INAUMIZA: AKOPEA NYUMBA YA JIRANI MIL 200 KWA HATI FEKI, DOGO AFIKA IKULU KUMLILIA RAIS “TUSAIDIENI”

  Рет қаралды 104,719

Millard Ayo

Millard Ayo

15 күн бұрын

Пікірлер: 566
@EmmyNamoyo
@EmmyNamoyo 12 күн бұрын
Dr Slaa ,Dr Slaa tafadhali muone huyu mtoto 🙏
@unjuusalvatory5331
@unjuusalvatory5331 12 күн бұрын
Sio Dr. Slaa, ni Mheshimiwa Jerry Slaa, Dr slaa ni yule wa chadema
@ShamimuKanju
@ShamimuKanju 2 күн бұрын
Dogo uko vzr Mwenyeezi Mungu akufanyie wepesi
@mugishamajeba9628
@mugishamajeba9628 12 күн бұрын
Sema dogo uko sawa kabisa japo una elimu ya kawaida pambana dogo mungu atakusaidia
@Zaburi-
@Zaburi- 12 күн бұрын
Mungu/MUNGU sio mungu
@ShkiruIsmail
@ShkiruIsmail 12 күн бұрын
waziri slaa huwa ni mzito kupokea simu
@josephatjordan2150
@josephatjordan2150 11 күн бұрын
Ni MUNGU
@joycemmassi5046
@joycemmassi5046 11 күн бұрын
Daah jaman IGP, Waziri husika wasaidieni hii familia kabisa
@BinjiBouy
@BinjiBouy 10 күн бұрын
​@@Zaburi-😂😊😊😊
@MasaiLaizer
@MasaiLaizer 12 күн бұрын
Well done Doto Mungu akulindee Yaani uko very smart ungesoma zaidi ingekuwaje. Slaa do something. Yaani watu hawana utu kabisa siku hizii wizii tuu.well done Doto we pray for you
@chande2k250
@chande2k250 12 күн бұрын
Allah atajalia KHERI mdogo WNG HAKI yenu itapatikana kikubwa DUA NA IBADA Kwa mwenyezi mungu kila JAMBO linawezekana na HAKI ya Mtu cku zote haipotei
@caesar7745
@caesar7745 12 күн бұрын
Dogo anajielezea vizuri sana
@kamandashupavu206
@kamandashupavu206 12 күн бұрын
Mtangazaji ingekuwa vyema ungetembea nayo hii ishu Ili tujue mwisho wake @millard ayo
@jacksonwilson5772
@jacksonwilson5772 12 күн бұрын
Huyu dogo ni class seven lakin akili yake ni zaid ya D mbili. MUNGU awatangulie tu maana hii dunia ina mazegere sana kwa kweli.
@eddynaeem6708
@eddynaeem6708 11 күн бұрын
nyie benki wapumbavu nini kama kutapeliwa mumetapeliwa nyinyi musitafute kuwadhulumu maskini za mungu mimi niliokuwa si jaji basi najuwa sasa mtu kaweka dhamana kitu sio chake kwa njia ya udanganyifu enyie mutaingia motoni kwa ujinga
@GilbertNhigula
@GilbertNhigula 6 күн бұрын
Du inasikitisha Sana !.
@matildamneney1102
@matildamneney1102 5 күн бұрын
Mungu amsaidie huyu kijana
@aishabagayo616
@aishabagayo616 2 күн бұрын
Mh. Jerry Slaa, Tunaomba huyu mtt apatiwe msaada jamani! Mungu amlinde, he is very brave.
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts 12 күн бұрын
Kijana yuko vizuri, huyu angesoma angefika mbali...mwanasheria
@neemasalema1546
@neemasalema1546 5 күн бұрын
Ila bado ana nafasi ya kusoma miaka kumi na tisa (19) bado ni mdogo
@chiniyamuti
@chiniyamuti 12 күн бұрын
I like this kind of interview, the journalist just guide the other guy to explain his case and not try to outshine the guy.
