DC MAGOTI AKIWASHA KISARAWE ''SIPENDI UONGO, NINAONA ZAIDI YA X-RAY HUNIDANGANYI KWENYE MIRADI"

  Рет қаралды 1,433

JAMBO TV

JAMBO TV

23 күн бұрын

#JAMBOTV
Mkuu wa wilaya ya kisarawe Ndugu petro magoti amewaagiza watendaji wa vijiji na kata kuacha mara moja tabia ya kumaliza shauri zinahusu matukio ya vitendo vya ukatili dhidi ya Watoto badala yake washiriki kikamilifu kufichua na kuripoti uhalifu na wahalifu wa ukatili kwenye vyombo vya sheria.
Mhe. Magoti ametoa agizo hilo Akizungumza na watumishi katika hafla ya makabidhiano rasmi ya ofisi kati yake na Mhe. Fatma nyagasa aliyeamishiwa Wilaya ya kondoa mkoani Dodoma.. Mhe Magoti amesema hawatamvumilia mtendaji yeyote atakayechelewa kutoa taarifa juu ya matukio ya ukatili katika eneo lake.
Katika hatua nyingine Mhe. Magoti amewaagiza wakuu wote wa Idara kuandaa taarifa ya fedha za miradi walizopokea na matumizi ya fedha hizo katika utekelezaji wa miradi husika.
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►KZbin: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/

Пікірлер
DEFINITELY NOT HAPPENING ON MY WATCH! 😒
00:12
Laro Benz
Рет қаралды 50 МЛН
Хотите поиграть в такую?😄
00:16
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 2,3 МЛН
ELIUD NA MAMA YAKE KWENYE SHOW YA WAISA
18:50
Eliud Samwel
Рет қаралды 42 М.