Sio Dr. Slaa, ni Mheshimiwa Jerry Slaa, Dr slaa ni yule wa chadema
@ShamimuKanju2 күн бұрын
Dogo uko vzr Mwenyeezi Mungu akufanyie wepesi
@mugishamajeba962812 күн бұрын
Sema dogo uko sawa kabisa japo una elimu ya kawaida pambana dogo mungu atakusaidia
@Zaburi-12 күн бұрын
Mungu/MUNGU sio mungu
@ShkiruIsmail12 күн бұрын
waziri slaa huwa ni mzito kupokea simu
@josephatjordan215011 күн бұрын
Ni MUNGU
@joycemmassi504611 күн бұрын
Daah jaman IGP, Waziri husika wasaidieni hii familia kabisa
@BinjiBouy10 күн бұрын
@@Zaburi-😂😊😊😊
@MasaiLaizer12 күн бұрын
Well done Doto Mungu akulindee Yaani uko very smart ungesoma zaidi ingekuwaje. Slaa do something. Yaani watu hawana utu kabisa siku hizii wizii tuu.well done Doto we pray for you
@chande2k25012 күн бұрын
Allah atajalia KHERI mdogo WNG HAKI yenu itapatikana kikubwa DUA NA IBADA Kwa mwenyezi mungu kila JAMBO linawezekana na HAKI ya Mtu cku zote haipotei
@caesar774512 күн бұрын
Dogo anajielezea vizuri sana
@kamandashupavu20612 күн бұрын
Mtangazaji ingekuwa vyema ungetembea nayo hii ishu Ili tujue mwisho wake @millard ayo
@jacksonwilson577212 күн бұрын
Huyu dogo ni class seven lakin akili yake ni zaid ya D mbili. MUNGU awatangulie tu maana hii dunia ina mazegere sana kwa kweli.
@eddynaeem670811 күн бұрын
nyie benki wapumbavu nini kama kutapeliwa mumetapeliwa nyinyi musitafute kuwadhulumu maskini za mungu mimi niliokuwa si jaji basi najuwa sasa mtu kaweka dhamana kitu sio chake kwa njia ya udanganyifu enyie mutaingia motoni kwa ujinga
@GilbertNhigula6 күн бұрын
Du inasikitisha Sana !.
@matildamneney11025 күн бұрын
Mungu amsaidie huyu kijana
@aishabagayo6162 күн бұрын
Mh. Jerry Slaa, Tunaomba huyu mtt apatiwe msaada jamani! Mungu amlinde, he is very brave.
Ila bado ana nafasi ya kusoma miaka kumi na tisa (19) bado ni mdogo
@chiniyamuti12 күн бұрын
I like this kind of interview, the journalist just guide the other guy to explain his case and not try to outshine the guy.
@user-xh7xf2ki3r12 күн бұрын
Mh Jerry Slaa nakuomba msaidie huyu mtoto doto anapambana kwa ajili ya familia yake Allah akusimamieni kwa hilo
@safiyasafiya501412 күн бұрын
Kumfikia waziri Dr jerry silaa ndio mtihani Millard angemsaidia kumuonbea kwa waziri wampokee doto akifika haki atapata sila Hana unafiki
@ellentukiko56996 сағат бұрын
Dogo uko very SMART, uko vizuri sana, umejieleza vizuri sana, Mungu ATAWAPIGANIA, penye UKWELI, uongo hujitenga.
@ireneboniventure743412 күн бұрын
Jamani huyu mtoto ana akili sanaa
@annaurassa70825 күн бұрын
Elimu haina mwisho maombi yangu huyu mtoto aendelezwe kielimu
@user-uo8xw9kr4b12 күн бұрын
Wakat wanamkopesha hawakumtaarifu washampa pesa ndio wanampigia mweny nyumba si nikichekesho hicho.
@wamburasungura681210 күн бұрын
Ila ukisikiliza sana hii stori utaona mke Wa marehemu anaonekana alikuwa na mahusiano na mkopaji na ndiyo maana alipata sababu za kugushi hati ila pia wakopeshaji walihusika sana Ila mama mwenye Nyumba anaonekana ana mahusiano na muhusika
@devothasimbi64957 күн бұрын
Ikiwa umemsikiliza kwa makini Huyu mjukuu usingefikiri kama hivi,ameeleza wazi walikuwa karibu sana tôkea enzi za babu Yake hajafariki,usisahau watanzania Wana desturi ya kumuamini MTU haraka Sana na kuonyesha nyaraka mhuhimu kwenye maisha Yao binafsi.
