School met wangu Mh Magoti kwa sasa Mungu akusimamie katika kazi zako na hakika atabariki kazi ya mikono yako.School met wenzio wa Secondary wanakuombea. Twende kazi.
@kimchi-9122 күн бұрын
Mh.Magoti yuko smart sana ,2035 tempe urais wa Tanzania 🇹🇿
@GibsonNtamamilo23 күн бұрын
Safi sana Speech imetulia sana. Simfahamu ila nimemkubali hapa hapa tu. Ila ipo siku nitakutana naye Mimi niko Kigoma Mjini.
@RenatusSylivester16 күн бұрын
Mungu akusaidie ndg
@user-fj5qu1qy4u23 күн бұрын
DC magoti HONGERA sana mwenyezi mungu akuongezee hekma na busara akutangulie katika majukum Yako Amina
@ashrafrushaka235822 күн бұрын
Nskskskskdk
@JumaMatiko-zp5nm22 күн бұрын
Good speech.Hakika Mh.rais wetu amefanya vizuri kukuteua kaka wasaidie wananchi wetu hiyo ni imaani tosha kwetu wananchi na Mhe.@Samia Suluhu Hasani Rais.
@jifunzehapa864311 күн бұрын
Ukisikiliza speech ya magoti na maneno yake utamkumbuka Magufuri
@christinenyagiro666223 күн бұрын
Wewe ni mchwa mkubwa sana wala hutafika katika mauchawa kama haya. Masindikiza kunyanyasa wamasai na kumaluza ardhi ya Tanganyika kwa warabu.
@walidmgonja364423 күн бұрын
Acha uchoko wewe
@halimamasai223423 күн бұрын
We ni msenge sana eti wamasai
@user-dy8ss4ly8z21 күн бұрын
Hongera kwa speech nzur
@user-bp7nb7yp2o23 күн бұрын
Kaka big up umenigusa sana.maneno yk yaliflec
@jifunzehapa864311 күн бұрын
Huyu jamaa anaongea kama magufuri
@cloudngoko.267923 күн бұрын
Magoti ni kiongozi Nawaombea sana
@hassanngayaga320223 күн бұрын
Big up
@FelisterNdoghwe20 күн бұрын
Ni sawa Rais akifanya kazi Kwa bidii.
@mgulusaidkiyanga23 күн бұрын
Mungu akuongoze kaka nimeanza kukujua kipindi cha magufuli hongela sanaaaa mama samia
@user-rk9gr9yf3i23 күн бұрын
Uwe kama Makonda au kama Jerry Slaa hapo hapo tutakufahamu mchapa kazi sio maneno mengi vitendo hamna
@darweshk734223 күн бұрын
Mate km mate big up sn😊
@jitabojilala616223 күн бұрын
Mhmmm kuamini ni ngumu kwa sababu unayoyatamka ni tofauti na yanayoonekana kwa wananchi yamkini Rais yupo sawa je nyie mnaomzunguka mnamsaidia? Mbona mnaiba sana? Report ya CAG kuna upotevu wa mabilion wamepiga lakini hawachukuliwi hatua
@judyngowi39123 күн бұрын
Mbona mkateua marehemu sasa kama mnakesha
@hamidabarraball316223 күн бұрын
Mmh!!!
@dayana5513story22 күн бұрын
Mungu akamtangulie katika kaz yake
@apollokwilabya768222 күн бұрын
Sina uhakika na comment ya kuwa anakesha akisoma mafile, that need to be confirmed 😮
@gregory616523 күн бұрын
yuko online kama anachat je? we uliasume yupo online anafanya kazi?
