Nyumba Kali sanaaa ramani imetuliaaaaaa sana Sana nimependa jikoni na apo dining Yan dahh salute Bella nimenyosha mikono
@rashidmziray65324 жыл бұрын
vitu vya thamani kama hivyo ni muhimu supervisor awepo wa kukupa moyo kulingana hela yako nyingi uliyotumia, na kama unavyoona nyumba haijakamilika lazima mtu wa namna hiyo awepo kukupa headline za project yako inapoelekea... mtu kama huyo kijana ni muhimu katika project kubwa kubwa kama hizo na inamlazimu ajiamini na kazi yake anayofanya tatizo waswahili hatukosi cha kuongea tunapoona jambo jipya mbeleyetu... hakuna asiyependa vitu vizuri chamsingi mm nampongeza Christian bella kwa hatua kubwa aliyopiga big up sana Bro.
@kennedyjohn67884 жыл бұрын
Tatizo sio pesa mradi kitu kinaeleweka nasem hongera sana sana umejihidi kijana
@nourumouniry71204 жыл бұрын
Msingi tuuuu million 100 nyumba ngapi hizo za kawaida daaah dunia ingekua dala dala nienda hadi kwa mungu kumuuliza
@maryjonh3114 жыл бұрын
Tusio na mijengo tutakoma mbona
@fatmaaly30564 жыл бұрын
Astahafiru allah allah ahitaji kuulizwa dunian ataenda kutujibu akhera
@mekindossi53214 жыл бұрын
Ina 100milioni test KUJENGA
@elymollel4 жыл бұрын
Huamini ?
@oxtinho1594 жыл бұрын
Nduguu msingi wa horofa 100 unafikaa
@brysonnicholaus53694 жыл бұрын
Naona wengine wanasema issue ya uraia,has long as amefuata sheria,sio issue,na tayari amekaa sanq tz,pia ni vizuri,hela yake kutumia hapa tz, kwanza ana sifa zote kuwa raia,mbona kuna wa tz wengi tu wamejenga lumbumbashi,
@luganoesomu53014 жыл бұрын
Wamuulize AY alijenga marekani na Diamond aliejenga south Africa Akawe ndo mkongo ndugu kabisa hawa!!
@yessecharles31553 жыл бұрын
Christian bella alipewa uraia na kikwete
@Raphadebluz4 жыл бұрын
Ayoo tv na millardayo.com Kutoka KARATU Arusha ,,,, Rapha de bluez nawasoma vizuri Sana karibuni huku pia Kuna washkaji wanadondosha mijengo laana Nawasoma fresh watu wa nguvu.
@samsonhaule54223 жыл бұрын
Wa Congo Wana Enjoi sana, kwenye Nchi yetu, Wala hatuwa bagui.
@samanyaswai62723 жыл бұрын
Ila Nenda Kwao Uone
@samoocoolingsystem934 жыл бұрын
Aya Ni Vyema Kuwa Na Majumba Mazuri Magari Mazuri Lakini Tusisahau Maisha Baada Ya Kifo Ni Vyema Tukawekeza Sana Huko Kuliko Hapa Duniani Kwa Haya Yote Tutayaacha 🙏🙏🙏
@agapemunyi8394 жыл бұрын
Familia
@hallin95613 жыл бұрын
Tafuta pesa ndugu,, kifo kipo tu ata ng'ombe watakufa,, hakuna tabu inayotesa kama umasikini na malazi,, tafuta pesa usiwe mtumwa wa iman
@drgeofreykupaza77073 жыл бұрын
Moyo wa mtu na Mungu ndo pekee vinavyojua hatima yako unamsemea mwenzio hujui moyo wake na Mungu wake
@dennismrutu78243 жыл бұрын
@@hallin9561 😂😂😂😂
@hmytechnologieslimited49084 жыл бұрын
Mpambe yuko sawa kuliko mwenye nyumba
@eliudwiston42064 жыл бұрын