@renatusblandes113112 күн бұрын
Angekuwa Makonda angelitatua kwa uharaka maana mkuu wa mkoa wa hapa amelala
@KassimAlly-xp4dz7 күн бұрын
Yupo busy na madada poa kesi yake itafatiliwa
@kadijaa777114 сағат бұрын
Usilie brother munataisimamia haki haki ya mtu haizami utafaulu tuu kikubwa pambana na ww ninmwanasheria mzuri sana uae weza elezea kitu mtu akaelewa pole ina uma na ww bado mdogo sana hili jambo nila wakubwa lkn mungu kakuchaguq ww usimamie in sha Allah utafaulu raisi samia suluhu na waziri wa aridhi mumuone huyu kijana tafadhali na ushauri pia kwa familia sithakabadhi za nyumba original zihifadhiwe vyema na zisitolewe kupewa mtu kiholela mungu akulinde popote uendapo kaka na munakutqngulie upate haki yenu kwa uwezo wawenyezi mungu amiin nawapenda wenzetu watanzania from Kenya
@kekiplus1andonly7 күн бұрын
Kijana anaonekana yupo makini sana,mbona hakuendelezwa kimamoso jamani😢😢😢😢namuombea baada ya haya yote aweze kurudi shule tena,he has a bright future,
@aboudasilver654112 күн бұрын
Sasa km Rais ameiona barua kwanini Asingepiga cm Kwa wazuri wake jamani daaaaah wanyonge wanakosaga haki zao sana
@user-nb2jw4km6f12 күн бұрын
Yani nimemuonea huruma pesa wamekula wengine nyumba yaoiuzwe
@jumaally426311 күн бұрын
Wanyonge tutanyongwa sana. Waziri kwaninj asipigiwe cm. Inarudishwa barua
@joycemmassi504611 күн бұрын
Jaman Rais Samia naye anachoka Sasa uko wapi muhimu wa wasaidizi anaowachagua?? Yaan hao wote Barua zilikopita wafukuzwe kazi tu hawafai hata kidogo ni sababu huyu kijana hana Watu wakubwa nyuma yake hata simu
@kazikazini104210 күн бұрын
Una hakika aliiona? Kuna panga pangua nyngi zimetokea miezi miwili katika jumba jeupe miezi hii miwili
@KassimAlly-xp4dz7 күн бұрын
Utaratibu nahisi
@florenciamassawe492510 күн бұрын
Eee Mwenyezi Mungu weka wepesi katika jambo hili ili haki ya hii familia ipatikane.
@aminathaabubakarmasoud56511 күн бұрын
Dogo kichwani yupo very smart ❤
@benedictmrisho1800Күн бұрын
Investigative journalism inatakiwa yaani case mwanahabari unaifuatili mpaka mwisho wake ndio inakuwa na utamu. Huyu dogo akasomee uanasheria. Mwanahabari nawe uko vizuri.
@aliciamwalimu58212 күн бұрын
Apewe ulinzi pia watampoteza soon
@Ally-dc5tz2 күн бұрын
kweli kabisa
@zabibubashiri303412 күн бұрын
Nimekupenda sana kaka kijana wa class 7 education kweli yuko hivi lakini kuna kijana wa elim ya Chuo hamfikii huyu kijana perfect
haswaaa...yaani huyu serikiali ingempelekea shule kitdogo tuu angekuwa msaada baada ya haya kumtokea
@eliezasamwel489112 күн бұрын
We @femidahaya4882 huwezi amini yule kijana aliyejiita wakili ndio ukoo mzima tunamtegemea kwa mambo yote ya kisheria tangu enzi za ukoloni amekuwa msaada sana🤔
@aliciamwalimu58212 күн бұрын
Hata mie jmn naic nisingeweza kujieleza hivyo,mama ampe tu kitengo huyo
@femidayahaya488212 күн бұрын
@@eliezasamwel4891Karne ya Ngapi Mulianza kumtumia😃
@jaydendady239912 күн бұрын
