Huyu jamaa ni foreman wa kiwango cha dhahabu. God bless Mwanri.
@dn.n49834 жыл бұрын
Hakitoka rais muda ukisha mpeni huyu mweshimio mkuu wa mkoa ni mtu anafanya kazi kweli kweli ubarikiwe sana
@Boaz225 жыл бұрын
Kama umesikia down the line,.gonga like😂😂😂😂😂😂
@dennishyera61274 жыл бұрын
Mkuu ni jambe tokeapo but akipewa wizara mambo yatanoga. Tz Itakuwa kama Toronto cause Rais jembe waziri jembe .God bless Tz.!
@eliazarinyakiema19695 жыл бұрын
Huyu ndiye mkuu wa mkoa wa tz 😁😁😁👍
@victorjames37305 жыл бұрын
Mkuu wa TZ....
@jovintosssi32875 жыл бұрын
True
@dopeysera69024 жыл бұрын
Vipi kuhusu mheshimiwa Bashite
@joseygaudence18865 жыл бұрын
Sauti ilio pewa mamlaka na Mwenyezi Mungu kusudi mambo yaende Bam bam😂😂😂😂
@japhetv61574 жыл бұрын
😂😂
@denishamka86574 жыл бұрын
Nakupenda Sana MH MWANRI
@Moses19974 жыл бұрын
Sauti kubwa hadi Maiki imewekwa mbali ,,,,hahahahaaaa Mwanri ni FIREEE🔥🔥🔥🔥
@sylvestermihale4044 жыл бұрын
Mzee wa sukuma ndani, Heee wachaa hiyoo, wacha kabisa😂😂😂😂😂.
@kambiibrahim4155 жыл бұрын
RC uko vzr sana tena sana piga kazi sisi tuko bega kwa bega na wewe Mheshimiwa. HAPA KAZİ TU
@shemsaroja9755 жыл бұрын
Next President of United Republic of Tanzania ! IN SHAA ALLAH .
@yunusyusuf46144 жыл бұрын
wallah we gonna be happy forever wallah huyu mtu aananifurahishaa many people wanaisi ni comedy ila anafanya kazi yake safi sana
@tentofgracechurch35044 жыл бұрын
Mimi ni mkenya but I fully support he can do excellent
@shebaminde76565 жыл бұрын
DMO welcome to the world imeisha hiyoo😃😃😃
@ezekielevarest92154 жыл бұрын
😆😅😂
@jacobletema36814 жыл бұрын
Mheshimiwa Rais, huyu Mkuu wa Mkoa mpandishe cheo ni mfuatiliaji mzuri sana wa miradi ya serikali na ana uchungu na fedha za serikali na pia ana uchungu na maisha ya wananchi. Big up sana Mzee wa Toronto.
@kakurukakurupacha8595 жыл бұрын
Sasa hizi ndo habari za kuangalia zikala mb zetu sio upuuzi wa penseli na ujinga
@lamecktheonest2255 жыл бұрын
Kakuru Kakuru pacha 😁😁😁😁swadakta
@josephisaya81665 жыл бұрын
Kabisa
@benedictordaniely83324 жыл бұрын
Muombe mh.raisi akuteue na wewe, maana ili ujue mrefu na mfupi lazima kuwe watu wawili n.k.
@bonifacemohono34864 жыл бұрын
Penseli
@mustafaseif1644 жыл бұрын
Wasenge hao
@abasmwika34325 жыл бұрын
For the first time Engeneer amejisikia vibaya Sana kwenye taaluma yake halafu nimtu mzima sasa Dah Pole sana Faza. Haha eti kaa chonjo!!!