umeonaaa anasema wiki mbili tayari itakuwa imeisha ila sioni hiyo nguvu full udubwasha
@janethpallangyo26334 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😆😆😆😆
@suhailaali41754 жыл бұрын
Ndo kawaida ya mpambe , ana nguvuu
@mcrithawaukweli48854 жыл бұрын
Kumbe na wewe umeliona hilo 😀😀
@rahimmohamed93794 жыл бұрын
Huyo ni boksi kichwani alikuwa shemeji yake dada yake kaachwa na Bella yeye bado anavuta ndumu kwa shemeji
@rademm89244 жыл бұрын
Naona sasa wamehamia kutambishiana mijengo. Tumsubiri mkaguzi wa hati Hbaba azikague
@henryjohn47813 жыл бұрын
Ni baada ya kukutana na Ruge Mutahaba pumzika kwa amani genius
@peterchuwa58804 жыл бұрын
Yule mpuuzi dudu baya anasema fiesta inalipa lak5 kwa shoo moja xaxa mbona Bella kalipwa million kumi kwa shooo moja kweli dudu baya kachizika na maisha aliendekeza starehe na wanawake mwishowe ameishia kuishi nyumba za uridhi ya kizamani imechoka sijui kapangisha
@kassimrajabu78054 жыл бұрын
Ila kusema kwake ukweli ndo maana hao wapuuzi wa Clouds wakabadilika...so dudubaya hatikiwi kulaumiwa
@maregesimafuru41994 жыл бұрын
Dar kungekuwa na eneo kwa ajili ya macelebrates tu kama huko hollywood sijui bava..... hill carifonia , yan wao tu
@flackomasterbaddest41554 жыл бұрын
😂😂😂😂mill 100 msingi duh. Haya bwana hongera lkn kujenga ni dream ya kila kijana
@mariamdina2503 жыл бұрын
Gorofa sàwa
@flackomasterbaddest41553 жыл бұрын
Mariam Dina ni ghali sawa ila sio kwa nyumba hio
@kiuwamhina28024 жыл бұрын
Nyumba halisi sana, big up bro that's why I support your music, for real
@lisauroble314 жыл бұрын
Honger bella nyumba ninzuri sanas
@tatuta65294 жыл бұрын
Ongera kaka mjengo uko vizur sana
@drgeofreykupaza77073 жыл бұрын
Jamaa mfungua milango anatembea miondoko ya Bela 😂😂 Ajenge yake na yeye
@dennismrutu78243 жыл бұрын
😂😂😂😂
@bonaventuremattogo7883 жыл бұрын
😂😂😂🙌
@godfreysimbeye34444 жыл бұрын
Kisheria Foreigner hawezi own Land Tanzania isipokuwa for investment purpose ! Na Bella yeye ni Mkongo na si Mtazania na hiyo ni for resident purpose : Bado na pata shida hapo
@famitonawanda48314 жыл бұрын
Acha ubaguzi tz ni nchi pekee, yenye Raha dudiani ardhi ni ya mungu, kama kalipa haki zote nini tena?!, Acha husda ndugu atakufa mapema
@petromwinyi49554 жыл бұрын
Unapata shida kwa sababu unaroho ya kwanini, acha wivu wa kijinga .hahahahahaaaa wivu mwingine ni wa ajabu kweli. Kwani ukimpongeza utakufa?
@othumanlorenzo2604 жыл бұрын
@@famitonawanda4831 ukweli huo dada sio ubaguzi
@dgt63034 жыл бұрын
Wanaokubishia ni wale wasiojua sheria na taratibu za ardhi za nchi hii. So achana nao. Mimi mwenyew nashndwa kuelewa amepataje kibali cha kujenga nyumba ya makazi
@nellymasengo14194 жыл бұрын
Maanake kwetu Congo akuna watanzania wamesha jenga ? Wala wamesha wanyanganya ma jumba zao ? Sababu siyo wakongomani ?