Mhe.Jerry Slaa tenda haki kwa hawa Watanzania
@AngelaAndrew-rf1ho5 күн бұрын
Pole mama Samia. Una kazi ku bwa na hawa watendaji. Wameamua kushiba na kutojali chochote .Mungu akuzidishie hekima mama
@lucypatrick783011 күн бұрын
Dr slaa tunakuamini wananchi, huna upendeleo, nina imani ushamsikia huyu mtoto😊
@RajabuDangi-qv2uo12 күн бұрын
Hapo dogo pambana mungu atasaidia
@user-hl6bg9zz8u12 күн бұрын
Na ukifatilia inaweza kugundulika muhalifu ni mfanyakazi au alikuwa mfanya kazi wa serikali!!! Hii ndiyo Tanzania yetu😢
@allymsafi171612 күн бұрын
Baba yake mstaafu wa ikulu na ndugu yake anafanya kazi ikulu mpakq sasa changamoto kwa dogo watu wana ikimbia hyo kesi
@kekiplus1andonly7 күн бұрын
Mmmmh makubwa,Mwenyezi Mungu mtie nguvu
@floralyimo415911 күн бұрын
MNGETUONYESHA NA NYUMBA “ POLENI SANA MH RAIS ATAKUSAIDIA USILIE MDOGO WETU NA UNAVYO ONEKANA UNA STRESS HADI UMEZEEKA KABLA YA UMRI WAKO BE BLESSED 🙏🏾
@KassimAlly-xp4dz7 күн бұрын
Nina uhakika ww ni mwanamke uloandika hii comment 😂❤
@MrishoMindu-zq7mz6 күн бұрын
Tena ni mchaga Mmachame anataka kujua thamani ya Nyumba akili yote ni kwenye mali. We Nyumba haikuhusu ionyeshwe itakusaidia nini? Amezeeka kwa akili Mbovu unatamani atoe nomber za simu umtafute kwa mali za urithi. Mdangali mkubwa.
@monalisaally43876 күн бұрын
@@MrishoMindu-zq7mzhapo kwa wamachame 😂😂😂
@aishahamis16092 күн бұрын
Usimwambie mtoto wa mwenzio amezeeka kwa stress Mungu ndie muumba wa yote kama umejaaliwa baby face mshukuru Mungu na sio kukufuru hujafa hujaumbika usimuonyeshee kidole binadam mwenzio na kumuhukumu hata akikuonyesha hiyo picha ya nyumba utamsaidia nini ? Kapuku wewe chunga kauli zako
@stanleymhozi75904 күн бұрын
Pole MTT Mungu atakusaidia
@Commentsplus12 күн бұрын
Kijana la 7 ila anaakili mingi
@CraudiaKing9 сағат бұрын
Dogo uko vizr mungu atakusaidia haki yenu itapatikana
@fattymusa48574 күн бұрын
Hongera kijana ( uko vizuri). Mungu ndiye mwamuzi. Utashinda.
@PhilipoMwasha12 күн бұрын
Mtu anamtafuta mtuhumiwa aliegushi alafu unamwambia mlalamikaji atoe pesa milioni Moja na nusu za Nini na igp tupo na anasikia vijana wake,mi nasema kila jeshi la polisi Hamna kitu😊
@musakasingo59412 күн бұрын
Huyu kijana atashinda tuu,yaan Mungu ni mkuu, jipe moyo mkuu,ushindi upo
@siashayo867612 күн бұрын
Mshauri kwanza wakate rufaa ili benki wasiuze nyumba. Then waendelee kupambana kwa kutumia silaha zote. Kuna tatizo kwenye hiyo hukumu km kweli Bibi hakusaini mahali popote. Unless kile alichosaini siku ameitwa benki ndiyo ilikuwa kutoa ridhaa hati yake itumike
@josephmwabange96336 күн бұрын
Inaweza kuwa , na hata hivyo ni utapeli tu na utagundikika , maana huwezi chukua advantage kwa kutoelewa kwa mtu .
@afraeliazaelayo12 күн бұрын
Pole sana mjukuu. Maelezo yako kama ni ya kweli, Mungu Atatenda. Kwa Uongozi wa Nchi yetu tulionao kwa wakati huu haki yenu mtaipata. Hii Nchi yetu inasimamia Sheria na Haki kwa sasa Mungu Watangulie.