@evancevlado50494 жыл бұрын
Nakuja hapa nakula vichwa vya watu kama vitano hivi😂😂😂😂
@Ndu-wa.uroony24 жыл бұрын
Kubabeki Mwanri ni kisanga! Kama umeskia ''nikija nakula vichwa kama vitano" hebu gonga like
@mohamedimganga14814 жыл бұрын
Saf sana mkuu wa mkoa yan na unguwa na uku kwetu wangenyoka
@andreymalisa16254 жыл бұрын
Wanaume tunafeli wapi yaani ukali wote hua nje kufika ndani kimya 😂😂😂😂😂😂 Mbaya zaidi mke mtanga...
@shabanikamsawa4244 жыл бұрын
Olewa ww kama unamuonea wivu alie olewa
@jtlehhema4 жыл бұрын
Huyu RC Mwanri ni kiongozi Mungu kamuumba vema kabisa.. Such a brilliant leader
@victorjames37305 жыл бұрын
Uyu mkuu wa mkoa Nampenda sana
@georgelucas80314 жыл бұрын
Mungu amlinde Mkuu wa mkoa Aggrey
@bettarwazir99554 жыл бұрын
Nyooosha watu aooooo mwaka 2020 nakupa ulaisi
@zakstv73685 жыл бұрын
Nakula vichwa vitano hapa😁😁👍nampende sana huyu mzee
@emanuelseka75814 жыл бұрын
Inaumaa sana jamani amkeni watanzania weka ndani
@petermichael1297 Жыл бұрын
⁸
@innokirigiti4 жыл бұрын
"Nakula nakula vichwa vya watu kama vitano ivo ile tuelewane hapa" 😀😀
@benedictmujuni22834 жыл бұрын
Hiyo kauli ndio iliyonichekesha hadi machozi yakatoka
@thomasraiton77604 жыл бұрын
Vaeni element atakula vicjwa vya watu kama watano hv ili ku escape fanyeni kazi yake vizuri bjaaas
@selemanivanmkungu46375 жыл бұрын
KAMA NA WW UMESIKIA MSALIKA ANAITWA LIKE
@abdulkillya26555 жыл бұрын
Kama hakuna mlango panakaaa panabaki kama cubicle 😂😂😂😂😂😂😂😂
@manasemwakilasa59313 жыл бұрын
Nimekumis mzee
@abdulmtitu74785 жыл бұрын
Nakuelw xn mh RC hasa kwny hyo commanding voice,,pga kaz baba tupo nyuma yako
Uyu mzee apewe uwaziri mungu abariki asimamie haki zaidi
@georgeerick31404 жыл бұрын
Good, good!!!!yan tungepata watu kama hawa agrey mwanri na lengai sabay nchi hii ingefika mbali!!
@lasteckmmary97414 жыл бұрын
Injinia kaa chonjoo
@favourmusic46925 жыл бұрын
Daaah uyu mwanri ni jembe kweli kweli moja ya uteuzi bora wa mh rais ni huyu jamaa
@ancomagutanzania70684 жыл бұрын
MMETUVILINGISHA SIO DMO WELCOME TO THE WORLD IMEISHA IYOOOOOH
@christinasolomon81564 жыл бұрын
Binafc kabla uongoz wa MAGUFUL nilitamani sana awe WAZIRI MKUU hapo ndipo ingenoga sana coz namfuatilia sana tang akiwa N/WAZIR TAMISEMI.
@donaldmgunda497011 ай бұрын
Huuuuu mlangoooo kwaninii hamjawekaaa Hapa😎
@shehemnazi1275 жыл бұрын
Nakukubari Sana,mkuuu.
@lazaronkanga4095 жыл бұрын
DMO welcome to the world 😃😃😃😃
@baragatimaingu56235 жыл бұрын
Hahaahha na ww umeinyaka kumbe😃
@OmanOman-sm6dv3 жыл бұрын
Bora ungekuwa raisi wew maana uwongozi huu hata siuwelewi
@sylvesterdominic59975 жыл бұрын
Number one✔👏
@kyaloronny54074 жыл бұрын
tarehe 15..wiki ijayo..wanachoooo
@allyshafi439111 ай бұрын
injinia injinia injinia kaitwa mara tatu😅😅 na Mh Agrey Joshua Mwanri
@radhiasalum71564 жыл бұрын
Huwa nakupongeza Sana kazi zako
@ayoayoo12224 жыл бұрын
Mheshimiwa rais magufuli uyu rc mpeleke da er salaam alafu nyonda mwenye manano ya kanga mwenye kufanya kazi mitandaoni mtafutie sehemu nyengine uyu ndio anafaa dar
@gwakisakaswaga52494 жыл бұрын
Hata mtuletee Makonda watano hatutaki ...tuachieni chuma chetu....endeleeni na kutafuta kiki nyie!!!
