No video

KIPINDI CHA RELI NA MATUKIO | ULIPOFIKIA UJENZI WA STESHENI YA SGR DODOMA

  Рет қаралды 30,248

TRC RELI TV

TRC RELI TV

8 ай бұрын

Пікірлер: 32
@omarysaid8725
@omarysaid8725 8 ай бұрын
Trc mnazingua sana au sijui ni kazi na mazoea train ya Pungu ni mbovu haiendi na muda na haina muda maalumu acheni uswahili train mbovu inafika asubuhi ndio ina anza kutengenezwa halafu mna lalamika shirika linaendeshwa kwa hasara wakati hizo hasara mna zisababisha nyinyi wenyewe acheni kukaa maofisini
@tobynasheimani7969
@tobynasheimani7969 3 ай бұрын
Wow that's nice looks like Europe
@omarysaid8725
@omarysaid8725 8 ай бұрын
Majaribio ya sgr mmefanya kama siasa vile kipande cha Dar - Moro mwaka wa 3 huu imekuwa stori tu mmetufanya sisi kama watoto sijui
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 8 ай бұрын
Hizo zilikua vision za Magufuli alikua anamaanisha toka moyoni hawa wengine wanafanya kuzuga tu ndo maana kila kitu uswahili
@JOHNKKULULINDA-pc6gy
@JOHNKKULULINDA-pc6gy 8 ай бұрын
HONGERA SANA BINTI YANGU KTK UHANDI. NAONA HATA KUFUNDISHA UNAWEZA. UNA UWEZO WA KUJIBU HOJA NA KUFAFANUA KUKIDHI HAJA YA WATAZAMAJI NA WASIKILIZAJI!!! MUNGU AENDELEE KUKUTUMIA KUWATHIBITISHIA AKINA MAMA KUWA UHANDISI SI WA WANAUME TU. AMEN.
@matheobaha773
@matheobaha773 8 ай бұрын
Dada anajua kueleza vizuri
@ombenikichao
@ombenikichao 8 ай бұрын
Hongera Sana dada engineer kwa maelezo yanayoeleweka, nime-enjoy mno
@kakawamashariki8978
@kakawamashariki8978 8 ай бұрын
Uhuru na kazi, Hapa kazi tu, kazi iendelee..
@mussamussa8181
@mussamussa8181 7 ай бұрын
RIP JPM toka kaondoka ujenz ni maneno tu
@alfinmbilinyi5985
@alfinmbilinyi5985 4 ай бұрын
Kazi nzuri ila naona kama paa lipo chini sana na kama hewa mwanga humo ndani kama shida vile.
@clarencehilary5588
@clarencehilary5588 7 ай бұрын
Hongera sana magufuri tunakukumbuka sana ndugu yetu rais mzalendo kama mwalim nyerere ila huku umetuachia uozo
@beaugosseadam6831
@beaugosseadam6831 5 ай бұрын
Watu wanaopenda kusafiri ,iwe kibiashara au kutalii ukifika London Train Station, Hamburg Train Station ,Frankfurt Train Station ,Dubai Train Station ...... pilika pilika za kibiashara zinazofanyika ni zaidi ya Kariokoo. Afu kingine, kibiashara huwezi kutofuatisha usiku na mchana. Hongera TRC. Lakini tokeni kwenye maneno anzeni shughuli. Kitaalamu mradi unapochelewa kufanya kazi(kuzarisha) hupoteza value !!
@shabanimsakuzi9141
@shabanimsakuzi9141 8 ай бұрын
shout out to my sister well explained.
@Mpakauseme
@Mpakauseme 8 ай бұрын
wimbo mbaya kweli mpaka unatia hasira ukichanganya na maneno maneno yenu mengi ya siasa siasa yasiyotimilika ndio kabisa 😡
@paschazianestorymatunda6490
@paschazianestorymatunda6490 8 ай бұрын
Mmeifanya vizuri kuweka Na Jengo la TRA
@pabliz_
@pabliz_ 8 ай бұрын
Jpm
@Tiffany340
@Tiffany340 8 ай бұрын
Sio ulemavu hata wagonjwa,tumieni neno watu wenye changamoto mbalimbali
@michaelrweyemamu1068
@michaelrweyemamu1068 8 ай бұрын
Great 💕🇹🇿
@davidkiswaga4453
@davidkiswaga4453 4 ай бұрын
Jaman ukweli MAMA ANAFANYA KAZI SIO MCHEZO KAMA NI MWENDELEZO KWELI MAMA KAZI INAENDELEA KILA LA KHERI MAMA ETU KIPENZI.
@felixhenerico8997
@felixhenerico8997 8 ай бұрын
mama tina katika ubola wako
@mbaruksaid5775
@mbaruksaid5775 5 ай бұрын
Mko vizur huku kwetu kenya hawasemi kua mje mchukue vyumba mtashukia tu vyumba vimejaa tayar
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 8 ай бұрын
Mtoto wangu unajua kujieleza
@egdldm4981
@egdldm4981 8 ай бұрын
Dodoma hakutakuwa na chumba cha abiria wanaosubiri kusafiri?😮
@rasheedabby2871
@rasheedabby2871 8 ай бұрын
ISSUE SIO UJENZI ISSUE KUTUNZA MRADI,NENDA STAND YA NANE NANE NI MSIBA BOB
@ipyanangajilo226
@ipyanangajilo226 8 ай бұрын
Nimetoka Leo huko Hadi tabu jengo la abiria wamejaa wamana wamegeuza mgawahawa tabu tupu...
@rasheedabby2871
@rasheedabby2871 8 ай бұрын
@@ipyanangajilo226 Vyoo havifai kabisaaa
@onekisstv8412
@onekisstv8412 8 ай бұрын
Sasa tunaanza kupanda lini train au mpka elfu mbili na therathini
@vintagemusicgroup9236
@vintagemusicgroup9236 8 ай бұрын
Safari Dar - Moro zinaanza lini?
@isakatogoro4697
@isakatogoro4697 8 ай бұрын
naipenda Tanzania RIP JPM🥲🥲
@gabilugira139
@gabilugira139 8 ай бұрын
Nna swali, Safari ya Mwanza paka Dar kwa SGR inachukua masaa ma ngapi...??
@faridamin6383
@faridamin6383 8 ай бұрын
Masaa 8
@user-cj1ft4mw2l
@user-cj1ft4mw2l 8 ай бұрын
HICHO KIPANDE CHA PILI SIJUI KAMA KITAOSHA AISEE
NYOMI LA STESHENI YA SGR DODOMA NI HIVI 🔥🔥🔥🔥🔥
10:13
لااا! هذه البرتقالة مزعجة جدًا #قصير
00:15
One More Arabic
Рет қаралды 51 МЛН
Challenge matching picture with Alfredo Larin family! 😁
00:21
BigSchool
Рет қаралды 33 МЛН
Box jumping challenge, who stepped on the trap? #FunnyFamily #PartyGames
00:31
Family Games Media
Рет қаралды 30 МЛН
TAZAMA ULIPOFIKIA UJENZI WA UWANJA WA NDEGE WA MSALATO DODOMA
3:47
Daily News Digital
Рет қаралды 6 М.
Station Tour : Station Mpya ya TRC Dar kama Airport ndogo
10:50
لااا! هذه البرتقالة مزعجة جدًا #قصير
00:15
One More Arabic
Рет қаралды 51 МЛН