Ukiona mtu amefanya jambo zito kama Hilo amekuwa mja wa Allah ☝️ mashaallh mashaallh mashaallh mashaallh
@KhamisFeysal2 ай бұрын
Ya❤
@yussufKibwana2 ай бұрын
Hongera san nko hapa namsubiria Zuchu nae aache mziki in sha Allah
@elizabethkikoti72652 ай бұрын
Hongera sanaa dada snura kumrudia Mungu ndo kila kitu wapo watakaokucheka kukuona mjinga lakini big up sana kma maovu tushafanya sana ni mda wa kumrudia Mungu
@jumaabdallah95922 ай бұрын
Allah akuongoze dadayetu na akusimamie atupokelee touba zetu sote
Dada snura hongera sana kwa maamuz yak mazur samahan pia mm nipo oman ningependa kukuletea zawad japo ya mswala inshaallah ❤❤🎉
@plotsforsales22 ай бұрын
*HUU NI MWAKA WA KUMILIKI KIWANJA USHINDWE WEWE TUU!!!* *VIWANJA VIZURI, TAMBARALE, HUDUMA ZOTE ZA KIJAMII ZIPO KAMA VILE MAJI, UMEME, SHULE, ZAHANATI N.K* *VIWANJA VIPO VIKINDU-VIANZI MJINI* *KUTOKA VIKINDU STENDI MPAKA SITE NI KM 3 TU KWA NAULI YA 1000 BODA BODA AU 500 KWA BAJAJI* *VIWANJA VINA UKUBWA WA FUTI 50 KWA 40 YAANI UKUBWA WA KUJENGA NYUMBA MOJA NZURI ILIYOKAMILIKA* *BEI NI NAFUU SANA 2,800,000 TU* *ANZA NA 1,500,000 ILIYOBAKI UTAMALIZIA BAADA YA MIEZI MITATU* *WAHI SASA MAPEMA ILI UPATE VIWANJA VIZURI KWANI SITE BADO NI MPYAAA YA MOTO🔥🔥* *TUPIGIE KWA NAMBARI 0718-563845 AU 0767-781872 KWA MAELEZO ZAIDI* *KIWANJA CHAKO NYUMBA YAKO FAINALI UZEENI*
@zuweinaalhabsya87732 ай бұрын
Hongera Sana habibty Dada Allah akufanyie wepesi habibty ❤
@Lidyakagondi-h9b2 ай бұрын
Nmefrah kuona rafki angu snura kuingia kwenye njia ya mola wetu inshaalah mungu akfnglie milango ya pepo
@kayagoAziza-z2c2 ай бұрын
Nimejisikia kulia mungu akuongoze my manshallah atuongeze na Sisi Alhamdulillah 😊
@yusuphibrahim-yq9mv2 ай бұрын
Tujuane dada angu maana hua naonaga komenti zako
@thamani58422 ай бұрын
Amiin
@munayussuf42552 ай бұрын
Mimi nalia haswa,Allah aliye muongoza atuongozo na sisi.
@davidcreative17562 ай бұрын
Amiin
@kayagoAziza-z2c2 ай бұрын
@@munayussuf4255 aamiina rabi amiina
@salwamohammed47872 ай бұрын
Mashallah mungu akupe Iman kwa kurejea kwa allah usijekuwa kama mzee y
@shaphyummasay64912 ай бұрын
Masha Allah Allah akuongoze pamoja na sisi pia atupe mwisho mwemaaa!!!