@user-xh7xf2ki3r
@user-xh7xf2ki3r 12 күн бұрын
Mh Jerry Slaa nakuomba msaidie huyu mtoto doto anapambana kwa ajili ya familia yake Allah akusimamieni kwa hilo
@safiyasafiya5014
@safiyasafiya5014 12 күн бұрын
Kumfikia waziri Dr jerry silaa ndio mtihani Millard angemsaidia kumuonbea kwa waziri wampokee doto akifika haki atapata sila Hana unafiki
@ellentukiko5699
@ellentukiko5699 6 сағат бұрын
Dogo uko very SMART, uko vizuri sana, umejieleza vizuri sana, Mungu ATAWAPIGANIA, penye UKWELI, uongo hujitenga.
@ireneboniventure7434
@ireneboniventure7434 12 күн бұрын
Jamani huyu mtoto ana akili sanaa
@annaurassa7082
@annaurassa7082 5 күн бұрын
Elimu haina mwisho maombi yangu huyu mtoto aendelezwe kielimu
@user-uo8xw9kr4b
@user-uo8xw9kr4b 12 күн бұрын
Wakat wanamkopesha hawakumtaarifu washampa pesa ndio wanampigia mweny nyumba si nikichekesho hicho.
@wamburasungura6812
@wamburasungura6812 10 күн бұрын
Ila ukisikiliza sana hii stori utaona mke Wa marehemu anaonekana alikuwa na mahusiano na mkopaji na ndiyo maana alipata sababu za kugushi hati ila pia wakopeshaji walihusika sana Ila mama mwenye Nyumba anaonekana ana mahusiano na muhusika
@devothasimbi6495
@devothasimbi6495 7 күн бұрын
Ikiwa umemsikiliza kwa makini Huyu mjukuu usingefikiri kama hivi,ameeleza wazi walikuwa karibu sana tôkea enzi za babu Yake hajafariki,usisahau watanzania Wana desturi ya kumuamini MTU haraka Sana na kuonyesha nyaraka mhuhimu kwenye maisha Yao binafsi.
@renatusblandes1131
@renatusblandes1131 12 күн бұрын
Angekuwa Makonda angelitatua kwa uharaka maana mkuu wa mkoa wa hapa amelala
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 7 күн бұрын
Yupo busy na madada poa kesi yake itafatiliwa
@kadijaa7771
@kadijaa7771 14 сағат бұрын
Usilie brother munataisimamia haki haki ya mtu haizami utafaulu tuu kikubwa pambana na ww ninmwanasheria mzuri sana uae weza elezea kitu mtu akaelewa pole ina uma na ww bado mdogo sana hili jambo nila wakubwa lkn mungu kakuchaguq ww usimamie in sha Allah utafaulu raisi samia suluhu na waziri wa aridhi mumuone huyu kijana tafadhali na ushauri pia kwa familia sithakabadhi za nyumba original zihifadhiwe vyema na zisitolewe kupewa mtu kiholela mungu akulinde popote uendapo kaka na munakutqngulie upate haki yenu kwa uwezo wawenyezi mungu amiin nawapenda wenzetu watanzania from Kenya
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 7 күн бұрын
Kijana anaonekana yupo makini sana,mbona hakuendelezwa kimamoso jamani😢😢😢😢namuombea baada ya haya yote aweze kurudi shule tena,he has a bright future,
@aboudasilver6541
@aboudasilver6541 12 күн бұрын
Sasa km Rais ameiona barua kwanini Asingepiga cm Kwa wazuri wake jamani daaaaah wanyonge wanakosaga haki zao sana
@user-nb2jw4km6f
@user-nb2jw4km6f 12 күн бұрын
Yani nimemuonea huruma pesa wamekula wengine nyumba yaoiuzwe
@jumaally4263
@jumaally4263 11 күн бұрын
Wanyonge tutanyongwa sana. Waziri kwaninj asipigiwe cm. Inarudishwa barua
@joycemmassi5046
@joycemmassi5046 11 күн бұрын
Jaman Rais Samia naye anachoka Sasa uko wapi muhimu wa wasaidizi anaowachagua?? Yaan hao wote Barua zilikopita wafukuzwe kazi tu hawafai hata kidogo ni sababu huyu kijana hana Watu wakubwa nyuma yake hata simu
@kazikazini1042
@kazikazini1042 10 күн бұрын
Una hakika aliiona? Kuna panga pangua nyngi zimetokea miezi miwili katika jumba jeupe miezi hii miwili
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 7 күн бұрын
Utaratibu nahisi
@florenciamassawe4925
@florenciamassawe4925 10 күн бұрын
Eee Mwenyezi Mungu weka wepesi katika jambo hili ili haki ya hii familia ipatikane.
