RC MWANRI TENA - "Fukuza kazi wote, Weka Kwenye Lori Sukuma Ndani"

  Рет қаралды 249,686

Global TV  Online

Global TV Online

5 жыл бұрын

RC MWANRI Aaagiza Kumsimamisha Kazi Afisa Ushirika
Mkuu wa mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri ameagiza Mamlaka za kinidhamu kuwasimamisha kazi baadhi ya watendaji wa halmashauri ya wilaya ya Uyui wanaosimamia Sekta ya Kilimo na ushirika kwa kushindwa kutekeleza baadhi ya majukumu yao ikiwemo kuwaacha wakulima waendeshe kilimo cha Pamba pasipo kufuata kanuni za kilimo cha zao hilo.
Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitte GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho USIKUBALI KUPITWA NA HII, BONYEZA LINK www.youtube.com/watch?v=L4UGw.

Пікірлер: 147
@vennancekalinga5076
@vennancekalinga5076 5 жыл бұрын
Tunaenda na sela za mbanano pita na like hapo
@superherotv1750
@superherotv1750 5 жыл бұрын
Kama umesikia ama zang ama zake gonga like apaa
@melkizedeckmirwatu4312
@melkizedeckmirwatu4312 5 жыл бұрын
Super Hero Tv hi..
@adenihalisi4218
@adenihalisi4218 5 жыл бұрын
Mkuu wa wilaya vimba nao shuka nao jumla jumla!!!! Habari imekwiahaaaa!!!!!😁😁😁😁😁😁
@ramadhanisururamadhanisuru3215
@ramadhanisururamadhanisuru3215 5 жыл бұрын
Dah!! Kuachishwa kazi cyo mchezo ila nanyie wafanyakazi mnajisahau sana
@mikemutabuzi3665
@mikemutabuzi3665 5 жыл бұрын
KIONGOZI MPENDA NCHI YAKE, MPENDA MAENDELEO, TUKO NYUMA YAKO
@chrisjude9933
@chrisjude9933 2 жыл бұрын
instablaster...
@emanueldagharo919
@emanueldagharo919 5 жыл бұрын
hbr imekwisha anayesema mkuu wa wa mkoa anachozungumza ni cha kijingajinga sana anyooshe mkono au ajikune hapa.sukuma ndani. tunataka majembe kama haya ndani ya chama cha mapinduzi. keep it up baba yetu.
@makupejafari9339
@makupejafari9339 5 жыл бұрын
Mzee karibu tunduru tunakukumbuka ivi anapakumbuka mkwanda
@makupejafari9339
@makupejafari9339 5 жыл бұрын
Mzee karibu tunduru tunakukumbuka ivi anapakumbuka mkwanda
@saidyusuph4129
@saidyusuph4129 5 жыл бұрын
Wangekuweko kumi kama hawa! Tanzania bwana
@jordanfromyt2861
@jordanfromyt2861 5 жыл бұрын
Je kuna anae bisha nyoosha mkono tukuone ? Hahaha hahaha
@fredreckmwakalinga3475
@fredreckmwakalinga3475 5 жыл бұрын
Hivi Baba wa Taifa akipewa punzi na mwenyezi Mungu akakuta nchi iko hivi unafikiri inaweza ikawaje
@richardkasanga358
@richardkasanga358 Жыл бұрын
Safi Sana Mwamli
@mmasipeter4157
@mmasipeter4157 5 жыл бұрын
Haha haha has a as has aise mzee anivunja mbavu Sana Kama vle mwigizaji
@shemelaruhinda6113
@shemelaruhinda6113 5 жыл бұрын
Love. Mkuu ❤️❤️❤️
@pishonpetro3198
@pishonpetro3198 5 жыл бұрын
Ulikolala tunaamkia ulikofua tunaanika 😂😂😂😂😁😁
@pigapesa1013
@pigapesa1013 5 жыл бұрын
Rudi nyumbani Tabora kumenoga!
@africanvillageslife
@africanvillageslife 5 жыл бұрын
Sukuma ndani mheshimiwa , kaa nyuma ya mkuu wa wilaya
@MrNorthshoremc
@MrNorthshoremc 3 жыл бұрын
Vimba nao shuka nao jumla jumla😂😂😂😂😂😂aaah kali Sana Rc Mwanri.
