Rais Samia Atoa Maagizo Mazito| 'Mnashudia Matusi Ninayotukanwa, Sitajibu'| Aonya Kuhusu Uchumi

  Рет қаралды 6,302

The Chanzo

The Chanzo

Ай бұрын

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea gawio na michango kutoka mashirika na taasisi za umma Ikulu jijini Dar es Salaam, leo tarehe 11/06/2024.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 23
@jabirikilagilile9799
@jabirikilagilile9799 Ай бұрын
Tupo nyuma yako Rais wetu mpenda maendeleo ya nchi mtu akikusikiliza kwa makini kweli unataka kuivusha Tanzania
@bodyaman
@bodyaman Ай бұрын
MAMA HATAKI AKANYAGIWE NGURU WAKE YEYE MSHIHIRI! NA WEWE UKITAKA ASIKUKANYAGIE NGURU WAKO BAASI USIMKANYAGIE UCHUMI WAKE.
@joyceraphael2586
@joyceraphael2586 Ай бұрын
Hongera mama tuko pamoja kazi Yako nzuri sana mama usimsikilize mtu mjinga anaekutukana kazi iendelee
@NeemaJoseph-lq9yg
@NeemaJoseph-lq9yg Ай бұрын
Mama shkamoo,,naomba unisaidie million 10 tu.Naamini utanijibu mama,,Mungu mgude mama anijibu haraka.Nakupenda sana mama.
@maswamills3161
@maswamills3161 Ай бұрын
Mgude ndiyo Nini 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!!!!!!!
@KornelNyenzi
@KornelNyenzi Ай бұрын
Nchi yangu Tanzania Leo naandika huku moyo ukiw n hofu lakin kinywa kikieleza kw ushujaaa , Leo Nawaz wapi nitaenda nikitazam vijana wenye nguvu wapo pemben ila wazeee ndo wenye kukaaa mbele , Tanzanzia yangu nakupenda ila wewe hunipend nifanye kipi unipende nchi yangu mbona nimefanya yote yanipasyo kwako ila wewe bado hunitak , Mimi kijana mwenye umri w miaka 26 unatak nifike umri gan. Unipende Mimi daaaaa lakin naiman ipo siku utanipenda nam nitakujengea ngao ngumu ambayo hakuna atakaye iharibu
@chemistlaizer6562
@chemistlaizer6562 Ай бұрын
Hotuba ya leo nzuri kwa mustakabali wa Taifa letu.
@kuntaalkinte5415
@kuntaalkinte5415 Ай бұрын
hongera mama Samia nakupenda sana,achana nao wapuuzi wasiopenda maendeleo yako.
@anosiata8242
@anosiata8242 Ай бұрын
Unatukanwa Kwa sababu mali za tanganyika unazitapanya kwa wageni.
@richardnganya2311
@richardnganya2311 Ай бұрын
Alfu Lela ulela....
@KornelNyenzi
@KornelNyenzi Ай бұрын
Watoto wa paka wanakula n kishiba ila watoto w panya wanateseka chakula Chao mpka wakachimbe viazi kw wakulima n kw kuibia lakin watoto w paka wao wanapelekeq mpka nyumban daaaa shamba langu hili Nan ataliokow kama mwenye shamba mwenyewe hatak kulilinda jaman ,
@kalebphilip3426
@kalebphilip3426 Ай бұрын
HV mikopo inaleta uchumi wa Kati?huo uchumi wa Kati ni upiiii?mm sielew
@maryhando227
@maryhando227 Ай бұрын
Tunataka katiba mpya jamani. Mungu anakuona wewe acha uwongo.
@mariaanthoniangowi9376
@mariaanthoniangowi9376 Ай бұрын
Ww unabwayabwaya tu toma kiwingu Ww estalou ndio união wajali Kwa sababu mnashibia hiki CCM huku Wananchi mnatuua
@robertzamani5612
@robertzamani5612 Ай бұрын
Kwa mara ya kwanza toka Magufuli atoweke leo ndio namsikia mama ameongelea Tanzania kuingia uchumi wa kati
@mariaanthoniangowi9376
@mariaanthoniangowi9376 Ай бұрын
Heshima Kwa kuiuza nchi yeutu, Mendes kwenye Zanzibar afadhali ungekufa Ww akabaki Magufuli wetu
@feiswalsalim2117
@feiswalsalim2117 Ай бұрын
aslmk mum samahaani naomba nifahamishwe jeetathmini tunaijuwaje iko sahihi jee tathmini inavipagilio gapi jee tukipamda daraja tunatawezaje kuzuia tusishuke gevii kweye yzajii wa uteuzi kutumia tui bilaya kutumia vizeio jivipi mum
@madreks253
@madreks253 Ай бұрын
Mwizi na muongo mkubwa huna aibu mama mtu mzima...shame on you...iko siku utalipa kwa kuwadanganya na kuwaibia Watanzania...
@majaliwacosmas3322
@majaliwacosmas3322 14 күн бұрын
😂
@anslemngassa8614
@anslemngassa8614 Ай бұрын
ninaomba midahalo ya wazi na wachumi wa hii nchi inawezekana nikapata majawabu ya kua mimi ndo sijui uchumi au kuna wachumia tumbo
@rebekakulwa6159
@rebekakulwa6159 Ай бұрын
Mama tunataka tume ya uchaguzi iwe huru jamani tuoneeni huruma
@maryhando227
@maryhando227 Ай бұрын
Huna la kujibu unauza nchi yetu, achana kudanganya watu.
@clarencehilary5588
@clarencehilary5588 Ай бұрын
Wewe mama sisi watanganyika tunaitaka tanganyika yetu
ПРОВЕРИЛ АРБУЗЫ #shorts
00:34
Паша Осадчий
Рет қаралды 1,3 МЛН
Жайдарман | Туған күн 2024 | Алматы
2:22:55
Jaidarman OFFICIAL / JCI
Рет қаралды 1,8 МЛН
Can You Draw A PERFECTLY Dotted Circle?
00:55
Stokes Twins
Рет қаралды 42 МЛН