@donaldmpagaze98036 күн бұрын
Mungu awaguse viongozi wetu watende haki kwa hii familia kwasababu wao wapo kutuhudumia sisi wanyonge mnyonge mnyongeni lakini haki yake apewe Mungu awabariki viongozi wetu waihukumu kesi hii kwa haki Aaamina
@mpjackson954312 күн бұрын
HAKIMU ALIE TOA HUKUMU HANA SIFA YAKUWA HAKIMU HAUWEZI TOA HUKUMU NAKUWAPA UMILIKI BANK NYUMBA ILI HALI KUNA UHAKIKA WA KUGHUSHI NYARAKA ,"PAUL MAKONDA UKO WAPI BABA WEWE NDIE MSAADA WA TAIFA HILI .
@noahchepe80366 күн бұрын
makonda ni mtu wa maauzi ya fasta harembi. Ila Sasa yey tayari ni mkuu wa mkoa Arusha. Angekua dar uenda angemsaidiaa
@dinnaemily272710 күн бұрын
Aksante kaka mtangazaji Mungu akutunze
@glorykastai399612 күн бұрын
Kwani hao watu wananini hadi washindikane kwenye vyombo vya sheria au ndio yule aliyesemaga ameiweka serikali mfukoni mwalimu Nyerere akamtimua, shida watu wengi wanasoma si kwaajili ya kuisaidia jamii yao ni kwaajili ya masilahi yao binafsi ndio maana haki inapindishwa
@jedidahbintidaudi824112 күн бұрын
Glory, Mungu Aturehemu..ndo maana watu wakiaga dunia kwa maumivu mnoo
@boscomwangosi104211 күн бұрын
Wanahela.
@nugwafortunatus30837 күн бұрын
Wana hela
@hanifamziray27712 күн бұрын
Polensn umejua kujieleza vzr mungu yupo
@bilid412812 күн бұрын
😂😂mtuhumiwa ananuka akajisaidie
@femidayahaya488212 күн бұрын
Huo ulikua mchongo wa Police😅😅😅
@user-sb7lz9xp4v11 күн бұрын
Aisee mtoto ana akili huyuuu dah❤❤❤
@mussakimaro558812 күн бұрын
Dogo umeshinda hiyo kesi hao benk ni wangese sana WAZIRI SLAA NAKUPA KAZI KWA KODI YANGU NAYOLIPA ILI UPATE MSHAHARA MALIZA KESI YA DOGO HLF MUMTAFUTIE KAZI YA KUFANYA DOGO ANA DEGREE YA MITAANI
@user-sv3sv4xd1q12 күн бұрын
Kwa kweli very Smart anajuwa kujieleza angesoma angefika mbali sana
@maymunamakungu6265Күн бұрын
Kwa kweli
@stevenmulenda454512 күн бұрын
Pia ITU ng we she ria ya kuwanyoosha mahakim wanaoonekana Sana viashiria cya rushwa Mao washitakiwe wakitoa hukumu kinyume na maadili Mara 2 Pia Nata wat u Wa ardhi kamishna na bwana ardhi na wenyeviti Wa mitaa wanaohusika na kusimamia na kuuza wore washitakiwe na adhabu I we Kali kuanzia fa in I mi 5 na kuendelea ah kifungo kuanzia miaka 3 hadi 10 kea Hi yo wabunge watunge sheria
@njuka351512 күн бұрын
Tunaomba Sana Sheria mmusaidie huyu kijana jamani
@FatumaMamlo-st8pj12 күн бұрын
😢😢😢yamenikuta mie hayo kakaangu kakopea mkopo nyumba yangu bila mie kujua nawauliza bank alikuja.anakigezo gani kukopea pesa wapo kimya inaumiza sana nyaraka nazo mimi.yani bank haitabiriki
@fahadfaraj647412 күн бұрын
Sasa mbona hiyo sio kesi ukimtafuta wakili
@abdulnaseermrisho434212 күн бұрын
Hamna kesi hapo
@user-xl4io3or7r12 күн бұрын
We tulia huo utajiri. Wakiuza nyumba yako tu Kama taarifa za hati zinakusoma wewe Basi benki wanalo. Watakulipa mihela na nyumba utabaki nayo. Tulia
@jostamzxkaole3113Күн бұрын
Aimple iyo:: bank wabakua wamekula shoti..kakaako anaenderea kuagiza chipx adi atakapo kamatwa..