@aminathaabubakarmasoud565
@aminathaabubakarmasoud565 11 күн бұрын
Dogo kichwani yupo very smart ❤
@benedictmrisho1800
@benedictmrisho1800 Күн бұрын
Investigative journalism inatakiwa yaani case mwanahabari unaifuatili mpaka mwisho wake ndio inakuwa na utamu. Huyu dogo akasomee uanasheria. Mwanahabari nawe uko vizuri.
@aliciamwalimu582
@aliciamwalimu582 12 күн бұрын
Apewe ulinzi pia watampoteza soon
@Ally-dc5tz
@Ally-dc5tz 2 күн бұрын
kweli kabisa
@zabibubashiri3034
@zabibubashiri3034 12 күн бұрын
Nimekupenda sana kaka kijana wa class 7 education kweli yuko hivi lakini kuna kijana wa elim ya Chuo hamfikii huyu kijana perfect
@femidayahaya4882
@femidayahaya4882 12 күн бұрын
Usiende Mbali.. Umemuna/umemsikia yule kijana aliejiita Wakili/ Mwanasheria aliesoma barua mbele ya RC Makonda. Yaan kijana aliyakanyaka...Aibu. Kusema kweli hyu Doto Amebarikiwa.
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 12 күн бұрын
haswaaa...yaani huyu serikiali ingempelekea shule kitdogo tuu angekuwa msaada baada ya haya kumtokea
@eliezasamwel4891
@eliezasamwel4891 12 күн бұрын
We @femidahaya4882 huwezi amini yule kijana aliyejiita wakili ndio ukoo mzima tunamtegemea kwa mambo yote ya kisheria tangu enzi za ukoloni amekuwa msaada sana🤔
@aliciamwalimu582
@aliciamwalimu582 12 күн бұрын
Hata mie jmn naic nisingeweza kujieleza hivyo,mama ampe tu kitengo huyo
@femidayahaya4882
@femidayahaya4882 12 күн бұрын
@@eliezasamwel4891Karne ya Ngapi Mulianza kumtumia😃
@jaydendady2399
@jaydendady2399 12 күн бұрын
Mhe.Jerry Slaa tenda haki kwa hawa Watanzania
@AngelaAndrew-rf1ho
@AngelaAndrew-rf1ho 5 күн бұрын
Pole mama Samia. Una kazi ku bwa na hawa watendaji. Wameamua kushiba na kutojali chochote .Mungu akuzidishie hekima mama
@lucypatrick7830
@lucypatrick7830 11 күн бұрын
Dr slaa tunakuamini wananchi, huna upendeleo, nina imani ushamsikia huyu mtoto😊
@RajabuDangi-qv2uo
@RajabuDangi-qv2uo 12 күн бұрын
Hapo dogo pambana mungu atasaidia
@user-hl6bg9zz8u
@user-hl6bg9zz8u 12 күн бұрын
Na ukifatilia inaweza kugundulika muhalifu ni mfanyakazi au alikuwa mfanya kazi wa serikali!!! Hii ndiyo Tanzania yetu😢
@allymsafi1716
@allymsafi1716 12 күн бұрын
Baba yake mstaafu wa ikulu na ndugu yake anafanya kazi ikulu mpakq sasa changamoto kwa dogo watu wana ikimbia hyo kesi
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 7 күн бұрын
Mmmmh makubwa,Mwenyezi Mungu mtie nguvu
@floralyimo4159
@floralyimo4159 11 күн бұрын
MNGETUONYESHA NA NYUMBA “ POLENI SANA MH RAIS ATAKUSAIDIA USILIE MDOGO WETU NA UNAVYO ONEKANA UNA STRESS HADI UMEZEEKA KABLA YA UMRI WAKO BE BLESSED 🙏🏾
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 7 күн бұрын
Nina uhakika ww ni mwanamke uloandika hii comment 😂❤
@MrishoMindu-zq7mz
@MrishoMindu-zq7mz 6 күн бұрын
Tena ni mchaga Mmachame anataka kujua thamani ya Nyumba akili yote ni kwenye mali. We Nyumba haikuhusu ionyeshwe itakusaidia nini? Amezeeka kwa akili Mbovu unatamani atoe nomber za simu umtafute kwa mali za urithi. Mdangali mkubwa.