@NunuKupela2 ай бұрын
Mashaallah Allah akufanyie wepesi dada angu mungu akujaze Imani zaidi
@maarufumustwapha30552 ай бұрын
Hongera dada umetangaza vita na sjeytwani pambania nafsi yako dada hongera
@becatemba98302 ай бұрын
Subhanna allah allah akupe hekma na akusamehe madhambi yk uiongoze familia yk kw dini umefanya jambo kibwa sana yafaa kuigwa kw kila mwanamziki mwenye kujielewa binafs nimeona ni jambo kubwa sana umelifanya
@abduwahabi70192 ай бұрын
DADA JUA KUPITIA HILI ALLAH ATAKUTAHINI ATAKUPA MITIHANI MBALI MBALI JITAHIDI USIRUDI NYUMA NAMIMI NAKUOMBEA PIA
@HamzaMakobanice2 ай бұрын
Swadakta
@sultansallah87722 ай бұрын
Jitahidi na omba kushinda mitihani sababu ALLAH atakutahini
@husnamadai70522 ай бұрын
Kwa kweli kubadilika sio shida ni hiyo mitihani atayotahiniwa mfano kwa kaka yetu mzee yusuph
@OmarGuni2 ай бұрын
Allahuumma Aymen insha'allah 🤲
@YussufSuleiman-i5i2 ай бұрын
Na mzee Yussuf pia Allah muongowe tena inshaallah muhimu mwisho mwema
@nadhifamustapha75572 ай бұрын
Jmn Mpk nahisi kusisimkwa Mwili ALLAH akuongoze vyema dada yangu na atupe mwisho mwema
@muddymuzungu43572 ай бұрын
Allahumma Amiiiin 🙏🙏🙏🙏
@sweetylove99182 ай бұрын
Ameen
@aminamalilo66052 ай бұрын
Ameen
@LevinaMiteo2 ай бұрын
Mmmh menaogopa
@abouawardh16372 ай бұрын
Mashaalah Allah akuongoze dada yangu
@ReychoMc2 ай бұрын
Nyieeee mwenzenu nmeccmka mwili 😭😭😭😭 mashaaalah dada Mwenyezimungu akucmamie .....nasisi sote tuwe wenye kumcha ALLAH tukumbuke kumrudia ALLAH😭😭😭
@muuminmzee34592 ай бұрын
Ukisikia mtu anaomba khatma njema ndo hii, Allah akuongoze Dada yangu, usiwe km alierudi mjini
@successpathnetwork2 ай бұрын
Allah akuongoze dada...
@drmustapha_psychologyandle65012 ай бұрын
MashaAllah hongera sana Dada yetu. Allah akuhifadhi na akupe subra, akupe ighfari.
@abduwahabi70192 ай бұрын
ALLAH AKUWEZESHE USIJE KUWA KAMA MZEE YUSSUFU ALIACHA NA BAADAE AKARUDIA TENA
@adamhashim33522 ай бұрын
Narudi mjini😂
@mussamohamed88652 ай бұрын
Hilo nalo neno haswaa
@hamishatibu6992 ай бұрын
Nina miaka 3 toka nimsikie uyu Dada anaitaji kubadilika kwani kwao ni wacha Mungu xna na yeye alitamani kulejea kwa Allah, miaka 3 ajajiushusha na sanaa kabla ajaolewa alisema aya
@SibomanaSaida2 ай бұрын
Naam
@TatuMkeso2 ай бұрын
Mashallah Allah akukubalie ibada zako
@MELISHAONLINETV2 ай бұрын
mashallah mungu akubarik dada etu❤❤❤❤
@Allybinamour2 ай бұрын
Alhamdulillah,hongera sana dada,namuomba allah akusameh kwa ulipokosea na akuongeze katika njia yake ya haki wewe na familia yako pamoja na sisi sote hadi mwisho wa maisha yetu na akujalie wewe na sisi khatma njema amiin.
@hafidhimngumi73842 ай бұрын
Mashaallah Dada...Mwenyezi mungu azidi kkuongoza katika njia iliyonyooka inshaallah
@AllyAhmad-zg2yp2 ай бұрын
Allah akusimamie iwe toba yakweli na sio unaingia unatoka
@AminaJuma-r4y2 ай бұрын
Allah hakuongoze ❤❤❤🎉🎉Inshaallah🤲🤲
@tumahamza89722 ай бұрын
Allah Akulipe na Azidi kukuhifadhi. Kwenye safari yako hii wako wengi watakubeza na watakuona mjinga. Lkn kwa vile umetia nia kumrudia Allah basi tunakuombea sana na Allah Ameahidi ukija unatembea mie nitakukimbilia. Allah Atakukimbilia mpendwa. Unaweza kukutana na mtihani elewa ni shetani tu anataka kukusumbua. Usijali. Allah Atakulipa kwa nia yako. Mradi umetamka basi Allah Amesikia.