@PatrickMathew-lq9fj12 күн бұрын
Dah inauma sanaa kuna haki zinapotea
@KassimAlly-xp4dz7 күн бұрын
Haki siku zote inasimama In Shaa Allah haki yk itapatikana ila kuna mchezo apo na mzee wake uyo alie foji nyaraka na yy anahusika na uyo anaefanya kazi Ikulu na yy anahusika kwa kuipija calender hii kesi
@majaliwamussa926812 күн бұрын
Polisi vipi waombe pesa yote hiyo, kwenda kumkamata muhalifu? Polisi haina pesa?
@MatildeBjelland11 күн бұрын
Wanatoa wap?
@abdull_hafidh11 күн бұрын
Dah!!! Inauma sana mnatoa pesa na mhalifu amekumbia dah Hii nchi kuna namna ya kumpa makonda
@lwagamwakalinga80388 күн бұрын
Hahaaaaa kwani wewe ni mgeni Jerusalem hii !
@hawaelymaricca760212 күн бұрын
Dogo usiogope Mungu ameshakuona muda sii mrefu waziri silaa mpenda haki namtetezi Wawa nyonge atakufikia soon
@user-ny2fu8bu2uКүн бұрын
Pole sana usiliye mtoto mungu yopo aþàkusaiďiya
@stanleymhozi75904 күн бұрын
MTT Mzr anaakili nimeipenda sana Mungu amfungulie njia pasipo nanjia
@aishahamis16092 күн бұрын
Emen
@NamiriNamiri-oz4xs2 күн бұрын
Naomba kuuliza Huyo mtu Alieghushi kaipatia wapi hiyo Hati??
@user-sp4jr4vw6t12 күн бұрын
Hongera mtoto unaongea vzr jamani una akili jamani asaidiwe
@dn.n498312 күн бұрын
Jamani jamani ni kweli movie kweli watu unyama gani ni ujambazi mavho macho Rais wasaidia kweli Waziri Ardhi wasaidia hii hatari sana sana
@eckreygelard779112 күн бұрын
Very painful 😢, dogo usikate tamaa viongozi wamesikia. You are very smart l can't imagine. Waziri Mh. Slaa fanya jambo haraka kabla Nyumba haijauzwa.
@StellaGrace-hx8kz3 күн бұрын
Mungu ni mwema haki yenu itapatikana tu
@user-jj3tq1rh4p12 күн бұрын
daa jamani hapa haki ya wanyonge iko wapi mungu
@user-ke9bg1dm9cКүн бұрын
Jamani Doto upo vizuri, Haki itendeke jamani
@aliciamwalimu58212 күн бұрын
Duuu kijana yuko vzr sana ana content
@simonjoshua123312 күн бұрын
Watu ni wanyang'anyi wa Mali za watu tena bila hata kumwogopa mungu duuh hii dunia mungu atutetee
@boscomwangosi104211 күн бұрын
Yaan nduguyangu huyu mtu utakua anasali anaenda kanisani au msikitini.
@margarethsaramaki39666 күн бұрын
Kateni rufaa ili mlinde nyumba yenu wakati mengine yanaendelea Kateni rufaa please ndugu zangu nina amini haki yako itabakia kuwa ni yako japo itachelewa Mungu atasimama nanyi kwa kila kitu 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@abdull_hafidh11 күн бұрын
Hii nchi apewe tu makonda angelikua ameshalitatua hili
Yaani ukweli huwa naumia mno mimi kwa mambo haya yanayoemdelea hapa nchini kwangu. Mtoto mdogo anahangaika namna hii miaka yote kweli!! Ningekuwa rais aisee kunabaadhi ya watu wangejuta.😢
@SophiaMnzava12 сағат бұрын
Mungu ni mwema haki itapatikana? Mh Silaha yupo vizuri sana niliona Tanga kwa rajiri wa mabas lmeishaa hiyoooo ?
@graceshikulu4139Күн бұрын
Mungu tusaidie
@nsiamasawe457812 күн бұрын
Waziri wa ardhi akiona hii matapeli wamekwisha
@christopherrunji557512 күн бұрын
Dogo ana akiri kuliko chawa mweusi
@zitongwang62785 күн бұрын
Mungu asimame UPANDE wenu Doto mdogo wangu na mpate msaada 🙏🙏🙏🙏
@IsmailChengula10 күн бұрын
Mungu akusimamie mwanangu
@RajabuDangi-qv2uo12 күн бұрын
Mmmh hii kiboko
@neemansasu976110 күн бұрын
Kwa maelezo tu wanashindwa kutenda haki kwa kuwa ndugu wako Ikulu
@user-iz3hs8jl5pКүн бұрын
mungu akutete haki yako haitapotea t
@nurumwangoka592412 күн бұрын
Huyu mtoto aende shule hata akisoma Qt atatoboa ili baadae awe kiongozi
@jedidahbintidaudi824112 күн бұрын
yes ni QT hata mie nimesema hivo kabisa...wampeleke shule akija kuwa kiongozi atafanya wema maana kapitishwa kwny kitu kizito mnoo
@jumakapilima72957 күн бұрын
Kaka nchi hii bila connection huwezi pata uongozi,,,
@amosstimamaroba10546 күн бұрын
Kwwni shule Kuna nn huko?