@monalisaally4387
@monalisaally4387 6 күн бұрын
​@@MrishoMindu-zq7mzhapo kwa wamachame 😂😂😂
@aishahamis1609
@aishahamis1609 2 күн бұрын
Usimwambie mtoto wa mwenzio amezeeka kwa stress Mungu ndie muumba wa yote kama umejaaliwa baby face mshukuru Mungu na sio kukufuru hujafa hujaumbika usimuonyeshee kidole binadam mwenzio na kumuhukumu hata akikuonyesha hiyo picha ya nyumba utamsaidia nini ? Kapuku wewe chunga kauli zako
@stanleymhozi7590
@stanleymhozi7590 4 күн бұрын
Pole MTT Mungu atakusaidia
@Commentsplus
@Commentsplus 12 күн бұрын
Kijana la 7 ila anaakili mingi
@CraudiaKing
@CraudiaKing 9 сағат бұрын
Dogo uko vizr mungu atakusaidia haki yenu itapatikana
@fattymusa4857
@fattymusa4857 4 күн бұрын
Hongera kijana ( uko vizuri). Mungu ndiye mwamuzi. Utashinda.
@PhilipoMwasha
@PhilipoMwasha 12 күн бұрын
Mtu anamtafuta mtuhumiwa aliegushi alafu unamwambia mlalamikaji atoe pesa milioni Moja na nusu za Nini na igp tupo na anasikia vijana wake,mi nasema kila jeshi la polisi Hamna kitu😊
@musakasingo594
@musakasingo594 12 күн бұрын
Huyu kijana atashinda tuu,yaan Mungu ni mkuu, jipe moyo mkuu,ushindi upo
@siashayo8676
@siashayo8676 12 күн бұрын
Mshauri kwanza wakate rufaa ili benki wasiuze nyumba. Then waendelee kupambana kwa kutumia silaha zote. Kuna tatizo kwenye hiyo hukumu km kweli Bibi hakusaini mahali popote. Unless kile alichosaini siku ameitwa benki ndiyo ilikuwa kutoa ridhaa hati yake itumike
@josephmwabange9633
@josephmwabange9633 6 күн бұрын
Inaweza kuwa , na hata hivyo ni utapeli tu na utagundikika , maana huwezi chukua advantage kwa kutoelewa kwa mtu .
@afraeliazaelayo
@afraeliazaelayo 12 күн бұрын
Pole sana mjukuu. Maelezo yako kama ni ya kweli, Mungu Atatenda. Kwa Uongozi wa Nchi yetu tulionao kwa wakati huu haki yenu mtaipata. Hii Nchi yetu inasimamia Sheria na Haki kwa sasa Mungu Watangulie.