@IssaIra-j9u2 ай бұрын
Usije ukawa kama mzee yussuf
@alsharifudaddy0962 ай бұрын
Masha Allah Allah aendelee kukuongoza na atuongoze mpaka kifo chetu na kesho Akhera tuwe wenye hesabu nzuri na makazi mema In shaa Allah
@SalumuRamadhanisungi2 ай бұрын
Allah akubaariki dada yang kwa maamzi ulio yafanya
@kiboshokiboshomungumkubwa77892 ай бұрын
Mwenyeezi mungu amesema mtu anae omba toba ya kweli husamehewa
@tumahamza89722 ай бұрын
Wallahi mpaka umenitoa machozi wa binti. Allah Akuhifadhi sana.
@Mohammed-fv1ur2 ай бұрын
Masha Allah Allah akuw3z3she nyimbo zake inabidi zitolewe mitandaoniii mote
@moviccreativestudio2 ай бұрын
Mashallah allah(s.w) akuongoze kwenye hili inshallah
@othmanhaji18322 ай бұрын
Maa Shaa Allah. Allah atuongoze na sisi na wengine wote
@aminamalilo66052 ай бұрын
Mshukuru Allah kwa kukupa nafasi ya kumrudia tunakuombea na kujiombea mwisho mwema am so happy for you kuanzia kuolewa kwako mpaka kubadilika kwako nakupenda sn kwaajili ya Allah
@emanuelzachariah3122 ай бұрын
Snura hongera mweyezi Mungu akutangulie zaidi
@abeidtz43052 ай бұрын
Je umesha futa akaunti yako ya nyimbo zako? Vizuri ufute, Hongera sana Dada ❤
@eggysulle79882 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@nduwimanaamidou40092 ай бұрын
Msikie hadi mwisho yote ameyasema
@emanuelwakawenga40232 ай бұрын
Wimbo gani uliupenda?
@onekisstv84122 ай бұрын
@@emanuelwakawenga4023 majanga
@ahz69072 ай бұрын
Hajafuta kamsaidie kuzifuta we bwege nazi.
@KoleYasini2 ай бұрын
Maasha Allah,Allah akuongoze ila ilikuwa sio lazima ujitangaze,matendo na uchamungu ungedhiirisha unachokibainisha. Toba niwewe na Allah tu..
@murtadhwangereza42082 ай бұрын
Allah azidi kukuongoza mama Usije ukashawishika abadan kurudi mjini kama watu wengine, Allah akustiri sana ❤
@omaryGumbo-j2m2 ай бұрын
ماشأالله .Allah akukubarie toba yako nakuongoze ktk haki umefanyavizur kutoka
@JUMAOTHMANJUMA2 ай бұрын
Mwenyezimungu akupokelee Toba yako na akuongoze katika njia iliyonyooka Inshallah.
@ConsalvaMumbara2 ай бұрын
Mungu akubariki sana dada
@lilmojr72 ай бұрын
Mashaallah tabarakallah Allah akuongoze dada yangu umefanya jambo sahihi sana,Allah awanusuru waislamu wote waliopotea njia..
@sheikhanasser47142 ай бұрын
Allahuma Aameen Yaarb Alaameen Na Islaam jamii 🤲🤲
@bibibomba97992 ай бұрын
Amina Yarab
@FelisterNampoka2 ай бұрын
Ongera dada yangu, mungu akuongoze!!umechagua mwisho mwema.