@nelsonmataba14263 жыл бұрын
Fundi mnyamwezi sanaaa yaaan
@nellymasengo14194 жыл бұрын
Félicitations mon frère c'est ça être un homme
@rahimuadil32064 жыл бұрын
Jameni acheni uwongo kigamboni kiwanja bie zinajulikana alafu ciment beichini uyo msinge wa mil100000 Wapi Apo sasa
@idarouspossy88834 жыл бұрын
Wew ndio unaona uongo kwasababu huna pesa, ahahhahah pole mzee tafuta zako
@mandyfitnesstv67384 жыл бұрын
Umeona msingi wa milioni 100 uongo mkubwa
@officialjoe80033 жыл бұрын
Kwan We aliekwambia kajenga kigamboni nani au mbweni ipo kigamboni
@tatuta65294 жыл бұрын
Ongera kaka mjengo mzur sana
@marymfugwa8474 жыл бұрын
Yani mwenye nyumba ndo anaonekana mgeni!.
@Aggie1114 жыл бұрын
Congrats kwake amefanya kitu kikubwa sana
@welcome-qk6ps4 жыл бұрын
Hongera mwanangu piga buti
@ashahassan2120 Жыл бұрын
Mm napenda sana jamani
@AbdulRahim-wp9fm4 жыл бұрын
Sema mshkaji anavimba kama uo mjengo ni wakwake yeye vile kumbe fundi tu yeye
@rumb96914 жыл бұрын
Hongera christian bella
@tggvffhgghgh1444 жыл бұрын
Mie tu Nalia nimeambiwa msingi tu milion kumi
@goldshukri864 жыл бұрын
Pole sana bana😆
@jamesmichael86814 жыл бұрын
C. Bella ni raia wa Congo. Kwa mujibu wa sheria ya Ardhi ya Tanzania. Mtu ambae sio raia wa Tanzania, hawezi kumiliki ardhi. Anaweza kupewa haki ya kutumia "kwa ajili ya kuwekeza". Mchakato wake unaanzia Tanzania Investment Centre "TIC" Bella, kama raia wa Congo amewezaje kupata kubali cha ujenzi na hati milki akiwa sio raia wa Tz.
@janethpallangyo26334 жыл бұрын
Hongera bella👏👏👏
@wilbertthomas83573 жыл бұрын
Hayo ni matumizi ya pesa hapa duniani
@jamesakhabuhaya61943 жыл бұрын
Say thanks to GOD bro
@dianadouglas90544 жыл бұрын
ukiangalia saikolojia ya watu wote hao wana igiza tu.
@diocresngaiza80964 жыл бұрын
Sahihi. Mwenye nyumba anaelekezwa kila kitu.
@123228794 жыл бұрын
Mwenye nyumba anaelekezwa umbali wa nyumba yake na beach 😂
@samtelah75784 жыл бұрын
Ofcoz hii sio real kabisa
@vailethmaji21584 жыл бұрын
Jamani nyumba yake mimi ni jilani yangu
@rashidmziray65324 жыл бұрын
vitu vya thamani kama hivyo ni muhimu supervisor awepo wa kukupa moyo kulingana hela yako nyingi uliyotumia, na kama unavyoona nyumba haijakamilika lazima mtu wa namna hiyo awepo kukupa headline za project yako inapoelekea... mtu kama huyo kijana ni muhimu katika project kubwa kubwa kama hizo na inamlazimu ajiamini na kazi yake anayofanya tatizo waswahili hatukosi cha kuongea tunapoona jambo jipya mbeleyetu... hakuna asiyependa vitu vizuri chamsingi mm nampongeza Christian bella kwa hatua kubwa aliyopiga big up sana Bro.