@donaldmpagaze9803
@donaldmpagaze9803 6 күн бұрын
Mungu awaguse viongozi wetu watende haki kwa hii familia kwasababu wao wapo kutuhudumia sisi wanyonge mnyonge mnyongeni lakini haki yake apewe Mungu awabariki viongozi wetu waihukumu kesi hii kwa haki Aaamina
@mpjackson9543
@mpjackson9543 12 күн бұрын
HAKIMU ALIE TOA HUKUMU HANA SIFA YAKUWA HAKIMU HAUWEZI TOA HUKUMU NAKUWAPA UMILIKI BANK NYUMBA ILI HALI KUNA UHAKIKA WA KUGHUSHI NYARAKA ,"PAUL MAKONDA UKO WAPI BABA WEWE NDIE MSAADA WA TAIFA HILI .
@noahchepe8036
@noahchepe8036 6 күн бұрын
makonda ni mtu wa maauzi ya fasta harembi. Ila Sasa yey tayari ni mkuu wa mkoa Arusha. Angekua dar uenda angemsaidiaa
@dinnaemily2727
@dinnaemily2727 10 күн бұрын
Aksante kaka mtangazaji Mungu akutunze
@glorykastai3996
@glorykastai3996 12 күн бұрын
Kwani hao watu wananini hadi washindikane kwenye vyombo vya sheria au ndio yule aliyesemaga ameiweka serikali mfukoni mwalimu Nyerere akamtimua, shida watu wengi wanasoma si kwaajili ya kuisaidia jamii yao ni kwaajili ya masilahi yao binafsi ndio maana haki inapindishwa
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 12 күн бұрын
Glory, Mungu Aturehemu..ndo maana watu wakiaga dunia kwa maumivu mnoo
@boscomwangosi1042
@boscomwangosi1042 11 күн бұрын
Wanahela.
@nugwafortunatus3083
@nugwafortunatus3083 7 күн бұрын
Wana hela
@hanifamziray277
@hanifamziray277 12 күн бұрын
Polensn umejua kujieleza vzr mungu yupo
@bilid4128
@bilid4128 12 күн бұрын
😂😂mtuhumiwa ananuka akajisaidie
@femidayahaya4882
@femidayahaya4882 12 күн бұрын
Huo ulikua mchongo wa Police😅😅😅
@user-sb7lz9xp4v
@user-sb7lz9xp4v 11 күн бұрын
Aisee mtoto ana akili huyuuu dah❤❤❤
@mussakimaro5588
@mussakimaro5588 12 күн бұрын
Dogo umeshinda hiyo kesi hao benk ni wangese sana WAZIRI SLAA NAKUPA KAZI KWA KODI YANGU NAYOLIPA ILI UPATE MSHAHARA MALIZA KESI YA DOGO HLF MUMTAFUTIE KAZI YA KUFANYA DOGO ANA DEGREE YA MITAANI
@user-sv3sv4xd1q
@user-sv3sv4xd1q 12 күн бұрын
Kwa kweli very Smart anajuwa kujieleza angesoma angefika mbali sana
@maymunamakungu6265
@maymunamakungu6265 Күн бұрын
Kwa kweli
@stevenmulenda4545
@stevenmulenda4545 12 күн бұрын
Pia ITU ng we she ria ya kuwanyoosha mahakim wanaoonekana Sana viashiria cya rushwa Mao washitakiwe wakitoa hukumu kinyume na maadili Mara 2 Pia Nata wat u Wa ardhi kamishna na bwana ardhi na wenyeviti Wa mitaa wanaohusika na kusimamia na kuuza wore washitakiwe na adhabu I we Kali kuanzia fa in I mi 5 na kuendelea ah kifungo kuanzia miaka 3 hadi 10 kea Hi yo wabunge watunge sheria
@njuka3515
@njuka3515 12 күн бұрын
Tunaomba Sana Sheria mmusaidie huyu kijana jamani
@FatumaMamlo-st8pj
@FatumaMamlo-st8pj 12 күн бұрын
😢😢😢yamenikuta mie hayo kakaangu kakopea mkopo nyumba yangu bila mie kujua nawauliza bank alikuja.anakigezo gani kukopea pesa wapo kimya inaumiza sana nyaraka nazo mimi.yani bank haitabiriki
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 12 күн бұрын
Sasa mbona hiyo sio kesi ukimtafuta wakili
@abdulnaseermrisho4342
@abdulnaseermrisho4342 12 күн бұрын
Hamna kesi hapo
@user-xl4io3or7r
@user-xl4io3or7r 12 күн бұрын
We tulia huo utajiri. Wakiuza nyumba yako tu Kama taarifa za hati zinakusoma wewe Basi benki wanalo. Watakulipa mihela na nyumba utabaki nayo. Tulia
@jostamzxkaole3113
@jostamzxkaole3113 Күн бұрын
Aimple iyo:: bank wabakua wamekula shoti..kakaako anaenderea kuagiza chipx adi atakapo kamatwa..
