mara paaap katumbuliwa na Mkulu hahahahaha
@jostababeli67045 жыл бұрын
Naanza kuamini Tz kuna udictector, huyu Mkuu wa mkoa kasema ukweli leo.
@Manassehpm5 жыл бұрын
kumbe hicho kidudu ni kwa ajili ya kukusanya mapato!!!
@rubamann5 жыл бұрын
Dizaini ya wa aina hii wakichukuwa Nchi watakuwa wabaya kuliko Magufuli, Idi Amini, Rodrigo Duterte, Mobutu. Akiwa Rais wengi watakufa.
Tumeishiwa sasa duhhh kodi yakichwa kama kawaida kidumu cha mapinduzi
@mwitafrancins39985 жыл бұрын
Duh!kweli hii kali yeye anaogopa kufukuzwa kazi ila watanzania wanyonge wakandamizwe hey
@simonnembomadola75125 жыл бұрын
Kodi kodi kodi kodi kodi....
@azizamkindi17845 жыл бұрын
Usitumie nguv ww kama mtu hana biashara hakina umuhim sio vyema tumia busara mhe
@saymarsaymar46544 жыл бұрын
Mrembo Aziza
@davidnicholaus53044 жыл бұрын
Mmmmm huko tabora kazi ipo
@charznyamaresa55715 жыл бұрын
mhhhhhhhhhhh mnatafuta hela serikali ya magufuri mpaka hela zamisiba mnazitaka
@danielnjau3725 жыл бұрын
Sukuma ndani
@isaackchambo26425 жыл бұрын
Watu kama hawa wanao payukapayuka hovyo ndio baba mwenye nyumba anawapenda na watadumu madarakani,maana ni ile methali ya kipofu kuongoza vipofu mwisho ni kutumbukia wote shimoni.
@elikarimugayewi31055 жыл бұрын
Hapa hamna namna maana ni amri ya mkubwa. Hapa hamna cha sheria. k. m. TRA. Hii ni nyundo tofauti toka kwa mkuu wa kaya kwenda wakuu wa mikoa kwenda kwa wakuu wa wilaya kuja kwa watendaji kata na vijiji, na kuangukia raia! Haikwepeki. Siri: fuko kuu halina hela.
@jonasshadrack93085 жыл бұрын
Ndg mkuu wa mkoa. Igunga tumelipia vitambulisho tar 14.04.2018 lakin mpaka Leo February 2019 hatujapewa vitambulisho na tumelipia
@aginiweyessayakyando98555 жыл бұрын
Nimesha fyeka wote nileteeni wengine 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@pigapesa10135 жыл бұрын
kaongea vizuri RC.
@ivankagoma99825 жыл бұрын
Kosa lingine😂😂😂😂😂
@mkobapoli9155 жыл бұрын
Mie kwa vile ni mjukuu wangu nisingekaa bila kucheka na kujikuna, mammmy! chagulagha.
@abdallahmchange13705 жыл бұрын
Kitambulisho ni cha wajasiriamali Sio cha uraia Mzee sikuungi mkono
@christophersailen80045 жыл бұрын
Huyu jamaa yuko vizuri huyu no mwalimu kwasababu kama umueliwi gani were utakuwa tutusa alafu atakuwa anajuwa kuwabadilisha watu kama mtoto aspomuekewa basis akapimwe wkili
@allyrashid12355 жыл бұрын
Huyu mkuu wa mkoa siyo haiwezekani akaongea maongezi haya halafu watu wamekaa kimya huu ni upuuzi na installers kukemewa
@arnoldlyimo80885 жыл бұрын
huyu faza kazidi kutafuta kiki sasa
@kawiliabdul14765 жыл бұрын
Soma hiyooo.
@wolfgangkichai85775 жыл бұрын
😂😂nikishushwa tunashuka wote 😂😂
@meshacksamson52245 жыл бұрын
Kwa huyu mkuu wa mkoa raisi hakukosea kabisa,yuko vzr na kazi yake!!!!
@kadotete40405 жыл бұрын
Yaelekea kilimo tanzania ni adhabuu eee
@ntulimwaihola70855 жыл бұрын
hiyo ni kodi ya kichwa hapo mmegeuza tu hadi msiba pancha
@eneamwaipola68335 жыл бұрын
Akifukuzae asemi toka nchi imeuzwa
@shebbytz71115 жыл бұрын
Sasa anaekwenda kupalilia umlipishe kitambulisho elf 20. Mbona majbu yako waz jamaan. Hvyo vitambulisho gawen bure halaf mkusanye kod kwa mliowagawia kwa Maana mtakua mnawafaham ni wap wanapatikana,,, Wapen vitambulisho bure muone Kama hawatachukua sasa.
@gabrielibrahim58423 жыл бұрын
Umeerewa tofauti iree nikiererezo chawewe kutokunyanyasika popote erfu 20000kitu gani unakunywa bia ngapi au soda ngap leave mwakaa uwe mwerewa taifa litajengwa na SS watanzania hakuna bib Kodi mihimu Sana ulaya imefanikiwa kwa Kodi za wananchi wake
@yaspizaro14475 жыл бұрын
sukuma ndaniiiii😂
@feezdidthis22205 жыл бұрын
inasikitisha
@kulwaabdulrahman61965 жыл бұрын
ni hatari !! na inabidi utupe ajira zako maana unatutisha saana
@kulwaabdulrahman61965 жыл бұрын
@Francis Osodo mbona unashoboka na comment zenu pita mbele huko kama huna ajira ni ww
@kulwaabdulrahman61965 жыл бұрын
anavyosema !!!! kabla hajaondolewa atawaondoa wao kwanza !!!! angekuwa baba yako kaondolewa unajisikiaje
@kulwaabdulrahman61965 жыл бұрын
m nilitegemea unataongea vitu vya msingi kama hiv!!! na c vinginevyo⏳
@rajmkonje71495 жыл бұрын
Kama unataka kwenda haraka nenda mwenyewe kama unataka kwenda mbali twendeni wote