@HanifaOman-oo4pl10 сағат бұрын
Mlindeni huyo mtoto wasiojulikana wasijekumtekatu maana hi Tz sikuhizi.wauwajiwengi. ....Allah akulinde kijanawetu. Yarabi mpewepesi huyokijana. Amyn
@yusufsong799312 күн бұрын
Ndio yale Rais alisema wakuu wa mkoa wakali ata kesi za mahakamani wanaziingilia sasa kama kesi hii kweli wakuu wa mikoa walikalie Kimya mahakama ndio chanzo
@smartboytz472412 күн бұрын
Rais nae ni moja wao
@jedidahbintidaudi824112 күн бұрын
Kijana anajua kujieleza kweli yaani. n mtangazaji anauliza vizuri ili asituache. ila atujajua umri wa Mkwabi mtuhumiwa
@estherlemburismollel590112 күн бұрын
Mh. Dr Jerry Silaa nakuamini sana, chonde chonde msaidie kijana na bibi yake wapate haki, Mungu atakubariki zaidi
@user-eu1wq8bn9y12 күн бұрын
Muheshimiwa😢😢slaa
@jeremiahcharles602712 күн бұрын
Mungu anatusaidia ,tusihofu kuhusu system za duniani
@eliambowe257612 күн бұрын
dogo anamiaka 19 lakini elimu ya chuo kikuu na experience yakutosha😊
@aishahamis16092 күн бұрын
Mungu akusimamie doto ukovizuri smat boy haki na Jasho lamtu halipotei bure Hata mbele ya haki itakutwa Allah akusimamie mdogo wangu
@personalitiesan980612 күн бұрын
Elimu ya la saba inatosha kabsaaa... Hongera mnooo dogo
@mwitaagness45510 күн бұрын
Kina mbunge msukuma hawa
@prospermapunda-h6p7 күн бұрын
Dr.slaa Wewe Ni mtu wa Mungu jaribu kumtetea huyo kijana mwenyezi Mungu atakujaria
@ramakira789512 күн бұрын
Daa inaumiza sana mm ninaiman kubwa sana na wazir nimtu mnyenyekevu sana kwahil sinahofu na atalimaliza na wote mtashangaa🙏🙏🙏
@aishamwalimu48162 күн бұрын
Dah inauma xana mama samia sikiriza kilio iki
@user-dq1vo6kv9q9 күн бұрын
Dogo yuko smart sanasana mnooooooo
@user-sg6lc4te4oКүн бұрын
Uko wapi makonda jamani angeshapata haki chap😭😭😭😭😭
@MawazoJohn-m7b2 күн бұрын
Mahakim wa Tanzania hawataki kesi lsiyo pesa is life
@curtainpalace73692 күн бұрын
Hakuna haki nchi hii
@salhanassor5201Күн бұрын
Eti mtuhumiwa ananuka akaoge😅😅Tanzania nchi yangu ila sjawah kuwa na imani na jeshi la polisi katika maisha yangu na haitatokea siku nikawa na imani nao
@consomaslani75229 сағат бұрын
Inauma sana 😢
@kelvinimasagasi73987 сағат бұрын
Watendaji wa tasisi za kibenk mnatoaje hela bila kufanya upelelezi wa mkopaji huo ni mkondo mmoja
@renatusblandes113112 күн бұрын
Kijana nenda mpaka TBC1 na ITV,Kwa vile umesema umesema wana ndugu yake IKULU wanashilikiana
@soloartist_ivanvespalusind16097 күн бұрын
Ayo inatosha sana kwa Watanzania
@user-cs2ud6id9e12 күн бұрын
Mungu wa mbiguni,hakimu wa haki peleka mtu mbele yake mwenye nguvu amtee huyu mtoto 😢😢