@DaudyEmanuely5 ай бұрын
Mkuu🙌🙌🙌
@kibekran104 жыл бұрын
Kondoo wa kafara namba moja
@jonaslameck15634 жыл бұрын
Hizi ndio habari za kulusha na zilifaa zilushwe insta sana.cy habar za kiba na mond sijui pencel hovyooooooooo😀
@man.lule.5854 жыл бұрын
Mkuu wape disprine hao wazembe wazembe wanaokula jasho lá Kodi zetu bila Kuwa na hofu ya Mungu.
@GRACENyanda-cn3pg5 ай бұрын
Yani ukisimama mbele ya huyu baba akikuuliza swali uwe na majibu ya kueleweka la sivyo😢😢😢😂😂😂😂
@danielyared48804 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa wa Tanzania
@jei_maimu69575 жыл бұрын
eeeeeee usiniambieee...kamba zakoo hapa😂😂😂😂🙌
@polloz775 жыл бұрын
Huu si wakati kubembelezana fanya kazi kwa ajili ya maendeleo ya taifa Hapo safi sana Mkuu wa Mkoa kwa maana hawa watumishi wafanya kazi kwa mazoea lazima wabadilike waende na kasi ya CCM
@mohamedjimia35355 жыл бұрын
baada ya magu agombee urais huyu 2025 aise inchi itakuwa kama USA
@antonyhope80314 жыл бұрын
Engineer kashindwa kujibu maswali babu wa watu,hajui mwanri hadanganywi kwenye mambo aisee,babu rekebisha kabla hujatolewa kafara
@mchunguzitv8891 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 mwanri agombee urais jamani
@nyamweririchard59455 жыл бұрын
Hahaaaa,,Sasa kama hakuna mlango frame umeweka za Nini?? Hahaaaa,MB zangu zimeenda kiharali
Nikija tena hapa nakula vichwa vya watu kama vi5 hivi hapa
@mohamedkassimu87894 жыл бұрын
Tanzania bila mwanri haiwezekani!!
@frankmandaya41414 жыл бұрын
Mzee magufuli hukukosea kumteua huyu mzee, tunaomba mlete shinyanga maana kuna madudu ya hatali huku
@cosmasdaud90885 жыл бұрын
Huyu mkuu yupo vizur sana
@jaydon33615 жыл бұрын
Huyu jamaa anafaa kuwa headmaster wa shule niliosomea
@georgeigogo92594 жыл бұрын
Unamshusha hadhi
@fabiankyando11895 жыл бұрын
Piga kazi mkuu tunakuelewa sana
@samwelhechei85375 жыл бұрын
Frame za nini kama hakuna mlango?
@HappynessZengo3 ай бұрын
Ningekuwa nauwezo ninge mrudisha😂😂
@ikulunimahalipatakatifu76424 жыл бұрын
YAANI I LOV MKUU WA MKOA WA TABORA , NO JOKE !!! , HIVI NDIYO TUTASOGEA , ASANTE SANA BABA NCHI ITASOGEA TU.