@mahrooqsuleiman7216
@mahrooqsuleiman7216 5 жыл бұрын
Pandisha kwenye roli sukuma ndani
@adenihalisi4218
@adenihalisi4218 5 жыл бұрын
Habari imekwishaaaaa anayebisha nyoosha mkono ujifanye tu unajikuna😁😁😁😁😁😁😁
@michaelmwakila2256
@michaelmwakila2256 5 жыл бұрын
adeni Halisi
@marrymimependasanacosta1837
@marrymimependasanacosta1837 4 жыл бұрын
Hahahaa
@trilionea_online_TV
@trilionea_online_TV 5 жыл бұрын
Tutaenda na sera za mbanano🤣🤣🤣🤣 chigichi chigichi chigichi eeh, Sikuma ndani🤣🤣🤣🤣🤣
@johnsonmagambo4851
@johnsonmagambo4851 5 жыл бұрын
Ulikofua tunaanika ulipo lala ndio tunaamka jmn unanipa raha babu😄😄😄
@michaelmuriithi6808
@michaelmuriithi6808 5 жыл бұрын
"..Mkuu wa mkoa shuka nao jumla jumla.. " he he..nafurahishwa na Kiswahili TZ..Mkuu wa mkoa..safi sana..hakuna kama wewe hapa Kenya.
@lugetv3597
@lugetv3597 5 жыл бұрын
MAGAZETI YA LEO JUMANNE TAREHE 8,1,2018
@FrancisAMligo
@FrancisAMligo 5 жыл бұрын
Safi sana Mkuu wa Mkoa. Tanzania itaendelea sana, jaribu kufikiria wimbo wa Mheshimiwa sana Rais, njoo kwa Mwanri huyu hapa tena ongeza wakuu wa Mikoa yote nchini wafuate wimbo wa Rais na Mwanri. Nchi itakuwa n.a. nafasi kubwa sana kuendelea. Iweni wazalendo Viongozi kama huyu Mwanri wanatupatia mifano kemkem za maendeleo jamani.
@ibrahimaziz7158
@ibrahimaziz7158 5 жыл бұрын
Mwalimu mkuu na wanafunzi wakorofi kazi ipo
@neliimringi1024
@neliimringi1024 5 жыл бұрын
Jifany unajikuna.,!!!!!!! Soma iyo. Hatar
@dennisdennis7559
@dennisdennis7559 5 жыл бұрын
Ulikokua unafua tunaAnika Hahahahahahah baba ya Leo kal
@pendomsechu1647
@pendomsechu1647 5 жыл бұрын
Acha tu,,,ngoja niibe haka kamsemo
@husseinjimia1063
@husseinjimia1063 5 жыл бұрын
safi sana
@hamisidogo1698
@hamisidogo1698 5 жыл бұрын
Hivi kumbe ushirika ni lazima!. Basi sawa
@vincentauxerbius7554
@vincentauxerbius7554 5 жыл бұрын
Duuuh safi Sana rc unawanyoshaa😂😂😂😂😂
@mwajumafundi6234
@mwajumafundi6234 5 жыл бұрын
sukumia ndani hukooo
@njolejr3170
@njolejr3170 5 жыл бұрын
tunaangalia na kusoma Comment 😂😂 Hapa lazima tushuke nao Jumla! Jumla! 😂
@emanuelsagenge9229
@emanuelsagenge9229 5 жыл бұрын
Duh
@mctidohondoa1652
@mctidohondoa1652 5 жыл бұрын
Duuu we nomaaa nakuelewa
@makangeomary8052
@makangeomary8052 5 жыл бұрын
Kweli leo baba kachukia.....
@ombenimndeme9548
@ombenimndeme9548 5 жыл бұрын
Gd
@ramaiddy2714
@ramaiddy2714 5 жыл бұрын
Sawa mkuu simamia kazi yako fizur
@maliganyakanuda
@maliganyakanuda 5 жыл бұрын
Sukuma ndani
@rajabrukonge580
@rajabrukonge580 5 жыл бұрын
Namuomba Mh. Rais akuhamishie kigoma kuna watu wakuwanyoosha kule hasa hasa wilaya ya kigoma vijijini
@thobiaswolstani9899
@thobiaswolstani9899 5 жыл бұрын
Rajab Rukonge kweli anapga kazi
@fauziachomola4538
@fauziachomola4538 5 жыл бұрын
hiii tabora tunampenda bado jaman
@jaykinglazaro545
@jaykinglazaro545 5 жыл бұрын
hahahaaaaa.... nyooxha mkono jifanye unajikuna .... hahahaaaaa.... Nouma xannaaa
@mrsmesia8568
@mrsmesia8568 5 жыл бұрын
😁😁😁kweri sukuma ndanii
@elishamsuya1098
@elishamsuya1098 5 жыл бұрын
Njooosha baba
@souvenirweber7169
@souvenirweber7169 5 жыл бұрын
Kiongozi unaependwa Mungu akupe uhai yaani .