@kajugaa453722 күн бұрын
Huyu alikuwa Ikulu ndo alikuwa anamwandikia Rais speach kwa hiyo razima awe na hotuba nzuri
@christinenyagiro666223 күн бұрын
Kutuuza ndiyo kunamfanya kukosa usingizi siku moja the story will be retold
@dorothmsuya168623 күн бұрын
Ukimnyooshea Samia kidole kimoja Vincent vinakuelekea wewe mwenyewe! Mind me! Kila mchimba shimo hutumbukia mwenyewe! TUNASIMAMA NA MAMA!❤❤❤
@@dorothmsuya1686Huyo ni mama yako been getting kweli
@user-gh2xf6st6q23 күн бұрын
Mtu wamanaa kabisaa
@joscamwoshezi298623 күн бұрын
Inaleta maana sana kama unacho ongea umekifanyia utafiti.Wewe unayesema Rais kauza nchi kwa Waarabu, unaudhibitisho? Kama huoni maendeleo uanayofanyika inawezekana hauko sawa kichwani. Mashule,barabara,hospital,madaraja,ndege,meli sgr na mengine mengi. Tunajivunia uongozi wa rais wetu na waliomtangulia
@AminaKova-ig3mi23 күн бұрын
Mkuu wa mkoa vipi ameruhusu pwani kubomolewa kote so sad🤨
@sskondopoleani961623 күн бұрын
Usilo lijua litakusumbua. RC hana UWEZO wa KURUHUSU Pwani KUBOMOLEWA
@AminaKova-ig3mi20 күн бұрын
@@sskondopoleani9616 acha kabisa kusema iivo mimi nimiongoni mwa nyumba yangu niloimlza january hii na imebolewa mwezi huu ni majonzi mengi ninayo nalia sanaaa
@claveryrwego755022 күн бұрын
NChi yetu chini MAMA SAMIA RAIS WETU MPENDWA ITAFANIKIWA SANA KIMAENDELEO TUMUAMINI NA MITAMO TENA NI MAMA YEYE NI CHAGUO LA MWENYEZI MUNGU IKIBIDI TUBADILI KATIBA AONGOZE MIAKA ISHIRINI MWENYEZI MUNGU MLINDE RAIS WETU MAMA SAMIA.
@joshuasamson961823 күн бұрын
magoti muongo sana Anakeshaje na mafaili huyo mke wa mtu Ana mme wake Aache uongo wake ni muongo
Sasa utopolo inaingiaje hapo? Punguza kuwehuk kiakili.
@user-mq4yq6rw1w23 күн бұрын
@@MilloWamilonga-ft8ir acha kutukana huu ukweli nitakutrack changia cio matusi
@MilloWamilonga-ft8ir23 күн бұрын
@@user-mq4yq6rw1w kwenda zako wewe shoga uliyepuvuka, kuma ya kibuyu zwazwa wewe
@MilloWamilonga-ft8ir23 күн бұрын
@@user-mq4yq6rw1w halafu wewe shoga la kikenya unachangia kitu gani humu wewe pimbi
@bakarikayugwa329523 күн бұрын
Hivi hii mitaara yetu ya elimu ina tija katika taifa retu kwanini tusi ige nchi zinazo enderea zenye mitaara bora za kujiari na kuajiriwa hio ndio itakua nzuri rakini mitaara yetu ni A kuajiriwa sio A kujiari bado sana
@FahadAbubakari23 күн бұрын
Inaanzia mbali hii nchi ilikuaga ya kijamaa kwa miaka mingi sana na hata ilipotoka kwenye ujamaa ni kama ililazimishwa ndo maana mtu huamini kuajiriwa tena serikalini ni heshma na jambo la ushindi bila kuangalia atalipwa mshahara bei gani na akistaafu angojee mafao ya kikotoo ambayo miaka the thelasini ya utumishi unapewa milioni sabini ulijiriwa ukiwa kijana unatoka mzee unakuta hukubaliani na kustaafu unaishia kupata kiharusi na kisukari kwa mawazo maana unabaini muda ulienda hela ndogo unajiingiza kwenye biashara Mara uibiwe ndo mana tz hakuna mstaafu mwenye furaha ni wachache mnoo ustaafu ni umaskini ndo mana mizee kama mkuchika hadi Leo inapambana kukaa kazini ivyo ni kubadili mitazamo kwanza ili vitu viwe tofauti