@shabanimwema73344 жыл бұрын
Hahahaha kondoo wa kafara namba moja engineer
@salimlaizer5974 жыл бұрын
Uwepo utaratibu ili awe mkuu wa mikoa yote Tanzania bara awatie dicsplien wote wanaolala
@christinamagogo284 жыл бұрын
Nomaaa sana
@charlesmakuri7924 жыл бұрын
Huyu jamaa nampenda sana
@wamasumoxulex59114 жыл бұрын
Akitoka Magufuli ni Zamu ya Mwanri hatumtaki yeyote kutoka CCM zaidi ya Mwanri
@HamiduChamboko5 жыл бұрын
kitendo cha kutransfer hela from one place to another.ujue wizi ushafanyika
@claudsanga21294 жыл бұрын
Sukuma ndani wote 😁😁😁
@stevenilevensoni22274 жыл бұрын
Minajuwa mwaka 2026 ua27majariwa raisi mwari waziri mkuu
@wazirikalingachannel68244 жыл бұрын
hahhahah umepatia sana
@davidmalangahe47124 жыл бұрын
Hivi viongozi kwa nini majukumu yenu mpaka msukumwe na viongozi wenu was juu? Rc mwanri chapakazi Tabora.
@SalmaSalma-qp3xf4 жыл бұрын
Mwendo wa kazi
@kasimulau21464 жыл бұрын
ANGEKUWA MAKAMU WA RAIS HUYU! NCHI INGEKWENDA MBIO ZAIDI YA SASA
@musatv94564 жыл бұрын
Nikikuta mlango haupo na wewe haupoooo
@veileronesmo92195 жыл бұрын
Tabora hakujawahi kupoa baba wa kichaga anawawek roho jujuuu
@elvirareonard25205 жыл бұрын
Hahaha😀😀😀😂😂 hatari
@nyamangatv20045 жыл бұрын
Haaaaaaaah hadi raha hz ndizo habari acha zile za penseli
@m.mmarckus62985 жыл бұрын
Haaaaaa nimecheka,kweli kabisa wasituzinguwe na penseli zao
@husseinkarim67455 жыл бұрын
Vifaa vya 37m hazina kazi?
@jebace5 жыл бұрын
hivi kwa nn watanzania wachache bado kufanya kitu mpaka mfuatiliwe lakini mshahara c mnalipwa tatizo ni nn
@alexkabeho56095 жыл бұрын
Ujumbe wako ni wa busala jamani nimetamani uwe wakwangu lakini message sent, these old people inafaa watoke makazi waachie vijaana. Maana engeneer anaweka frame bila mlango 😂😂😂
@lamecktheonest2255 жыл бұрын
Jk umeona.😁😁😁
@godwinwilson38373 жыл бұрын
Kama mlango hamna fremu ya nini?
@ringoaskali76255 жыл бұрын
Magufuri ampe uwaziri wa madini yatasimamiwa vizuri sana na tutanufaika sana watz
@errydeo88655 жыл бұрын
waziri wa madini aliyepo ni makini saana,young and intelligent... huyu labda ,mambo ya ndani...
@eliamapunda41955 жыл бұрын
nikija nitakula vichwa vya watu km wa5 hivi
@kaundajonas75314 жыл бұрын
Nakuja hapa nakula vichwa vya watu Kama vitano hiv ndo tutaenda sawa
@shd12m555 жыл бұрын
Sipati picha hiki chuma kingekuwa cha Dar
@hamisilitatilohunamaajabu73664 жыл бұрын
Njoo Moro uwanyoshe
@Moon-wf2ec5 жыл бұрын
Kwaupumbavu zangu🤣🤣🤣🤣🤣😂😂duuuheeeee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂
@mannabu93335 жыл бұрын
Duuh yaan watu bado hawabadilik tu
@mjedengwapoizon87265 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ndiyo dawa yao hiyo
@hasheembishopgaulige48035 жыл бұрын
Huyu Mkuu wa mkoa nikichwa hataki ujinga ujinga
@saidkanjitvonline59275 жыл бұрын
Kichwa cha kwanza ntakacho kula ni cha kwako
@manyotaskipper57655 жыл бұрын
Yah baba hao walinunua vifas in access Kwa nini TAKUKURU MKO WAPI