@selemanmaulid5223
@selemanmaulid5223 5 жыл бұрын
Safisana mkuuwamkowa nashinyanga tutafutieni kamahuyu
@Thuon_
@Thuon_ 3 жыл бұрын
Kama kuna mtu anabisha anyooshe mkono, ajifanye kama anajikuna.
@matthewglory2877
@matthewglory2877 5 жыл бұрын
Karibu huku
@adenihalisi4218
@adenihalisi4218 5 жыл бұрын
Ulikolala tumeamkia hapo unakofulia tumeanikia hapo!😁😁😁😁😁😁😁😁
@adenihalisi4218
@adenihalisi4218 5 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁
@kamgomoli3650
@kamgomoli3650 5 жыл бұрын
Daaa ila Mwanri biti lake sio la nchi hiii
@khamiskashinje3809
@khamiskashinje3809 5 жыл бұрын
Eti najua unavyohangaika mm nipo nyuma yako
@saidkhalef2093
@saidkhalef2093 5 жыл бұрын
Duhhhh....kweli anahangaika kama hvyo
@jumakapora6418
@jumakapora6418 5 жыл бұрын
Hahahahahaha. upo. sawa. safi. sana. baba. makufuri. oye.eeeeeeeeee. majembe. ya. rais. wetu. makufuri. '''''''
@agreymsemwa8021
@agreymsemwa8021 5 жыл бұрын
Habar imekwisha
@milkajanuary9056
@milkajanuary9056 5 жыл бұрын
Kwa kwel kwa hali hii mm nataka nihame huu mkoa wangu n RAIA tu wa kawaida
@thonnymasawe4493
@thonnymasawe4493 5 жыл бұрын
kweli huyumzeee nishida
@babaog9583
@babaog9583 5 жыл бұрын
Sasa mkuu umeshamuagiza OCD inatosha, huyo mkuu wa kituo kidogo cha Polisi pamoja na Sungusungu watapata maelekezo kwake.
@boniphectoboniphace7187
@boniphectoboniphace7187 5 жыл бұрын
Wote kamata sukuma ndaniii
@kamgishaally8933
@kamgishaally8933 5 жыл бұрын
Huyu mzee akigombea urais Tanzania itazidi kupendeza tunaitaji viongozi shupavu kama hawa JPM kaibua viongozi shupavu
@ashapearubart2624
@ashapearubart2624 5 жыл бұрын
Nakupenda bila shiringi
@josephmwile8594
@josephmwile8594 5 жыл бұрын
Asha Pea Rubart ok
@rashidyhassan4679
@rashidyhassan4679 5 жыл бұрын
shughulika nao ubadhilif wa Mali ya uma wanawapa mbegu faki
@10kshooter11
@10kshooter11 5 жыл бұрын
Mansuri anatafutwa😂
@eventelias3566
@eventelias3566 5 жыл бұрын
naomba nifahamishwe hapa ..mbona usimamizi wa hv mpaka askari wanakagua mashamba kwani ni ya serikali au ya watu binafsi?
@deustutu1162
@deustutu1162 5 жыл бұрын
chota chota hao sukumia ndan
@sudyboy4420
@sudyboy4420 3 жыл бұрын
Uyu mwambaaa
@annachristopherokeno9387
@annachristopherokeno9387 5 жыл бұрын
Shuka nao baba wasitucheleweshe
@kalelaonlinetv
@kalelaonlinetv 5 жыл бұрын
Mzee uyu kwao uko ana kaz kweli
@elizachota6361
@elizachota6361 5 жыл бұрын
uyo babu alipomaliza ama zangu ama zake 😢
@harunazuberi3939
@harunazuberi3939 5 жыл бұрын
Rc nakuomba uwende na urambo, ushirka umekufa katumbue majipu huko
@ilhammshana9143
@ilhammshana9143 5 жыл бұрын
mansur hana bahat 😂😂😂😂😂😂😂😂
@mohammedmbarouk7711
@mohammedmbarouk7711 3 жыл бұрын
Sas uko wap mzee ama ndio umeokoka na kua mkuu wa kanisa
@francispetro1944
@francispetro1944 5 жыл бұрын
Sera za mbanano 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@florencegregory8932
@florencegregory8932 5 жыл бұрын
Ana nipa raha sna huyu mzeee
@abdulrazakharuni5517
@abdulrazakharuni5517 5 жыл бұрын
Kama lupango kumejaa ika kwenye lory 😆😆
@Amuka_SaSA
@Amuka_SaSA 5 жыл бұрын
Jamaa yuko confuse 😂
@liverpoolfootballclub9985
@liverpoolfootballclub9985 4 жыл бұрын
Deal nao mkuu.