@shedracksoccerconnections14303 жыл бұрын
Engineer anadunda saaana bwana ama na yeye ni vocalist
@murattywamuratty97782 жыл бұрын
Uyoo chawa anavyo tembea utafikiri nyumba ndo yake
@fiziparadise78084 жыл бұрын
Ndako ya kitoko yaya👍🏾
@douglasmichael74944 жыл бұрын
Christian bella Obama... mpaka kesho kutws bado namuelewa sana
@harunakayega55313 жыл бұрын
Mkifa ndo hua tunajua uhalisia wa maisha yenu ni aibu
unkuwa na dgree hlf hta cozi moja huwez inua 😂😂😂 kusoma ni ufala
@mariamuseifu30654 жыл бұрын
Hongera sana
@kekiplus1andonly4 жыл бұрын
Die hard fan wa bella baby😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘
@kekiplus1andonly4 жыл бұрын
😚😚😚😚😚😚😚😚😚😚😚😚
@obillaezra62053 жыл бұрын
Building in Congo or Kenya while you are foreigner, is quite impossible” there are a lot of procedures to follow”
@shahamwinyi1283 жыл бұрын
Mwenye nyumba anauliza eti inimasta kaja saiti yake kama mgeni hahahaha mnatufanya sisi wtt acheni kiki
@tausingomeni25684 жыл бұрын
R. I. P ruge kilikuw kichwa kile
@jumongjr58373 жыл бұрын
Uyo kipele n anadunda kama Bella au kaandikwa kwenye milathi 😂😂😂
@marymabula90773 жыл бұрын
🤣
@olivadickson14664 жыл бұрын
Mm namuomba mungu nipate hata chumba tu , hongera yako
@ilovejesus93034 жыл бұрын
Utapata, alafu ipo siku utajenga mwaya, yote yanawezekana. Wengi walianza kama wewe
@ndukulusudikucho_4 жыл бұрын
Land of opportunities " TZ"
@bjzee19813 жыл бұрын
Kumbe sio mbongo ndio mana ana vuruga kifaransa
@danifordrobert48493 жыл бұрын
Jaman mbna tunatishiana maisha
@hallin95613 жыл бұрын
Vijana wadogo wanaroho za kichawi,, sasa izo kauli za kusema ivi vyote ni vyaduniani tundae safari ya kifo ili iwe nin.. Kijana umasikini mbaya tafuta pesa kifo kipo tuu kula raha duniani
@charlesmushi30834 жыл бұрын
Mbona kama nyumba siyo yake na yeye anaeleweshwa
@briankenyan17993 жыл бұрын
Tour guide anachekesha sana anavotembea
@naimasaid77634 жыл бұрын
Maa sha Allah
@ngalawekikohingalawekikohi47684 жыл бұрын
Hii ndio mijengo ya kiume sasa
@rajmkonje71494 жыл бұрын
Huyo jamaa mwenye red short mbona anadunda sana kuliko kitenesi au ndo mwenye mjengo?
@emmanueljohn89703 жыл бұрын
Huyu ndio Engineer mwenyewe
@tonnyjames4284 жыл бұрын
Anaruhusiwa kujenga tz
@joubertkakera67994 жыл бұрын
Mna maswali za ajabu, mbona waindi wanamiliki mijengo karikoo na posta, amuendagi kuwauliza kama wana urai wa tanzania
@michaelsamson96632 жыл бұрын
wasani wazaman wengi wao ivi vitu waona kwenye picha tu
@majatamsafiri43 жыл бұрын
Mtu ambae sio raia wa Tanzania anaruhusiwa kumiliki ardhi?
@erickchitumbi13083 жыл бұрын
Katisha
@hatamimnimempendabulejaman15964 жыл бұрын
Ya, nilijuwa kama kwasababu ya mziki. Hata daimond alisema, Zaman
@hatamimnimempendabulejaman15964 жыл бұрын
Hata daimond naye alisema, Zaman shoo alikuwa analipwa pesa ndogo Lakin badaye akaanza lipwa milion kumi mboni top shoo wakasema mpigieni makofi
@hatamimnimempendabulejaman15964 жыл бұрын
Halafu kama niliiona hii video
@rukabobugalama27224 жыл бұрын
Mjengo uko fresh kabisa
@beatricemrisho84313 жыл бұрын
Nc house beautiful
@kekiplus1andonly4 жыл бұрын
Baby bella...am a die hard fan😚😚😚😚😚😚😚😚😚😚😚😚😚😚
@jonasngaimoko97674 жыл бұрын
Kaka chistiane bella unabamba sana wewe nimucongo mani wawapi
@yussufbilal94393 жыл бұрын
Mcongo anajenga Tanzania?