@safiyasafiya50142 ай бұрын
Subhanallah yarabi mwingi wa rehma yeye ndio mwenye rehma mjaalie Maja wako thibat katika Nia yake yarab mnusuru na yote mabaya msamehe aliopitia yeye ni kiumbe dhaifu bila wewe asingekua hapo alipofikia❤
@OmarGuni2 ай бұрын
Allahuumma Aymen 🤲
@KassimSayid2 ай бұрын
Allah akuongoze bi Snura . Binadamu ndie kiumbe aliye pewa utashi wa kutambua jema akaliendea na baya akaliepuka Allah anampenda mja wake aliye potea akajitambua na kurejea kwenye njia sahihi,
@ZayyanaBamuni2 ай бұрын
Kila lakheri kipenz Allah akupenguvu uweze kushinda kila mtihani itakayokuja mbeleyako
@hamishatibu6992 ай бұрын
Ongera Dada Allah awe pamoja na wew, Allah ameshakusamehe mwisho mwema ni bola kwakila Mja.
@halidimgonza59452 ай бұрын
Ma-ash-ALLAH snura Allah akuongoze ivoivo ktk njia iliyonyooka hatimaye akuingize ktk pepo yke tukufu y firdaus ameen ❤️💯❤️
@mymatanoАй бұрын
MA SHA ALLAH. DADANGU ALLAH AKUZIDISHIE NA AKUDUMISHE KATIKA IMANI MPAKA KIFO CHAKO
@Zanha5822 ай бұрын
Mashallah mashallah mashallah ❤❤❤❤❤❤❤ Karibu sana kipenzi tunakupenda Kwa ajili ya ALLAH
@yasser_yosa2552 ай бұрын
Hongera sanaaa❤❤❤❤❤❤ mashallah🎉
@YasinMtindo2 ай бұрын
Mwenyez mungu akujalie kher zaid
@rajabmatusi95832 ай бұрын
Mashallah umeamua maamuzi yamaana sana mungu akujalie leo mpaka akhera nimependa maamuzi yako🇰🇪
@fauziasultanikilewa76022 ай бұрын
Jiandae qushindana na shetani hachezagi mbali na watu wanaotangaza quachana nae,,mungu aqupiganie
@fettiemaganza14842 ай бұрын
Amina in sha Allah
@luwungoyusufu89412 ай бұрын
hongera sana dada bali wajinga utakuwa umepalilia siunajua tena
@sheikhanasser47142 ай бұрын
Allahuma Aameen Yaarb Alaameen 🤲
@aloycesteven59982 ай бұрын
huu ukweli
@zabibubashiri30342 ай бұрын
Mashaa Allah Mashaa Allah Mashaa Allah mpaka machozi yamenitoka Allah akuifadhi Allah akujaalie Sunura
@ashrona98842 ай бұрын
Allah akufanyie weps na akusamhe pia
@muddymuzungu43572 ай бұрын
Atışameh kwa sote Mkamilifu ni Allah tu
@shabansaid23232 ай бұрын
Amiyn amiyn amiyn
@JabirHaji-vj2nf2 ай бұрын
Mashallah Allah akuongoze zaidi kwa hakika Allah humuongoza amtakae kwa hakika umefanya jambo zuri sana muombe msamaha mola wako Lia sana kwa Allah Allah atakusamehe na sisi waislamu tumuombe Dua dada sunura pamoja na sisi wenyewe
@abuuhafswamunsheedu57902 ай бұрын
Allah azidi kukuongoza kwenye njia iliyonyooka na sisi sote kwa pamoja
@ZuwenaOmary-m9s2 ай бұрын
Mashallah M/mungu akuzidishie imani zaidi ukiyafuata uliyoyaamrisha na kuacha aliyoyakataza kama ulivyorejea kwake
@hamishussen15892 ай бұрын
Mashallah Mwenyez mungu ukuongeze dada yetu na Akupe Mwisho Uliokuw Mwema Ww Pamja na sisi Hta Hvy iwe N 7bab ya wengne kumrdia Allah
@sheikhanasser47142 ай бұрын
Allahuma Aameen Yaarb Alaameen 🤲
@harunichambo46582 ай бұрын
Allah akupe fadhla kubwa Sana na akusimamie❤️❤️❤️❤️❤️
@yusufusultani83082 ай бұрын
لاإله إلا الله!!! قال الله تعالى: ((إلا الذين تابوا وأصلحوا وبينوا..........)) Allah akuhifadhi dadaangu, nakuona unaongea kwa moyo wako zaidi kuliko mdomo wako. Nauona ukweli ndani yako. Allah akuthibitishe ktk haqqi na akufishe ktkk hali hiyo.