@PatrickMathew-lq9fj
@PatrickMathew-lq9fj 12 күн бұрын
Dah inauma sanaa kuna haki zinapotea
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 7 күн бұрын
Haki siku zote inasimama In Shaa Allah haki yk itapatikana ila kuna mchezo apo na mzee wake uyo alie foji nyaraka na yy anahusika na uyo anaefanya kazi Ikulu na yy anahusika kwa kuipija calender hii kesi
@majaliwamussa9268
@majaliwamussa9268 12 күн бұрын
Polisi vipi waombe pesa yote hiyo, kwenda kumkamata muhalifu? Polisi haina pesa?
@MatildeBjelland
@MatildeBjelland 11 күн бұрын
Wanatoa wap?
@abdull_hafidh
@abdull_hafidh 11 күн бұрын
Dah!!! Inauma sana mnatoa pesa na mhalifu amekumbia dah Hii nchi kuna namna ya kumpa makonda
@lwagamwakalinga8038
@lwagamwakalinga8038 8 күн бұрын
Hahaaaaa kwani wewe ni mgeni Jerusalem hii !
@hawaelymaricca7602
@hawaelymaricca7602 12 күн бұрын
Dogo usiogope Mungu ameshakuona muda sii mrefu waziri silaa mpenda haki namtetezi Wawa nyonge atakufikia soon
@user-ny2fu8bu2u
@user-ny2fu8bu2u Күн бұрын
Pole sana usiliye mtoto mungu yopo aþàkusaiďiya
@stanleymhozi7590
@stanleymhozi7590 4 күн бұрын
MTT Mzr anaakili nimeipenda sana Mungu amfungulie njia pasipo nanjia
@aishahamis1609
@aishahamis1609 2 күн бұрын
Emen
@NamiriNamiri-oz4xs
@NamiriNamiri-oz4xs 2 күн бұрын
Naomba kuuliza Huyo mtu Alieghushi kaipatia wapi hiyo Hati??
@user-sp4jr4vw6t
@user-sp4jr4vw6t 12 күн бұрын
Hongera mtoto unaongea vzr jamani una akili jamani asaidiwe
@dn.n4983
@dn.n4983 12 күн бұрын
Jamani jamani ni kweli movie kweli watu unyama gani ni ujambazi mavho macho Rais wasaidia kweli Waziri Ardhi wasaidia hii hatari sana sana
@eckreygelard7791
@eckreygelard7791 12 күн бұрын
Very painful 😢, dogo usikate tamaa viongozi wamesikia. You are very smart l can't imagine. Waziri Mh. Slaa fanya jambo haraka kabla Nyumba haijauzwa.
@StellaGrace-hx8kz
@StellaGrace-hx8kz 3 күн бұрын
Mungu ni mwema haki yenu itapatikana tu
@user-jj3tq1rh4p
@user-jj3tq1rh4p 12 күн бұрын
daa jamani hapa haki ya wanyonge iko wapi mungu
@user-ke9bg1dm9c
@user-ke9bg1dm9c Күн бұрын
Jamani Doto upo vizuri, Haki itendeke jamani
@aliciamwalimu582
@aliciamwalimu582 12 күн бұрын
Duuu kijana yuko vzr sana ana content
@simonjoshua1233
@simonjoshua1233 12 күн бұрын
Watu ni wanyang'anyi wa Mali za watu tena bila hata kumwogopa mungu duuh hii dunia mungu atutetee
@boscomwangosi1042
@boscomwangosi1042 11 күн бұрын
Yaan nduguyangu huyu mtu utakua anasali anaenda kanisani au msikitini.