@mandyfitnesstv67384 жыл бұрын
Hongera Bella
@tommillia78163 жыл бұрын
When you build such a house.. Have a big massive compound to match it.. Not next to you is another big mansion n a wall.. Would look much better on a massive compound.. Trust me
@hassanchauluwa73084 жыл бұрын
ndo rakhaa ya kuwa na fund mnyamwezi.
@ebbyramadhani4 жыл бұрын
Mpambe anadunda kama kitenesi
@TamuzaKale4 жыл бұрын
Hahahaha Wapambe Nuksi, wapigwe mashuti!
@ilovejesus93034 жыл бұрын
😂😂😂😂
@sezaboy29404 жыл бұрын
Kwani huyu ana uraia wa Tanzania? Maana kama sio Raia huruhusiwi kumiliki ardhi nchini hapa
@brysonnicholaus53694 жыл бұрын
Atakuwa anauraia au kafanya kama investment,ni swali la sheria tu
@goldshukri864 жыл бұрын
@@brysonnicholaus5369 exactly
@goldshukri864 жыл бұрын
Uraia. Mbona wa hindi wanazo wale arabu. Uyo muafrica mwenzio bana mpongez tu. One Africa One people.✌
@benomdaile72714 жыл бұрын
Sheria ya Tanzania aridhi ni ya serikali kwaiyo sisi tuna miliki maeneo tuu wakipaitaji ujue akuna ubishii kama upo kialali utalipwa gharama zako usepee.
@annkabbz85444 жыл бұрын
A good question..he should not own land if he's not a real Tanzanian.However I think it's coz of corruption Indians and Somalis in Kenya Tanzania and Uganda own lands and even passports.yet there own countries would never give you passports 😪😪😪Shame..
@eliudwiston42064 жыл бұрын
Engineer wa hilo jengo mungu anamuona na huyo mpambe mungu amsaidie maana sio kwa hizo mbwembwe afu anaonekana kilaza mfano hapo juu barazani hamna ngao ya kukukinga usianguke labda kama ataweka cha mbao au welding, pia msingi wa milioni 100 babu hata kama hatujajenga hapo haupo sema kwake bela ni halali kwani pesa yake hapo imeliwa na wengi huyo mpambe tu anaonekana ni mze wa vibopa sana but hongera japo huyo mpambe kama kazidi maneno na kama ndio anasimamia kazi mimi siku hiyohiyo tunaanzishiana maswali
@sijakibwana67454 жыл бұрын
Si wanajuaga watanzania ndio mambumbumbu na kuna mijitu inakubali tuu
@edigamwaulambo67403 жыл бұрын
Mtu chake ila ufukara ni shida mapovu yanini sikajenga tanzania vijiba vyaninisasa
@mbilinyiandrewhumphrey25343 жыл бұрын
mcongo anajenga tz ni sawa hii?