@feisaldesign41562 ай бұрын
Mashallah jazakallah lkheiry Allah Akufanyie wepes dada njia ilionyooka Tusikate tamaa juu ya rehma za Allah
@aminaamina39722 ай бұрын
Allah Akibar walillah lihamdu ♥️❤❤
@Sheba46512 ай бұрын
Ma Sha Allah, Allah akuongoze siku zote nasi pia. Tusiache kumuombea na Daimond aache njia za shetani, aache zinaa awe na mke halali, Jehanam inatisha.
@zuwenarajab6952 ай бұрын
Alhamdulliah! Alhamdulliah! Alhamdulliah! Allah akuongoze wewe na sisi katika njia iliyonyooka na pia tunamuomba Allah atujaalie mwisho mwema. Allahummma Aaminy!
@ismailimanmahamaislam598Ай бұрын
mashaallah ila dada wetu hilo linapendeza sana cha kufanya tafuta namna ya kufuta hizo kazi zako kwenye mtandao ka youtub zisipatikane tena kwa sababu hata yeyote akiskia umeachana na mambo ya sana anajaribu kutafuta ulivyo kua ukiimba yaani ulivyokua ukipafomu . mwenyezimungu Akupokee katika waja wake wema na akupe akhera nzuri na akusamehe madhambi yako. asalam alaykum
@aliabdallasaid31742 ай бұрын
Hongera dasnura mungu akupe subira na moyo na msimamo huohuo ila ujutio huo uwe endelevu na hio ndio dalili ya mtu mwema na akujaalie uwe mwema hivyo hivyo umependezaje boss wangu mavazi yamekupendezesha sana
@chidi_don2 ай бұрын
Mashallah mungu akuzidishie na imani yako 😢
@MNAPEFINANCIALAGENCY2 ай бұрын
Alhamdulillah dada etu katika iimani allah akuongoze ufe kwenye huo msimamo
@MwanaAbdul-x9r2 ай бұрын
Mashaallah mashallah mwenyezmung azd kukuongoza ktk njia ilio nyooka usjl kuchezw muzik nia yako anaijua mungu jitahid kufanya ibada2 usiku na mchana.
@allydingi97362 ай бұрын
Safi kabisa allah azidi kukusimamie na ushauli wangu dada yangu nenda madrasa kasome usikubali kukaa nyumbani tu na shemeji yetu awe mkali katika kukusimamia na ujizuie kwenda kwenye mashughuli yasiyo na maadili
@omarijawadu40472 ай бұрын
Shukran kwa nasah namuomba Allah tuzifanyie kazi sote
@jafarikassim71452 ай бұрын
Mashaa Allah 😢 , Mwenyezimungu akuwekeye wepesi dada yangu
@SummymaddyMaddy2 ай бұрын
Allah atuogeze ktka maadil mema inshallah
@jumananamwa31042 ай бұрын
Safi San Mungu akutie nguvu zaidi inshalaah
@IbrahimAli-po5ey2 ай бұрын
yaani dada snura umenifurahisha sana, furaha isiyo kifani na mm nakuombea mambo mawili kwanza mwisho mwema na usitoke tena katika dini ya uislamu
@reyzuumsafiri48182 ай бұрын
Mashalah mungu akujaze moyo waimani kumludia Mola wako
@MtessaAlly-rd4hf2 ай бұрын
Safi sana Dada etu snurah hongera kujiokoa umesha win
@mwajemwafula57772 ай бұрын
Yesu ndio kimbilio letu bado shetani atakutafuna MUNGU WA kweli aumjui
@ibrahimturi43622 ай бұрын
MashaAllah mlango ya toba ya Allah Iko wazi .