@margarethsaramaki3966
@margarethsaramaki3966 6 күн бұрын
Kateni rufaa ili mlinde nyumba yenu wakati mengine yanaendelea Kateni rufaa please ndugu zangu nina amini haki yako itabakia kuwa ni yako japo itachelewa Mungu atasimama nanyi kwa kila kitu 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@abdull_hafidh
@abdull_hafidh 11 күн бұрын
Hii nchi apewe tu makonda angelikua ameshalitatua hili
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 7 күн бұрын
Mhhh makonda anatatua anacho kipanga yy sio unachosema ww
@isaacjosephjoseph2733
@isaacjosephjoseph2733 12 күн бұрын
Yaani ukweli huwa naumia mno mimi kwa mambo haya yanayoemdelea hapa nchini kwangu. Mtoto mdogo anahangaika namna hii miaka yote kweli!! Ningekuwa rais aisee kunabaadhi ya watu wangejuta.😢
@SophiaMnzava
@SophiaMnzava 12 сағат бұрын
Mungu ni mwema haki itapatikana? Mh Silaha yupo vizuri sana niliona Tanga kwa rajiri wa mabas lmeishaa hiyoooo ?
@graceshikulu4139
@graceshikulu4139 Күн бұрын
Mungu tusaidie
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 12 күн бұрын
Waziri wa ardhi akiona hii matapeli wamekwisha
@christopherrunji5575
@christopherrunji5575 12 күн бұрын
Dogo ana akiri kuliko chawa mweusi
@zitongwang6278
@zitongwang6278 5 күн бұрын
Mungu asimame UPANDE wenu Doto mdogo wangu na mpate msaada 🙏🙏🙏🙏
@IsmailChengula
@IsmailChengula 10 күн бұрын
Mungu akusimamie mwanangu
@RajabuDangi-qv2uo
@RajabuDangi-qv2uo 12 күн бұрын
Mmmh hii kiboko
@neemansasu9761
@neemansasu9761 10 күн бұрын
Kwa maelezo tu wanashindwa kutenda haki kwa kuwa ndugu wako Ikulu
@user-iz3hs8jl5p
@user-iz3hs8jl5p Күн бұрын
mungu akutete haki yako haitapotea t
@nurumwangoka5924
@nurumwangoka5924 12 күн бұрын
Huyu mtoto aende shule hata akisoma Qt atatoboa ili baadae awe kiongozi
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 12 күн бұрын
yes ni QT hata mie nimesema hivo kabisa...wampeleke shule akija kuwa kiongozi atafanya wema maana kapitishwa kwny kitu kizito mnoo
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 7 күн бұрын
Kaka nchi hii bila connection huwezi pata uongozi,,,
@amosstimamaroba1054
@amosstimamaroba1054 6 күн бұрын
Kwwni shule Kuna nn huko?