@graveengrave2936
@graveengrave2936 5 жыл бұрын
Sukuma ndani wotee
@vinydany1759
@vinydany1759 5 жыл бұрын
Shuka nao wazimawazima
@danissilunde614
@danissilunde614 4 жыл бұрын
Jpm tunamuomba kiongoz huyu apewe nchi.
@robertfabian3030
@robertfabian3030 5 жыл бұрын
Fanya kama unajikuna😃😂😁😁
@rutakihama7599
@rutakihama7599 5 жыл бұрын
Hahaha haha uliko fua tumeanika
@brayo001
@brayo001 5 жыл бұрын
Shuka nao jumla jumla
@aishaelias3867
@aishaelias3867 5 жыл бұрын
Bangi sio kitu kizuri
@emanhokilinda326
@emanhokilinda326 5 жыл бұрын
shuka nao jumla jumla huyu mzee comedian sana
@youngdady7901
@youngdady7901 5 жыл бұрын
Sera za mbanano 😂😂
@peterpain5594
@peterpain5594 5 жыл бұрын
Uyu mzee naona anafaa kuwa raisi
@genesassenga2247
@genesassenga2247 5 жыл бұрын
Mkuuwawilaya vimbanao shukanao jumla jumla habar imekwisha kamanda nendazako. Ahahahahaha somahiyooo
@drtobias_
@drtobias_ 5 жыл бұрын
Vimba nao Haaaaaaaaaaaaa
@lasteckmmary9741
@lasteckmmary9741 5 жыл бұрын
hahahahahaaaaa. mansurii
@estherjohn953
@estherjohn953 4 жыл бұрын
Kaijage umesikia lkn
@shabaniramadhani4109
@shabaniramadhani4109 5 жыл бұрын
Niko nyuma yako mama usipate shida najua unavo hangaika
@kasimrajabu2068
@kasimrajabu2068 5 жыл бұрын
😁😁😁😁😁
@fredreckmwakalinga3475
@fredreckmwakalinga3475 5 жыл бұрын
Unawawezesha au jamba jamba tu,wape uwezo ndo udili na mtu bhan
@aronmwamsimba2497
@aronmwamsimba2497 2 жыл бұрын
CA
@emanuelymunuo8113
@emanuelymunuo8113 5 жыл бұрын
uya siha meku laawe
@mussahmanyehe267
@mussahmanyehe267 5 жыл бұрын
Akipewa urais tumeisha
@noelkomba7876
@noelkomba7876 5 жыл бұрын
Piga hao sukuma ndani
@agriparose3942
@agriparose3942 5 жыл бұрын
Hivi kwanini hawakupi ubunge jamani
@faridalundenga8696
@faridalundenga8696 5 жыл бұрын
Nampenda uyu mkuu wa mkoa sijui kama kunawakuu wa mikoa wanaoonana na wananchi marakwamara
@matongolyangallah8417
@matongolyangallah8417 5 жыл бұрын
sukuma ndan wote
@nardjaha4518
@nardjaha4518 5 жыл бұрын
Matongo Lyangallah
@husseinchiaseeds2653
@husseinchiaseeds2653 5 жыл бұрын
Lamba Lolo naoo jumla jumla
@godfreymushi5125
@godfreymushi5125 5 жыл бұрын
Saf
@robertlyimo4361
@robertlyimo4361 5 жыл бұрын
Kama hufany kaz tunaweza kujikuta huna kazi
@bushibushi831
@bushibushi831 5 жыл бұрын
Duuu
@stratonsharau1208
@stratonsharau1208 5 жыл бұрын
Fyekelea mbal
@marrymimependasanacosta1837
@marrymimependasanacosta1837 4 жыл бұрын
Hahaha
@asengasefu2767
@asengasefu2767 5 жыл бұрын
Mkuu nakukubal xn
RC  MWANRI TENA: KAMATA  OFISA HUYU, SUKUMA NDANI!
7:06
Global TV Online
Рет қаралды 341 М.
Little girl's dream of a giant teddy bear is about to come true #shorts
00:32
ЧУТЬ НЕ УТОНУЛ #shorts
00:27
Паша Осадчий
Рет қаралды 10 МЛН
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 193 МЛН
MKUU WA MKOA TABORA, AGGREY MWANRI, ALIVYOONGEA KIINGEREZA.
5:26
Unaiba Viti vya Kanisa, Masufuria "KAMATA MTAA MZIMA"
6:36
Global TV Online
Рет қаралды 196 М.
RC MWANRI Kasalimu AMRI kwa MAMA Huyu "Jifanye Unajukuna"
4:24
Global TV Online
Рет қаралды 173 М.
Little girl's dream of a giant teddy bear is about to come true #shorts
00:32