@hamisshaaban83922 ай бұрын
Namuomba Allah Mwenye huruma zaidi kwa waja wake akusamehe wewe na sisi atukubalie toba zetu na yako na atupe mwisho mwema. Allahumma Aamiina
@JumaRashidi-lt5cm2 ай бұрын
Maasha Allah!! Allah! Akuongezee Imani na akusimamie ktk maamuz yako
@fettiemaganza14842 ай бұрын
Allah akujaalie kila lililo la heri ndugu yngu na asimame kwa haja ya moyo wako
@nachiasilima37512 ай бұрын
In shaa Allaah hivi ndivyo inavyotakiwa Allah atupe bihusni li khatima ila hongera sana Allah atupe tauba nnasuha
@dusasaidi4542 ай бұрын
Ongera sana dada Kwa ma mazito lkn mazuri kama hayo. Nakuomea Kwa Allah akupe mwisho mwema inshaAllah
@zaitunisinamenye17992 ай бұрын
Mashaa Allah tabarakallah, hongera saana, Allah atakupa kazi nzuri saana
@SamsunGalaxy-e5k2 ай бұрын
Mashallah Mashallah mashallh mungu akuandalie pepo kwa kutubu
@Banzok7002 ай бұрын
Maa shaa Allah, Mwenyeezimung akusimamie usimrudie shwaitwaani
@JumaNassor-cj3zy2 ай бұрын
Hongera sana yangu umefanya jambo zuri sana nimepena sana
@ArafaSaalum2 ай бұрын
Maashaallah! Maashaallah! Allah akuongoze na aithibiti Imani yako.
@hajjiomary23832 ай бұрын
Watu wote wamekumbea duaa da snura sasa kaa katika haki Allah atukusimamia na Allah akupe nguvu na subra
@SafiaAhmed-k5j2 ай бұрын
Subhannallah Ukhty Allah akujaze imani na Akudumishe ktk matendo mema na akusamehe kwa yote.Ujumbe huu ni dhima kwa kila mtu.
@JumaNassor-cj3zy2 ай бұрын
Umepwndeza sana
@charzbarnabas15812 ай бұрын
Ongera sana!!Allah akujalie na kiu ya kufuata njia zake akupe rehema zake daima
@MakameAliMussa2 ай бұрын
Mashallah ila una jukumu kubwa kwa jamii Tafadhali bc usijee ukawa kama yule Mnafiki Mzee Yussuff.
@emanuelwakawenga40232 ай бұрын
Nami nilitaka sema hivyo
@rosemilingi78602 ай бұрын
😂😂😂😂
@AshaAli-rl5rk2 ай бұрын
Hongera sana Allah atakuhifadhi na rekodi zako mbaya Mungu atajaalia zifutike ki miujiza . Nawe utastirika.
@SophiaAhmeddodo2 ай бұрын
Masha Allah habibty Allah atuongeze sote na taupe mwisho mwema
@RichardJisena-t4d2 ай бұрын
wazo zuri dada yangu kuacha Sanaa mungu ni mwema
@AthumanBashir2 ай бұрын
Mashaallah hongera sana Allah akijalie riziki ya halali mungu akiongoze kwa Kila njia
@zahrayusuf59852 ай бұрын
Allah guide who he want alhamdulilah may Allah make it easy for you and the believers
@HamadBashir-bs5wo2 ай бұрын
Manshaalah mwenyezi mungu akujaalie kauli thabiti
@abuunayfatu87012 ай бұрын
Allah akudhibitishe Katika hilo isije ikawa kama ya mzee Yusuphu
@ernestsinje97002 ай бұрын
Na kweli maana huko Kuna umasikini balaah
@MossiSaadat2 ай бұрын
Jmn hkun umasikin kubwa imani na subra tu kwa allah
@ngolocomedian2 ай бұрын
Allah amuongoze
@bakaribakari64442 ай бұрын
Nakuomba Allah akuhifadhi dada yangu...uishinde mitihani.. nakuombea sana...tunakupenda kwa ajili ya Allah😢😢😢😢😢@@ngolocomedian
@MuniraShughuli-kc7vj2 ай бұрын
Alhamdhulillah 🤲
@SelinaMdoe-jv1pu2 ай бұрын
Hongera kwa bahati hiyo ulioipata Maan a si rahisi