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 10 сағат бұрын
Mlindeni huyo mtoto wasiojulikana wasijekumtekatu maana hi Tz sikuhizi.wauwajiwengi. ....Allah akulinde kijanawetu. Yarabi mpewepesi huyokijana. Amyn
@yusufsong7993
@yusufsong7993 12 күн бұрын
Ndio yale Rais alisema wakuu wa mkoa wakali ata kesi za mahakamani wanaziingilia sasa kama kesi hii kweli wakuu wa mikoa walikalie Kimya mahakama ndio chanzo
@smartboytz4724
@smartboytz4724 12 күн бұрын
Rais nae ni moja wao
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 12 күн бұрын
Kijana anajua kujieleza kweli yaani. n mtangazaji anauliza vizuri ili asituache. ila atujajua umri wa Mkwabi mtuhumiwa
@estherlemburismollel5901
@estherlemburismollel5901 12 күн бұрын
Mh. Dr Jerry Silaa nakuamini sana, chonde chonde msaidie kijana na bibi yake wapate haki, Mungu atakubariki zaidi
@user-eu1wq8bn9y
@user-eu1wq8bn9y 12 күн бұрын
Muheshimiwa😢😢slaa
@jeremiahcharles6027
@jeremiahcharles6027 12 күн бұрын
Mungu anatusaidia ,tusihofu kuhusu system za duniani
@eliambowe2576
@eliambowe2576 12 күн бұрын
dogo anamiaka 19 lakini elimu ya chuo kikuu na experience yakutosha😊
@aishahamis1609
@aishahamis1609 2 күн бұрын
Mungu akusimamie doto ukovizuri smat boy haki na Jasho lamtu halipotei bure Hata mbele ya haki itakutwa Allah akusimamie mdogo wangu
@personalitiesan9806
@personalitiesan9806 12 күн бұрын
Elimu ya la saba inatosha kabsaaa... Hongera mnooo dogo
@mwitaagness455
@mwitaagness455 10 күн бұрын
Kina mbunge msukuma hawa
@prospermapunda-h6p
@prospermapunda-h6p 7 күн бұрын
Dr.slaa Wewe Ni mtu wa Mungu jaribu kumtetea huyo kijana mwenyezi Mungu atakujaria
@ramakira7895
@ramakira7895 12 күн бұрын
Daa inaumiza sana mm ninaiman kubwa sana na wazir nimtu mnyenyekevu sana kwahil sinahofu na atalimaliza na wote mtashangaa🙏🙏🙏
@aishamwalimu4816
@aishamwalimu4816 2 күн бұрын
Dah inauma xana mama samia sikiriza kilio iki
@user-dq1vo6kv9q
@user-dq1vo6kv9q 9 күн бұрын
Dogo yuko smart sanasana mnooooooo
@user-sg6lc4te4o
@user-sg6lc4te4o Күн бұрын
Uko wapi makonda jamani angeshapata haki chap😭😭😭😭😭
@MawazoJohn-m7b
@MawazoJohn-m7b 2 күн бұрын
Mahakim wa Tanzania hawataki kesi lsiyo pesa is life
@curtainpalace7369
@curtainpalace7369 2 күн бұрын
Hakuna haki nchi hii
@salhanassor5201
@salhanassor5201 Күн бұрын
Eti mtuhumiwa ananuka akaoge😅😅Tanzania nchi yangu ila sjawah kuwa na imani na jeshi la polisi katika maisha yangu na haitatokea siku nikawa na imani nao
@consomaslani7522
@consomaslani7522 9 сағат бұрын
Inauma sana 😢
@kelvinimasagasi7398
@kelvinimasagasi7398 7 сағат бұрын
Watendaji wa tasisi za kibenk mnatoaje hela bila kufanya upelelezi wa mkopaji huo ni mkondo mmoja
@renatusblandes1131
@renatusblandes1131 12 күн бұрын
Kijana nenda mpaka TBC1 na ITV,Kwa vile umesema umesema wana ndugu yake IKULU wanashilikiana
@soloartist_ivanvespalusind1609
@soloartist_ivanvespalusind1609 7 күн бұрын
Ayo inatosha sana kwa Watanzania
@user-cs2ud6id9e
@user-cs2ud6id9e 12 күн бұрын
Mungu wa mbiguni,hakimu wa haki peleka mtu mbele yake mwenye nguvu amtee huyu mtoto 😢😢
STEVE KAMFATA DEM MBAGALA KISA NAULI KWA MGUU
11:24
Steve Mweusi
Рет қаралды 161 М.
1❤️#thankyou #shorts
00:21
あみか部
Рет қаралды 88 МЛН
Жайдарман | Туған күн 2024 | Алматы
2:22:55
Jaidarman OFFICIAL / JCI
Рет қаралды 1,2 МЛН
I CAN’T BELIEVE I LOST 😱
00:46
Topper Guild
Рет қаралды 54 МЛН