@ismailmajala28023 жыл бұрын
Nice Sana
@jacksonleonard93373 жыл бұрын
Fundi anatembea kiboss kuliko bosss
@hannansdeliciousfood42613 жыл бұрын
Yani ww mkalii waache hao wengine wale bata na kuku piia
@petit10783 жыл бұрын
Hv huyo mwny pensi ndo tembea yake au ndo ustar😀😀😀
@johnjoseph7633 жыл бұрын
Hahahahaa
@aishaarusha8943 жыл бұрын
Sio nyumba yake hiyo nyumba yake ipo chini ardhi msingi ni amalizake
@123228794 жыл бұрын
Inamaana mwenye nyumba hajui umbali wa nyumba yake na beach..mwenye nyumba ni mgeni ktk nyumba yake..ahaha Haya maigizo kama yale ya MTV cribs
@godychamy8 ай бұрын
Ameenda kununua kiwanja au mbona hapajui😂😂😂
@shairanadam14434 жыл бұрын
Me mwnywe nasifaa balaaa mung sku aknijaliaa lazma ntatangaza mskitn au kanisani kabsaa😂😂😂roho ziwamee vzr😂😂😂🤗
@munnawwaryaqub85244 жыл бұрын
Hahaha hahaha
@shairanadam14434 жыл бұрын
Munnawwar Yaqub sina kaz mbovu anii natangzaa kote s maaendleo bhna ingkuwa kitu kbya apo swaaa 😂😂🤗
@m.mmarckus62984 жыл бұрын
Haaaaaa nimecheka
@shairanadam14434 жыл бұрын
Cathereen Exzavery 😂😂😂😂walh m natangzaa mtaani kote achna na hyu katangaza mtandaon to m koteee😂
@azizawadh59733 жыл бұрын
Mambo ya fedha
@mubarakahussein99503 жыл бұрын
RIP Ruge unamichango kwa wasani wengi
@ebinssports53774 жыл бұрын
hakuna msingi wa mil 100 hapo... nadhani mtafteni mwenye nyumba awaeleze ukweli
@eliudwiston42064 жыл бұрын
si unaona mpambe alivyo na nguvu hiyo mia inawezekana na udalali juu bado mafundi wapige mpambe mwenyewe anaonekana full vibopa
@hamadychamgui23574 жыл бұрын
Hongera bella obama🙌🙌
@mathewdyzymaleyafrica91284 жыл бұрын
Kama hamjui wasaniii wetu kuishi kama wengi wantanzania mnavyotaka ndio wanafeli msanii anatakiwa kuishi kisanii ,hii kazi sio ya kanisa wala sheckh ni kazi ya mapambio so hivyo sio sifa nikujiweka kwenye level flani na nilazima watu www aone watambue ,kwa hivi unafikiri utamuita msanii nakumlipa lakinane wewe bosi lazima ujishtukie
@enockabumba75132 жыл бұрын
Haaaa wakuache
@michaelrweyemamu10684 жыл бұрын
Hongera
@jumambonde71574 жыл бұрын
Swali ni Je non citizen anaweza kumiliki ardhi kisheria kwa mujibu wa sheria zetu??? Jibu ni hapana ?? Bella anaweza kutujibu ameimiliki vipi hiyo ardhi hapo??
@samtelah75784 жыл бұрын
Tatzo la wasanii wetu wanaigiza mno mpaka kero bella anadanganya hiyo show anayopga mil 10 kwa show moja ipi hyo maana hata ukimchukua akiwa na malaika band alkuwa akpga kwa 3M na hapo ujue hyo ni band na yy akiwemo na hajawagawia wenzake, lkn pia kwa mtu msimi ukipga hesabu ya gharama ya nyumba anayosema na hizo mbili za mbwen na mbili za kwa kongo ni uongo hta kma angelipwa hyo 10M kwa show moja toka mwaka 2013 je kafanya show ngap za hyo pesa lkn hata ukitazama vzur sura zao na saut zao kma wanaigiza wote inakuaje mwenye nyumba ndo anaelekezwa kila kitu ?
@hansrahim3 жыл бұрын
Huyo chawa anavyo swing kama snoop dog
@deulkakulondwalubala21183 жыл бұрын
Mziki wa tanzanian una lipa
@minabuelysee83 жыл бұрын
Vizuri
@mengicacoconut81444 жыл бұрын
Jamaa anadunda tuu
@aminatanzanya74753 жыл бұрын
Hivi bado yupo namkeo au ndo bas tena
@ezekielmbazi.86874 жыл бұрын
Acha uongo hakuna msingi wa milioni 100 hapoo sema tuu kwa vile mutu ya Congo tunaelewa zao mutu ya congo